jwise017 Profile Banner
NYANI MZEE Profile
NYANI MZEE

@jwise017

Followers
65K
Following
30K
Media
7K
Statuses
200K

Mkulima | Afisa Ubashiri | Babu | Katikati ya usiku nitaamka nikushukuru ๐Ÿ™๐Ÿฟ #VituVyaPeponi

Matombo
Joined November 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
@jwise017
NYANI MZEE
3 years
Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo unaolalamikiwa kwa kunyonya watu the best thing you can do ni KUKAA KIMYA. Hii ina apply mahala popote pale ulipo iwe maofisini na mahala pengine. Sio lazima kila jambo uliwekee maoni kinzani kwa sababu tu lina maslahi kwako. JIFUNZE!!!.
27
182
633
@jwise017
NYANI MZEE
50 minutes
RT @salhynaphy1: Allhamdulillah .It's my birthday ๐ŸŽˆ
Tweet media one
0
58
0
@jwise017
NYANI MZEE
51 minutes
RT @bajabiri: Adidas Polo T shirt 145,000/=. #JustFit
Tweet media one
0
6
0
@jwise017
NYANI MZEE
51 minutes
RT @Agnesskanje: 100k
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
3
0
@jwise017
NYANI MZEE
51 minutes
RT @MarekaMalili: Over 30s unatakiwa uwe na appetite ya hela kubwa, sio za mboga.
0
40
0
@jwise017
NYANI MZEE
53 minutes
Kwa hiyo bwana Kikekeoe kaja na โ€œgazetiโ€ ili apate โ€œsimpasiโ€ na kuthibitisha kama yeye ni โ€œmwana Moshiโ€? Dah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ. Atulie wajumbe wafanye kazi yao, kuwa mzawa/mkazi wa sehemu fulani na ukaenda kugombea kwingine sio tatizo wala nini. Hoja ni UNAKUBALIKA?.
0
1
7
@jwise017
NYANI MZEE
1 hour
RT @bajabiri: Leo kuna baridi kali sana ,na jua kali. hii .wind breaker ndo inaniokoa
Tweet media one
0
2
0
@jwise017
NYANI MZEE
2 hours
Hili ndio kombe pekee mlilinalo kwa miaka minne. Shabalala hajaenda Dubai mwaka huu mtutambie? ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ.
@SimbaSCFansPage
Simba SC Fan Page๐Ÿฆ
1 day
Tweet media one
1
0
4
@jwise017
NYANI MZEE
2 hours
RT @bwaya: Usiwajue sana watu kama si lazima. Hatupendi kukutanishwa na kurasa za maisha yetu tusizopenda kuzisoma kwa sauti.
0
19
0
@jwise017
NYANI MZEE
2 hours
RT @NajjatOmar: Hapa asimame na Baba chanja uongo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
0
5
0
@jwise017
NYANI MZEE
2 hours
RT @CarolNdosi: I am happy to share my Latest Consultancy as Lead Consultant - Implementation of Diversity and Inclusion activities in #Digโ€ฆ.
0
16
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @FatmahShokat: Nakubaliana na wewe Mwalimu, Wanasema kwamba vitumbua vya Dar vinaliwa mnooo na vinaungwa sana mpaka vinapoteza ladha.
0
3
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @McinikaWaLamar: @jwise017 Mwanaume anayeweza kudhibiti Zip yake kutofungua ovyo anakuwa ametatua nusu ya matatizo yake.
0
1
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @FamWorld2025: Mawasiliano.0629076937๐Ÿ“ž.whatsapp 0718893552.Delivery popote Dar es salaam.๐Ÿ“kigamboni
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
59
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @Eric__Bernard: Serikali yasaidia matibabu ya Moyo kwa Mamia ya Watanzania ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tweet media one
0
11
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @bajabiri: @jwise017 kasema vinawekwa artificial flavors kama strawberry, vanilla au chochote. Nime experience, vitumbua vya mikoaโ€ฆ.
0
1
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
WANAUME: Umalaya una gharama sana. Tunza pesa zako!!.
1
0
3
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @salim_alkhasas: Niambie Mbunge Bungala (Bwege) na Profesa kabudi nani anafaa?.
0
3
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @Eric__Bernard: Rozari Takatifu Leo Tunasali Matendo ya Uchungu. Kila Upatapo nafasi usiache kusali Rozari Takatifu tafadhali. ๐Ÿ™๐Ÿ™.
0
10
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @bwaya: @jwise017 @SwahiliBible Nyerere atakuwa anasikitika sana huko aliko ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
0
1
0
@jwise017
NYANI MZEE
3 hours
RT @bwaya: @jwise017 @SwahiliBible Naona umekuwa bepari. Unawachukulia watu kama fursa ๐Ÿคฃ.
0
1
0