Arafat Ally Haji Profile Banner
Arafat Ally Haji Profile
Arafat Ally Haji

@Arafat__AH

Followers
74,639
Following
1,593
Media
1,447
Statuses
65,343

Father||CEO @pbzbank || Vice President @YoungAfricansSC ||Board Member @wrrbtz || ACI FMA Certified||Views Expressed here are my own,RT~ Read This ||

Donge,Zanzibar
Joined September 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Proffesa Nabi.
Tweet media one
98
211
5K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Tweet media one
96
176
5K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
49😃
Tweet media one
65
187
4K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
✋🏻✋🏻✋🏻
Tweet media one
47
175
4K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
𝐓𝐇𝐀𝐍𝐊 𝐘𝐎𝐔 @Caamil8
Tweet media one
99
119
4K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Nchi iko Salama
Tweet media one
Tweet media two
90
195
4K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
9 months
Welldone Boys @YoungAfricansSC
Tweet media one
62
213
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
DJ weka Hakuna Kulala wa Juma Nature😀 @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
52
153
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Mzee Kuwakera😃 @Bm3gh
Tweet media one
147
102
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
3 years
Ka Bluu Tiki kila muda nakaangalia kama kapo😀😀😀
196
55
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
THIS IS YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB, AND THOSE WHO ARE THE HAPPIEST ARE WANANCHI.
59
236
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Lengo ni makundi, hatua moja tumevuka macho yote hatua inayofuata. Ahsanteni wananchi kwa kujitokeza tuendelee kuwa pamoja 💪🏽 @yangasc1935
Tweet media one
81
127
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Allah has given me another year to live, laugh, and love and that is the best thing I could receive. One Year Older!
Tweet media one
210
138
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Karibu Jangwani Joyce Lomalisa, karibu kweye klabu kubwa Afrika Mashariki, karibu tushinde Mataji pamoja.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
92
109
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
"𝑾𝒆 𝑨𝒓𝒆 𝑻𝒉𝒆 𝑹𝒆𝒄𝒐𝒓𝒅 𝑩𝒓𝒆𝒂𝒌𝒆𝒓𝒔" "𝑾𝒆 𝑨𝒓𝒆 𝑻𝒉𝒆 𝑯𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒚 𝑴𝒂𝒌𝒆𝒓𝒔" "𝑾𝒆 𝑨𝒓𝒆 𝑻𝒉𝒆 𝑳𝒆𝒂𝒈𝒖𝒆 𝑴𝒐𝒔𝒕 𝑪𝒉𝒂𝒎𝒑𝒊𝒐𝒏𝒔" 𝑫𝒂𝒊𝒎𝒂 𝑴𝒃𝒆𝒍𝒆, 𝑵𝒚𝒖𝒎𝒂 𝑴𝒘𝒊𝒌𝒐
Tweet media one
222
201
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Tanzania is Happy, Tanzania is proud!!! #daimambelenyumamwiko
Tweet media one
Tweet media two
48
115
3K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Singida kuna zao gani maarufu?
166
80
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
ALHAMDULILLAH. Tanzania imefurahi, Tanzania ina raha
Tweet media one
55
112
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Kazi imeanza rasmi, ukisimama nchale, ukiinuka nchale. Karibu @BlessingNkor , sisi ndio wananchi. Mchezaji wa Kimataifa wa Nigeria. @yangascprincess #KaziImeanza
Tweet media one
82
124
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
SISI NI WASHINDI, HONGERENI WANANCHI! Viongozi tulifanya kila kitu kuhakikisha tunachukua ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, Wachezaji wetu na benchi la ufundi wamefanya kila kitu uwanjani ili tuchukue ubingwa lakini bahati haikuwa upande wetu. Tumeshinda mechi ngumu ya…
Tweet media one
177
134
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
Takitafakari Objectif ya Bodi kushauriwa na Bodi.🤚🏼🤚🏼🤚🏽
Tweet media one
30
115
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Alhamdulillah…. Tanzania imefurahi, Tanzania ina raha, Nchi iko Salama. Safari inaendelea, #DaimaMbeleNyumaMwiko 🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
45
145
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Hersi na Arafat in 1955
Tweet media one
53
77
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Mashabiki wa Yanga ndani ya Tanzania mmemaliza kazi yenu, Dar Es Salaam kazi yetu imeisha sasa tunahamia Afrika ya Kusini. Mashabiki wa Afrika Kusini kazi kwenu kuipokea timu na kuipa ushindi kama Dar Es Salaam. . IT IS COMING HOME🏆
Tweet media one
42
135
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Ikitokea Kuna mtu anakwambia Mazembe wepesi waulize wao waliwahi kuwafunga hata mara moja? Wakizidi kujipasua mishipa ya koo waulize watatupangia yupi Josh au Momo? #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
149
88
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Ahsanteni Sana Wananchi, Tunaanzia hapa - Uzi👇🏽
Tweet media one
36
99
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
3 months
Miaka 40 nyuma taifa la China lilikuwa na uchumi wa kawaida sana uliotokana na sera mbovu za kiuchumi, walikuwa wamejitenga na soko la dunia, uchumi wao ulikuwa sawa na nchi nyingi kusini mwa Jangwa la Sahara na kila kitu kilikuwa kigumu mno kwao. China ilipofika miaka ya 1980…
Tweet media one
115
308
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
Ndugu Mwenyekiti @Caamil8 Msela hivi umakamu nao unafika huko?😀😀😀😀
Tweet media one
39
69
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
8 months
Bado hamjasema!
Tweet media one
58
94
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Appreciation tweet kwa huyu Mwamba , Milton Nienov.
Tweet media one
Tweet media two
28
125
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
8 months
BADO HAMJASEMA…
Tweet media one
46
114
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Yanga 1935🏆 Mimi, Eng. Hersi pamoja na Ghalib Said Mohamed sio sehemu ya historia ya kuanzishwa kwa Yanga, miaka hiyo, sisi wote hatukuwepo lakini tumeikuta hii klabu na tukaipenda. Mapenzi yetu kwa klabu hii yalitokana na kazi nzuri ya walokuwepo. Leo hii sisi tunapambana…
Tweet media one
Tweet media two
91
162
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
4 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
85
139
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
Are you Entertained Mwananchi?
209
176
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
UBINGWA WA 29. Hesabu hazidanganyi, mipango haidanganyi, namba hazidanganyi na alama ya uwekezaji wa hali na mali haifutiki. Hiki ni kilele cha mafanikio, sio kwa uongozi, sio kwa benchi la Ufundi, sio kwa wafanyakazi wa Yanga wala sio kwa wachezaji bali kuanzia shabiki hadi…
Tweet media one
56
155
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
24 days
ZANZIBAR NI NJEMA, ATAKAYE AJE
Tweet media one
17
66
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
10 months
Wenye Namba zetu…
Tweet media one
47
76
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Mafanikio huja kwa kuianza kazi na sio kusema nitafanya kesho. Wogu Chioma Success ni MWANANCHI, mchezaji wa kimataifa wa Nigeria, Karibu Tanzania, karibu @yangascprincess #KaziImeanza
Tweet media one
48
93
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Tumefurahi na wao wamefurahi, walikuja kutuunga mkono na hatujawangusha. Tumeonesha ukubwa, tumelipigania Taifa kwa nguvu na Jasho. . Kwa mashabiki wote wa Yanga, nawaomba muweke Logo ya Yanga kama “Profile picture” kwenye mitandao yote ya Kijamii. . #DaimaMbeleNyumaMwiko .
Tweet media one
37
136
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
3 months
Wahuni sio watu wazuri!
64
135
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
We thank you 'Jingles' @TheRealPitso for joining us to celebrate the iconic and monumental football event in Africa, it was an honor. Your 100% participation without any hesitation is well acknowledged with all of Wananchi. Son of Africa, you're always welcome in Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
29
102
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Tumekwishaaaa leo… ticha @KibwanaShomar15 kafunga😀😀😀
60
77
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Tunacheza nao lini tena?
131
68
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
10 months
Ukiweza kuprove huu Uongo wako nitaresign kama Makamo wa Rais wa @YoungAfricansSC ndugu @shaffihdauda1
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
10 months
CEO Andre Mtine ameondoka @YoungAfricansSC
Tweet media one
274
122
3K
339
147
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Kabla ya Jambo kubwa kesho majira ya Saa tano, nipo na mzee wa Byuti byuti @OtaiPeter sote tukisubiria hapa Uganda😀. @yangasc1935 #ByutiByuti
Tweet media one
Tweet media two
61
98
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
10 months
ASANTENI SANA WANANCHI kwa kuitikia na kuja kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi, tumeanza salama na tumemaliza salama, ALHAMDULILLAH!!! Wananchi hongereni sana, mmependezesha na kunogesha kilele cha Wiki ya Mwananchi, kwa hakika tukio letu limefana na kufanikiwa kwa 100%…
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
77
153
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Ahsanteni Wanayanga.
Tweet media one
36
106
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 month
JONAS GERARD MKUDE
44
82
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
Ukuta wa Yericko Nyerere✋🏻
83
104
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 month
Bwana Mdogo walimsifu ana mbio basi akakimbia mpaka akapitiliza kwao, lakini itamkubusha tunafanana tu ila hatupo sawa. EID MUBARAK ☪️
Tweet media one
34
103
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
3 years
Tanzania Premier League will be a league to Watch this Season for anyone who loves football accross Africa.
30
145
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Asanteni kwa kuendelea kuwapa furaha wananchi, hongereni kwa kujituma, benchi la ufundi na wachezaji kwa ujumla mnaupiga mwingi inavyostahili🤝🏽🔰 @yangasc1935
Tweet media one
30
83
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
10 months
وَلَسَوْفَ يُعْطِيكَ رَبُّكَ فَتَرْضَىٰ (93:5) Kheri ya Siku yako ya kuzaliwa @Caamil8
Tweet media one
24
76
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Points 6, magoli 4 katika michezo miwili migumu kwenye ratiba ngumu. Pongezi kwa benchi la ufundi na wachezaji. Pasi leo zilikuwa ngapi😅🔰 #DaimaMbeleNyumaMwiko @yangasc1935
Tweet media one
48
74
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Mchezaji wa 12 . Kuzomea ni kama kukaba, kama ambavyo wapambanaji wetu wakipoteza mpira wanautafuta basi sisi tuutafute kwa kuzomea ndio kukakaba kwetu. . Kushangilia kwetu ndio kushambulia, kwa hiyo nataraji leo mwanzo mwisho hampoi, ni kushangilia (Kushambulia) na kuzomea…
Tweet media one
Tweet media two
43
127
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
🔥🔥🔥
@YoungAfricansSC
Young Africans SC
6 months
#CAFCL 𝐇𝐎𝐌𝐄 𝐊𝐈𝐓 2023/24🔰 #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
Tweet media two
230
557
5K
18
68
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
Tweet media one
8
70
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
𝐖𝐇𝐘 𝐍𝐎𝐓 𝐔𝐒 || 𝐊𝐖𝐀 𝐍𝐈𝐍𝐈 𝐈𝐒𝐈𝐖𝐄 𝐒𝐈𝐒𝐈..! . Mlituamini Vijana, tukawaamini Vijana na kisha vijana kwa pamoja tunakwenda nchi ya Ahadi. Kuna muda tunaitwa Wahuni, kuna muda tunaitwa Masela lakini kwa pamoja tunatembea. . Sasa ni muda wa wewe na kila mmoja wa…
Tweet media one
47
86
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
3 years
A Rich guy can Transfer 1b through TISS (Tanzania Interbank Settlement System) and Pay only TZS 10,000+VAT....
27
154
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
9 months
🖐️
Tweet media one
22
89
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
Tweet media one
@scanda24
Biko Scanda
11 months
FOOTBALL ECONOMY || Sponsors . Wadhamini wanapokuja kufanya udhamini kupitia Brands zao kwenye vilabu na mchezo wa Soka wanafuata CONSUMERS (Wateja) kupitia Klabu ambayo inasimama kama PASSION CONNECTOR kati ya Mdhamini na Mashabiki. . Klabu inapokua na matukio (Events) yake ndio…
Tweet media one
93
5
274
43
47
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
9 months
WANANCHI poleni sana kwa matokeo ya jana na kwa kupoteza Ngao ya Jamii, kilichotokea ni sehemu ya mchezo wa mpira wa miguu. Msihuzunike wala kufadhaika, msikate tamaa wala kupoteza matumaini, safari ya msimu mpya ndio kwanza inaanza. Tuna kazi kubwa ya kutetea makombe mawili…
Tweet media one
107
121
2K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
El Professor Nabi, 44th.
Tweet media one
19
46
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Clement Mzinza… Mark the name
33
41
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐂𝐇𝐈 Nimshukuru Mungu wetu kwa kuiwezesha timu yetu kushinda mchezo wa pili ardhi ya nyumbani Leo hakika umekuwa usiku wa mafanikio makubwa.
Tweet media one
12
45
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
10 months
Appreciation Tweet to our Media Team from ⁦ @YoungAfricansEN @YoungafricansSC for hard working and making sure #Wananchi are getting the best. ⁦ @MpelumbeFrank
Tweet media one
Tweet media two
15
106
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Mheshimiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu, Mbali na zawadi ya kila goli Milioni 20 Tshs sasa tutapewa ndege ya serikali kwenda na kurudi Algeria. Ahsante Mama, ahadi ni kuitetea bendera ya Tanzania na kuleta Kombe Nyumbani. Itakua Heshima kukukabidhi kombe. #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
30
96
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Tweet media one
77
53
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Uwekezaji katika Soka hauna kikomo, Uongozi wa Yanga kwa Dhati ya Mabadiliko utaendelea kuwa mfano wa kuigwa hapa Tanzania. Kundi la Viongozi vijana ni kama Jeshi, hakuna kulala, ni mipango, ni utekelezaji na mapigano kwenda nchi ya Ahadi. Endeleeni kutuamini
51
103
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Sisi ni mabingwa mara 29 wa ligi kwa nchi ya Tanzania. Popote ulipo Mwananchi, Jipige kifuani na useme “Yanga ni kubwa” Haya ni matokeo ya Kazi kubwa ya viongozi, wachezaji, benchi la Ufundi na mashabiki. #DaimaMbeleNyumaMwiko
50
136
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
"Wananchi" leo tuna majukumu mawili, 1. Kushinda mechi 2. Kurejesha na kuilinda heshima ya Taifa. Hakuna sababu kwa Mwananchi yeyote kubakia nyumbani leo, kila Mwananchi ana wajibu kuhakikisha anafika Uwanjani leo kuwaunga mkono wapiganaji wetu. #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
54
103
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
8 months
Wananchi mmeburudikaaa!!
24
103
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
24 days
WANANCHI alama tatu muhimu dhidi ya Mtani, pongezi kubwa kwa benchi la Ufundi na Wachezaji, jiji limetulia hakuna kelele wala mvua, hali ya hewa shwari na ilikuwa siku maalum kushuhudia mechi ya Kariakoo. Inasalia mechi muhimu na nzito kwangu kuanzia nikiwa Shabiki jukwaani…
41
102
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Mashabiki wa Coastal wa Kukodi tukutane katika Ngao
65
45
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
WANANCHI DUNIA IMEONA WANANCHI asanteni kwa kupendezesha PARADE ya kusherekea ubingwa wetu wa 29 kwenye Ligi Kuu ya Tanzania. Kwa mara nyingine tena leo tumeithibitishia Afrika na dunia nzima ukubwa wa Yanga. Hii ndio maana ya klabu kongwe na Kubwa hapa nchini. Maandamano ya…
Tweet media one
19
90
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
7 months
All the best @DjiguiOfficiel
@CAF_Online
CAF
7 months
Your nominees for Goalkeeper of the Year (MEN) award are in! 🧤 #CAFAwards2023
Tweet media one
490
775
6K
9
78
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
WHY NOT US || KWA NINI ISIWE SISI..! . Tunakwenda kucheza fainali yetu ga Kwanza ya Michuano ha CAF, tunapeleka fainali ya Kwanza ndani ya uwanja wa Mkapa, tunawaleta wananchi pamoja katika Historia Muhimu. . Sasa nisikilizeni Wananchi, Njooeni Tukaujaze Uwanja wa Mkapa, Tuwe…
Tweet media one
38
88
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
𝐓𝐇𝐀𝐍𝐊 𝐘𝐎𝐔
Tweet media one
25
48
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Elders pia walikuwepo uwanjani… #TrebleChampions
Tweet media one
25
38
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Pili niwashukuru nyinyi Wananchi wenzangu siku nyingine tena mmeonyesha utofauti mkubwa na ukomavu katika kuwa nyuma ya timu yenu. Tuliwaita mkaitika kwenye 𝗙𝗨𝗟𝗟 𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗪𝗘, wachezaji wenu waliwaita kwenye 𝗙𝗨𝗟𝗟 𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗪𝗘 mkaitika,
Tweet media one
26
50
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Sis Wananchi tumekubali George Mpole ampite Meyele kwa Magoli na tunamuombea leo afunge hata Goli 2 tu….
74
54
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Zanzibar ni Njema…
46
31
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 months
Kuhusu nafasi ya Yanga kuvuka hatua ya robo fainali. Nafasi kwanza ipo kubwa kwa wote wawili kufika nusu fainali ila kwasasa inahitajika MIPANGO YA MUDA MFUPI ndani ya Mipango ya muda mrefu. Nyuma ya RS Berkane kutwaa shiirkisho, USMA kubeba Shirkisho kulikuwa na plans…
76
97
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
RECORD!!!!
67
43
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Tanzania Iko Salama! #DaimaMbeleNyumaMwiko 🔥🔥🔥
Tweet media one
14
51
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Whaaaaat a beautiful Goal… #LigiKuu
44
35
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
6 months
Hongera Rais @Caamil8 kwa kuchaguliwa kua Rais wa Kwanza wa Asasi ya Vilabu Barani Afrika (Africa Clubs Association). @CAF_Online
26
110
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Watu wanaongea mambo mengi sana, wanasema tupo hapa sababu tumekutana na timu dhaifu, wanasahau kuwa tungefungwa wangetuita sisi dhaifu. . Sasa hawana budi kukubali kuwa tupo hapa sababu tumewazidi ubora wote tulokutana nao na sio kwamba wao ni dhaifu. Timu dhaifu hazijashiriki…
Tweet media one
49
66
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
9 months
Mwamba @MpelumbeFrank fundi sana kunasa matukio adimu
@thisistemidayo
Temidayo
9 months
Mpiga picha wa hii picha ni @MpelumbeFrank tumfolo.
Tweet media one
Tweet media two
41
72
1K
20
64
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
11 months
Ni heshima iliyoje kupata mwaliko wa Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ikulu kwa ajili ya kutupongeza Wananchi kwa kuwa washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika. Tunakushukuru sana Mh. Rais kwa mwaliko wako na pongezi zako kwetu, tumepokea mwaliko huu na pongezi zako kama…
Tweet media one
25
75
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
9 months
Bado Yanga haina Mfungaji?
94
54
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
𝐖𝐇𝐘 𝐍𝐎𝐓 𝐔𝐒 || 𝐊𝐖𝐀 𝐍𝐈𝐍𝐈 𝐈𝐒𝐈𝐖𝐄 𝐒𝐈𝐒𝐈..! . Sisi ni “Dar Young Africans”, sisi ni Wananchi, wenyeji wa Dar Es Salaam na mkuu wetu wa Mkoa amemkabidhi Rais wa Klabu ya Wananchi Hamasa ya Tiketi 1000. . Natamani Dar Es Salaam iwe kijani na Njano Kuanzia Jumamosi,…
Tweet media one
14
57
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Ibrahim Bacca.
33
28
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Famous Ligi Kuu to the world @salimosaid
@GOALcomSA
GOAL South Africa
2 years
Fascinating scenes from the Young Africans Sports Club [Yanga SC] Parade in the streets of Dar Es Salaam after Winning Ligi Kuu, Tanzanian Premier League. 🇹🇿 📷 @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
212
1K
7K
10
70
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
2 years
Met my friend and our former coach @michocoach in Uganda earlier today. They are playing with us, Tanzania soon in CHAN qualification I hope we will defeat them😅. @aucho_khalid08
Tweet media one
Tweet media two
21
44
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Nimepita njia ya Bagamoyo, Msata, Chalinze, Morogoro, kwenda Singida kwenye mchezo wetu wa Azam Sports Federation Cup dhidi ya Singida Big Stars. Nilipofika Msata, nilisimama kwenye Tawi la Yanga la Msata na kuwasalimia wananchi. Nimefurahi sana kukutananao na kubadilishananao…
Tweet media one
Tweet media two
17
55
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
PROJECT YANGA 2022/23 . NGAO YA JAMII✅ NBC PREMIER LEAGUE ✅ Fainali ASFC🔰 Fainali CAFCC🔰 . Tumefanikiwa kufika mwisho wa kila shindano tuloshiriki msimu huu, tupo katika nafasi nzuri ya kushinda walau kila kitu msimu huu. . @mkazuzutza . #DaimaMbeleNyumaMwiko 🟢🟡
Tweet media one
23
78
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
8 months
Nimeongea na wanachama wanaotoka Kigali kwa simu asubuhi ya leo, wameingia Morogoro muda huu.
18
72
1K
@Arafat__AH
Arafat Ally Haji
1 year
Tumekua viongozi kwenye ubunifu wa jezi zetu tangu 2019, miaka mitano baadae tunawaletea jezi nyingine bora kwa ajili ya mashindano ya kimataifa, haziji pekee tuu, bali na udhamini mkubwa wa 1.5b kutoka kwa Haier rekodi zetu tunaziweka na kuzivunja wenyewe @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
35
83
1K