Tanzania Forest Services Agency
@TFSAgency
Followers
8K
Following
54
Media
377
Statuses
523
Established on 30th July, 2010 aims at improving the delivery of public services related to sustainable supply of quality forest and bee products and services
Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2017
Usikose kufuatilia hatua kubwa zinazotekelezwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika usimamizi endelevu wa rasilimali za misitu na nyuki, kama sehemu ya ajenda ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kujenga uchumi shirikishi wa kijani.
0
1
12
na kushuhudiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb), pamoja na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dkt. Hassan Abbasi.
0
0
0
Wizara ya Fedha na Mipango kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 23 Agosti 2023. Hafla ya leo Mei 5, 2025 imefanyika katika Msitu wa Hifadhi ya Mazingira Asilia wa Pugu–Kazimzumbwi, Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani,
0
0
0
milioni 338, unajumuisha magari mawili aina ya Toyota Land Cruiser Hardtop (5-seater) na pikipiki 20. Umetolewa kupitia mkataba wa utekelezaji wa Mradi wa Kuimarisha Ustahimilivu wa Bioanuai ya Misitu dhidi ya Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, uliotiwa saini kati ya UNDP na
0
0
0
Kamishna wa Uhifadhi wa TFS), Prof. Dos Santos Silayo, akisaini Mkataba wa Makubaliano ya kupokea msaada kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), pamoja na Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini, Shigeki Komatsubara. Msaada huo, wenye thamani ya zaidi ya Shilingi ...
3
1
5
𝐒𝐢𝐤𝐮𝐤𝐮𝐮 𝐲𝐚 𝐏𝐚𝐬𝐚𝐤𝐚 𝐌𝐚𝐠𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐢𝐦𝐞𝐰𝐚𝐤𝐚! Watalii kutoka ndani na nje ya nchi wamechagua Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Magamba kama sehemu yao ya kusherehekea, wakifurahia mandhari ya kijani, hewa safi na utulivu wa kipekee wa msitu. Karibu Magamba
0
2
4
Siku ya Dunia 2025 Katika dunia moja tunayoshirikiana, misitu ni urithi na jukumu letu sote. Tuchukue hatua kulinda na kuhifadhi misitu yetu—kwa maendeleo endelevu, afya ya sayari, na kizazi cha sasa na vijavyo. Dunia Moja, Misitu Yetu, Wajibu Wetu. #EarthDay2025
0
0
4
Karibu Pasaka hii, badilisha mandhari! Jivinjari kwenye misitu yenye utulivu, mandhari ya kuvutia na historia ya asili inayogusa moyo. Misitu Yetu, Utajiri Wetu Tembea, jifunze, pumzika na ufurahie uzuri wa TZ kupitia utalii wa misitu.
1
1
5
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ameanzisha kampeni ya kitaifa ya upandaji miti kwa kupanda mti wa Mkangazi Njombe leo Machi 21,2025. Wito kwa Watanzania wote: tuchangie kulinda misitu na kujenga Tanzania ya kijani! #SikuYaMisituDuniani #UpandajiMiti
0
0
5
Katibu Mkuu @MNRT_Tanzania Dkt. Hassan Abbasi akiwa ameambatana na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi @TFSAgency (TFS) Prof. @SilayoDos wametembelea na kukagua maonesho maalumu ya ambayo yanaonyesha mnyororo wa thamani wa Sekta ya Misitu ktk viwanja vya Saba Saba Mjini Njombe. Mgeni
0
1
2
Usikose! Ungana nasi kuadhimisha Siku ya Misitu Duniani 2025 kupitia kipindi cha Wake Up Call Machi 21, saa 02:00 ASB kupitia Upendo TV. Tafuta maarifa ya kina kuhusu umuhimu wa misitu, na usikie mtaalamu wetu na kutambua jinsi misitu ni rasilimali muhimu kwa mustakabali wetu!
0
3
7
Tanzania inatekeleza kauli mbiu ya Siku ya Misitu Duniani kwa vitendo! Kupitia teknolojia, upandaji miti, utalii ikolojia & ushirikiano wa jamii, tunaongeza thamani ya misitu kwa kizazi hiki & kijacho. #SikuYaMisituDuniani #MisituKwaUstawi 🌍
0
0
2
Miaka 4 ya Rais Samia: Kulinda Misitu, Nyuki na Kukuza Utalii kwa Maendeleo Endelevu! Katika uongozi wa Rais.Serikali imechukua hatua thabiti kulinda rasilimali hizi kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho, ikihakikisha ustawi wa mazingira na kukuza uchumi wa nchi. ASANTE MAMA🙏
0
0
1
KUELEKEA SIKU YA MISITU DUNIANI 2025 - Leo katika Baragumu - Channel 10, Selewin Regie, Mhifadhi Misitu wa TFS Temeke, ameangazia umuhimu wa kuongeza thamani ya mazao ya misitu kwa uendelevu wa rasilimali kwa kizazi hiki na kijacho. Fuatilia hapa:
0
0
1