CHEEUUUSIII
@CHEUUSII
Followers
757
Following
3K
Media
308
Statuses
4K
Na chenji inabakii kabisaa Tajeer โ
#TajiriLaKihaya Siku ya Birthday Yangu,19th January Napotimiza Miaka 31. Nitatoa Zawadi ya 1m. watu wawili (ME na KE) kila mmoja atapata Laki 5. Unachotakiwa kufanya niambie hio TZS 500,000. nitakayokupa utaifanyia Nini Au itakusaidia kuSolve tatizo gani? Comment au Quote
7
8
62
Tank limeanza kazi mungu mwema kazi imetulia Ndugu, zangu nawasi kama mnapesa wekezeni kwenye hizi kazi zamafuta mafuta yana hela mwamba anaunda tank sa 7 kwasasa zimekamilika tank 4 kama umnavyo ona chuma imetoka kwenye vipimo sasa inaingia kazini. Kazi zaidi 0787782522
7
27
191
@CHEUUSII @SixloveFreesoul @prossoff Nimeona mwana amewashusha hadhi watu wa darasa la 7 na form four nikacheka sana, hao ndio wenye mishe zao na wanapokea mpunga mrefu pia wanapiga kazi kweli kweli mtu anakaa kwenye mashine 12Hrs anapewa saa 1 tu ya kupumzika
0
1
3
Kama unafanya biashara hii michezo ya bahati nasibu (betting) ona kama kituo cha police.
4
18
44
Kwenye Pesa ni kama kwenye mahusiano tu. hutakiwi kumuamini yeyote hata ndugu yako.
0
10
38
MAMBO 6 YA KUACHA LEO KAMA UNATAKA KUTOKA KWENYE UMASKINI Umaskini hauanzi kwenye mfuko. Unaanzia kwenye tabia. Haya ni mambo 6 ya kuacha leo kama unataka pesa ianze kukuheshimu Thread ๐งต
22
87
238
Jamaa aliwahi tabiri kuwa siku tukiacha kushabikia shabikia Wasanii na Hizi Timu mbili za Bongo..akili zetu zitakaa sawa kwa kulipigania Taifa..miaka 5 iliyopita ..Now it's happening ๐๐
2
17
141
Tunaowashabikia wasanii sababu ya hisia tu. Hakuna substance yoyote zaidi ya vibes za ngono/ulevi ndani ya mziki wa Dayamondi, Kiba, Shilole,..bngo fleva kwa ujumla. Hakuna cha maana ndani ya Simba na Yanga. Tuanzishe na kusapoti timu za mitaani kwetu. Hisia zetu ni adui yetu.
12
60
229
@SuluhuSamia Hujasem kuwa alipeda uchaguzi huru na wa haki alipambania siku zote demokrasia
1
1
141
Sisi jana na leo :) Tumerejesha akaunti ya Pyalapyala Sativa. Tumedai uhuru wa Kiduku. He is free. Tumemshika mkono kwa vitendo. Farida & co freed too. Mungu atupe nini sisi? I Love our solidarity. And thatโs how you build active citizenry. Letโs remain United. VIVA.
34
380
2K
Mmetisha wanangu kesho tunaendelea Ahadi zenu wote nimewa mark lazima wajue sio kinyonge tukiangushwa tunavutana. ๐ค
4
34
366
UKIONA HII REPOST "Nimetoka kuongea na Ofsa Kiduku hapa kwa urefu kidogo. Kwanza mwana anashukuru sana kwa Love Mliyoonyesha kwa kupaza Sauti, lakini pia kasema niwaambie kuhusu Afya yuko sawa na amedai kuna watu walikuwa wanaendelea ku show Love mpaka huko kituoni mwana
22
406
1K