Neymah-joh
@NeymahJoh
Followers
237
Following
6K
Media
304
Statuses
9K
African Girl🐰 Farmer 🐇 Open-minded🐭 Teacher🐀 Phlegmatic🌹 Introvert🍁 Libra🐨 Entrepreneur 🕊
Arusha, Tanzania
Joined January 2020
Kama hukupata malezi mazuri na upendo ulipokua mtoto lazima ubehave kama hayawani.
0
2
6
Litimu langu💚💛
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️| #CRDBFederationCupFinal Young Africans SC 2-0 Singida BS #TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
0
0
0
Baba ni msingi imara wa familia, ni mhimili shupavu katika uchumi na ni nguzo imara katika ukombozi. Niwatakie heri na baraka nyingi kina baba wapambanaji, msichoke. Daima jivunie kuwa mwanaume na baba #FathersDay
#June15
0
0
0
Kwenye hii miaka yenu 25, mi niko nanyi mwaka wa 15 huu. Boresheni huduma
0
0
0
Anger is useless. When you are angry at people, it doesn't mean those people stop having fun in their lives. Your anger kills you, not the people you are angry at.
3
18
111
Hey, Mungu wetu ni mponyaji. Bwana Yesu anaponya. Magonjwa mengi yasiyo ya kuambukiza huanzia nafsini kabla yawe wazi katika mwili. Kule kwenye nafsi weka dozi kubwa ya uwepo wa Mungu. Utembee ktk afya ya Mungu. Acha kuichosha nafsi kwa kuwaza kupitiliza na kuishi bila faragha ya
1
26
126
Piga goti mwambie/mlilie Mungu shida zako atakusikiliza. Maombi sio mpaka yapitie kwa wachungaji na manabii FAKE ndio yasikilizwe. Imani yako itakuokoa na upuuzi mwingi sana wa kuambiwa nunua mafuta, chumvi au maji ndio jambo lako litamfikia Mungu. Mungu hana dalali yeyote!!
7
38
202
KWENYE safari ya maisha usiruhusu kila mtu ajue kila hatua unayopiga. Jifunze kuwachanganya baadhi ya watu, hasa wale ambao hudhani wanakufahamu vizuri. Nenda mbele kama vile umesimama. Simama kama vile unarudi nyuma. Wajiulize umefikaje ulipofika. Watafikiri umefika ghafla
13
77
276
Ukikosa uwezo wa kujitathmini utaona kama kila mtu anakukosea wewe.
16
31
216
#NasahaZaAAH “Ukiwa unamenya karanga za Kipofu, hakikisha unapiga sana miruzi ili awe na amani kuwa hauli karanga zake, kwenye kila kazi ya watu utakayopewa basi jitahidi sana kuwa muumini wa kurejesha taarifa kila wakati”
12
64
270
“Unapofeli usiwazuie kukucheka, unapofaulu usilazimishe wakusifie, huhitaji kelele zao wala pongezi zao, unahitaji macho na masikio yao washuhudie namna unafanya vitu vitokee” Arafat Haji
0
0
0
#NasahaZaAAH “Unapofeli usiwazuie kukucheka, unapofaulu usilazimishe wakusifie, huhitaji kelele zao wala pongezi zao, unahitaji macho na masikio yao washuhudie namna unafanya vitu vitokee”
14
56
272
Jifunze kukaa kimya maana ukikaa kimya ni ngumu mtu kutambua kwamba wewe ni mjinga kiasi gani, au ni mwelevu kiasi gani.
0
3
21