Haji Manara Profile Banner
Haji Manara Profile
Haji Manara

@HajiManara

Followers
243,011
Following
916
Media
569
Statuses
1,252

@yangasc1935 official Spokesman Brand Ambassador @asas_dairies Brand Ambassador @ofclbakhresagrp

Dar es Salaam, Tanzania
Joined July 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Please unaweza kunifollow now kwenye twitter account ya 👉 @manaratv_ @manaratv_ @manaratv_ #ManaraTvUpdate
41
6
208
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Dadadeki 🤪
Tweet media one
327
190
6K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Alhamdulillah First day in office! I’m a greater believer in luck, and I find the harder I work the more I have of it.
Tweet media one
Tweet media two
518
257
5K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Iwe ni Jambo la Kheri au Shari, neno langu kuu ni kumshukuru Muumba Mbingu na Ardhi Kwa neno moja kubwa na lenye maana pana sana. AL-HAMDULILLAH 🙏🏻 Thanks football 👏
Tweet media one
797
304
5K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Hii ndio ile ,Nipo Nimekaa Paleeee @AlAhly to @yangasc1935 done it ,, Ya nini mie nikae na dukuduku moyoni 🤪
Tweet media one
366
200
5K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻 Niliandika baada ya Mechi ya kwanza,,Tutakwenda Ijumaa Airiport kuwapokea Mashujaa. Mliotubeza hususan nyie Wachambuzi mavi,hii ndio Yanga Afrikaaaaaaa 💪 💪
Tweet media one
572
278
5K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillaah. Dhulma haijawahi kulipa,,Asanteni Wachezaji wetu, Nyinyi ni Wanaume halisi,Nyinyi ndio Golden Genaration ya football ya Nchi hii. Tutawafunga kila siku, Nyau Wahed
Tweet media one
612
393
5K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
He’s Back Bernard Morrison is Green & Yellow Release Letter bakini nayo mfungie Maandazi. @Bm3gh
Tweet media one
426
195
4K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Vp huko kwenu Kwa Makolo kuna maswali? Wenzenu wakati tunasajili Wachezaji nyie mkawa mnaleta Midoli na Vibwengo 🤪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
560
280
4K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Basi kuna kuku watanuna bila sababu...
Tweet media one
351
129
4K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
It is Above the Level We Are Yanga @yangasc1935 #homeofchampions 🏆
Tweet media one
441
205
4K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Alhamdulillah Tunazo Dakika Tisini nyingine za kupambania team yetu.. Chini ya Jua hili hakuna kisichowezeka. Tupeane pole kwa matokeo ya leo but tusikate tamaa.
Tweet media one
1K
277
4K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻 Thanks Wachezaji na Benchi la Ufundi mmetuheshimisha mno,,Wananchi Dua na Support yenu ndio Mafanikio yetu 👏👏 Yes:: Tunaongoza Kundi kisha hatushindi kwa nguvu za Maabara.
Tweet media one
388
170
4K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Naomba kura lakini kubwa Naomba mniombee kura Kwa Waheshimiwa Wajumbe. Mwisho na kwa umuhimu mzito niombeeni Dua zenu 🙏🏻
Tweet media one
480
141
4K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 👏 Mashallah MashaAllah 🙌 A BOY Mke wangu kipenzi amejifungua salama Mtoto wa kiume na Sasa ni rasmi nimeruzukiwa Mtoto wa Nne🙏🏻 Hali ya My Rubi na Mtoto ni salama salmin👏 Eeeh Mola wetu mwenye Enzi,tunakukabidhi ww Mtoto wetu kwa ulinzi wako 👏 Allahu Baarik 🙏🏻
Tweet media one
Tweet media two
273
93
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Usiku Mwena Wananchi wenzangu, tuombe uzima na afya njema 🙏🏻🙏🏻 #elbugati 🔥🔥
Tweet media one
178
92
3K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Ahhhh Mungu hupanga yake bila Hesabu zetu Wallah!! Wapi nilichelewa kujiunga na Club hii ya Watu? @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
498
150
3K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Tweet media one
172
205
3K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻 Mungu ni mwema 👏 Asante Mola Wangu Kwa kuniongezea mwaka mwingine ktk umri wangu 🙌 Yaa Rabbi,,Nijaalie mm umri mrefu wenye kheri na mm na nakuomba Afya njema na baraka tele 🤲 Happy birthday Haji Sunday Ramadhan Manara 🎂 Thanks a lot kwenu nyote, love you ❣️
Tweet media one
266
113
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Msinune jamani,,mimi sichezi Asec nipo Yanga.. Makolo Mmepakatwa Vitatu 🤪🤪🤪
Tweet media one
465
129
3K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah🙏🏻 Usikate Tamaa katika Maisha hadi Pumzi ya Mwisho, haukupoteza, umeteleza, nyanyuka ukapambane.
Tweet media one
671
100
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Huko kitaani bado Mikwala inaendelea? Mkubwa Mungu ndugu zangu, hakuna Mbadala wake.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
231
108
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
😀😀😀😀😀
Tweet media one
658
145
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Allah Baarik,Once again thanks Wananchi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
151
125
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Our Fans 🔥🔥🔥 Club Ya Watu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 African Iconic Club 🏆🏆🏆 The Club Above All🏆🏆🏆 The Pride of Tanzania 🏆🏆🏆 @yangasc1935
Tweet media one
243
117
3K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Alhamdulillah 🙏
Tweet media one
376
104
3K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Yes , @HotelVerde jikoni kwao ni balaa, Restaurant yao inakupa misosi ya kijini Wallah. Sisemi haya Kwa kuwa mimi ni Balozi hapa ila huo ndio ukweli MashaAllah Ushawahi kunywa Juice ya Madalanzi weye au juice ya mfenesi katili? Hahaha Boma yeeee ( in voice of Lemutuz) Nye Nye Nye
Tweet media one
324
62
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah. Tusifadhaike,Tusisononeke,huu ndio Mpira wa Miguu na uhalisia wake,sio mwisho wa dunia na turudi tukiwa strong bila kutetereka.
Tweet media one
834
144
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah Well done Wanaume,,,Thanks Our fans kwa Support yenu kubwa leo. Vp bado lile swala la Yanga kukata upepo kipindi cha pili linaendeleaje huko kwa Wachambuzi wetu 🤪
Tweet media one
201
148
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Mioyo yetu maybe inatofautiana na labda mm naangalia Mpira tofauti na Watu wengi. Narudia, ntakuwa Mtu wa mwisho kuamini Kikosi hiki kitatolewa na El Hilal, najua leo kwa baadhi yenu ni ngumu kunielewa, ila naamini Wananchi tutafuzu Kwa Group Stage Insha'Allah. @yangasc1935
Tweet media one
413
142
3K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Hapo Vipi Wakulungwa? Yes Wachezaji Wakubwa hupatikani Club kubwa.
Tweet media one
127
79
3K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Tunauza Jumla na Reja Reja ila 𝙃𝘼𝙏𝙐𝙆𝙊𝙋𝙀𝙎𝙃𝙄
Tweet media one
222
119
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah.. It’s all about THREE POINTS 🔥🔥
Tweet media one
113
100
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Makolooooooooooo Mmepwerewa Pwereeeeeeeeeeee 🤪🤪
Tweet media one
354
128
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Muwe na Weekend njema ndugu zangu kwa hisani ya GSM
Tweet media one
341
103
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Amkeni hukuuuuuuuu ,,,Nimepost ya kulaliaaaaaaaaaa. Mama Mzazi wa Naniliu na Pedeshee Hersi wakiwa na Copy za mikataba. Usizime Simu yako ,,Usiku naweka na Video ya Chaunabe akiwa analia 🤪🤪 Beauty Beauty
Tweet media one
307
164
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Nitaongea na Wanahabari Serena Hotel leo Saa Tano kuhusu Jambo liliotokea Arusha. Karibuni sana 🙏🏻
Tweet media one
236
84
2K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Tunalalia Pamoja na Insha'Allah Afrika inakwenda kushangazwa kesho. CC ndio Yanga 💪🏿💪🏿 @yangasc1935
Tweet media one
466
139
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah 🙏🏻 Shukran kwa Matokeo na Si haba. Sorry Our fans kwa Droo ya leo, Wameshinda wao 🤪
Tweet media one
315
89
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻 Hatujapoteza Mashindano, tumefungwa katika mchezo wa awali ugenini ,Wachezaji na Bench la Ufundi pamoja na Washabiki wetu wala msifadhaike, ndio Part of football. Muhimu turudi nyumbani tujipange na mchezo ujao, na tuhakikishe tunapata ushindi Insha'Allah 👏
Tweet media one
272
89
2K
@HajiManara
Haji Manara
4 years
Wanasimba akili yetu tuipeleke Sokoine Stadium,,tujikite kwa Dua na Sala zetu kuwaombea wachezaji wetu, na Insha'Allah tutashinda 💪🏽🙏🏾 #NguvuMoja
Tweet media one
146
77
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Vile nnavyoangalia Mabata yakijiandaa kufungua Champagne ya kifo changu. Byuti Byuti 🤪🤪
Tweet media one
274
83
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Tukutane October 23 tuile Nyama yetu. Kila Mtu na Mtuwe na kila Mbwa humjua boss wake. Nunua saaa Tiketi yako mapema uone kama Mwali kwa Ngariba wake anavyokuwa Izeeeeeeeee.
Tweet media one
430
81
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Double Impact 🤜🏾🤛 @Caamil8
Tweet media one
111
60
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Tunaamini inawezekana, Tunajua Uwezo wa kufanya vema leo Tunisia upo. Ni Wachezaji tu wakiamua. InshaAllah iwe kheri kwetu 🙏🏻 @yangasc1935
Tweet media one
194
96
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah
Tweet media one
236
38
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah. Thanks for Good performance Wachezaji wetu na Bench la Ufundi. Halaf linatokea kolo limeshiba Magimbi linaamini Team yake itachukua ubingwa, nyieeee.
Tweet media one
172
85
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Kila la Kheri kwenu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tweet media one
64
77
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Kila la kheri Wananchi. It’s Not Over Till It’s Over. Next Friday najua tutakuja kuwapokea Kwa kishindo na kejeli za Mihogo zitaitwa Soseji. Nimekaa Pale. @yangasc1935 💪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
392
83
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Semaji la Watu, Semaji la Wananchi,Semaji la Mabingwa, Semaji la Football. The Only One Bugati In This Country, Wanaharakati msinune bure mkaja kupata kisonono🤪🤪
Tweet media one
137
65
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Timu ya Yanga SC ikiongozwa na Rais wake Hersi Said @Caamil8 ,leo imetembelea kituo cha kulea watoto yatima cha Association Demba Gnouma Djoyoro ikiwa ni saa chache kabla ya kushuka dimbani kucheza dhidi ya Real Bamako kwenye mtanange wa Kombe la Shirikisho Afrika #CAFCC
Tweet media one
66
59
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Huyu Mtoto mchanga anawapa pole wote wanaoumizwa na hizi mbeleko za hovyo hovyo na anawasubiri Wachambuzi Chupli Chupli na wa michongo kuona watasemaje ? Anawatakia pia Usiku mwema Wananchi wenzake.
Tweet media one
450
111
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Hiyari ni yako ,,rangi utakayo utayochagua ikae pembeni mwa bega lako ktk jezi. Yes na kupanga ni kuchagua. Fair Competition watakuwa wamezimia muda hu.
Tweet media one
Tweet media two
408
105
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Mwamba huyu hapa. Kesho ndio Man of the Match, na ndio atatuvusha Makundi Insha'Allah . #IweJuaIweMvua #Bugati
Tweet media one
111
69
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Ipo hv.. Mahakamani hakuna HAKI, kuna SHERIA tusonge mbele na maisha mengine lazma yaendelee.
Tweet media one
513
92
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Kila la kheri Wananchi 🙏🏻 InshaAllah tutashinda usiku wa leo 👏 @yangasc1935 #VitayaKisasi #NoMaraaWaaaNiVitayaKisasi #DaimaMbeleNyumaMwiko 💪
Tweet media one
35
65
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Iwe kheri usiku wa leo kwa Wananchi 👏 InshaAllah tutashinda 🙏🏻
Tweet media one
66
58
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Wavaa Jeans wenzangu msiwaangushe Makolo leo, Popote utakapokuwa simama ili uunge mkono juhudi 😀😀
Tweet media one
292
61
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Tweet media one
70
47
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
King of Daresalama, Super Bugati Trophies. Magician De la Boss Le Tripple King. Ndioo, Haji ni mzuri akiwa kwako tu, akiwa kwa mwingine anachoma kuliko Pasi. Wanahabari tukutane kwenye Press leo Saa Sita Mchana pale Makao Makuu ya Brand ya Taifa GSM.
Tweet media one
84
61
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Naitwa Bugati,,Msemaji wa Mabingwa mara nyingi zaidi Tanzania. Yes Media Officer wa Soka Sometimes lazima ufanane kimavazi na mchezo wenyewe ,Sio kila wakati Mijampa na Misuti kama Daktari wa Mifugo wa kule Kiswampa. @gsmmalls
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
383
93
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Inabidi tutumie hata mbinu Shirikishi ili tupate matokeo nyumbani kwanza, Points Tisa za Home ndio uwe mtaji wetu. Tunajua tunaweza kushinda hata ugenini kama tulivyoshinda dhidi ya Club African,lakini mimi nataka tuwekeze points tisa za kwa Mkapa kwanza. InshaAllah itakuwa 🙏🏻🙏🏻
Tweet media one
129
48
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Thanks Uongozi wa @yangasc1935 Kwa heshma hii kubwa kwa Mzee wangu, Shukran Rais wa Club, CEO na Wafanyakazi wote wa Yanga. Asante @IamFeisalSalum kushiriki nasi,wewe ni kipenzi cha Mzee na amefurahi kukuona Mchana wa leo. @Caamil8
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
31
87
2K
@HajiManara
Haji Manara
6 years
Naandika nafuta ,naandika nafuta, ahh!! Anaitwa Mungu Mwenye Enzi, Alhamdulillah!! Ngoja nitulize akili kwanza,ntarudi baadae @moodewji 🙏
Tweet media one
87
117
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Ni Rasmi @mzeewakaliua ndio Meneja Mpya wa Mchezaji wetu @faridmussa17 ambae leo tumemuongezea mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Club yetu.
Tweet media one
70
57
2K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Mabibi na Mabwana tunakwenda na hii ktk Mechi ya Jumapili. "𝙉𝙤 𝙈𝙖𝙧𝙖 𝙒𝙖𝙖𝙖𝙖 ,𝙉𝙞 𝙑𝙞𝙩𝙖 𝙮𝙖 𝙆𝙞𝙨𝙖𝙨𝙞" Yes:: Kilingala tunasema Bakobetama Neti Mbonda, ( watapigwa kama ngoma) No Mara Waaaaaaa, ni Vita ya kisasi #vitayakisasi
Tweet media one
109
67
2K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Mmetisha wapendwa wangu.. Tuendelee kulisongesha.. Shukran sana 🙏
Tweet media one
91
62
2K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Nne Swafi kabisa 🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
112
64
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Ukweli humuacha Mja huru.
306
96
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah 👏 Champions 28 🏆🏆🏆🏆
Tweet media one
53
83
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Aliyeruhusu Nazi na Madafu kukaa kwenye mfuko wa suruali jana, hatimae kakamatwa
Tweet media one
95
33
1K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Iliyobaki na Dua na Sala zenu Watanzania na Wanayanga Wenzangu🙏 InshaAllah tutashinda jioni ya leo 💪🏿 @yangasc1935 #TheReturnOfChampions
Tweet media one
286
68
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Hello Yanga Afrikaaaaaaa 👏 Hello Wananchi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Hello Champions 🏆🏆🏆 Tusogee Sasa Kwa Mzee Ben tule Nchi 🔥🔥🔥 Byuti Byuti
Tweet media one
80
85
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Kikosi cha Asec Mimosas ktk picha ya pamoja kabla ya kuwabandua Makolo Tatu kwa Yai. Kushoto ni Aziz ki El Bugati 🤪
Tweet media one
216
39
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Karibuni sana wadogo zangu, ninawaahidi ushirikiano mkubwa nikiwa nje na hata nikirudi Insha'Allah . Wananchi tuendelee kuunga mkono cha kwetu kwa kila hali. Nb:: Baraka za Mungu ziwaangazie ktk Utumishi wenu kwetu 🙏🏻 @AliKamwe @privaldinho #IweJuaIweMvua 🔥 #Bugati
Tweet media one
Tweet media two
77
75
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Tujiandae na Sensa Wandugu 🙏 Nipo Tayari Kuhesabiwa ,Wewe Je? @ortamisemitz #Sensa2022 #Sensabika #JiandaeKuhesabiwa
Tweet media one
Tweet media two
155
65
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
InshaAllah tutafuzu Usiku huu 👏 Kila la kheri Yanga Afrika 🙏🏻
Tweet media one
269
65
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Pruuuuuuuu Mpaka Kwa Mkapa. Leo hiyo tunakutana kushangilia wote Rekodi ya Taifa. Unakosaje wakati mimi nitakuwepo? @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
85
49
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah Three Points Away.. Kama mmenuna lambeni VIMA
Tweet media one
139
58
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Mungu ibariki @yangasc1935
Tweet media one
67
59
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Nyieeee Nyieeee Nyieeee. Unakaaje home bila kuja leo Kwa Mkapa? Yaan @Az_stephane10 Kii usimuone live leo Kwa mara ya kwanza akiwa na Jezi ya Champion? @BigiGOfficial , @lomalisajoyce na Mawaria wengine uwakose leo? Ahhhh haikubaliki? Hope ushakata tiketi yako mapemaa Byuti Byuti
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
119
77
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Kila la kheri My Team,namiss kila kitu kuhusu Club yangu, najua tupo kamili na Insha'Allah kesho mtatuosha nyuso zetu. Wakati ule Washabiki flani waliniambia ULIPO TUPO,na mimi nawaambia mliopo Sudan MLIPO NIPO hata kiroho tu. Kheri zituangazie kesho Insha'Allah 🙏🏻 @yangasc1935
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
102
54
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Bismillah 👏👏 Iwe kheri Usiku wa leo kwetu Wananchi 🙌🙌 InshaAllah tutapata matokeo sahihi 🙏🏻🙏🏻
Tweet media one
234
34
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Kuku wetu wenyewe ,Manati ya nini ? Waseme Tutawapasua, Wakae kimya Tutawapakata, tupo tayari kufungwa hata na Nyau ila sio Magendaheka.
Tweet media one
Tweet media two
295
38
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Nchi tuisimamishe sasa hv au baadae? Dadadeki.. Ok biashara tushamaliza na hapa Hersi @Caamil8 ndio anashughulikia ATC, oooh Tholi ni ITC 😅😅 Jana mliongopewa nn vile? We Are @yangasc1935 The Home of Champions 👌 Sijui nifanye Press au niseme humu humu, halaf wala haturingi 🤪🤪
Tweet media one
433
106
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Yes;; Jumatano tutakwenda live na kipindi hiki cha Football Battle pale Mlimani nikiwa ndio Host ,ni ndani ya MANARA Tv katika Event tutayakayoshirikiana na Bona Tv Nimeanza na @hasheem_ibwe wa Azam fc na @privaldinho wa Yanga.
72
78
1K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Kwa Takwimu toka RepInstitute klabu ya Yanga imeuza mara tatu ya Jezi kuzidi Club zote za Tanzania Halafu hakuna Mbwembwe za kuwavalisha midoli Jezi wala Promo ya kelele za kama ile Neti ya Makolo 🤣🤣 Sijui na Sisi tuanze kuringa ?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
322
86
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
في هذا العصر والزمان ، لن يكون هناك أحمق اعتذر أبدًا لشخص ما ، واعترف بأنه كان مخطئًا. In this day and time, there has never been a fool who has ever apologised to someone, and admitted they were wrong.🙏 @WallaceKaria @Caamil8
Tweet media one
104
40
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Kila la kheri kwetu Usiku huu 🙏
Tweet media one
51
32
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻 Alama moja muhimu ugenini,,Tunasubiria Points zetu nyumbani Insha'Allah Asanteni Wananchi na Shukran Wachezaji na benchi la ufundi, tunawaombea mrejee salama 🙌
Tweet media one
45
37
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Ile Siku Imefika, Afrika Inasubiria na Tanzania inawaka 🙏
Tweet media one
38
27
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Nawaalika Wanahabari katika Tukio kubwa la Utiaji Saini na kukabidhiwa Rasmi Ubalozi wa Taasisi ya kifedha ya @Bayport_tz utakaofanyika leo saa nne asubuhi hapa Serena Hotel. Ndiooo,ni kubwa sana hii kuwa Balozi katika Taasisi kama hii, Thanks a lot God 🙏
Tweet media one
Tweet media two
111
46
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Kila la kheri Wananchi jioni ya leo ,Insha'Allah tutashinda. ⚽️ Real Bamako🆚Young Africans SC 🗓 26 February 2023 ⏱ Saa 10 Jioni Mali | Saa 1 Usiku TZ 🏟 Stade du 26 Mars, Bamako 🏆 #CAFConfederationCup
Tweet media one
48
44
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Kila la kheri Wananchi Jioni ya leo 🙏🏻 InshaAllah tutashinda 👏
Tweet media one
18
33
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Niseme nn zaidi ya kumshukuru Muumba wangu? Eeeh Mola Mwenye Enzi Mwingi wa Rehma,,hakika leo nimehemewa na furaha,,lolote nikisema kabla ya kukushukuru ntakosea Once again,,Nasema tena Alhamdulillah 👏👏👏 Ntarudi baadae Wananchi
Tweet media one
63
54
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻 Always Next Time Ni Ushindi kwa Chama Chetu na ambao kura hazikutosha na tumethubutu pia ni ushindi kwetu. Thanks 🙏 @ccm_tanzania
Tweet media one
221
27
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻 Sare haikuwa nzuri kwetu lakini this is football, Hongereni sana Washabiki wetu kwa support yenu leo,,mmetimiza wajibu wenu kisawa sawa. Wachezaji wetu msinyong’onye hata tone bahati haikuwa yenu Mnayo nafasi Khartoum Insha'Allah Tunazo Dakika Tisini nyingine
Tweet media one
240
71
1K
@HajiManara
Haji Manara
1 year
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻 Tupo katika ubora wetu, tunapata tunachokitaka, tunafurahisha Nchi na Watu wake, Sisi ndio Yanga wengine Madanga tu. Thanks Wachezaji na Benchi la Ufundi, Mbarikiwe Wananchi wenzangu 🙏🏻 Nb: Ukinuna na Unbeaten yetu kanuse Ngada ni dawa na tiba Mujarab.
95
70
1K
@HajiManara
Haji Manara
3 years
Human beings are created to be happy and enjoy the blessings that God has gifted us. Yanga is a platform that God has blessed me with, and I can attest that it's one of the best places I have ever worked in, in this football industry. @SMbatha_Senzo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
148
53
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Ikiitwa mechi ya Fainali tu Basi hakuna Underdog Team zote zinakuwa sawa ,Watu wa Mpira tuna msemo wetu Fainali ni Fainali. Huwa haijalishi zinacheza team zipi na hivyo ndivyo @yangasc1935 tunavyoichukulia fainali ya leo tumedhamiria kushinda mechi hii na kuwapa furaha Wananchi.
Tweet media one
30
42
1K
@HajiManara
Haji Manara
2 years
Ukinuna Haituhusu. Ndegelec
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
93
48
982