ππππππππ
@TwevePauLo
Followers
37K
Following
191K
Media
4K
Statuses
88K
βEntrepreneur | UDSM Alumni | Mkombozi Founder β Built on resilience, family, and purpose. Inspired by those who believed in me. #Mkomboziβ
πππ₯πππ, π§ππ‘πππ‘ππ
Joined July 2018
Ila Gen-Z kumbe 208 maana yake tuonane!π€πππΏ.
2
2
21
Wakati namaliza kidato cha nne pale kifanya secondary nilijiapiza siku nitakayo rudi kuchukua cheti nitarudi na ndinga la maana niwavimbie walimu haswa wanoko wanoko wale, ila nikikumbuka siku niliyoenda kuchukua cheti niliomba lift kwenye malori ya kwenda songea nachoka sanaππΏ.
0
0
0
Kuna yule jamaa anauza magari used, ukiwa unamsikiliza unasikia tajiri tajiri kama zote πππΏ
1
0
2
Kila nikisave hela baada ya week natumia, sijui shida nini?π€·πΏββοΈ
0
0
0
Ni changamoto gani mnazokumbana nazo mnaowadate Gen-z?ππΏ
3
8
30
Kwahio akikupost baada ya muda akafuta anamaanisha nini?
0
0
1
Huna hela brother. Madam weusi ni wanyekevu sana. Mi ni shahidi, Kuna brother hapa ame pull up na BIMA, Adi Demu wangu saiv ameenda kumsaidia kufanya usafi kwake, Madem weusi unyama sana, akilamiza kwangu na kwa mwamba anaenda, Huu unyekevu madem weupe hawana.
6
2
7
Mtu unampenda yeye anakazana kukuita kaka.
8
8
54
Kwanini mtu akianza kupendeza/kuchizika anakuwa anacheka cheka ovyo?
0
0
11