Real_Msumari Profile Banner
Martin Msumari Profile
Martin Msumari

@Real_Msumari

Followers
1K
Following
11K
Media
187
Statuses
2K

Alumni of Int'l College of Defence Studies, National Defense University Beijing China. Former BAMMATA SG. UN Peace Keeper 2014-15 Darfur. RMA Morogoro

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
1 year
Mapema leo Jijini Dar es Salaam, kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, nimepokea Tuzo ya The GoalKeepers Award inayotolewa na Taasisi ya Gates Foundation. Tuzo hii ni heshima kubwa kwetu Watanzania kwani mbali na sisi kufurahia matunda ya hatua kubwa tunazoendelea kupiga katika sekta ya
390
321
1K
@urtupdates
URT Updates
2 years
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (@TFSAgency) imetakiwa kuongeza uzalishaji na usambazaji wa mbegu za miche ya miti ili zifikie wananchi wengi zaidi na hatimaye kushiriki katika kuongoa misitu iliyotoweka. @AngellahKairuki @dossilayo @MNRT_Tanzania
0
2
2
@urtupdates
URT Updates
2 years
WAZIRI KAIRUKI AWASILI MOROGORO KWA ZIARA YA KIKAZI Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. @AngellahKairuki (Mb) leo Julai 8,2024 amewasili Mkoani Morogoro na kusaini kitabu cha wageni katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ambapo atafanya ziara ya kikazi katika ofisi za TAWA.
0
2
2
@urtupdates
URT Updates
2 years
TANZANIA, QATAR KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya @qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. #ALT @AngellahKairuki @WTTC
1
3
5
@rutaraka
Abertus Paschal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐•
2 years
๐Ÿ—žTanzania sets sights on tourism promotion https://t.co/othOj1970X | @dailynewstz @MNRT_Tanzania @AngellahKairuki @Abbastz2
1
4
16
@rutaraka
Abertus Paschal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐•
2 years
๐Ÿ“Bungeni, Dodoma Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda akiwa akiwa bungeni jijini Dodoma leo Mei 20, 2024. Jenerali Mkunda ni miongoni mwa wageni waliofika bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa mwaka wa Fedha
0
2
5
@urtupdates
URT Updates
2 years
Waziri Mkuu @KassimMajaliwa_ leo Mei 17, 2024 atafunga Mkutano wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), hafla hiyo inafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Johari Rotana Jijini Dar es salaam. @TZWaziriMkuu
0
1
1
@urtupdates
URT Updates
2 years
MAJALIWA: MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM). #ALT @TZWaziriMkuu @tzbranding
0
1
2
@rutaraka
Abertus Paschal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐•
2 years
๐Ÿ“Arusha ๐Ÿ”นWAZIRI KAIRUKI ATETA NA WAONGOZA WATALII JIJINI ARUSHA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. @AngellahKairuki (Mb.) amekutana na Waongoza Watalii kwa lengo la kusikiliza changamoto zao, maoni na ushauri katika kuboresha Sekta ya Utalii nchini; kikao kilichofanyika
2
9
26
@Hakingowi
Haki Ngowi
2 years
๐Ÿ“Buckingham Palace, Uingereza ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Mbelwa Kairuki amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Mfalme Charles katika Kasri la Buckingham Machi 21, 2024. Mara tu baada ya kuwasilisha Hati hizo, Mfalme Charles amemkaribisha Balozi Kairuki
55
35
317
@Hakingowi
Haki Ngowi
2 years
๐Ÿ”ดTEUZI Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amemteua Prof Aloys Mvuma kuwa mjumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliajo Tanzania -TCRA
6
9
134
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
2 years
Kwa viongozi tuliowaapisha leo na kuwapa dhamana adhimu ya kuwatumikia wananchi kwenye maeneo mbalimbali, na wote mnaoendelea na nafasi zenu katika utumishi wa umma, nendeni mkafanye kazi. Wananchi wanataka kazi na matokeo mazuri na si vinginevyo. Mimi ni Mama, sina kundi, wote
279
223
1K
@BawaAfrika
BAWA AFRICA
2 years
Minister @AngellahKairuki has also met and held talks with the Int'l Advertising Company of @ExpediaGroup as well as a company from Slovakia that sends tourists to the ๐ŸŒ for more than 85% from that country and has advertisements on their TV's and discussed how to cooperate.
0
1
4
@rutaraka
Abertus Paschal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐•
2 years
๐Ÿ“Arusha ๐ŸŸฉ FTI NI CHUO BORA DUNIANI - WAZIRI KAIRUKI Chuo cha Misitu Olmotonyi (FTI) ni chuo pekee kikubwa tangu kuanzishwa kwake mwaka 1937 na ni moja ya chuo bora kabisa kuwepo Afrika Mashariki, Afrika na Duniani, katika utoaji wa mafunzo ya misitu kwa nadharia na vitendo.
3
6
11
@Ndc_tz
National Defence College Tanzania
2 years
NDC - TZ delegation led by Brig Gen CJ Ndiege โ€“ Senior Directing Staff Army 1 also had a pleasure of visiting the Songwe Airport during Socio - Political, Economy and Industries Field Practical Training Tour on 08th Jan 2024.
0
12
69
@rutaraka
Abertus Paschal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐•
2 years
๐Ÿ“Seoul, Korea Kusini ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ท Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini, Mhe. @TogolaniMavura ameshiriki Warsha ya Uzinduzi wa Mpango kazi wa Utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje ya Korea (Indo Pacific Strategy) iliyofanyika jijini Seoul leo Desemba 19, 2023. Viongozi wa Wizara
0
4
11
@Real_Msumari
Martin Msumari
2 years
If its hot and humid where you are just come to #Kilimanjaro to cool off. Respect Gilmans Point 5685 above mean sea level #Tanzania
1
3
12
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. @AngellahKairuki, amezindua Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Wanyamapori 2023 - 2033 na Mpango wa Usimamizi wa Tembo Tanzania 2023 - 2033. Mkakati huo una lengo la kukabiliana na changamoto za uhifadhi wa wanyamapori.
0
2
4
@BawaAfrika
BAWA AFRICA
2 years
#Tanzania has many prides, but if you are not yet familiar with those prides, then I inform you that the pride of Southern Tanzania is unforgettable pride. Visit #SouthernTanzania and experience the pride for yourself. @WorldBank @WorldBankAfrica @SuluhuSamia @AngellahKairuki
0
2
7