DAUDIWAKOTA Profile Banner
SENETA DAUDI WA KOTA Profile
SENETA DAUDI WA KOTA

@DAUDIWAKOTA

Followers
63K
Following
8K
Media
1K
Statuses
62K

MWANAFAMILIA WA #CLOUDS. #SUPERBRANDY3 #BALOZI WA CHAMELEONE TANZANIA.Bonyeza hapa kuisikiliza Clouds Fm https://t.co/u6YdgluXPS

88.5 UBUNGO-DSM- TANZANIA
Joined February 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
5 months
Jana Bungeni Dodoma nilipata nafasi ya kuzungumza na Mheshimiwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Dkt. Tulia Ackson (@TuliaAckson). #Asantekwatafuu Mheshimiwa Spika πŸ™β€πŸ™.
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
6 months
πŸ˜‚ Happy birthday Boss @TheRealJongwe
@halimamdee
Halima James Mdee
6 months
Kinega !! Nakutakia MAISHA MAREFU ndugu yangu.
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
8 months
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
8 months
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
8 months
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
10 months
Asante sana mzazi
@Simon_Machibya
SIMON F.MACHIBYAπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
10 months
Happy birthday Gen C wa ukweli @daudiwakota (SENETA WAKOTA). Hongera kwa kazi nzuri ,mola akusimamie mwaka huu uweze kutimiza na kufikia matamanio yako....sema umeupiga mwingi kutoka kuwa kaka mpaka shemejiπŸ˜ƒπŸ€£πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ Happy birthday Mwamba πŸŽ‚
1
1
1
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
10 months
#Asantekwatafuu mwaka mwingine, siku nyingine #HappyBirthdayToME #GenC4Life
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
Leo nikiwa na ndugu zangu Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, Rais wa Yanga, @stevenyerere2, @daudimambya72_ @mbwigambwiguke_tz tumejumuika katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam kumpumzisha mtangazaji mwenzetu Khadija Shaibu 'Dida'
0
0
3
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
Asante sana MUNGU kwa kutimiza ndoto hii, πŸ™
0
0
10
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
0
0
1
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
Mbio pendwa za usiku Tz (#DarNightRun2024)
0
0
0
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
0
0
2
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
@fredy_boy360
π’‡π’“π’†π’…π’š_π’ƒπ’π’š360
1 year
@DAUDIWAKOTA @halimamdee @esteramosbulaya Shukran sana family Kwa kutuwakirisha kwenye Msiba wa mamaetu mama wa mbunge viti maalum halima mdee, Ubarikiwe Sanaa SENETA WAKOTAπŸ™πŸ½
0
0
1
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
Jana nimeshiriki mazishi ya Mama mzazi wa Mheshimiwa @halimamdee) mazishi yaliyofanyika Moshi Vijijini Kilimanjaro. MUNGU azidi kusimama na familia ya Profesa Mdee katika nyakati hizi ngumu wanazopitia, MUNGU ni mwema kila wakati. #TutaonanaBaadae Cc: @esteramosbulaya
1
0
2
@CloudsMediaLive
Clouds Media
1 year
Mkurugenzi Mtendaji wa #Cloudsmediagroup, @josephkusaga akiwa ameambatana na mke wake Juhayna Kusaga (Mkurugenzi wa @malkiachoicefm) ametoa pole kwenye msiba wa Theresia Mdee, Mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalum Mhe. @halimamdee leo Agosti 3, 2024, na kusaini kitabu cha
1
7
46
@CloudsMediaLive
Clouds Media
1 year
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Musa Azzan Zungu (Mb) ametoa pole kwenye msiba wa Theresia Mdee, Mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalum Mhe. @halimamdee leo Agosti 2, 2024, na kusaini kitabu cha maombolezo Ubungo Kibangu, Dar es Salaam. Mheshimiwa
2
7
99
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
Leo nilienda kumfariji Mbunge wa Viti maalum, @halimamdee kufuatia kufiwa na Mama yake mzazi Theresia Mdee, msiba huo uliotokea tarehe 30 Julai, 2024 katika hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu Dodoma. Pole sana mama yangu kipenzi changu MUNGU azidi kukubariki
1
0
1
@DAUDIWAKOTA
SENETA DAUDI WA KOTA
1 year
πŸ™ˆπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
@halimamdee
Halima James Mdee
1 year
Mtoto kafika kwa MAMA yake. Hatimaye!!
0
0
1