Celestine Simba Profile
Celestine Simba

@Celestine_Simba

Followers
4K
Following
9K
Media
569
Statuses
3K

Mgombea ubunge jimbo la ULANGA 2020 (CHADEMA)na SPIKA WA BUNGE LA WANANCHI.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Celestine_Simba
Celestine Simba
6 hours
Haijaisha mpaka iishe.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
7 hours
Mwambieni Abdul na Mafwele kuwa hili genge lao limefanyiwa analysis na hadi silaha walizotumia zimeanza kufahamika - sasa tupo tuna tracl wamezitoa wapi! We shall not rest until all of these killers are held responsible #SamiaMustGo na #TutaelewanaTu muda si mrefu 👊🏽🔥
0
19
77
@mangekimambi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
15 hours
Nyooooo, kutwa kutusema kina Mange tunatumika na “mabeberu” kumbe yenyewe mpaka yanachota kodi za wananchi ili kujipendekeza kwa “mabeberu”. Imagine kila mwezi wanaiba $45,000 za Watanzania wanawalipa “mabeberu” ili wakawasafishie image yao ya uuwaji kwa “mabeberu’ wenzao
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
24 hours
💥KA-BOOM TUMEWABAMBA WANAMWAGA PESA WAKUBALIKE NA “MABEBERU”‼️ Serikali haramu imeajiri kwa miaka miwili lobby group ya Ervin Graves ya Marekani kwa kiasi cha dola 45,000 kila mwezi ili iwasaidie kuwafikia Bunge na wabunge wa Marekani na serikali. Itatumia dola milioni moja na
33
225
1K
@Celestine_Simba
Celestine Simba
22 hours
Shiriki maadhimisho ya MIAKA 33 ya CHADEMA kwa kuchangia, vile Mungu amekugusa. Mimi tayari nimechangia.
2
12
57
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
1 day
Hivi hawa wauaji wanaoongozwa na kimama @SuluhuSamia wanafikiri haya mauaji yao ya Oktoba yatasahaulika au kusamehewa? La hasha! Kamwe hatutasahau wala kusamehe! Na huu ushetani umewaamsha wengi maana mliua kama mmepagawa eti “ueni hadi barabara zote zijae maiti” Ndo maana
15
87
306
@Celestine_Simba
Celestine Simba
2 days
THIS IS CHADEMA.
@swahilitimes
Swahili Times
2 days
"Chama hiki ni chama ambacho kimesajiliwa, na kina wajibu wa kutimiza shughuli zake kihalali, hivyo tafadhali hatutakuwa tayari kuingiliwa na chombo chochote, na mamlaka yoyote, na sisi tutafanya shughuli zetu na maadhimisho yetu [miaka 33 ya CHADEMA] kwa amani." - Amani Golugwa,
1
16
90
@Celestine_Simba
Celestine Simba
2 days
UNASEMA!!! USA LAMA WA WERE KUBAKIA IKULU ILIHALI WANANCHI HAWAKUTAKI, ULILAZIMIKA KUUA, KISHA UNASEMA NI HATUA SAHIHI!!! AISEE WERE MWANAMKE NI SHETANI HALISI KATIKA MAILING WA BINADAMU. DIKU ABDUL AKITUNDIKWA MSALABANI, NDIPO UTAELEWA UBAYA WA KAULI ZAKO HIZI.
2
6
37
@daagentofficial
Da Agent Official 🇺🇬
4 days
Can I get some reposts ✊
31
2K
5K
@Celestine_Simba
Celestine Simba
3 days
TUTAENDELEA KULAANI NA KUKEMEA MAUAJI YANAYOFANYWA NA POLISI KWA VISINGIZIO MBALIMBALI.
@KumbushoDawson
Kumbusho Dawson Kagine
3 days
Mauaji haya yanayofanywa @tanpol yatakoma lini?. Huenda kijana alikuwa anajinusuru kwa kukimbia, akijua fika kwamba waliokuwa wanataka kumkamata ni watekaji wasio julikana. Polisi walivyo muua wakasingizia kwamba alikuwa jambazi sugu. Hata kama jambazi ndiyo auwe kwa risasi?
0
5
17
@Celestine_Simba
Celestine Simba
3 days
Mchange na baadhi ya online tv wamepewa kazi ya ku twist agenda ili kutusahaulisha yaliyotokea Oct 29. Mimi naapa, hata dunia igeuke, siwezi sahau mauaji ya kikatili na kinyama yaliyofanywa na Samia Suluhu na genge lake la wayaji.
15
89
351
@Celestine_Simba
Celestine Simba
4 days
Maslahi ya mahakimu na majaji yanalindwa na katiba. Sasa kuna wasioheshimu katiba, wanatunga kanuni ili waweze kuitumia mahakama kwa maslahi yao. Maana hakimu au jaji asipokuwa na uhakika na mshahara wake, atakuwa mtumwa wa yeyote anayeweza kumuhakikishia maslahi yake.
@TheChanzo
The Chanzo
4 days
Jaji Mkuu ang'aka, 'Huo ni uvunjaji wa Katiba' Dodoma. Jaji Mkuu George Masaju amesema kuwa mahakama haiwezi kuwa huru endapo watendaji wake hawana uhakika wa mishahara, posho, pensheni, usalama wa ajira na mazingira bora ya kazi. Akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa
1
3
12
@Celestine_Simba
Celestine Simba
4 days
Zilongwa mbali, zitendwa mbali. Lissu amekamatwa kwa kesi ya uhaini kwa ushahidi wa fundi friji, mpaka leo anasota mahabusu. Au unaongelea haki za watu gani ndugu jaji mkuu?
4
9
60
@Mwabuk2Boniface
Boniface Mwabukusi
5 days
Mh.JOHN HECHE NI MTU MWEMA NA MPIGANIA HAKI WA KWELI. Ndugu Watanganyika Msidanganyike. Nimefanya kazi na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John W.Heche kuelekea uchaguzi Mkuu wa oktoba 2025 haswa baada ya kupata habari kwamba CHADEMA ndiyo wanaokwamisha Mazungumzo. Nilibaini ni
81
448
2K
@Celestine_Simba
Celestine Simba
5 days
Unaua watoto na vijana, kisha unajipa utukufu na kuwachamba marehemu. Damu hii haitanyamaza mbele ya kiti cha enzi. Samia, utalipa kila tone la damu uliyomwaaga.
8
37
181
@Celestine_Simba
Celestine Simba
6 days
TUNAJIPANGA KURUDI NJIANI KWA NGUVU KUBWA ZAIDI. MARA HII NI WEWE SAMIA NDIYO UTAKIMBIA IKULU.
@mangekimambi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
8 days
Hii inauma mpaka kwenye utumbo, baada ya kuua wananchi kinyama Samia anajisifu kuwa ameua idadi kubwa mpaka wananchi sasa wanaogopa maandamano. Watanzania inabidi tufike sehemu tujielewe na tupambanie nchi yetu bila uwoga. Sasa ndio Samia na Kikwete wamepata confidence kubwa
9
47
238
@Celestine_Simba
Celestine Simba
6 days
Unaua kisha unajisifia ukatili. Eti " Mkawaulize vijana, leo hii kama kuna mtu anakubali kutoka barabarani kuandamana", unatupima imani? Sasa subiri mziki mkubwa unakuja.
15
92
449
@mangekimambi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
8 days
WATANZANIA MSIOGOPE, TUTAWASHINDA WAUWAJI. SOON!!!!
93
465
3K
@Celestine_Simba
Celestine Simba
8 days
Makonda try to be more specific bwana. Hiyo marufuku inaihusu na habari ya picha hii au habari zipi hizo?
6
32
211
@Celestine_Simba
Celestine Simba
8 days
Hongereni wananchi kwa kupiga kura za kushiba. Hongera Samia kwa ushindi wa MTAWALA KATILI ZAIDI WA MWAKA 2025. Umeshinda mama. Tutaandaa maandamano ya kukupongeza. Polisi tunaomba ushirikiano wenu.
11
44
212
@Celestine_Simba
Celestine Simba
11 days
Anaitwa Lucy Anton Michael, anatoka kata ya Makangarawe Yombo Dovya. Ni katibu wa Uvccm. Tunaweza kupata taarifa zake zote naye atatusaidia kutujulisha wafadhili wa ile show yao ya ukatoliki. Simple tu.
14
53
352