AK⁴7
@_kinggeofrey
Followers
5K
Following
109K
Media
3K
Statuses
26K
I follow my own path🕊
Tanzania 🇹🇿
Joined April 2018
Ni kutokujua tu, Wakati wa kugunga ndoa kuna form mnayopaswa kujaza inayoainisha mali za kila mmoja kabla ya ndoa. Pia rekodi za magonjwa, nk Ni vile sisi huwa tunawaza sherehe na kusahau mambo ya msingi
Yaani naoa mke anatoka kwao na begi tuu anakuta kila kitu kipo nyumba, magari na mali zingine ila kwenye kuachana tugawane 50/50 hii sheria ilitungwa na nani?
0
0
0
Polisi: Shahidi mshitakiwa inadaiwa kabla ya kuua alikuwa anatolewa matusi ya nguoni na mgomvi wake. Mimi Shahidi: Kiukweli sikusikia kiyu yoyote 😘
0
0
1
Nsugu Zangu Waislamu Tundelee kuishi maisha matakatifu na kutenda mema kama tulivyokuwa tunafanya Ramadhan. Uoga uwsiwe mwezi bali Mungu
0
0
0
Tanzania kinachochafua miji yetu isonekane mizuri ni ma hinga kuzagaa na kuruhusiwa kufanya biashara popote. Haka kastand kangekuwa pale Kongowe tatizo kasi kaseoingeonekana hivi
0
0
0
Leo Bar zitauza sana Kitimoto zitauzika sana Guest house zitajaa sana Amini nakuambia 📌
0
0
0
Ndugu zangu waislam, Sisi hatukufunga ila niwatoe hofu kwamba tutakuwa wote kwenye pilau Iiiih kwakweliii lazima tuchapeeee sisi ndo wakaid tunafaid sku ya idd🤣🤣
0
0
0
Hongereni wote mlifunga Ramadhani Kwa uaminifu. Sio kushinda njaa bali kuepuka dhambi, kufanya matendo ya huruma, kuswali na kuomba. Mungu awape kheri na wepesi katika yale mliyoyaomba Eid El Fitr to all Muislims brother's and Sister's Eid Mubarak
0
0
0
Kwanini Waislam wamejengewa msikiti stand ila wakristo hawajajengewa kanisa? 😢
6
1
9
1. Lisu (Raisi) 2.Heche (Waziri Mkuu) 3 Ngwajima (Waziri wa ndani) 4. Polepole (Mambo ya Nje na uhusiano) 5. Lema (Makamo wa Raisi) 6. Doroth Gwajima (Spiker) 7. Mwambikusi ( Mwanasheria mkuu)
1
0
1
Sasa Kama siuoni mwezi nifanyeje, Naomba serikali ininunulie Darubini 😍
0
0
0
Naumia napoona mtu anakata mti. Fikiria ndege na wadudu wanaoutegemea kwa chakula na makazi/kivuli, Anyway hainihusu. Vijana wengi Huaribika kisa Makundi, Marafiki huweza kuamua awe Kijana Bora au awe mlevi,shoga, mbakaji nk Not my business, Hainihusu Ila yatupasa Kujali😍
0
0
1
Dear @jacksonhinklle Tell @DeptofWar Killing is not solution to stop Iran to have Nuclear Weapons. This people dont fair death, May be new strategy to be applied
0
0
0