Iwe ni Jambo la Kheri au Shari, neno langu kuu ni kumshukuru Muumba Mbingu na Ardhi Kwa neno moja kubwa na lenye maana pana sana.
AL-HAMDULILLAH 🙏🏻
Thanks football 👏
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Niliandika baada ya Mechi ya kwanza,,Tutakwenda Ijumaa Airiport kuwapokea Mashujaa.
Mliotubeza hususan nyie Wachambuzi mavi,hii ndio Yanga Afrikaaaaaaa 💪 💪
Alhamdulillaah.
Dhulma haijawahi kulipa,,Asanteni Wachezaji wetu, Nyinyi ni Wanaume halisi,Nyinyi ndio Golden Genaration ya football ya Nchi hii.
Tutawafunga kila siku, Nyau Wahed
Alhamdulillah
Tunazo Dakika Tisini nyingine za kupambania team yetu..
Chini ya Jua hili hakuna kisichowezeka.
Tupeane pole kwa matokeo ya leo but tusikate tamaa.
Alhamdulillah 🙏🏻
Thanks Wachezaji na Benchi la Ufundi mmetuheshimisha mno,,Wananchi Dua na Support yenu ndio Mafanikio yetu 👏👏
Yes:: Tunaongoza Kundi kisha hatushindi kwa nguvu za Maabara.
Alhamdulillah 👏
Mashallah MashaAllah 🙌
A BOY
Mke wangu kipenzi amejifungua salama Mtoto wa kiume na Sasa ni rasmi nimeruzukiwa Mtoto wa Nne🙏🏻
Hali ya My Rubi na Mtoto ni salama salmin👏
Eeeh Mola wetu mwenye Enzi,tunakukabidhi ww Mtoto wetu kwa ulinzi wako 👏
Allahu Baarik 🙏🏻
Alhamdulillah 🙏🏻
Mungu ni mwema 👏
Asante Mola Wangu Kwa kuniongezea mwaka mwingine ktk umri wangu 🙌
Yaa Rabbi,,Nijaalie mm umri mrefu wenye kheri na mm na nakuomba Afya njema na baraka tele 🤲
Happy birthday Haji Sunday Ramadhan Manara 🎂
Thanks a lot kwenu nyote, love you ❣️
Yes ,
@HotelVerde
jikoni kwao ni balaa, Restaurant yao inakupa misosi ya kijini Wallah.
Sisemi haya Kwa kuwa mimi ni Balozi hapa ila huo ndio ukweli MashaAllah
Ushawahi kunywa Juice ya Madalanzi weye au juice ya mfenesi katili? Hahaha Boma yeeee ( in voice of Lemutuz)
Nye Nye Nye
Alhamdulillah
Well done Wanaume,,,Thanks Our fans kwa Support yenu kubwa leo.
Vp bado lile swala la Yanga kukata upepo kipindi cha pili linaendeleaje huko kwa Wachambuzi wetu 🤪
Mioyo yetu maybe inatofautiana na labda mm naangalia Mpira tofauti na Watu wengi.
Narudia, ntakuwa Mtu wa mwisho kuamini Kikosi hiki kitatolewa na El Hilal, najua leo kwa baadhi yenu ni ngumu kunielewa, ila naamini Wananchi tutafuzu Kwa Group Stage Insha'Allah.
@yangasc1935
Amkeni hukuuuuuuuu ,,,Nimepost ya kulaliaaaaaaaaaa.
Mama Mzazi wa Naniliu na Pedeshee Hersi wakiwa na Copy za mikataba.
Usizime Simu yako ,,Usiku naweka na Video ya Chaunabe akiwa analia 🤪🤪
Beauty Beauty
Alhamdulillah 🙏🏻
Hatujapoteza Mashindano, tumefungwa katika mchezo wa awali ugenini ,Wachezaji na Bench la Ufundi pamoja na Washabiki wetu wala msifadhaike, ndio Part of football.
Muhimu turudi nyumbani tujipange na mchezo ujao, na tuhakikishe tunapata ushindi Insha'Allah 👏
Tukutane October 23 tuile Nyama yetu.
Kila Mtu na Mtuwe na kila Mbwa humjua boss wake.
Nunua saaa Tiketi yako mapema uone kama Mwali kwa Ngariba wake anavyokuwa Izeeeeeeeee.
Alhamdulillah.
Thanks for Good performance Wachezaji wetu na Bench la Ufundi.
Halaf linatokea kolo limeshiba Magimbi linaamini Team yake itachukua ubingwa, nyieeee.
Kila la kheri Wananchi.
It’s Not Over Till It’s Over.
Next Friday najua tutakuja kuwapokea Kwa kishindo na kejeli za Mihogo zitaitwa Soseji.
Nimekaa Pale.
@yangasc1935
💪
Semaji la Watu, Semaji la Wananchi,Semaji la Mabingwa, Semaji la Football.
The Only One Bugati In This Country, Wanaharakati msinune bure mkaja kupata kisonono🤪🤪
Timu ya Yanga SC ikiongozwa na Rais wake Hersi Said
@Caamil8
,leo imetembelea kituo cha kulea watoto yatima cha Association Demba Gnouma Djoyoro ikiwa ni saa chache kabla ya kushuka dimbani kucheza dhidi ya Real Bamako kwenye mtanange wa Kombe la Shirikisho Afrika
#CAFCC
Huyu Mtoto mchanga anawapa pole wote wanaoumizwa na hizi mbeleko za hovyo hovyo na anawasubiri Wachambuzi Chupli Chupli na wa michongo kuona watasemaje ?
Anawatakia pia Usiku mwema Wananchi wenzake.
Hiyari ni yako ,,rangi utakayo utayochagua ikae pembeni mwa bega lako ktk jezi.
Yes na kupanga ni kuchagua.
Fair Competition watakuwa wamezimia muda hu.
King of Daresalama, Super Bugati Trophies.
Magician De la Boss
Le Tripple King.
Ndioo, Haji ni mzuri akiwa kwako tu, akiwa kwa mwingine anachoma kuliko Pasi.
Wanahabari tukutane kwenye Press leo Saa Sita Mchana pale Makao Makuu ya Brand ya Taifa GSM.
Naitwa Bugati,,Msemaji wa Mabingwa mara nyingi zaidi Tanzania.
Yes Media Officer wa Soka Sometimes lazima ufanane kimavazi na mchezo wenyewe ,Sio kila wakati Mijampa na Misuti kama Daktari wa Mifugo wa kule Kiswampa.
@gsmmalls
Inabidi tutumie hata mbinu Shirikishi ili tupate matokeo nyumbani kwanza, Points Tisa za Home ndio uwe mtaji wetu.
Tunajua tunaweza kushinda hata ugenini kama tulivyoshinda dhidi ya Club African,lakini mimi nataka tuwekeze points tisa za kwa Mkapa kwanza.
InshaAllah itakuwa 🙏🏻🙏🏻
Thanks Uongozi wa
@yangasc1935
Kwa heshma hii kubwa kwa Mzee wangu, Shukran Rais wa Club, CEO na Wafanyakazi wote wa Yanga.
Asante
@IamFeisalSalum
kushiriki nasi,wewe ni kipenzi cha Mzee na amefurahi kukuona Mchana wa leo.
@Caamil8
Mabibi na Mabwana tunakwenda na hii ktk Mechi ya Jumapili.
"𝙉𝙤 𝙈𝙖𝙧𝙖 𝙒𝙖𝙖𝙖𝙖 ,𝙉𝙞 𝙑𝙞𝙩𝙖 𝙮𝙖 𝙆𝙞𝙨𝙖𝙨𝙞"
Yes:: Kilingala tunasema Bakobetama Neti Mbonda, ( watapigwa kama ngoma)
No Mara Waaaaaaa, ni Vita ya kisasi
#vitayakisasi
Karibuni sana wadogo zangu, ninawaahidi ushirikiano mkubwa nikiwa nje na hata nikirudi Insha'Allah .
Wananchi tuendelee kuunga mkono cha kwetu kwa kila hali.
Nb:: Baraka za Mungu ziwaangazie ktk Utumishi wenu kwetu 🙏🏻
@AliKamwe
@privaldinho
#IweJuaIweMvua
🔥
#Bugati
Nyieeee Nyieeee Nyieeee.
Unakaaje home bila kuja leo Kwa Mkapa?
Yaan
@Az_stephane10
Kii usimuone live leo Kwa mara ya kwanza akiwa na Jezi ya Champion?
@BigiGOfficial
,
@lomalisajoyce
na Mawaria wengine uwakose leo? Ahhhh haikubaliki?
Hope ushakata tiketi yako mapemaa
Byuti Byuti
Kila la kheri My Team,namiss kila kitu kuhusu Club yangu, najua tupo kamili na Insha'Allah kesho mtatuosha nyuso zetu.
Wakati ule Washabiki flani waliniambia ULIPO TUPO,na mimi nawaambia mliopo Sudan MLIPO NIPO hata kiroho tu.
Kheri zituangazie kesho Insha'Allah 🙏🏻
@yangasc1935
Nchi tuisimamishe sasa hv au baadae? Dadadeki.. Ok biashara tushamaliza na hapa Hersi
@Caamil8
ndio anashughulikia ATC, oooh Tholi ni ITC 😅😅
Jana mliongopewa nn vile?
We Are
@yangasc1935
The Home of Champions 👌
Sijui nifanye Press au niseme humu humu, halaf wala haturingi 🤪🤪
Yes;; Jumatano tutakwenda live na kipindi hiki cha Football Battle pale Mlimani nikiwa ndio Host ,ni ndani ya MANARA Tv katika Event tutayakayoshirikiana na Bona Tv
Nimeanza na
@hasheem_ibwe
wa Azam fc na
@privaldinho
wa Yanga.
Kwa Takwimu toka RepInstitute klabu ya Yanga imeuza mara tatu ya Jezi kuzidi Club zote za Tanzania
Halafu hakuna Mbwembwe za kuwavalisha midoli Jezi wala Promo ya kelele za kama ile Neti ya Makolo 🤣🤣
Sijui na Sisi tuanze kuringa ?
في هذا العصر والزمان ، لن يكون هناك أحمق اعتذر أبدًا لشخص ما ، واعترف بأنه كان مخطئًا.
In this day and time, there has never been a fool who has ever apologised to someone, and admitted they were wrong.🙏
@WallaceKaria
@Caamil8
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Alama moja muhimu ugenini,,Tunasubiria Points zetu nyumbani Insha'Allah
Asanteni Wananchi na Shukran Wachezaji na benchi la ufundi, tunawaombea mrejee salama 🙌
Nawaalika Wanahabari katika Tukio kubwa la Utiaji Saini na kukabidhiwa Rasmi Ubalozi wa Taasisi ya kifedha ya
@Bayport_tz
utakaofanyika leo saa nne asubuhi hapa Serena Hotel.
Ndiooo,ni kubwa sana hii kuwa Balozi katika Taasisi kama hii, Thanks a lot God 🙏
Kila la kheri Wananchi jioni ya leo ,Insha'Allah tutashinda.
⚽️ Real Bamako🆚Young Africans SC
🗓 26 February 2023
⏱ Saa 10 Jioni Mali | Saa 1 Usiku TZ
🏟 Stade du 26 Mars, Bamako
🏆
#CAFConfederationCup
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Niseme nn zaidi ya kumshukuru Muumba wangu?
Eeeh Mola Mwenye Enzi Mwingi wa Rehma,,hakika leo nimehemewa na furaha,,lolote nikisema kabla ya kukushukuru ntakosea
Once again,,Nasema tena Alhamdulillah 👏👏👏
Ntarudi baadae Wananchi
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Sare haikuwa nzuri kwetu lakini this is football,
Hongereni sana Washabiki wetu kwa support yenu leo,,mmetimiza wajibu wenu kisawa sawa.
Wachezaji wetu msinyong’onye hata tone bahati haikuwa yenu
Mnayo nafasi Khartoum Insha'Allah
Tunazo Dakika Tisini nyingine
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Tupo katika ubora wetu, tunapata tunachokitaka, tunafurahisha Nchi na Watu wake, Sisi ndio Yanga wengine Madanga tu.
Thanks Wachezaji na Benchi la Ufundi, Mbarikiwe Wananchi wenzangu 🙏🏻
Nb: Ukinuna na Unbeaten yetu kanuse Ngada ni dawa na tiba Mujarab.
Human beings are created to be happy and enjoy the blessings that God has gifted us. Yanga is a platform that God has blessed me with, and I can attest that it's one of the best places I have ever worked in, in this football industry.
@SMbatha_Senzo
Ikiitwa mechi ya Fainali tu Basi hakuna Underdog Team zote zinakuwa sawa ,Watu wa Mpira tuna msemo wetu Fainali ni Fainali.
Huwa haijalishi zinacheza team zipi na hivyo ndivyo
@yangasc1935
tunavyoichukulia fainali ya leo tumedhamiria kushinda mechi hii na kuwapa furaha Wananchi.