humble
@fact255
Followers
6K
Following
106K
Media
584
Statuses
39K
manifestation of national and transnational crimes
Joined May 2018
Uzuri na wewe ni kijana na upo karne hii unaweza fanya chako tukupe maua
Vijana wa zamani wa Tanzania walikuwa hatari sana, mtu ni major wa jeshi ana miaka 23/24 anajaribu kupindua nchi Jamaa wengine waliingia Airport na kuteka ndege ya abiria na kusafiri nayo hadi Uingereza mpaka Waziri Mkuu wa🇬🇧akaingilia kati😀 Sio hawa wasasa madancer Tiktok😀
1
0
4
@munyamambogo Ustaarabu ya Utu wanaita ni ushamba ila Uchokoraa na Ujinga wanasema ni Ujanja, tofauti ya Pwani na Kanda ya Ziwa waamini watu wa kanda ya Ziwa kwa ustaarabu wao ni wajinga ila wa Pwani kwa ujinga wao na kukosa utu wanaamini ndo ujanja
3
3
27
Uteuzi wa wapi? Nina furaha nilipo na I will speak my mind. Nimeanza kuweka mawazo yangu hadharani wakati ukiwa pr school na nitaendelea kuzungumza. If you don’t like it, it’s none of my business. Wewe ndiyo muongo. Ushahidi ni twiti yako ya Mzee Warioba. Ule ndiyo uongo
Kaka @ezekiel_kamwaga, kwa ulipofikia hata uteuzi hautakusaidia. Pole sana kwa kudanganya utamsaidia Abdul kumlinda mama yake ktk media. Najua, na unajua kuwa, hauko pepe yako. Ila umewaangusha sana. Na bado!
2
1
9
Kabisa
@skool_tz @nulphin @MariaSTsehai @HildaNewton21 @lifeofmshaba Hate to burst the bubble for you,mapinduzi ya kijeshi hayaombwi wala kutangazwa kabla.Yanatokea kun faya kun.
0
0
0
“Jitahidi ule kabla ya kikao cha deal, mtu mwenye njaa anaongeaga ujinga”
23
81
733
MAMA MKUBWA /MDOGO - Wanajua wewe ni mtoto wa Nani kuliko baba yako BABA MKUBA /MDOGO ~ Ndiyo wanajua idadi kamili ya watoto katika familia yenu na Mali za baba yenu kuliko hata mama yenu MASHANGAZI ~ Ndiyo wanajua historia ya mama yenu vizuri MJOMBA ~ ana mind biz zake
12
35
295
Kwa level aliyopo huyu dogo anunue tu account kubwa so simple watu watamfuata tu Muda sahihi wa kuwasiliana na venga
0
0
0
Taarifa umetoa wapi mkali au unataka kusound different tu😂😂
@EsirEid Kwa taarifa nlizonazo ni kwamba mafwele anahusika ... police wamesema watafungia account znazohamasishwa maandamano Tutakuwepo
1
0
2
0
0
0
Unapokuwa kijana maskini, unakuwa na pressure mbili: 1. Pressure ya kujikomboa. 2. Pressure ya kuikomboa familia. Na mara nyingi huna cha kujifunzia, huna mtaji, huna mentor.Unajifunza kwa kupigwa. Na si kila mtu huamka baada ya anguko.
3
60
194