Coach Slamah Hamad
@serazangu
Followers
18K
Following
3K
Media
317
Statuses
25K
A Human Soul Seeking Opportunities for Outward Manifestation.
Johannesburg, South Africa
Joined July 2014
And your Lord is going to give you, and you will be satisfied. - Qur’an 93:5 #believeinallah #allahisgreat
0
2
2
They Are Africa’s Leading Coffee Producer, Its Leading Coffee Drinkers, Now To Beat EU Laws, Ethiopia’s Coffee Farmers Are Betting on Blockchain, AI, GPS, and Satellite Imagery The EU’s new deforestation laws represent a threat to coffee producers in Africa. Rather than
7
17
35
Naomba nifanye Survey ya Tz Twita kuhusu Uraia pacha Tanzania. Naomba nipate maoni yenu kuhusu Faida na Madhara ya Uraia pacha …. Naomba ushirikiano wenu tafadhali itusaidie kujengea hoja.
45
38
186
@jcokechukwu Happy September! As the winds of change sweep across our beloved Africa, we stand united against any force trying to hold us back. Our rich heritage and unwavering spirit will guide us towards a brighter future. Let's embrace this month as an opportunity for growth and
0
11
44
In this new and beautiful month of September, every conspiracy against mother AFRICA shall fall & dismember. Every plan to obstruct our miraculous “prison break” from these generational colonial plantations shall be divinely resisted. The land of AFRICA shall forcefully eject any
162
651
2K
@swahilitimes Kama @SuluhuSamia yuko serious katika hili atoke hadharani apinge Ushoga na Transgender. Vinginevyo atulie, nachojua hakuna mila na distur kama vijana watafukunyuliwa mavi, wataolewa, mabinti watapandikizwa uume, Inakuwa taifa la laana
0
1
11
@jacksonhinklle President Ali Bongo and his father wasn’t fair to the Gabonese people. The Bongo’s lived in wealth and luxuries while the Gabonese citizens of 2.4 million people wallow in poverty. Cameroon 🇨🇲 leader Paul Biya has been President since 6th November, 1982. Uganda 🇺🇬 leader Yoweri
50
175
644
@jacksonhinklle When the WEST saw that their colour would be a barrier to them stealing from Africa, they made blacks and fellow Africans their proxy thieves to steal and then come to store it in their country. They aid them by advancing the need for democracy which they know is a lie and the
11
49
239
Unakuta mtu mmoja ashawahi kuwa waziri wa michezo,katiba,ujenzi,ulinzi,afya inawezekanaje?mtu hawezi kuwa mzuri kwenye kila kitu ndo maana hatupati matokeo mazuri tunakuwa kama tuna test mtu kama ataweza au hawezi
277
298
3K
BREAKING: Death toll rises to 52 in multi-story building fire in Johannesburg, South Africa
51
175
545
Kila Mcheza kwao Hutunzwa lakini kamwe Nabii hakubaliki nyumbani.
KUMBUKUMBU! Pichani ni Dr. Hassy Kitine, PhD aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS (1978 - 1980) & Hayati Dr. Agustine Mahiga, PhD, Mkurugenzi TISS ( 1980 - 1983) wakiwa na fomu za kugombea Ubunge & Urais ndani ya CCM. Hayati Jaji Augustino Ramadhani, CJ (2007 - 2010) akiwa na
0
0
0
Somo la Katiba ya nchi lipelekwe mashuleni kuanzia shule za msingi angalau darasa la 3 na kuendelea. Hii ya 3yrs kuzunguka nchi nzima gharama za project zitakua kubwa na kila siku wanazaliwa watanzania wapya na wanabaleghe wengine, mna mpango wa kurudi mtaani kila 10yrs?
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali itatumia muda wa miaka mitatu kutoa elimu ya katiba, baada ya kubaini kuwa zaidi ya asilimia 50 ya Watanzania hawaifahamu katiba ya sasa.
0
0
0
Kwa haraka utasema ni jezi za Yanga. Halafu leo ni weekend ambayo mara nyingi kunakua na jogging clubs. Pengine ni ‘fans’ Tanzania hii kuna raia sio wanachama wa chama chochote cha siasa, wafikiriwe hao zaidi kabla ya maamuzi na matendo ya aina yoyote kutoka kwa yeyote.
UVCCM ni kikundi cha WAPUMBAVU. Leo Freeman Mbowe atakuwa na mkutano wake asubuhi hii viwanja vya S/M Didia, kata ya Didia, Jimbo la Solwa, Shinyanga Vijijini. Maandalizi yanaendelea uwanjani, ng’ombe wa UVCCM ndani ya manjano wamekuja kuandamana uwanjani wakiwa na bendera za
1
0
1
Bado namlaumu sana ex Pres Jakaya, hotuba yake ilikua Sawa na kumwaga petrol kwenye moshi. An ignored & unwanted Pandora’s box was unleashed. Madam Pres naye badala ya kusawazisha kwa kutoa msimamo wake, aka play defense as if the terrorist is chanting blood at our borders.
Huyu sasa ameweka wazi kabisa kwa nini watu wanasema ni udini Kwa akili yake watu wanapinga DP World sababu ni waislam na mambo ya Waislamu yamekuwa yakipingwa kama OIC Kwa nini Samia ameficha hii hoja ? Kumbe issue ni zamu ya waarabu na dini yao kuwekeza? Wamevumilia MUDA !!
0
0
0
Hii ukitoa hilo bango na nembo ya ACT ukaweka ya Ikulu ya Rais ndio inaleta maana, lakini hapa wana sound Kama kitengo cha Habari cha Ikulu kwa mavazi ya ACT.
ACT!! ACT!! ACT!! ACT inapongea uteuzi wa makamishna wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar uliofanywa na Rais Mwinyi! ACT inashauri raia wote Zanzibar & Tanganyika kutoa ushirikiano kwa makamishna wapya na kuwa na imani nao. Inatoa ANGALIZO!! Folks, you can't be SERIOUS! Kabisa
0
0
0
Hii jumuiya imeundwa lini? Maridhiano? Kulikua na vita? Imechaguliwa/Imeteuliwa na nani? Vigezo vya uanachama wa Jumuiya hiyo ni vipi? Mpaka sasa ina wanachama wangapi?
Viongozi wa Dini mbalimbali wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania (JMAT) imetoa tamkoa lao kuhusu Mkabata wa Bandari kwa kubariki mchakato wa Bandari uendelee kwani una manufaa makubwa kwa Watanzania.
0
0
0
@jcokechukwu This extreme arrogance and feeling of entitlement of the West is one of the many reasons their time is up in Afrika. You can't be covertly sponsoring the devastation of the continent and playing hero at the same openly time just to say you "helped," and cheaply attempt to keep us
3
25
127