HBongoMan Profile Banner
Hasheem Bongo Profile
Hasheem Bongo

@HBongoMan

Followers
2K
Following
20K
Media
137
Statuses
1K

A Tanzanian 🇹🇿 rapper with a political mind

Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@HildaNewton21
Hilda Newton
5 hours
Huyu kwenye picha anaitwa Adam Nzella ni mfanyabiashara wa Kariakoo. Juzi akiwa Dukani kwake walienda watu sita ambao walijitambulisha kuwa ni maofisa wa Polisi walisema anahitajika Central Police Dar kwa ajili ya Mahojiano kisha wakaondoka nae. Usiku huo huo ndugu na marafiki
25
142
741
@HBongoMan
Hasheem Bongo
5 hours
Let it be remembered huyu mzee wetu kabisa kasimama na sisi bega kwa bega. @TanzYetu
@Sativa255
SATIVA17
5 hours
Katika NYAKATI HIZI ambazo UTEKAJI umekuwa ndio nguzo kuu ya kuendesha nchi kwa serikali hii ya WAKOLONI WEUSI wewe umesimama kwa sauti kuu kupinga UTEKAJI. Umewaambia wananchi UTASIMAMA NAO kupiga kelele kupinga UTEKAJI na kamwe hutarudi nyuma hata kama msimamo huu utapelekea
0
1
9
@Sativa255
SATIVA17
6 hours
BADO SIKU 2. BADO MASAA 48. Umejiandaaje mpaka sasa?
34
87
643
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
8 hours
@IssaShivji Utekaji bila kukomeshwa utazaa ugaidi. Ni hatari kubwa kwa amani yetu. Mtu akikosea apelekwe polisi na mahakamani. Haki itawale. La sivyo tunacheza na moto utatuangamiza sote. Tujitafakari na Tujisahihishe.
71
390
1K
@Mtanganyika1234
XNewsTZ
2 days
Mimi Binafsi nazidi kukuombea maisha marefu, nisingetamani uondoke duniani kabla hujahukumiwa na mahakama zetu!
12
55
284
@AlinurMohamed_
Alinur Mohamed
1 day
You might think Tanzania is preparing for war, but it's only General Elections. President Samia Suluhu is extremely scared
188
899
4K
@tausilikokola
Tausi Likokola
18 hours
I just finished listening to Bishop Gwajima today - he spoke many gems. A few stood out to me, especially this: it should always be about the people. People deserve respect - to be listened to, valued, and acknowledged. You cannot claim to build a nation while disregarding the
5
153
628
@Sativa255
SATIVA17
16 hours
Safi sana wananchi, Nguvu ya uma imeshinda,mmefanikiwa kuipeleka ngoma yetu ya Maandamano #TeremshaBunduki namba moja. 💪💪 Sauti ya uma ndio sauti ya Mungu. Mmewashusha mboga mboga wote! Safiii sana, tuamishe nguvu yetu kwenye Challenge ya kumsupport Roma, tumpe maua yake
8
95
416
@Sativa255
SATIVA17
18 hours
@mwakasege_update ametumia NGOMA yetu ya UKOMBOZI bila kuweka Caption. Hii tulikubaliana matumizi ya hii nyimbo ni ishara ya kuungana na UMMA kwenye maandamano ya 29.10 #MO29 Wanangu #MO29 hii ngoma ishaisha, tujiandae kusherekea UKOMBOZI wa hili taifa 29.10–tujitokeze kwa
7
132
936
@HBongoMan
Hasheem Bongo
18 hours
Let it be remembered waliosimama na wananchi wakati huu. @Sativa255 @lifeofmshaba @ze_mandevu @ClubMagufuli @EduTalkTz @HildaNewton21 @MariaSTsehai
1
17
49
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
18 hours
Gwajima rasmi ni familia. #MO29 “Sikubali utekaji, sikubali uonevu, ninasimama na wananchi” Askofu Josephat Gwajima
7
90
490
@HildaNewton21
Hilda Newton
18 hours
"Watekaji wana nguvu kuliko vyombo vya DOLA" Gwajima
31
335
2K
@JohnNgutiCDM
John Nguti Chadema
20 hours
Mwanetu wa Octoba 29, Bango ni kubwa...!!!
2
53
185
@belindaPINDA04
BelindaTESHA🌟
19 hours
Maandamano bila kikomo✌️🔥🔥🔥 Repost bila kuchoka ✌️
9
323
787
@HBongoMan
Hasheem Bongo
18 hours
Huyu Samia kaziba masikio na pamba, Oktoba 29 mapema tutamshangaza. @Sativa255 @MariaSTsehai @lifeofmshaba @ClubMagufuli @HildaNewton21
1
9
34
@HildaNewton21
Hilda Newton
18 hours
“Mimi nasimama na Wananchi na nitaendelea kusimama na Wananchi mpaka mwisho”-; Bishop Gwajima
22
230
2K
@HBongoMan
Hasheem Bongo
18 hours
Swali gumu kwa Polisi, Tuambieni Polepole yuko wapi? @Sativa255 @MariaSTsehai @ClubMagufuli @lifeofmshaba @ze_mandevu @TitoMagoti
0
16
63
@HBongoMan
Hasheem Bongo
18 hours
Samia na njia zake haramu za kushinda uchaguzi mwisho wake ni Oktoba 29. @Sativa255 @MariaSTsehai @ClubMagufuli @lifeofmshaba @ze_mandevu
0
16
56
@HBongoMan
Hasheem Bongo
18 hours
Mwanetu @Sativa255 kamtaja sana Mafwele ila bado anadunda tu mtaani, Haya maswali yanaleta maswali mengi sana. @MariaSTsehai @ClubMagufuli @lifeofmshaba @ze_mandevu @TitoMagoti
0
18
63
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
1 day
Ivory Coast wananchi wameingia vituo vya kura na kuchana kila kitu wamesema hakuna uchaguzi! Afrika hakuna wajinga wala waoga waliobaki 😏 Hawa madikteta uchwara watajua hawajui! #MO29
34
347
1K