Mstaafu
@TanzYetu
Followers
2K
Following
521
Media
241
Statuses
1K
#TheTruthTeller A leader of People | #SisiTutaongea | Pan-Africanist | Finally We Shall All Die
Mwanza, Tanzania
Joined May 2025
Kama Rais ni shimo la choo waache pia hao chamber wapate nafasi. We punguani unatafuta bikra wodi ya wazazi. Eti msafi. Nyoooo
(✍️ na mchambuzi wetu) TUFIKE MAHALI TUHESHIMU UWAZIRI MKUU Inafadhaisha sana kama taifa tunafikia kiwango cha watu kama 1. Innocent Bashungwa 2.Mwigulu Nchemba 4. Masanja Kadogosa 5. Abdallah Ulega 6. Dotto Biteko Wanawaza na kutamka kuwa wameahidiwa uwaziri mkuu! Yaani
0
0
1
Wanaenda nayo nyumbani?
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James amekabidhi Magari nane mapya kwa Jeshi la Polisi mkoani humo huku Gari jingine likitarajiwa kufika hivi karibuni ili kukamilisha idadi ya Magari tisa yatakayosaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya Jeshi hilo.
0
1
1
Absolute power corrupts absolutely! Samia makamu akikutana na Samia mtekaji lazima amteke.
0
0
0
Wacha tukumboe nchi kwanza. Ninyi sio wa muhimu kwa sasa! Tuna issue na waajiri sio walala hoi kama sisi. Tutawarudia kama mengineyo au tutawaacha kabisa maana njaa inaweza kumfanya mtu chochote.
Mara nyingi ukishakua mtoto unaepeleka riziki nyumbani Mama zetu wanatuoneaga aibu kutueleza ukweli tunapokosea wakihofia tutawakatia huduma, ndicho kilichotokea kwa Mama Polepole na Mama Heche watoto wao wanapeleka riziki kwa kazi haramu WAMESHINDWA kuwaambia.
0
0
1
Hii nchi imekuwa ya kisenge sana, am sorry but vinafanyika vitu vya kitoto Hadi inakera na havina msingi wowote.
58
185
2K
🚨‼️UFISADI WA SUKARI - MANGE AMETUSAIDIA KUUNGANISHA DOTS ‼️ 👉🏽 April 2024 @TunduALissu alieleza kuwa Abdul na mama yake wanahusika na ufisadi mkubwa wa uagizaji wa sukari na wanagawa leseni hadi kwa mashehe! Wapo hadi ndani ya Chadema waliosema eti Lissu ni mzushi
15
186
697
“Tunahitaji kweli Amani lakini tutambue kama tunaitafuta amani lazima iwepo HAKI. Kuitafuta na kuipata Amani pasipo HAKI ni uongo, HAKI lazima iwepo ili tujue asiyeipenda HAKI ni nani, huyo ndiye tutakayesema anasababisha fujo” Askofu Renatus Nkwande wa Jimbo Katoliki la Mwanza.
14
184
1K
Kama wanaweza wavunje mgongo na kiuno kabisa.
MSINIVUNJE MOYO MKURANGA, TUJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA- DKT. SAMIA "Serikali yenu ya Chama Cha Mapinduzi ni serikali ya watu, inayofanya kazi kwaajili ya watu ili kustawisha na kuheshimisha utu wa Mtanzania. "Sasa kazi tuliyoipanga kwa miaka mitano inayokuja ipo kwenye
0
0
0
Makaratasi mengi unamaliza miti tu. Nani ana muda wa kusoma hayo magazeti wa jamaa. Eti nendeni... masanduku tutakuwa nayo barabarani.
(✍️ na mchambuzi wetu) WATANZANIA NENDENI MKAPIGE KURA... LEO ni tarehe 20 Oktoba 2025 ,zikiwa zimebaki siku 8 tu Tanzania ifanye uchaguzi mkuu na kuchagua viongozi wake kwa ajili ya kuongoza taifa hili. Siyo nchi nyingi sana duniani zinapata bahati ya kuwa na vipindi vya
0
0
0
@TheRealEkiswaga Those hungry leopards,crocodiles and lions ,they will meet with a South American Black Jungle Panther.
2
2
22
Mwanetu kaja kivingine na kapiga pale pale , Niitiieni Mafwele na Mwezake Muliro wamsikie Mwanaume Halisi @mangekimambi @TanzYetu @MariaSTsehai @Sativa255
0
1
2
Alikifundisha nini? Acha kutia huruma subiri tunakuja
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli alikuwa kiongozi shupavu, mzalendo, mwenye maono ya kimkakati na ya kimapinduzi. Dkt. Samia ameyasema hayo
0
1
1