KitomaryGodson Profile Banner
Sir Gødson kìtomary Profile
Sir Gødson kìtomary

@KitomaryGodson

Followers
2K
Following
21K
Media
41
Statuses
4K

Political Scientist||Pan-Africanist||Author|| HR and Administrative Graduate|| Leadership Trainee||Mentor and Life Student||

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
1 day
Tweeted on behalf of SIRJEFF
37
85
491
@ShijaShibeshi
Shija S.S.Shibeshi
1 day
Repost video hii Kama uko Tayari kwa update za Kesi ya Mhe @TunduALissu Tarehe 09/2/2026. Vilevile Kama unamatumani katika Mapambano ya Haki Repost video hii! Kama wewe ni CHADEMA Like na Repost video hii. Kama unaniunga Mkono Naomba follow @ShijaShibeshi.
10
159
440
@HildaNewton21
Hilda Newton
22 days
KESI YA UHAINI DHIDI YA Mhe LISSU KUENDELEA; Nawafahamisha kwamba kesi ya uhaini dhidi ya Mhe Lissu, Criminal session case No. 19605/2025 imepangwa kuendelea Mahakama kuu, Kanda ya Dar Es Salaam kuanzia tarehe 09 February 2026 hadi tarehe 06 March 2026. Ikumbukwe kwamba kesi
11
133
649
@Sativa255
SATIVA
9 months
REPOST Warioba (84yrs) LIKE Wasira (80yrs)
37
2K
904
@kaji_sijo
Kaji
4 months
Good morning my bros
29
60
184
@Sirjeff_D
SIR JEFF⚡🇹🇿
5 months
Research ndogo tuone hali halisi ya huku kwa ground.
16
1K
290
@zittokabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
7 months
"Basi kwa kuwa mmenipata [nyinyi wahuni] ninyongeni haraka kusudi jina langu libaki likikumbukwa kwamba nilikuwa mtu mmojawapo niliyepigania Uhuru wa nchi yangu" Selemani Mamba Chekenje Chifu wa Umwera Agosti, 1905
73
36
311
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
8 months
#TANZANIA:UN YAITAKA TANZANIA KUSITISHA UTEKAJI WA WAPINZANI NA WANAHARAKATI Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa (UN) wameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuongezeka kwa matukio ya utekaji wa lazima na mateso yanayowalenga wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na
41
282
799
@HecheJohn
John Heche
8 months
Asanteni Watanzania, kila mtu afanye anachoweza kufanya kwa kadri Mungu alivyomjalia ili kupeleka ujumbe wetu mbele zaidi. Tutashinda msiogope. https://t.co/RdMxVJRMYn
83
726
3K
@jjmnyika
MNYIKA John John
8 months
Hotuba niliyotoa leo Arusha ni tunu kwa waasisi wa @ChademaTZ2 na enzi kwa waliouwawa katika mapambano ya haki. Pia nimetoa mwito kwa wanaharakati na nimetoa ujumbe kwa Rais @SuluhuSamia Uwanja wa Soko Kuu niliugeuza #BungeLaWananchi kuwezesha #SautiYaWatu kusikika na kura za
33
329
1K
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
8 months
Mlijua homeboy @godbless_lema atashindwa kupata watu? 😀 Arusha ni Lema na Lema ni Arusha Haya mafuriko si mchezo Good job @ChademaTZ2 let’s fire up the People! #NoReformsNoElection #KatibaMpya
38
312
2K
@RuqayyaNassir
Ruqayya Mahmoud Nassir
8 months
ACT Wazalendo ni jukwaa muhimu la kunganisha vijana wote wenye shauku ya kuleta mabadiliko katika Taifa letu. Safari ya mageuzi itawezekana endapo vijana tukiamua kuungana ambapo wenye umri chini ya miaka 36 ni 77% ya Watanzania hii inatuonyesha kwamba maamuzi yako mikononi mwetu
1
9
21
@Phbhimself
Paul Bonaventure
8 months
Baba Askofu Benson Bagonza (PhD) Anena, "Someni Bila Shida, Someni kwa Furaha" Niliishasema na ninarudia tena. Someni Bila Shida na Someni kwa Furaha. Katika zama hizi za taharuki na mkanganyiko wa kisiasa, sauti ya mwalimu haipaswi kunyamaza. Somo halihitaji tu kubebwa kwa
7
134
790
@HecheJohn
John Heche
8 months
Haya mambo hatutayachukulia wa wepesi, lakini hatutakimbia Nchi yetu kwasababu hakuna kosa tumefanya. Hatutarudi nyuma hata kidogo.
160
573
3K
@CharlesPaul1212
Charles_Paul
8 months
Mdada unatumia iPhone na hauna hela, hebu acha kujizibia rikiki wewe 😁😁... @KitomaryGodson ..🙌🙌
0
1
2
@Vicent_Kassala
Kassala
8 months
●Nyamwaga, Tarime - MARA Ziara ya Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Ndg. @othmasoud leo. Wananchi wakiwa na bashasha kwa chama chao, @ACTwazalendo Wale jamaa zangu mnaobwabwaja kila siku eti hiki Chama ni cha Kigoma tu, watch out!! #TheFutureIsPurple #TheFutureIsACTwazalendo
7
13
21
@omarshaaban80
Omar Said Shaaban
8 months
Mwenyekiti @othmasoud ni nyota inayong’ara sana. Umekuwa unatoa matumaini kila unapopita badala ya hofu. Hakika Mwaka 2025 Nchi hii inaenda kupata uongozi tulioutamani, tuliousubiria na tunaoutaka. Nakupongeza kwa Kazi nzuri na kubwa. Unatu inspire kwa kweli. @ACTwazalendo
0
16
23
@MchinjitaIR
Isihaka Mchinjita
8 months
Kesho Mei 29, 2025 Mwenyekiti wa @NgomeyaWanawake Taifa, Ndugu @JaneRithe atazungumza na waandishi wa habari. Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM Muda: saa 5:00 Asubuhi #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia @ACTwazalendo
0
12
17
@ACTwazalendo
ACTWazalendo
8 months
Jana Mei 28, 2025, @ACTwazalendo imepata wanachama wapya 210 katika Kata ya Kyang'ombe, Jimbo la Rorya, kufuatia hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa @othmasoud. Ziara yake Kanda ya Ziwa inakamilika leo kwa kikao na mkutano wa hadhara Jimbo la Magu, Mwanza. #MuhuniHasusiwi
3
16
22
@Ndolezi_Petro
Ndolezi
8 months
Tarime, Mara imeitika ACT Wazalendo kila kona inapokelewa kwa kishindo sana Tumefunga Mjadala sasa wa kusema Mikutano inafanyika Kigoma Tu
96
14
187