Lazaro Nyalandu Profile Banner
Lazaro Nyalandu Profile
Lazaro Nyalandu

@LazaroNyalandu

Followers
581,329
Following
62
Media
917
Statuses
7,368

Former Minister for Natural Resources and Tourim, #Tanzania .

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu @TunduALissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU @ChademaTz kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa dhati na tutashirikiana kuhakikisha Chama Chetu kinashinda Oktoba 28, 2020. #NIEYE2020 #TunduLissu2020
628
699
8K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Breaking: Matokeo ya kura za maoni Singida Kaskazini. Kura ZILIZOPIGWA, 229. Kura HALALI 228. Kura ZILIZOHARIBIKA 1. David Jumbe amepata kura 31. (13.53%) Lazaro Nyalandu amepata kura 197 (86.02%). TUSONGE MBELE.
483
347
6K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Kama vipi, nawaomba Watanzania wote tuungane kumchagua Lissu Rais wetu ili tujenge Tanzania moja amazing. #NIYEYE
293
328
5K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nitashiriki kama Mgombea katika kinyang'anyiro cha kumpata mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Jimbo la Singida Kaskazini. Uchaguzi huo utafanyika leo, Jumatatu, Agosti 10, kijijini Ilongero. Asanteni sana kwa sala na dua zenu, na zaidi, kwa upendo wenu wa daima kwangu.
421
291
5K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tutakuwa Dodoma Jumamosi, Agosti 8 kumsindikiza Mgombea wetu wa Urais @TunduLissu kuchukua fomu. Tumsindikize!
Tweet media one
158
262
4K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
NIMEWASILI jijini Mwanza tayari kwa kuwaomba wana Kanda ya Ziwa na Kanda ya Serengeti wanidhamini katika safari yangu ya kugombea Urais kupitia tiketi ya CHADEMA. Asanteni sana kwa upendo wenu wa daima kwa nchi yetu. #Nyalandu2020 #WatanzaniaKwanza #MunguIbarikiTanzania
Tweet media one
183
196
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu tundualissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU chadematz kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa dhati na tutashirikiana kuhakikisha Chama Chetu kinashinda…
180
254
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
It's time for change! #TunduLissu2020 .
Tweet media one
81
217
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
7 years
TZ inahitaji KATIBA mpya. MIHIMILI ya UTAWALA iwekewe mipaka iliyo wazi, na kuwepo 'checks and balance' kwa SERIKALI, BUNGE, na MAHAKAMA.
474
635
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tumeyaona yaliyotokea. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu, na sauti hiyo inaponyamazishwa, kukaa kimya ni kumkubali mtesi wa amani yetu na mporaji wa matarajio ya Watanzania wote. @ChademaTz
127
266
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tunaendelea mbele. Sisi ni watu wa kawaida, lakini tunao uwezo wa kufanya vitu visivyo vya kawaida.
87
147
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
BWANA asipoulinda mji, wakeshao wafanya kazi bure! BREAKING-Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Singida Kaskazini ametupilia mbali PINGAMIZI lililowekwa dhidi yangu na Mgombea wa CCM, Ramadhani Ighondo. Twendeni kwa Ujasiri Mkubwa, tukashinde Singida Kaskazini na tukashinde Tanzania.
127
172
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tundu Lissu: Nimerudi nyumbani. Katika hali ya kawaida, sikustahili kuwa hapa. Sikupaswa kuishi.
50
125
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nawatakia #WAJUMBE wote wa #BarazaKuu na #MkutanoMkuu #CHADEMA safari njema wakielekea Mlimani City tayari kwa kuchagua Mgombea Urais kupitia Chama chetu. #Wajumbe wanajua cha kufanya #Wajumbe wa karne hii hawapokei kabisa maelekezo kutoka juu. Wanafuata utashi wao. #Nyalandu2020
210
159
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Hongera sana daughter @sarahnyalandu kwa kumaliza elimu ya msingi leo. Nakupenda sana!
Tweet media one
102
58
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nimewasili kijijini Kisisi, Singida kushiriki safari ya mwisho ya mdogo binamu yangu Emanuel, aliyetangulia yeye na watoto wake wawili kufuatia ajali mbaya ya gari. Mungu ndiye ajuaye sikitiko. Pumzikeni kwa amani. Until He comes. Amen.
Tweet media one
410
83
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nitazungumza na Wanahabari na nitakuwa LIVE ndani ya Global TV na Millard Ayo TV leo Jumapili June 14 saa 12 jioni. Karibu sana unisikilize!
115
151
3K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
MPOKEZI YA @TunduALissu Makao Makuu Chadema, Kinondoni, Dar es Salaam. Sifa, heshima, na utukufu viwe kwako, Ee Mungu wetu. Ulinzi wako ni wa amina na kweli. Asante kwa mapenzi yako ya daima. Amen! @ChademaTz
Tweet media one
55
107
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
7 years
NIMEAMUA kujiuzulu NAFASI yangu ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, pamoja na nafasi zote za...
576
462
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Usitende jambo lolote kwa lengo la kumkomesha mtu mwingine, kwa kuwa hasira huleta visasi, bali moyo mkunjufu huruhusu ubora wako upambane na watesi wako kwa utashi usio kifani, na ushindi wako hauzuiliki kama asubuhi ilishindavyo kesha la usiku.
52
259
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Moshi: Tumefika. Mahali hapa, ni pazuri kama nini! Uwepo wa Mungu umetuzunguka. Tunawaomba udhamini wa @TunduALissu wa @ChademaTz 2020. Asanteni sana. Tunawapenda sana!
Tweet media one
49
128
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
5 years
Sikuletwa CHADEMA na MAFURIKO. Naamini katika kushiriki kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania kupitia upinzani. Tusikate tamaa. Kesho ni nzuri kuliko jana. #MunguIbarikiTanzania #MunguIbarikiChadema
Tweet media one
223
182
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
3 years
Nawasihi watanzania wote, bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, tuungane kumwombea Rais wetu, Mh.John Pombe Magufuli apone haraka kufuatia taarifa za kuugua kwake. Aidha, nashauri hatua za dharura zichukuliwe kuimarisha upya miundombinu ya huduma za afya kwa wananchi wote nchini
403
114
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nakuomba uungane nami kunisindikiza kuchukua FOMU ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema siku ya Jumatano, Julai 8, saa 4.00 asubuhi, Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni, jijini Dar es Salaam. @chadematz @bavicha_taifa #Nyalandu2020 #M4C #WatanzaniaKwanza
Tweet media one
94
163
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Safarini usiku huu kuelekea #Mwanza ambako nitazindua #Nyalandu2020 Presidential Campaign Digital Platform kesho saa 11 jioni #Live on #Facebook . Thank you @AirTanzania staffs for your incredible hospitality. Nawasbukuru @ChademaTz Kanda ya Ziwa, na @BavichaM #WatanzaniaKwanza
Tweet media one
125
121
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nimeungana na Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa @freemanmbowetz kumpokea na kuwa na Mgombea wetu wa Urais @TunduALissu Mkoa wa Manyara leo, (Katesh na Babati) na kesho tutakuwa Arusha na Kilimanjaro. #TunduLissu2020
Tweet media one
47
126
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Was great hosting @TunduALissu for a great @ChademaTz rally in Singida today! What a beautiful day, thank you
29
160
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
5 years
Bonge la mechi ilikuwa inasubiriwa kati ya timu A na B baadae mwezi huu hadi hapo refari alipotangaza kuwa wachezi wa timu B hawakidhi viwango na hivyo kuwaengua wasicheze mechi uwanjani, na kuwatangazia mashabiki wote kuwa timu A wameshinda bila kupingwa na watakabidhiwa kombe.
157
146
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Ukiwa na hasira, usifanye kile ambacho unasukumwa kukifanya, au kukisema. Vita subra!, kwa kuwa katika subira moyo wa mwanadamu hupata wepesi na kuamua yaliyo sahihi kunena na kutenda.
67
270
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
#WatanzaniaKwanza . #Nyalandu2020 . Asante kwa kuungana nami katika kufufua upya matamanio na matarajio ya #Watanzania . Katika uongozi wangu, tutayaweka maslahi ya #WatanzaniaKwanza .
Tweet media one
135
206
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Ikungi Tundu Lissu #homecoming today. #MunguIbarikiTanzania
Tweet media one
32
92
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tuko ofisi za Kanda, Dodoma kumsikiliza Mh @TunduALissu akiongea na wananchi baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais leo
Tweet media one
41
95
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Inakuwaje Wagombea 100% wanaoenguliwa ni kutoka vyama vya upinzani na sio @ccm_tanzania ? Tanzania ya Nyerere imekwenda wapi? Utu, udugu, umoja wa Taifa vimekwenda wapi? Nani atakayeyaponya majeraha ya ndani za nyoyo za mamilioni ya Watanzania wanaolilia haki yao kupokonywa?
125
193
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Narejesha Fomu! #Nyalandu2020
Tweet media one
56
86
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
ZAWADI gani mimi nitamtolea MUNGU wangu, kwa kuwa amenibariki na kunipenda upeo. Katika majira kama haya, niseme nini tena? KWAKUWA, mapenzi yake hayapimiki, ispokuwa kule ng'ambo yaliko. Naomba KIBALI chake tena, ulinzi wake tena, fadhili zake tena, naam! Naomba HEKIMA yake tena
84
136
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, and Kikwete's Tanzania vs. Magufuli 's Tanzania. Country's democratic credentials meltdown. God have mercy!
46
165
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tunamuunga mkono Mgombea wa @ACTwazalendo Udiwani kata ya Msisi #SingidaKaskazini , Bw Bashir Swalehe. Tutashinda pamoja! @zittokabwe @jjmnyika @ChademaTz
Tweet media one
26
158
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nicholas Gui, Katibu Mwenezi Chadema Kata ya Mwintiri ameuawa kwa ukali wa mapanga na watu ambao bado hawajajulikana. Tuna masikitiko sana. Natoa pole kwa familia, na wana @ChademaTz Jimbo la Singida Magharibi. Tunaomba mamlaka @tanpol kuwatia nguvuni wote waliohusika.
83
184
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Hadi kufikia leo hii, Kanda ya Kati (Mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida) yenye majimbo 29, WAGOMBEA wa CHADEMA kutoka majimbo 11 walikuwa wameenguliwa. Huu sio uchaguzi huru wala wa haki. Tumekata RUFAA TUME ya Taifa ya Uchaguzi. Hatutakubali KUONEWA. #SASABASI ! TENDENI haki!
102
201
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Kuelekea uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020, nawasihi sana wote wenye mamlaka, waone fahari kutenda haki kwa wote. #MunguIbarikiTanzania
55
126
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
3 years
Nimewasili Chato na kutoa heshima zangu za mwisho kwa Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli. Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe. Apumzike kwa amani. Amina.
145
79
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nimempokea Mh @TunduALissu Jimboni Singida Kaskazini sasa hivi. Mh Lissu atashuhudia matokeo ya Ubunge Singida Kaskazini, mchuano baina yangu na David Jumbe kumpata Mgombea wa Chama chetu 2020 #SingidaKadkazini
Tweet media one
58
100
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tweet media one
97
132
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
5 years
Tanzania bila CCM inawezakana. #VivaChademaViva
225
173
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Beautiful day at Singida attending @TunduALissu Asante sana kaka Bananga na team yenu yote. God bless!
Tweet media one
11
121
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
NIMEKABIDHIWA fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini na Msimamizi wa Uchaguzi, Bw. Rashid Mohammed Mandoa kijijini Ilongero leo asubuhi. AIDHA, Wagombea Udiwani wote 21 wa @ChademaTz Singida Kaskazini wamechukua fomu zao kwa Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Kata zao.
71
108
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
What a great guy this is! #wanamwitasugu @IamJongwe__ I give him my full endorsement for Member of Parliament for Mbeya Urban constituency #RaisWaMbeya @ChademaTz
Tweet media one
24
126
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tweet media one
39
80
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
With my friend @TunduALissu . A living miracle! God bless.
Tweet media one
70
87
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tutulinda uhuru wa kuabudu na uhuru wa imani. Tutaweka ukomo wa daima na kutokuruhusu kutoza kodi taasisi za dini na za kiraia katika uendeshaji wa shughuli zao za kiimani, kijamii, na kimaendeleo ili waendelee kuwa nguzo imara katika jamii na wadau wa maendeleo #WatanzaniaKwanza
Tweet media one
61
114
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
FAKE FAKE FAKE!!! Haya sio maneno hiyo ni account FAKE! Imeandikwa, Usimshuhudie jirani yako uongo. @ChademaTz @freemanmbowetz @TunduALissu @bavicha_taifa @BawachaTaifa @ChademaDiaspora
Tweet media one
193
184
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nimewasili Shelui kushiriki Mkutano wa kumnadi Mgombea wa @ChademaTz Mh Jessica Kishoa. Mungu amjalie ushindi! @jjmnyika @freemanmbowetz @TunduALissu
18
130
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
BAADA ya kuteuliwa na Msimamizi wa Uchaguzi kugombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini, leo nimewekewa PINGAMIZI na Mgombea wa CCM, Bw. Ramadhani Ighondo. Kesho, Agosti 27, saa 1.30 asbh nitawasilisha MAELEZO kujibu PINGAMIZI hilo kwa Msimamizi wa Uchaguzi kwa mujibu wa Sheria.
50
102
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
I offer my total endorsement to my friend @MsigwaPeter for Member of Parliament, Iringa Urban Constituency. Peter is an incredible and visionary leader from @ChademaTz watu wa Iringa wana bahati kumpata. #mwelekeosahihi #Msigwa2020 Mpeni kura zote za ndio!
Tweet media one
15
143
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
7 years
Tuendelee kumwombea Mh. Tundu Lissu katika kipindi hiki kigumu anachopitia. MUNGU amlinde, akamponye na kumfanyia wepesi katika uhitaji wake
195
170
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tunaelekea gereza la Segerea kumchukua Mwenyekiti Mbowe iliaungane na familia yake na arudi ofisini kuendelea kuongoza CHADEMA. #NoHateNoFear Asanteni sana watanzania wote.
44
91
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
I AM incredibly shocked and saddened by the news out of Dodoma this morning that Chairman @freemanmbowetz was brutally attached and injured last night. Praying for his quick and speedy recovery. WE strongly condemn this attack and argue for those responsible to brought to justice
37
166
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Uchaguzi huu wa Oktoba 28 unatuhusu Watanzania wote. Kila mtu asimame na ahesabiwe.
19
135
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tukiweka mabango ya wagombea wote wa @ChademaTz katika Jimbo la Singida Kaskazini, wagombea na viongozi wa @ccm_tanzania Wilaya wanatuma watu kuyachanachana yote. Wanashusha, kuchana na kuiba bendera zetu kila siku. Tunaitaka @TumeUchaguziTZ kutoa onyo la mwisho kwa waoga hawa
80
167
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Kipaumbele cha kwanza kati ya vyote ni #WatanzaniaKwanza . Kila #Mtanzania afurahie maisha yake ndani ya nchi aliyompa Mungu wake. #Hofu miongoni mwa watu isiwepo tena. #Mifarakano isiwepo tena. #Husuda zisiwepo tena. #Kuoneana kusiwepo tena. #Visasi visiwepo tena. #Nyalandu2020
103
174
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
ASANTENI sana Mbeya kwa mapenzi makubwa kwa chama chetu na kwa kunidhamini. Ilikuwa furaha sana kufanya mazungumzo na Mkt wa @ChademaTz Wilaya ya Mbeya, John Mwambigija a.k.a Mzee wa Ipako. #Nyalandu2020 #WatanzaniaKwanza
Tweet media one
29
84
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
SURELY, Joy Comes In The Morning! #Nyalandu2020 #ChademaVema
56
75
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Hongereni sana wajumbe wote wa Baraza Kuu Chadema @ChademaTz kwa heshima mliyotupa. Naahidi kuendelea kushiriki ujenzi wa Chama chetu kama familia moja katika nchi yetu pendwa #Tanzania
Tweet media one
45
103
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Alert: Gari yeny usajili wa @Tigo_GT #T562 DRS lilipakiwa ndani ya entrance gate ya nyumbani kwangu na wahusika wakaliacha na kuondoka mapema asbh ya leo. @tanpol kupitia OCD wa Arusha wanakuja kuchunguza mkasa huu na majirani wamejitolea kutoa ulinzi wakati tunajua kilichojiri
Tweet media one
213
113
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
5 years
Hujuma kubwa unayoweza kujifanyia katika nafsi yako ni kujiruhusu kukata tamaa. KOMAA! Kesho yako ni nzuri kuliko leo.
87
164
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
With Alicia and Tundu Lissu # #DodomaRally
Tweet media one
33
90
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Asanteni sana wana CHADEMA KANDA ya Kati kwa ushindi wa kishindo mlionipa. Ushindi huo ni ushindi wa Chama Chetu. Tuwe wamoja, tushikamane, na tujenge Chama chetu na nchi yetu. #MunguIbarikiTanzania #MunguIbarikiChadema
Tweet media one
118
79
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tunaendelea na mikutano ya hadhara kampeni za @ChademaTz Singida Kaskazini. Nimefika kijijini Mangida, na baadae Ighanoda na Mtinko.Tutashinda!
28
82
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tumefurahi sana kumsindikiza Tundu Lissu Wilayani Ikungi kwa #HomeComing leo. #MunguIbarikiTanzania
Tweet media one
19
84
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Asanteni sana Kinyeto! I love you. #Nyalandu2020
Tweet media one
24
109
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nimewasili mjini Dodoma tayari kwa kushiriki Mkutano wa kampeni za Mgombea wetu Urais @ChademaTz Mh @TunduALissu akizindua #KandaYaKati . #NiYeye2020 ambapo pia tunatarajia uwepo wa Mwenyekiti wa Taifa Mh @freemanmbowetz na Viongozi wengine. Karibuni sana Kanda ya Kati
31
101
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
NYALANDU2020 #SINGIDAKASKAZINI #M4C . Wana Singida Kaskazini na Watanzania wote, twendeni tushinde pamoja Oktoba 2020. Asanteni sana. Nimeteuliwa na Tume kupeperusha bendera ya @ChademaTz Jimboni.
Tweet media one
51
108
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Najiandaa kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia tiketi ya #CHADEMA wakati wowote wiki ijayo. Ungana nami katika kuamua mstakabadhi wa nchi yetu na mbele yetu kama Taifa. #Nyalandu2020 #WatanzaniaKwanza
110
99
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
7 years
NAWASHUKURU Watanzania WOTE walioniletea salaam kuunga mkono uamzi wangu wa kujiondoa CCM. Turuhusu ushindani na demkrasia ya kweli Tanzania
Tweet media one
228
185
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
7 years
What a beautiful moment with my awesome brother @tundulissu in NBO today. Mungu akujalie na kukuponya, ukaione siku iliyo njema #letlovelead
Tweet media one
150
174
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nakishukuru Chama changu @ChademaTz kwa kuniteua kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la #SingidaKaskazini 2020. Nawashukuru wanachama wetu kwa kunipendekeza kwa Kamati Kuu kupitia ushindi walionipa kupitia kura za maoni. #TusongeMbele
56
91
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
2 years
Love you Mama
Tweet media one
25
19
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
ASANTENI SANA Mh. Mchungaji @MsigwaPeter na Mh. Sugu @IamJongwe__ kwa wakati mzuri pamoja hapa mjini Iringa. KAZI yenu ni njema!
Tweet media one
18
58
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
PUMZIKA kwa amani Baba Askofu William Mnyawi.Tutakuja kijijini Sagara, Singida Vijijini kukusindikiza katika safari yako ya mwisho siku ya Alhamisi wiki hii. Umevipiga vita vizuri, IMANI umeilinda, mwendo umeumaliza. BWANA MUNGU wako azikumbuke kazi za ujana wako na akurehemu.
42
67
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Mahusiano ya aina yeyote, yawe baina ya watu, ama nchi na nchi yanapaswa kuchukuliwa kwa umakini mkubwa.
51
70
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
3 years
Wakati mwingine, mtu akikusingizia jambo, usiharakishe kumjibu, kwa kuwa muda na subira huleta majibu kuliko mipasho.
154
130
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Hakuweza kusubiri kuupokea mwaka mpya 2020, baba yetu Mzee Athuman Senge Nyalandu, ambaye ni kaka mkubwa wa baba yangu mzazi ametuaga mapema leo na kutangulia mbele ya haki. Iwe heri kwake huko ng'ambo ya mto. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.
233
61
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tanzania's national broadcaster, TBC is totally biased towards the ruling party CCM. We demand equal treatment to all political parties candidates on this election if we wish to protect the integrity of our electoral process
78
143
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Very happy birthday my lovely sister Frida. Nakupenda sana. Mungu akutendee mema daima.
Tweet media one
37
42
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tusiichezee AMANI ya Taifa letu, wala tusiruhusu wachache kuichezea kwa kutumia kivuli cha umma wa Watanzania.Vyombo vya dola visitumike tofauti na matakwa ya kikatiba ya kuanzishwa kwavyo, wala asitokee Kiongozi wa serikali au wa Chama cha siasa anayedhani kuvunja Katiba ni sawa
39
142
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
6 years
SIKU inakuja ambapo Watanzania watakuwa HURU, mihilimi ya MAHAKAMA na BUNGE itafanya kazi pasipo kuburuzwa na DOLA, na HAKI itatamalaki KOTE
204
183
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
5 years
Natoa WITO kwa wenye MAMLAKA nchini kumwachia huru Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe, pamoja na Mh. Esther Matiko. Hili jambo lina tija kwa nchi yetu na Watanzania WOTE.
123
175
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
DODOMA. Happening now. @TunduALissu rally #NiYeye2020
Tweet media one
36
88
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nimerudisha fomu ya kugombea Ubunge kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Singida Kaskazini, na sasa tunasubiri uteuzi wa Tume saa 10 jioni. @ChademaTz
32
84
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tumekata RUFAA kwenye Tume ya Uchaguzi kupinga kuenguliwa kwa wagombea Ubunge na Udiwani kutoka majimbo mbalimbali Kanda ya Kati. Hatukubali uonevu na dhuluma ya wazi dhidi ya demokrasia na dhidi ya Vyama vyote vya kisiasa na wagombea husika.
36
107
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Natarajia kuwasili kijijini #Mrijo jimbo la Chemba kwa uzinduzi wa kampeni ya Ubunge @ChademaTz kwa Mgombea wetu mahiri Mh. Kunti. Ushindi ni wetu. Ushindi ni lazima.
22
86
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Asante sana sana. God bless!
57
58
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kuuawa kwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la Manyoni Mashariki, Bw. Alex Jonas usiku wa kuamkia leo.Tunaliomba Jeshi la Polisi na mamlaka zingine za dola kuchukua hatua za makusudi kuchunguza, kuwasaka, na kuwakamata waliohusika na mauaji haya
105
104
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
2 years
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha na kuthibitisha uwezo wa juu wa kuongoza, huku akidhihirisha nia na moyo wake thabiti wenye mapenzi kwa watanzania wote pasipo ubaguzi wowote, na kuonesha utashi, upendo, weledi, na maono ya kuipeleka Tanzania kunako mafanikio na furaha ya wote
1K
90
1K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
UPDATE Kanda ya Kati: Jimbo la Morogoro Mjini, Mgombea wetu, Devotha Minja na Wagombea Udiwani wote wa @ChademaTz wanasemekana kuenguliwa. Tunaomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuingilia kati na kutenda haki kuwateua wagombea wetu hawa.
45
120
2K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Nitakuwa Kata ya Msisi na Ughandi kesho, katika kampeni za Ubunge na natarajia kumnadi Mgombea Udiwani wa @ACTwazalendo , (Mgombea wetu wa @ChademaTz alienguliwa na @TumeUchaguziTZ ) Pia nitamwombea kura Mgombea wetu wa Urais @TunduALissu . #Tutashinda . @jjmnyika @zittokabwe
34
140
1K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
HESHIMA in kitu kizuru kuwa nacho maishani. Heshimu wazazi wako. Heshimu mke wako. Heshimu mume wako. Heshimu wakubwa zako. Heshimu wadogo zako. Heshimu wanaofikiri kama wewe, heshimu wenye mawazo tofauti. Heshimu wanaokuongoza, naam! Heshimu unaowaongoza. Ndipo utakapoitwa HERI
59
154
1K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
MUNGU ni mwema sana. Hakika, fadhili zake ni za milele, na mapenzi yake hayapimiki ispokuwa kule yalipo. Karibu nyumbani kaka @TunduALissu . Amani iwe nawe!
@halimamdee
Halima James Mdee
4 years
65
169
2K
24
131
1K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Asanteni sana. Tusonge mbele, kwa kuwa haki huinua Taifa. Tuwatoe Mwenyekiti wetu Mbowe na viongozi wengine kutoka gerezani.
Tweet media one
68
112
1K
@LazaroNyalandu
Lazaro Nyalandu
4 years
Jana, Mwanza made @ChademaTz and @TunduALissu so very proud! Asanteni sana. #TUSHINDEPAMOJA !
13
69
1K