ZAWADI gani mimi nitamtolea MUNGU wangu, kwa kuwa amenibariki na kunipenda upeo. Katika majira kama haya, niseme nini tena? KWAKUWA, mapenzi yake hayapimiki, ispokuwa kule ng'ambo yaliko. Naomba KIBALI chake tena, ulinzi wake tena, fadhili zake tena, naam! Naomba HEKIMA yake tena