mwijaku Profile Banner
mwijaku Profile
mwijaku

@MwijakuBurton

Followers
51,262
Following
109
Media
1,998
Statuses
3,977

Radio pressenter Crown Media / African influencer on Social Economic Development .

Dar es salaaam
Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@MwijakuBurton
mwijaku
1 month
Ukiona unapiga kelele juu ya maendeleo haya ujue wewe ni . "Mbwa Mpumbavu" by @MwanaFA
Tweet media one
127
11
679
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Kwa Muda nilio kaa nae Eng . H . Saidy . Si dhani kama anaroho mbaya kiasi hicho anacho kisema FEYSAL. Hata kama tunataka FEM au tunataka POPULARITY . Sio sawa kumsingizia mtu ubaya kijana mnyenyekevu kama Hersi ,Huyu ni HAZINA kwa Taifa la Tanzania .
Tweet media one
891
188
4K
@MwijakuBurton
mwijaku
5 months
Nakuonya ..! Acha kumtukana Mh Raisi . Nitafanya lolote upotee Duniani kumbuka natoka KIGOMA nakuonya MANGE .
Tweet media one
647
124
4K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
I will miss u ..! Moyo wako ukiona una nafasi ya kunisamehe basi nisamehe na sitarudia kosa . Naumia ku pretend wakati am mot happy trust me . NAUMIA
Tweet media one
245
83
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
5 months
FeyToto amekubali kurudi YANGA . Maisha haya yanafunzo kubwa sana tena saaaaana 🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
135
57
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Kwenye Kupokea simu Tajiri , lazima muelewe huyu ni muwekezaji hawezi kupokea simu muda woote . Pia FEYSAL kakosa adabu GHALIB amekupigia simu hukupokea huoni na wewe huna adabu ? Mkubwa wako anapo kupigia simu ? Tuthamini hata kudogo ulicho fanyiwa na yanga japo mimi sio shabiki
Tweet media one
570
108
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 month
RPC why ? Why? Unajua tunajua kila kitu ..! Why ! KUA MZALENDO
Tweet media one
191
121
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Leo nimeamini HUYU mtu bado anahitajika kwenye SOKA letu . Utamu na mbashasha zinapungua . Please TFF msameheni huyu mtu .
Tweet media one
148
67
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Hawa wanakuja kuchuma kwetu faida wanapeleka kwao ..! Tujitafakari mnoo japo tunafurahia ila tuwaze kwa ndani zaidi mishahara mikubwa sana wanalipwa , kuliko hata shabalala na kapombe . Na hapa wanakwenda makwao kuwanufaisha daaah .
Tweet media one
1K
84
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
28 days
TAARIFA- usiku wa leo Maua Sama kapigwa na mume wake saaana . Ndoa sio utumwa .
Tweet media one
491
71
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Ifike hatua tuheshimu ubunifu wa watu ..! Umeniiga saana safari hii sikubali tukutane mahakamani . Kila ninacho kifanya unaniiga why ? BASATA iingilie kati hili .
Tweet media one
427
69
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Damu na dhulma walio kufanyia yanga kesho itawatafunaaa na watafungwaaaa kesho . Dhulma mbaya mnoooo
Tweet media one
346
102
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
TUZO HAZIJAMTENDEA HAKI FEI TOTO . TULIPASWA KUZINGATIA UZALENDO PIA . NA JITIHADA ZAKE
Tweet media one
721
70
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
4 months
Nimeamini milima haikutani ..!
Tweet media one
51
42
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Katika kosa YANGA watalifanya ni kuchanganya MAFUTA na MAJI . Mtoto amesha jipata na wamesha weka standard za ushindani wao . Acheni siasa kila zama na wafalme wake huyu amesha jenga standard na Ahmed Ally katika ushindani . NAWASHAURI msizidishe unga .
Tweet media one
213
73
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
HUYU NDIYE RAISI SASA SIO YULE WA HESHIMA ..! Tanzania kwanzaaa
Tweet media one
73
82
3K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Ney-WaMitego Nimesikiliza wimbo wako naomba nikwambie kwa sasa umetangaza vita rasmi na mimi . Nilisha sema atakaye mchokonoa au kumdhihaki Dr Samia ata deal na mimi .DIRECTLY #ATENGWE
Tweet media one
1K
112
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
17 days
Ukiamtoa Mungu na wazazi wangu wawili ..! Huyu ni binadamu anatakiwa kupigiwa magoti wakati woote . Asante kwa kunipa AJIRA YA KUDUMU silent Ocean TZ &USA
Tweet media one
151
54
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 month
Nikisema wazee mi HAZINA ya hili taifa muwe mnaelewa ..! Tunawahitaji saana hawa wazee .! Mzee wangu una zawadi zako kutoka kwangu na kwa mke wangu
Tweet media one
243
58
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Walinzi wa uwanja mmemzui FARASI NA KIGALI CHAKE ASIINGIE NACHO UWANJANI MFALME NA TUMEJUA MMETUMWA KUUUA UBUNIFU WETU . NAWAHAKIKISHIA WOOTE MTATUMBULIWA NA MH RAISI SAMIA . MNABAGUA SAAAANA
Tweet media one
65
51
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Huu ndio ujinga nisio utaka, Hakuna alie shindana na serikali akafanikiwa . So jifunze kuheshimu mamlaka . Ndugi zangu wakenya fateni njia sahihi za kuishauri serikali yenu . Huu ujinga utawatokea Puani .
Tweet media one
2K
73
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Kumbe tunakaa kila siku tunapanga mipango namna gani utaenda kimataifa ..! Mwenzangu kumbe unanizunguuka unaenda kuomba usainiwe kwa MWAMBINO .
Tweet media one
44
41
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
16 days
Je tuchambue Bongo Fleva au Siasa hapa ?
Tweet media one
117
43
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Happy birthday mke wangu kipenzi ..! Alice Da Qute
Tweet media one
201
41
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Yuna kikosi kiziri sana na cha ushindani kabisa hiki . Kazi ipo hapa sisi . This is simba
Tweet media one
421
42
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Mungu akulinde ..! Bora KIFO kinichukue mimi wewe uendelee kua TUNU kwa Tanzania na AFRICA . Unafanya kazi kubwa sana DR @SuluhuSamia
Tweet media one
819
68
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Naweka mke wangu kwa atakae Bishaa ..! Tuna kwenda kuwatoa WYDAD hapa na tuna fuzu . Trust me . Anae biaha aje hapa aseme anaweka nini ? MAPEMAAAAA
Tweet media one
338
71
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Nikiwa kama MSOMI tena wa chuo kikuu cha DSM , nimeupitia MKATABA wa BANDARI baina ya TZ na DP-WORLD , Niwahakikishie watanzania . MKATABA huu hauna mapungufu yoyote . Uwekezajii huu ni tunu kwa Taifa . Wanao ropoka wengi wao hata kusoma hawajasoma mkataba .
Tweet media one
1K
63
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
6 months
Kama wewe ni muajiriwa na unapokea kiasi cha Tsh 600,000/= hii ni sawa na $259.167 kwa mwezi baada ya makato ya serikali basi tambua hii ni sawa na kulipwa Tsh 20,000/= kwa siku ambayo ni sawa na $8.63863. Kama unapokea Tsh 1,000,000/= ambayo ni sawa na $ 431.977 hii ni sawa na
Tweet media one
441
279
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
6 months
Am so proud of you ..! Umeijenga yanga na umeonyesha matokeo ya UWEKEZAJI wako . Mungu akubariki Big Boss GSM
Tweet media one
29
36
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Nasemaga kila siku SHULE ni Muhimu saaana tena saana .Alafu utasikia Diamond ana management. Najiuliza inafanya lazi gani ? Zingatia anayo kampuni ya kubet huyu,Hapo nimeziba mimi
Tweet media one
269
47
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
MFALME ulifanya makosa saana kumshika mkono huyu mtu . Ulipaswa usimsaidie na kumleta kwenye BONGO FLEVA ungemuacha aimbe taarabu kama alivyo zoea hapa . PUMBAVU zake
Tweet media one
180
38
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Wali Qisas Hakkih ..! Kaka nilipizie kisasi kw hawa shwaini . Wafunge goli hata Tatu au mbili kaka . Nivae jersey Nivimbe nivimbike Halaaaaa
Tweet media one
190
35
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Wazee wangu chonde chonde nimeweka mke mwenzenu . Na mnajua nampenda mke wangu . MSINIANGUSHE . HALAAAAA
Tweet media one
217
48
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
11 months
Hapa ndipo mlitupiga bao ..! Mungu kwanza mengine baadae ..! Tuliamini MVUA . Asante sana Yangu . 🙏🏾
Tweet media one
59
62
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Bora muigeuze kua radio ya dini tuu muokote sadaka za kutosha ..! Mkifanya mchezo mtabakia wenyewe kwenye jengo . Nimetoa mchongo so chukueni hiyo . 🔞
Tweet media one
76
27
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Proud of you ..! Dua zangu na maelekezo yangu yamefanya kazi . Hongera Preaidaaaaaaa #Yanga
Tweet media one
63
32
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Asante SANDA kwa kutuheshimisha mnyama HALAA
Tweet media one
41
43
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
What a CameBack form Salaah ..! Vita ya NDUGU ( #GSM & #SILENT ) . Tayari Sallah ametenga B1.1 la kuvunjwa kwa mkataba wa yanga ,CHAMA arudi SIMBA . I like this GAME now .
Tweet media one
Tweet media two
121
37
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
DERULO kumbe alilipwa pesa ya collaboo na sio ya kupost . Mwambino anapambana muda huu juu ya kulipa ili apostiwe na Derulo
Tweet media one
124
30
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Leo nimekutana na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya @SimbaSCTanzania SALIM TRY-AGAIN na tumejadili maslahi ya wachezaji wa ndani . Amesema mawazo yangu ni muhimu sana . Kukuza mpira wetu .Asante Boss
Tweet media one
119
47
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Dubai ina utamu wake ..! Msiwalaumu watoto wa kike wanapo kubali kuolewa na wazee ili wawalete DUBAI tu .
Tweet media one
212
43
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
9 months
KAJALA na PAULA hamna ujanjaa postini tu wimbo mkali . Niliwahi kusema KONDE ni kama maji hakwepekiii kwenye hiii DUNIA . Mpelekeni mjini MKWE .
Tweet media one
28
40
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
8 months
Niaminini mimi tunakwenda kumfunga mkongoo 24/1/2024
Tweet media one
187
24
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 month
Je CHAMA atakubali kua Sub wa kucheza dakika 9 hadi 10 msimu woote ? Tayari anasema Hana FURAHA yanga. Je Akija kwa mkopo simba TUTAMPOKEA ?
Tweet media one
276
53
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Naongea kama mzazi ..! Mbali na mafanikio ulio yapata . Usiache shule . Maliza shule YAMAL
Tweet media one
320
26
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Karibu sana Maulid Baraka wa Kitenge 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
33
28
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
5 months
Kama wewe ni muajiriwa na unapokea kiasi cha Tsh 600,000/= hii ni sawa na $259.167 kwa mwezi baada ya makato ya serikali basi tambua hii ni sawa na kulipwa Tsh 20,000/= kwa siku ambayo ni sawa na $8.63863. Kama unapokea Tsh 1,000,000/= ambayo ni sawa na $ 431.977 hii ni sawa na
Tweet media one
271
118
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Sijategemeaa kabisa UJINGA wa hawa wazeee ..! Kitendo walicho kifanya ni kudhulumu furaha ya wana YANGA . Kwa hili mnapaswa kumuomba RADHI GSM na uongozi wake . Mme mfedhehesha RAISI .Mahakama imefata sheria but wazee wamekutupuka mnoo
Tweet media one
247
43
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
4 months
Siungi mkono TRY AGAIN kuachia madaraka na sita sapoti huu ujinga . Hana kosa huyu ni mtendaji na nusu . Hapaswi kushushiwa heshima namna hii . UTU KWANZA
Tweet media one
502
34
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Hivi viatu vina changamoto gani ? Dah kweli kua uyaone wallahi loh
Tweet media one
Tweet media two
193
32
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Kiukweli Harmonize ameonyesha kua anaugonjwa na Mainiii Mainiii . Namuonea huruma kajala kama kajala . Kazi na dawa
Tweet media one
Tweet media two
140
65
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Baada ya kuthibitisha kua MSUKUMA mehongwa V8 na DP - Nimeamua kuufuta ule upambe wangu na wasifu nilio mpa hadharani . Nimeufuta UPAMBE . Mpaka atoke au aonyeshe kadi
Tweet media one
83
45
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Ole wenu niwasikie mashabiki wenzangu wa Simba mnaanza kulalamika . Mpira ni biashara na ninl haki yake kufanya biashara yake . Nemda MWAMBA nenda uko mikono salama kwa GSM
Tweet media one
126
38
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Why why Bondia wetu wakienda nnchi za wenzetu hawashindi hata kama wataonyesha uwezo wao . But hapa mgeni anapewa kiulaini why.
Tweet media one
202
38
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Freedom achieved leaving a foot behind is better than captivity.
Tweet media one
213
53
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 month
Ni watu wanaaamini Tu porojo ndio zinaamua ila Yanga imeamua kubadirisha mpira wa nchi hiii pree season zote ,Yanga imecheza live ndio mpira ulivyo,uchezwe wazi Hili Jambo litasema muda ukifika uchawi haupo kama hakuna fitness na quality . Heko ENG H. SAID
180
96
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
22 days
EXPENSIVE-LIFE -This is NewYork City msijisahaulishe wapumbavu .
Tweet media one
229
26
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
10 days
Leo nimealikwa na dada yangu @mangekimambi kwenda kula wali na maharage . Huu ndio uzalendo nilio kua nautaka . Asante dada see you sooon .
Tweet media one
134
44
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Mshukuru Mungu safari hii hauja chora Tatooioo ..!
Tweet media one
63
27
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Happy new year 🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
24
22
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Chachu ya ushindi wa @yangasc1935 unaanzia kwenye ofisi hii isiyo kua na Vikwazo na ENG H.SAID anapokea ushauri kwa wazalendo wote . Hongera RAISII
Tweet media one
21
43
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Mwambieni huyu JUHA aelewe kua RR haishushwi viooo hivi PUMBAVU
Tweet media one
100
27
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
UMENIKWAZA SAANA HUFAI KUA MFANO KATIKA JAMII ..! WHY UMEKUBALI KUNG'ATUKA KWA KELELE ZA MITANDAONI . SIMBA INAKWENDA KUFA TUSAHAU KUHUSU UBINGWA NA KUMFUNGA MTANI. WEWE ULIKUA HAZINA YA SIMBA .
Tweet media one
395
42
2K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Hii sasa ndio CAF CHAMPIONS sasa sio zile za jana UMITASHUMTAAA .The game with speed and energy @SimbaSCTanzania
Tweet media one
33
30
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Huyu ndie shekhe Mansoor sio MWAMBINO kutwa kuchwa unavaa mashuka tuuu . Kama unatumia jina la shekhe mansoor fata utaratibu huu . Vaa ALAMNDROOOO 2023
Tweet media one
61
31
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Not everyone is proud of you. Some are just surprise how you keep making things happen. May God continue to surprise them. As i told you before FOCUS FOCUS
Tweet media one
Tweet media two
78
30
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Nimetoa siku mbili mumuombe msamaha mfalme . Kabla sijarudi kutokea EUROPE . Laasivyo tukutane KISUTU mahakamani kwa kumchafua MFALMEE .haki inamlinda mfalme . Sheria inambeba .
Tweet media one
Tweet media two
53
23
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
15 days
Tupendane ..! Na kama tunakoseana tusameheane . Tusiuane . Tusiwe na roho za Visasi vijana wenzangu . Taarifa za KIFO zinaumiza . Mungu atupe mwisho mwema .
183
103
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
8 months
Walipo kosea IvoryCoast ni kuto kumheshimu Drogba kumpa nafasi ya uraisi katika chama cha mpira wao . Leo dhambi inawatafuna
Tweet media one
72
30
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Kwa hiyo kwa sasa hivi rasmi MWAMBINO anamuita MMAKONDE shemeji ! Kweli malipo ni hapa hapa duaniani . Swali linakuja je kwenye HARUSI atatoa zawadi gani kwa sifa zake za kutoa zawadi kwenye maharusi hahaha
Tweet media one
33
24
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Tunaweza tukawa tuna cheka kimzaha .. ila FAYSAL anahitaji msaada mkubwa . AFYA YA AKILI
Tweet media one
125
44
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Go go go RICHAMAVOKO bora kula vya halali kwa jasho lako ,kulivo ulivo kua kwa MWAMBINO unakula vya Haramu . Endelea na kazi mkubwa hiyo ni rizki ya jasho am with you .
Tweet media one
53
18
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Wame nihakikishia kua CHAMA haendi kokote Yupo saaana tena saana . @SimbaSCTanzania
Tweet media one
87
18
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
4 months
Ningeshangaa mwanaume unapenda kulala lala kifuani kwa mwanamke na kazi hufanyi . Usingeweza kudumu kwenye ndoa . NINGESHANGAA
Tweet media one
62
31
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
9 months
I did it ..! As you told me before. Natamani ungekuwepo baba . Nimejenga GHOROFA
Tweet media one
32
27
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
8 months
Baada ya urithi alierithi juu amefanya ukarabati upande wake tu bila kumshirikisha mwenziwe, ndugu wa chini anasema yeye anataka kuvunja ya kwake ili ajenge upya😂 😃😃
Tweet media one
70
61
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
8 months
Maasai tuache na tulindwe ..! Tusiingiliwe kwenye tamaduni zetu tafadhalini saaana
Tweet media one
62
24
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
NITAWEKA WAPI SURA YANGU JAMANI MWAMBINO WIKI IJAYO HELKOPTA YAKE INAINGIA WIKI IJAYO JAMANI
Tweet media one
Tweet media two
59
36
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
15 days
#RIP - Baba yangu pumzika kwa amani .Kama kijana Nimeumia sana na hii tarifa ..! Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi AMEEN .!
Tweet media one
178
54
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
4 months
Wakati wako kaka chukua SIMBA nadhani umesikia MWAMEDI timu imemshinda anadai hadi misaada alio saidia . Please Salaaa chukua simba kaka tupate Raha
Tweet media one
121
34
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Tuna enjoy maisha ndani ya SGR na Mstaafu Raisi JK, Asante mama umeupiga sana Huna Deni
Tweet media one
Tweet media two
28
31
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
4 months
Lazima Simba tufanye maamuzi , Hii timu apewe SALAAH , leo tumeumia sana na hili PARED LAO . Lina kera sana . Ndugu zangu tumpeni timu SILENT OCEAN . Tena slogan yake na sisi vinaendana SIMBA WA BAHARI
Tweet media one
95
39
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Binafsi nimechukizwa na kauli za Tundulisu . Hata kama unataka kukosoa jambo weka RESPECT kwa Rais wengi wetu tunaimani nae na hope kubwa . Ila jifunze kukumbuka FADHILA .BINAFSI SITA KUSAMEHE DUNIANI HADI KIAMA
Tweet media one
668
45
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
6 months
Nipo tayari kukitumikia chama katika nafasi yoyote . CCM kwanza . Hakuna TZ bila CCM .
Tweet media one
133
27
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Kuna muda kwenye maisha lazima ajulikane chawa nani na msomi ni nani ..! Chawa kawa bodyguard
Tweet media one
28
24
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 months
Vipi huko mnahali gani ? Nasema niko mikononi salama kwa sasa . Huku @moodewji pale @tryagain
Tweet media one
32
30
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
10 months
BARAKA MPENJA mara ya mwisho kutangaza Game kubwa ni lini ? Kuna pahala hapapo sawa . Anyway let us wait tutajua wapi panavuja . I like him dogo .
Tweet media one
64
21
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Wakati wengine wamepoteza MVUTO na wanapambana na MALEZI . Mrembo zuchu ameonyesha ukubwa wa MVUTO . Proud of you ZUCHU . TUZO 5 .
Tweet media one
39
28
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Huyu mke wangu ataniua aisee narudi kutoka QATAR nakaa siku mbili tu , napokea simu kutoka bank (Personal Bank officer ) na ananambia Approved nimepokea 20M just for holiday seasons . Asante ALICE .
Tweet media one
73
14
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Mwambiene Mayele aweke shingo hivyo kwenye kombe lenu kama hajaamkia moi
Tweet media one
85
37
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA ..! Alie mroga ndugu zangu ku deal na wazee kiukweli amefanikiwa . From big brother Africa to KONDEGANG 🫣🫣🫣
Tweet media one
63
29
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Pumbavu ...! Tuliwaaamini saaana kumbe ushuzii tuu fyuuu
Tweet media one
60
22
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Kila alie wahi kukaa karibu ma MD #JosephKusaga Amefanikiwa . Rasmi namuona mbali mwambino . Ukaribu huu una faida sana kwa TZ .
Tweet media one
17
21
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Asante mama ..! Kijana mwenzetu atapata matibabu yoote kwa gharama zake mama 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
Tweet media two
215
22
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Umejifunza nini kutoka kwa BUGATTI ?
Tweet media one
146
21
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
3 months
Haya ndio mambo ninayo yataka kusukia ..! Katibu mkuu wa CCm bara unangoja nini ? Hivi ndivyo bitu vya kuigaaa jamani . Kwetu twendeni 10 kwa 10 .
Tweet media one
484
23
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
9 months
Natamani Hamisa angekuzalia mtoto wa kiume kisha nyote mngefunga vizazi ni mwendo wa kula bataaa tuuu ..! Hakuna namnaa tenaaa hadi raha
Tweet media one
72
23
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
RICH-ONE acha kumuharibia JUMA NATURE ..! Wewe ndie unae endesha account ya Juma nature ma pia umekua ukisimbua saana watu wanapo mtaka Nature.
Tweet media one
29
24
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
2 years
Nukimwambia my @mwigulunchemba1 kua serikali na wananchi wana imani kubwa na serikali ya awamu ya sita . Aendelee kututengenezea nnchi . Iko siku watanzania tutakuja kukuangukia miguuni tukisema asante . Wachache sana tunao kuelewa .
Tweet media one
Tweet media two
448
39
1K
@MwijakuBurton
mwijaku
1 year
Alafu siku naonyesha mafanikii yangu watajiyokeza watu watanambia mir MUHUJUNU uchumi au watahoji Pesa nimepata wapi ..! Ngoja mtasikia tu
Tweet media one
46
38
1K