sadammadai Profile Banner
Sam Madax Profile
Sam Madax

@sadammadai

Followers
1K
Following
445K
Media
361
Statuses
7K

Just Amazing... Arsenal fc die hard fan ⚽️

Mtwara, Tanzania
Joined August 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@sadammadai
Sam Madax
2 years
Ukiwa kazini utahisi kazi yako inakupa pesa kidogo,ukiacha kazi utagundua umekurupuka. "Ukiwa ndani ya nyumba utaona nje mvua inanyesha kidogo ila ukitoka nje utagundua mvua ni kubwa". Endelea kuthamini ulipo mpaka utakapopata deal kubwa,huko ground mambo ni magumu.
Tweet media one
3
6
20
@sadammadai
Sam Madax
13 hours
Arsenal bana wanaminya minya nyanya wananunua bilinganya 😂.@DenzoMaesTro.
1
0
1
@sadammadai
Sam Madax
21 hours
Hata Azam nao wanakuwaga na hizo mbanga although naona km Yanga na Azam wameanza kupunguza hizo mambo ila kwa Simba bado sana.
@DenzoMaesTro
Denzo
22 hours
-Timu zetu za Ligi Kuu Bara hasa Simba na Yanga huwa zinasajili na kuacha wachezaji kwa matakwa Ya mashabiki,Hard truth hawajui wana taka nini haswa kwenye hizo sajili zao. Lastly wanaishia kupata hasara na kutotatua matatizo Ya klabu husika. #LigiKuuBara #nbcpremierleague.
0
0
2
@sadammadai
Sam Madax
3 days
Labda kocha asiwe Arteta.
@George_Ambangil
George Ambangile
3 days
Without a doubt.
0
0
1
@sadammadai
Sam Madax
4 days
Kidebe 🔥🔥🔥.
@DullahTheking2
Dullah_theKing🎧
4 days
Sema JANJARO alituonea sana Mashabiki wa Muziki wake. Rapper wa Kisasa yule 🚶🏾‍♂️.
0
1
2
@sadammadai
Sam Madax
5 days
Batafogo liked your comment.
@Balyx_
Balyx
5 days
Ukitaka kuona uwezo wa team yako na uwezo wa Kocha wa team yako, kacheze na PSG, hii ndo itakavyokua kwa Azam ya Ibenge.
0
0
2
@sadammadai
Sam Madax
5 days
Ukiona unatibiwa km mfalme, ujue tayari 😀
Tweet media one
0
0
1
@sadammadai
Sam Madax
7 days
Wamekufanyia Enema nn 😂😂😂.
@robkidayo_
RCM
8 days
Mapera ndio matunda ya hovyo kabisa na hayakustahili kuwa matunda 😄.
1
1
5
@sadammadai
Sam Madax
9 days
With the same CB Pep won Treble 😂.
@daudi10emmanuel
Daudi Emmanuel
9 days
Ake is short .Diash is poor .Akanji is not powerful . City need to sign a CB who can win aerial duels in the box, a RB and GK if it were up to me ngl.
0
0
0
@sadammadai
Sam Madax
13 days
Kaangalie mechi ya leo ya Waydad vs Al Alain utanishukuru badae.
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
14 days
Hapa nani alihatirisha usalama wa mwenzie ? Unaweza ukawa wa kwanza kufanya touch ya mpira lakini haiondoi kuwa unaweza kucheza madhambi hili tukio halikustahili kuwa penalti jana na hata milele🤝
1
0
0
@sadammadai
Sam Madax
14 days
Sema lile kocha linajua bana,mimi tangu game na Azam nilimyooshea mikono 🙌.
@hecenmo
hussein
14 days
Keep Miloud Hamdi, Mzize, Pacome, Muda, Maxi, Boka, Duke. Acha Chama, Ikangalombo, Mkude, Sureboy, Farid, Musonda. Leta CF, Winger, Feisal, CB, DM, RB.@Caamil8 🙏🏽.
0
0
2
@sadammadai
Sam Madax
15 days
Yanga wameenda kubeba kombe sio kushinda mechi.
@iammwanjala
kobiko
15 days
Unpopular opinion CHAMA hii Mechi alitakiwa kuanza Sio Mudathir. 10!!.
0
0
1
@sadammadai
Sam Madax
15 days
Hao ni ndugu wa upande wa baba ako tu.
@Gaspinho15
𝕵𝖆𝖒𝖆𝖆 𝕸𝖚𝖚𝖟𝖆 𝕯𝖆𝖜𝖆
16 days
Vile ndugu upande wa Baba wanavyo kuangalia ukipata Tatizo.
Tweet media one
1
0
1
@sadammadai
Sam Madax
15 days
Huyu Ozil alipiga assist hadi kwa Giroud 😂.
@George_Ambangil
George Ambangile
16 days
@_Maxmily Inategemea washambuliaji wake wakina nani 😀.
0
0
3
@sadammadai
Sam Madax
18 days
Good old times 🔥.
@EngMapundajr
Eng.Mapunda Jr
19 days
Zamani Kidogo.,Kabla ya Azam na Turkish Drama,Hapo Mwanza ndani ya Studio za Star Tv Walitikisa Haswa na Tamthiliya za Kifilipino sio poa.Walikujaga na Kitu Inaitwa The Promise humo ndani Kuna Mkali Angelo na YnaMorata afu kuna Mzee mzima Eduardo Buenavista.Jamaa Walitubless mno.
Tweet media one
Tweet media two
0
0
1
@sadammadai
Sam Madax
20 days
Na ukitaka umuweze vzr jifanye mjinga kumbe unampiga matukio kimya kmya,siku akija kustuka heshima inaongezeka kmmke 😂😂.
@anuskills3
 𝐊𝐢𝐝𝐮𝐝𝐮 𝐌𝐭𝐮 𝐉𝐑™
20 days
Wanawake huwa wanahisi sisi wanaume ni Wajinga Kwenye Mahusiano.!!😂😂.
0
0
0
@sadammadai
Sam Madax
20 days
Wahuni wamekula kichwa bila huruma.
@Balyx_
Balyx
20 days
Mtesi wa Europe jana kakutana na kigingi wakamla kichwa. Haya mashindano sijui Barca alifeli wapi dadeq.
0
0
0
@sadammadai
Sam Madax
22 days
Music.
@privaldinho
Privaldinho
22 days
FUTA KITU KIMOJA KWENYE MAISHA YAKO. MAPENZI.PESA.MAJI.MUZIKI.MPIRA.
0
0
0
@sadammadai
Sam Madax
23 days
Sema wewe jamaa jau sana,unampalia makaa sana mwana😂.
@George_Ambangil
George Ambangile
23 days
Daah😀.
0
0
0
@sadammadai
Sam Madax
23 days
Jamaa anamwaga moto balaaa
Tweet media one
@fintanjr_
The champ👑
24 days
Kuna warembo wengi hapa duniani, ila huyu wanguu, Amewazidi wotee😂🔥🔥, hii vpn itengwe🙌
Tweet media one
0
0
1
@sadammadai
Sam Madax
26 days
Tweet media one
@WideEdson
MJUKUU
27 days
Kama sio wao saiz daah 😂😂
Tweet media one
0
0
0