TEAM Samia ๐น๐ฟ
@PresidentSamia
Followers
85
Following
409
Media
150
Statuses
654
๐น๐ฟ๐ฟโ๏ธPresident Samia Fansโ๏ธ๐ฟ๐น๐ฟ ๐ฉ๐จ๐ฉ๐จ๐งBuilding a Better Tanzania.๐ง ๐จ๐ฉ
Makunduchi, Zanzibar
Joined August 2023
๐น๐ฟFALSAFA YA AWAMU YA SITA๐น๐ฟ Samiaโs 4Rs โขReconciliation โขResilience โขReforms โขRebuilding @SuluhuSamia @ccm_tanzania
5
0
3
Dear President @SuluhuSamia , Your steadfast leadership and unwavering commitment to Tanzania are truly inspiring. In the face of challenges, you've guided with grace, strength, and unity. Your efforts bring hope to many. Keep leading with courage. Tanzania stands with you.
0
1
2
President Samia Tanzania is a visionary leader who has captured the hearts and minds of her people and the world. She is a woman of dignity and strength,who has overcome many challenges and tribulations. She is the pride and joy of Tanzania, a nation of wonders and opportunities.
2
0
0
Raisi Samia Mubashara Na Wakuu wa shule za sekondari nchini. #MamaYukoKazini #KaziIendelee
@ccm_tanzania @ccm_zanzibar
0
0
0
Pongezi kwa Raisi Samia kwa neema ya ajira 500 kwa Watanzania nchini Saudia, juhudi zake za kuifungua nchi zinazaa matunda. Pamoja na fursa ya ajira, ameimarisha uhusiano wetu wa kidiplomasia. Hii ni fursa ya kipekee itakayosaidia kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Mtanzania.
0
0
0
0
0
0
Jitihada za Raisi Samia za kupunguza gharama serikalini zinaonyesha kujitolea kwake kwa ustawi wa umma. Kupunguza gharama kutafanikisha lengo lake la kuboresha maisha na kuleta faida za kiuchumi kwa jamii. Ahsante Mama! #MamaYukoKazini
0
0
0
Raisi Samia ameahidi kwamba ifikapo katikati ya mwaka 2024, malalamiko kuhusu umeme yatapungua.Hii ni kutokana na uzinduzi wa vinu viwili kwenye bwawa la Julius Nyerere, hivyo kutoa uhakika wa umeme wa kutosha nchini. Pongezi kwa Raisi @SuluhuSamia kwa kusimamia mradi wa Nyerere!
0
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. @AngellahKairuki, amezindua Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Wanyamapori 2023 - 2033 na Mpango wa Usimamizi wa Tembo Tanzania 2023 - 2033. Mkakati huo una lengo la kukabiliana na changamoto za uhifadhi wa wanyamapori.
0
2
4
โSerikali hii ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan haitamvumilia mtumishi yeyote ambaye atashindwa kusimamia miradi kwa uadilifu. Tutachukua hatua kwa watendaji watakaocheza na fedha za miradi โฆ.โ - Naibu Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI
0
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph, amekemea kufyekwa kwa mahindi shambani kwa Nestory Nzungu na Mzee Kameme. Amesema ni kinyume cha sheria za Manispaa, akitoa rai ya kusubiri mavuno kabla ya kuchukua hatua. Amewaonya watendaji kutoleta migogoro isiyo ya lazima.
0
0
0
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, akimwakilisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameongoza hafla Kigamboni ya kutoa vifaa kwa makundi mbalimbali (wazee, wanawake, vijana nk). Kaulimbiu "Kigamboni Salama na Mama Samia." #MamaYukoKazini #KaziIendelee @ccm_tanzania @ccm_zanzibar
0
2
0
Leo, Disemba 17, 2023, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, ameanzisha ziara ya ukaguzi wa miradi ya Regrow/Utalii Kusini katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. #Mikumi @AngellahKairuki
0
0
0
Mahusiano baina ya Tanzania na China ni ya manufaa kwa pande zote. Rais Samia, Balozi Xia Huang, na Waziri January wanaendelea kuimarisha msingi imara wa ushirikiano wa kihistoria. ๐น๐ฟ๐จ๐ณ @ccm_tanzania @ccm_zanzibar #DiplomasiaYaSamia @JMakamba
0
2
2
Vipingamizi vya Kisiasa: โBaadhi ya wanasiasa wanatamani kukwamisha miradi hiiโฆโ - Aeleza Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI #VipingamiziVyaKisiasa @ccm_tanzania @ccm_zanzibar
1
0
0
๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ Dar es Salaam Amesisitiza kuwa upimaji wa haki utawezesha kupata nguvu kazi sahihi katika ujenzi wa Taifa. #MamaYukoKazini
4
46
49
It is with deep sadness we have received the news of the passing of Sheikh Nawaf Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah, the Emir of the State of Kuwait. On behalf of all Tanzanians, I send my sincere condolences to the Royal Family, the government and the people of Kuwait.
219
204
1K
0
0
0
Raisi Samia ahudhuria sherehe ya harusi .... Mama safi! #TufurahiNaSamia @SuluhuSamia @ikulumawasliano
0
1
6