fighter
@relativedensity
Followers
22
Following
253
Media
8
Statuses
356
Mmetoka wote chuo , halafu unataka ukute kijana uliyekuwa naye chuo awe ana kila kitu kama nyumba,gari na kazi nzuri,mbona wewe huna?Kwani unataka kuolewa na baba yako ?Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu. Hao ambao
311
867
3K
Praying for humanity. π€²πΌ Praying for peace. π€²πΌπ΅πΈ Innocent people and especially innocent kids are losing their lives in the war - on both sides. It's so heartbreaking & sad. π₯π PLEASE STOP THE WAR!!! βββ
7K
77K
415K
β οΈ WARNING : "Code hii ni kwa wenye Wapenzi tu, Nasio kwa wapiga puchu" Korosho 250g+ Tende 250g + Asali Mbichi Vijiko 12 + Maziwa Fresh 1 litre. ππ¦π
117
303
2K
@OriginoZee17 Ukifanikiwa kupata simu yake Andika *#1214* then weka namba yako alafu #
4
6
16
Mafuta yanapandishwa Bei kiholela kutoka 2700 mpaka 3100, UMENYAMAZA. Bandari zetu zinapeanwa kwa Waarabu kwa mkataba wenye vipengele vya HOVYO kabisa, UMENYAMAZA. CAG anatangaza mabilioni ya fedha za watanzania maskini zinafujwa na kuibiwa na watawala wachache kila kukicha,
153
300
2K
Nay Wa Mitego Ft Dora Boy - Amkeni (Official Music Video Lyrics) https://t.co/20aYTRn2PZ via @YouTube
6
73
360
Naomba mnisaidie namna ya kumpata huyu mzee..share iweze kumfikia mtu anaemfahamu.
0
0
0
Tafadhali retweet ujumbe huu uwafikie wenye dhamana. Uzi π HALI YA USALAMA TEMEKE NI MBAYA! DC Jokate Mwegelo, (@jokateM) Salam. Nakuandikia kwa dhamana yako kama Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Temeke. Awali ya yote pole kwa majukumu ya kuwatumikia wananchi.
82
216
654
MIMI NI DADA YAKE TUNDU LISSU. "Tundu Lissu kwangu Mimi, na Mimi kwake yeye, ...Mimi ni dada tu Kwa Tundu Lissu, Kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake. Hakuna tension yotote kati yangu na Lissu. Kama unakumbuka Lissu alilazwa Nairobi, nilienda kumuona"- Rais Samia
18
71
371
MATAGA hawalijui hilo kazi yao kuunga mkono juhudi tu
CAG anasema alibaini wakala wa ndege za serikali (TGFA) ililipa Shs. 3.92bn gharama ya huduma za matengenezo makubwa ya ndege ambayo hata hivyo ndege hiyo ilikuwa haifanyi kazi, imetelekezwa tangu 2015. Yaani 'wafilisti wenu' walitenga fedha za umma kwenye matengenezo hewa (feki)
0
0
1
Umejibu kimkakati sana
@LugomboMaKaNTa POLYGAMY NI SWALA LA KIASILI, KIIMANI NA KIMAUMBILE PIA......!! ila USHOGA ni jambo OVU, BAYA, NA LA KUEPUKIKA sababu LIPO KINYUME KIASILI, KIIMANI, KIMAUMBILE kama ilivyo KUUA NAFSI ISIYO NA HATIA, KUDHULUMU, na MATENDO MAOVU MENGINE YALIYO KINYUME KIASILI, KIIMANI na MAUMBILE.
0
1
2
Daaaaπ€£π€£π€£
0
0
1
Peleka uchi wako mbele uko
@relativedensity @kigogo2014 Ulitaka nijiunge lini? Tatizo huyo changu @kigogo2014 anajifanya mjuaji nita mnyosha hapa najua atakimbia mi ndie kiboko yake
0
0
0