PresidentSamia Profile Banner
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@PresidentSamia

Followers
85
Following
409
Media
150
Statuses
654

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŒฟโ˜€๏ธPresident Samia Fansโ˜€๏ธ๐ŸŒฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐ŸŸฉ๐ŸŸจ๐ŸŸฉ๐ŸŸจ๐ŸšงBuilding a Better Tanzania.๐Ÿšง ๐ŸŸจ๐ŸŸฉ

Makunduchi, Zanzibar
Joined August 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟFALSAFA YA AWAMU YA SITA๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Samiaโ€™s 4Rs โ€ขReconciliation โ€ขResilience โ€ขReforms โ€ขRebuilding @SuluhuSamia @ccm_tanzania
5
0
3
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Dear President @SuluhuSamia , Your steadfast leadership and unwavering commitment to Tanzania are truly inspiring. In the face of challenges, you've guided with grace, strength, and unity. Your efforts bring hope to many. Keep leading with courage. Tanzania stands with you.
0
1
2
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Merry Christmas and Happy 2024!@ccm_tanzania @ccm_zanzibar
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
President Samia Tanzania is a visionary leader who has captured the hearts and minds of her people and the world. She is a woman of dignity and strength,who has overcome many challenges and tribulations. She is the pride and joy of Tanzania, a nation of wonders and opportunities.
2
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Raisi Samia Mubashara Na Wakuu wa shule za sekondari nchini. #MamaYukoKazini #KaziIendelee @ccm_tanzania @ccm_zanzibar
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Pongezi kwa Raisi Samia kwa neema ya ajira 500 kwa Watanzania nchini Saudia, juhudi zake za kuifungua nchi zinazaa matunda. Pamoja na fursa ya ajira, ameimarisha uhusiano wetu wa kidiplomasia. Hii ni fursa ya kipekee itakayosaidia kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Mtanzania.
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Bilioni 4.7 za Raisi @SuluhuSamia Zilivyobadili Sekta ya Afya Kigoma. #KaziIendelee @rose_manumba
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Jitihada za Raisi Samia za kupunguza gharama serikalini zinaonyesha kujitolea kwake kwa ustawi wa umma. Kupunguza gharama kutafanikisha lengo lake la kuboresha maisha na kuleta faida za kiuchumi kwa jamii. Ahsante Mama! #MamaYukoKazini
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Raisi Samia ameahidi kwamba ifikapo katikati ya mwaka 2024, malalamiko kuhusu umeme yatapungua.Hii ni kutokana na uzinduzi wa vinu viwili kwenye bwawa la Julius Nyerere, hivyo kutoa uhakika wa umeme wa kutosha nchini. Pongezi kwa Raisi @SuluhuSamia kwa kusimamia mradi wa Nyerere!
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. @AngellahKairuki, amezindua Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Wanyamapori 2023 - 2033 na Mpango wa Usimamizi wa Tembo Tanzania 2023 - 2033. Mkakati huo una lengo la kukabiliana na changamoto za uhifadhi wa wanyamapori.
0
2
4
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
โ€œSerikali hii ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan haitamvumilia mtumishi yeyote ambaye atashindwa kusimamia miradi kwa uadilifu. Tutachukua hatua kwa watendaji watakaocheza na fedha za miradi โ€ฆ.โ€ - Naibu Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph, amekemea kufyekwa kwa mahindi shambani kwa Nestory Nzungu na Mzee Kameme. Amesema ni kinyume cha sheria za Manispaa, akitoa rai ya kusubiri mavuno kabla ya kuchukua hatua. Amewaonya watendaji kutoleta migogoro isiyo ya lazima.
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, akimwakilisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameongoza hafla Kigamboni ya kutoa vifaa kwa makundi mbalimbali (wazee, wanawake, vijana nk). Kaulimbiu "Kigamboni Salama na Mama Samia." #MamaYukoKazini #KaziIendelee @ccm_tanzania @ccm_zanzibar
0
2
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Leo, Disemba 17, 2023, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, ameanzisha ziara ya ukaguzi wa miradi ya Regrow/Utalii Kusini katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. #Mikumi @AngellahKairuki
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Mahusiano baina ya Tanzania na China ni ya manufaa kwa pande zote. Rais Samia, Balozi Xia Huang, na Waziri January wanaendelea kuimarisha msingi imara wa ushirikiano wa kihistoria. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ @ccm_tanzania @ccm_zanzibar #DiplomasiaYaSamia @JMakamba
0
2
2
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Vipingamizi vya Kisiasa: โ€œBaadhi ya wanasiasa wanatamani kukwamisha miradi hiiโ€ฆโ€ - Aeleza Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI #VipingamiziVyaKisiasa @ccm_tanzania @ccm_zanzibar
1
0
0
@mamayukokazini
Mama Yuko Kazini
2 years
๐Œ๐ˆ๐€๐Š๐€ ๐Ÿ“๐ŸŽ ๐๐„๐‚๐“๐€๐Ÿ“ Dar es Salaam Amesisitiza kuwa upimaji wa haki utawezesha kupata nguvu kazi sahihi katika ujenzi wa Taifa. #MamaYukoKazini
4
46
49
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
2 years
It is with deep sadness we have received the news of the passing of Sheikh Nawaf Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah, the Emir of the State of Kuwait. On behalf of all Tanzanians, I send my sincere condolences to the Royal Family, the government and the people of Kuwait.
219
204
1K
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Msimamo Wa Serikali - Ngorongoro @visitngorongoro #Ngorongoro
0
0
0
@PresidentSamia
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Raisi Samia ahudhuria sherehe ya harusi .... Mama safi! #TufurahiNaSamia @SuluhuSamia @ikulumawasliano
0
1
6