_kinggeofrey Profile Banner
AK⁴7 Profile
AK⁴7

@_kinggeofrey

Followers
5K
Following
109K
Media
3K
Statuses
26K

I follow my own path🕊

Tanzania 🇹🇿
Joined April 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@_kinggeofrey
AK⁴7
1 year
We are guardian angels of Galaxy
9
3
31
@_kinggeofrey
AK⁴7
21 hours
Ni kutokujua tu, Wakati wa kugunga ndoa kuna form mnayopaswa kujaza inayoainisha mali za kila mmoja kabla ya ndoa. Pia rekodi za magonjwa, nk Ni vile sisi huwa tunawaza sherehe na kusahau mambo ya msingi
@Wolfman_Tz
Motivation Speaker
1 day
Yaani naoa mke anatoka kwao na begi tuu anakuta kila kitu kipo nyumba, magari na mali zingine ila kwenye kuachana tugawane 50/50 hii sheria ilitungwa na nani?
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
21 hours
Husband's material tumetoka kunena kwa lugha
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
1 day
Polisi: Shahidi mshitakiwa inadaiwa kabla ya kuua alikuwa anatolewa matusi ya nguoni na mgomvi wake. Mimi Shahidi: Kiukweli sikusikia kiyu yoyote 😘
0
0
1
@_kinggeofrey
AK⁴7
2 days
Amkeni Tunaanza na Mungu jumuiya baadae tutafute vipato halali
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
3 days
Mtu anakunyima mpaka unajiuliza au hana?🤔
1
5
8
@_kinggeofrey
AK⁴7
4 days
Hollywood is lying, This is terrorist look alike, No tatoo
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
5 days
Ee Mungu fanya Muujiza kwa hawa ama doctor wetu 🙏
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
7 days
Gemin Vs ChatGpt
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
7 days
Nsugu Zangu Waislamu Tundelee kuishi maisha matakatifu na kutenda mema kama tulivyokuwa tunafanya Ramadhan. Uoga uwsiwe mwezi bali Mungu
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
7 days
Doggy style ndo siraha ya mwisho ya mwanamke kumridhisha mwanaume
0
0
2
@_kinggeofrey
AK⁴7
8 days
Tanzania kinachochafua miji yetu isonekane mizuri ni ma hinga kuzagaa na kuruhusiwa kufanya biashara popote. Haka kastand kangekuwa pale Kongowe tatizo kasi kaseoingeonekana hivi
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
8 days
Leo Bar zitauza sana Kitimoto zitauzika sana Guest house zitajaa sana Amini nakuambia 📌
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
8 days
Huwezi amainu naisoma hii sms umeme ukiwa umekatika 😍😅
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
9 days
Ndugu zangu waislam, Sisi hatukufunga ila niwatoe hofu kwamba tutakuwa wote kwenye pilau Iiiih kwakweliii lazima tuchapeeee sisi ndo wakaid tunafaid sku ya idd🤣🤣
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
9 days
Hongereni wote mlifunga Ramadhani Kwa uaminifu. Sio kushinda njaa bali kuepuka dhambi, kufanya matendo ya huruma, kuswali na kuomba. Mungu awape kheri na wepesi katika yale mliyoyaomba Eid El Fitr to all Muislims brother's and Sister's Eid Mubarak
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
10 days
Kwanini Waislam wamejengewa msikiti stand ila wakristo hawajajengewa kanisa? 😢
@kalage_jr
John kalage 🇹🇿
10 days
📍Mwenge standa.
6
1
9
@_kinggeofrey
AK⁴7
10 days
1. Lisu (Raisi) 2.Heche (Waziri Mkuu) 3 Ngwajima (Waziri wa ndani) 4. Polepole (Mambo ya Nje na uhusiano) 5. Lema (Makamo wa Raisi) 6. Doroth Gwajima (Spiker) 7. Mwambikusi ( Mwanasheria mkuu)
1
0
1
@_kinggeofrey
AK⁴7
10 days
Sasa Kama siuoni mwezi nifanyeje, Naomba serikali ininunulie Darubini 😍
0
0
0
@_kinggeofrey
AK⁴7
10 days
Naumia napoona mtu anakata mti. Fikiria ndege na wadudu wanaoutegemea kwa chakula na makazi/kivuli, Anyway hainihusu. Vijana wengi Huaribika kisa Makundi, Marafiki huweza kuamua awe Kijana Bora au awe mlevi,shoga, mbakaji nk Not my business, Hainihusu Ila yatupasa Kujali😍
0
0
1
@_kinggeofrey
AK⁴7
11 days
Dear @jacksonhinklle Tell @DeptofWar Killing is not solution to stop Iran to have Nuclear Weapons. This people dont fair death, May be new strategy to be applied
0
0
0