SISI NI WASHINDI, HONGERENI WANANCHI!
Viongozi tulifanya kila kitu kuhakikisha tunachukua ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, Wachezaji wetu na benchi la ufundi wamefanya kila kitu uwanjani ili tuchukue ubingwa lakini bahati haikuwa upande wetu.
Tumeshinda mechi ngumu ya…
Mashabiki wa Yanga ndani ya Tanzania mmemaliza kazi yenu, Dar Es Salaam kazi yetu imeisha sasa tunahamia Afrika ya Kusini. Mashabiki wa Afrika Kusini kazi kwenu kuipokea timu na kuipa ushindi kama Dar Es Salaam.
.
IT IS COMING HOME🏆
Ikitokea Kuna mtu anakwambia Mazembe wepesi waulize wao waliwahi kuwafunga hata mara moja?
Wakizidi kujipasua mishipa ya koo waulize watatupangia yupi Josh au Momo?
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Miaka 40 nyuma taifa la China lilikuwa na uchumi wa kawaida sana uliotokana na sera mbovu za kiuchumi, walikuwa wamejitenga na soko la dunia, uchumi wao ulikuwa sawa na nchi nyingi kusini mwa Jangwa la Sahara na kila kitu kilikuwa kigumu mno kwao.
China ilipofika miaka ya 1980…
Yanga 1935🏆
Mimi, Eng. Hersi pamoja na Ghalib Said Mohamed sio sehemu ya historia ya kuanzishwa kwa Yanga, miaka hiyo, sisi wote hatukuwepo lakini tumeikuta hii klabu na tukaipenda. Mapenzi yetu kwa klabu hii yalitokana na kazi nzuri ya walokuwepo.
Leo hii sisi tunapambana…
UBINGWA WA 29.
Hesabu hazidanganyi, mipango haidanganyi, namba hazidanganyi na alama ya uwekezaji wa hali na mali haifutiki.
Hiki ni kilele cha mafanikio, sio kwa uongozi, sio kwa benchi la Ufundi, sio kwa wafanyakazi wa Yanga wala sio kwa wachezaji bali kuanzia shabiki hadi…
Mafanikio huja kwa kuianza kazi na sio kusema nitafanya kesho. Wogu Chioma Success ni MWANANCHI, mchezaji wa kimataifa wa Nigeria, Karibu Tanzania, karibu
@yangascprincess
#KaziImeanza
Tumefurahi na wao wamefurahi, walikuja kutuunga mkono na hatujawangusha. Tumeonesha ukubwa, tumelipigania Taifa kwa nguvu na Jasho.
.
Kwa mashabiki wote wa Yanga, nawaomba muweke Logo ya Yanga kama “Profile picture” kwenye mitandao yote ya Kijamii.
.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
.
We thank you 'Jingles'
@TheRealPitso
for joining us to celebrate the iconic and monumental football event in Africa, it was an honor. Your 100% participation without any hesitation is well acknowledged with all of Wananchi. Son of Africa, you're always welcome in Tanzania.
ASANTENI SANA WANANCHI kwa kuitikia na kuja kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi, tumeanza salama na tumemaliza salama, ALHAMDULILLAH!!!
Wananchi hongereni sana, mmependezesha na kunogesha kilele cha Wiki ya Mwananchi, kwa hakika tukio letu limefana na kufanikiwa kwa 100%…
Asanteni kwa kuendelea kuwapa furaha wananchi, hongereni kwa kujituma, benchi la ufundi na wachezaji kwa ujumla mnaupiga mwingi inavyostahili🤝🏽🔰
@yangasc1935
Points 6, magoli 4 katika michezo miwili migumu kwenye ratiba ngumu. Pongezi kwa benchi la ufundi na wachezaji. Pasi leo zilikuwa ngapi😅🔰
#DaimaMbeleNyumaMwiko
@yangasc1935
Mchezaji wa 12
.
Kuzomea ni kama kukaba, kama ambavyo wapambanaji wetu wakipoteza mpira wanautafuta basi sisi tuutafute kwa kuzomea ndio kukakaba kwetu.
.
Kushangilia kwetu ndio kushambulia, kwa hiyo nataraji leo mwanzo mwisho hampoi, ni kushangilia (Kushambulia) na kuzomea…
𝐖𝐇𝐘 𝐍𝐎𝐓 𝐔𝐒 || 𝐊𝐖𝐀 𝐍𝐈𝐍𝐈 𝐈𝐒𝐈𝐖𝐄 𝐒𝐈𝐒𝐈..!
.
Mlituamini Vijana, tukawaamini Vijana na kisha vijana kwa pamoja tunakwenda nchi ya Ahadi. Kuna muda tunaitwa Wahuni, kuna muda tunaitwa Masela lakini kwa pamoja tunatembea.
.
Sasa ni muda wa wewe na kila mmoja wa…
FOOTBALL ECONOMY || Sponsors
.
Wadhamini wanapokuja kufanya udhamini kupitia Brands zao kwenye vilabu na mchezo wa Soka wanafuata CONSUMERS (Wateja) kupitia Klabu ambayo inasimama kama PASSION CONNECTOR kati ya Mdhamini na Mashabiki.
.
Klabu inapokua na matukio (Events) yake ndio…
WANANCHI poleni sana kwa matokeo ya jana na kwa kupoteza Ngao ya Jamii, kilichotokea ni sehemu ya mchezo wa mpira wa miguu.
Msihuzunike wala kufadhaika, msikate tamaa wala kupoteza matumaini, safari ya msimu mpya ndio kwanza inaanza. Tuna kazi kubwa ya kutetea makombe mawili…
𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐂𝐇𝐈
Nimshukuru Mungu wetu kwa kuiwezesha timu yetu kushinda mchezo wa pili ardhi ya nyumbani Leo hakika umekuwa usiku wa mafanikio makubwa.
Mheshimiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu, Mbali na zawadi ya kila goli Milioni 20 Tshs sasa tutapewa ndege ya serikali kwenda na kurudi Algeria.
Ahsante Mama, ahadi ni kuitetea bendera ya Tanzania na kuleta Kombe Nyumbani. Itakua Heshima kukukabidhi kombe.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Uwekezaji katika Soka hauna kikomo, Uongozi wa Yanga kwa Dhati ya Mabadiliko utaendelea kuwa mfano wa kuigwa hapa Tanzania.
Kundi la Viongozi vijana ni kama Jeshi, hakuna kulala, ni mipango, ni utekelezaji na mapigano kwenda nchi ya Ahadi.
Endeleeni kutuamini
Sisi ni mabingwa mara 29 wa ligi kwa nchi ya Tanzania.
Popote ulipo Mwananchi, Jipige kifuani na useme “Yanga ni kubwa”
Haya ni matokeo ya Kazi kubwa ya viongozi, wachezaji, benchi la Ufundi na mashabiki.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
"Wananchi" leo tuna majukumu mawili,
1. Kushinda mechi
2. Kurejesha na kuilinda heshima ya Taifa.
Hakuna sababu kwa Mwananchi yeyote kubakia nyumbani leo, kila Mwananchi ana wajibu kuhakikisha anafika Uwanjani leo kuwaunga mkono wapiganaji wetu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
WANANCHI alama tatu muhimu dhidi ya Mtani, pongezi kubwa kwa benchi la Ufundi na Wachezaji, jiji limetulia hakuna kelele wala mvua, hali ya hewa shwari na ilikuwa siku maalum kushuhudia mechi ya Kariakoo.
Inasalia mechi muhimu na nzito kwangu kuanzia nikiwa Shabiki jukwaani…
WANANCHI DUNIA IMEONA
WANANCHI asanteni kwa kupendezesha PARADE ya kusherekea ubingwa wetu wa 29 kwenye Ligi Kuu ya Tanzania.
Kwa mara nyingine tena leo tumeithibitishia Afrika na dunia nzima ukubwa wa Yanga. Hii ndio maana ya klabu kongwe na Kubwa hapa nchini.
Maandamano ya…
WHY NOT US || KWA NINI ISIWE SISI..!
.
Tunakwenda kucheza fainali yetu ga Kwanza ya Michuano ha CAF, tunapeleka fainali ya Kwanza ndani ya uwanja wa Mkapa, tunawaleta wananchi pamoja katika Historia Muhimu.
.
Sasa nisikilizeni Wananchi, Njooeni Tukaujaze Uwanja wa Mkapa, Tuwe…
Pili niwashukuru nyinyi Wananchi wenzangu siku nyingine tena mmeonyesha utofauti mkubwa na ukomavu katika kuwa nyuma ya timu yenu.
Tuliwaita mkaitika kwenye 𝗙𝗨𝗟𝗟 𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗪𝗘, wachezaji wenu waliwaita kwenye 𝗙𝗨𝗟𝗟 𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗪𝗘 mkaitika,
Kuhusu nafasi ya Yanga kuvuka hatua ya robo fainali.
Nafasi kwanza ipo kubwa kwa wote wawili kufika nusu fainali ila kwasasa inahitajika MIPANGO YA MUDA MFUPI ndani ya Mipango ya muda mrefu.
Nyuma ya RS Berkane kutwaa shiirkisho, USMA kubeba Shirkisho kulikuwa na plans…
Watu wanaongea mambo mengi sana, wanasema tupo hapa sababu tumekutana na timu dhaifu, wanasahau kuwa tungefungwa wangetuita sisi dhaifu.
.
Sasa hawana budi kukubali kuwa tupo hapa sababu tumewazidi ubora wote tulokutana nao na sio kwamba wao ni dhaifu. Timu dhaifu hazijashiriki…
Ni heshima iliyoje kupata mwaliko wa Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ikulu kwa ajili ya kutupongeza Wananchi kwa kuwa washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Tunakushukuru sana Mh. Rais kwa mwaliko wako na pongezi zako kwetu, tumepokea mwaliko huu na pongezi zako kama…
𝐖𝐇𝐘 𝐍𝐎𝐓 𝐔𝐒 || 𝐊𝐖𝐀 𝐍𝐈𝐍𝐈 𝐈𝐒𝐈𝐖𝐄 𝐒𝐈𝐒𝐈..!
.
Sisi ni “Dar Young Africans”, sisi ni Wananchi, wenyeji wa Dar Es Salaam na mkuu wetu wa Mkoa amemkabidhi Rais wa Klabu ya Wananchi Hamasa ya Tiketi 1000.
.
Natamani Dar Es Salaam iwe kijani na Njano Kuanzia Jumamosi,…
Fascinating scenes from the Young Africans Sports Club [Yanga SC] Parade in the streets of Dar Es Salaam after Winning Ligi Kuu, Tanzanian Premier League. 🇹🇿
📷
@yangasc1935
Met my friend and our former coach
@michocoach
in Uganda earlier today. They are playing with us, Tanzania soon in CHAN qualification I hope we will defeat them😅.
@aucho_khalid08
Nimepita njia ya Bagamoyo, Msata, Chalinze, Morogoro, kwenda Singida kwenye mchezo wetu wa Azam Sports Federation Cup dhidi ya Singida Big Stars.
Nilipofika Msata, nilisimama kwenye Tawi la Yanga la Msata na kuwasalimia wananchi. Nimefurahi sana kukutananao na kubadilishananao…
PROJECT YANGA 2022/23
.
NGAO YA JAMII✅
NBC PREMIER LEAGUE ✅
Fainali ASFC🔰
Fainali CAFCC🔰
.
Tumefanikiwa kufika mwisho wa kila shindano tuloshiriki msimu huu, tupo katika nafasi nzuri ya kushinda walau kila kitu msimu huu.
.
@mkazuzutza
.
#DaimaMbeleNyumaMwiko
🟢🟡
Tumekua viongozi kwenye ubunifu wa jezi zetu tangu 2019, miaka mitano baadae tunawaletea jezi nyingine bora kwa ajili ya mashindano ya kimataifa, haziji pekee tuu, bali na udhamini mkubwa wa 1.5b kutoka kwa Haier rekodi zetu tunaziweka na kuzivunja wenyewe
@yangasc1935