Leo nimepata heshima ya kutoa mada katika mkutano wa wiki ya viwanda ya SADC unaofanyika Tanzania.
Nimezungumza kuhusu nafasi tuliyonayo Tanzania kufaidika na
@SADC_News
kwa kuleta watu wetu karibu kupitia ujenzi wa miundombinu-unganishi, biashara, ajira & mitaji.
Tutafanikiwa!
BREAKING: Tanzanian government is set to launch a $5.9 billion Agricultural transformation program set to impact more than 8 million farming households countrywide.
The Agriculture Sector Development Program (ASDP)-Phase 2 will focus on linking agriculture to industrialization.
Tanzania has
16 National parks
28 Game reserves
44 Game Controlled Areas
1 Conservation Area
2 Marine parks
(Ministry of Natural Resources & Tourism 2015)
Pale unapoona jezi ya nchi yako imevaliwa na ‘mtazamaji’ wa mashindano ya magari ya langalanga “Formula One” nchini Ujerumani
@F1
#GermanGP
)
NB: Ujerumani ni nchi ya pili ya Ulaya kwa WINGI wa watalii wanaokuja Tanzania, baada ya Uingereza.
BREAKING: Tanzania has tabled a bill to amend its public private partnership law with the aim of reducing bureaucracy and fast tracking approvals for new PPP projects.
Gharama za kuomba KIBALI cha kazi kwa raia wa Afrika Mashariki anapotaka kwenda kufanya kazi katika nchi mwanachama wa
@jumuiya
EAC:
Burundi: $60-84
Kenya: Hakuna ada
Rwanda: Hakuna ada
Tanzania (Bara): $100-1500
Zanzibar: $25-300
Uganda: Hakuna ada
(IOM)
BREAKING: Tanzania resumes transporting cargo to Uganda through its TRC central railway line after 10 years of suspended service.
On June 24, 800tons of goods were transported from Dar port to Mwanza - then ferried via Lake Victoria to Port Bell Uganda in record-time of 3.5 days
BREAKING: Bandari zinazoongoza kwa ufanisi wa kupakia na kushusha makontena Mashariki na Kusini mwa Afrika kwa mwaka 2019
Mombasa, Kenya
Dar es salaam, Tanzania
Durban, Afrika Kusini
(World Bank 2019)
Ripoti:
#TeriTweets
WAZO LA LEO:
Naomba KUWAKUMBUSHA watumishi wote wa umma wanaoleta ukiritimba kwa sekta binafsi kuwa mtakapostaafu kutumikia nafasi zenu, mtarudi kujiajiri na kuanzisha biashara.
Ukiritimba mliouweka mtaukuta unawasubiri.
Sisi tutakuwa tumeuzoea. Ninyi utawaumiza!
Tanzania’s Agriculture Statistics:
90% of the agriculture land is under smallholder farmers
65.5% of total employment
65% of all industrial raw materials
30% of total export value
29.1% of GDP
#ASDP2
#TeriTweets
UTAFITI wa Benki ya Dunia 2019 kwenye bandari 110 DUNIANI kote waonyesha Bandar ya Dar es salaam iko mbele ya Durban (Afrika Kusini) kwa ufanisi wa kupakia na kupakua makontena
Nafasi ya Ubora Duniani:
Mombasa - 43
Dar es salaam - 64
Dubran - 70
(World Bank 2019)
2/Uwanja wa Heathrow nchini Uingereza UNAMILIKIWA na KUENDESHWA na:
Ferrovial (Kampuni ya Ujenzi ya Spain)-25%
Qatar Inv Fund-20%
Quebec Pension Fund -12.62%
GIC-11.20%
Alinda Capital Partners USA -11.18%
China Inv Corp-10%
University Superannuation Scheme-10%
TUJIFUNZE.
OMBI langu kwako MTANZANIA
ULIZA. ULIZA. ULIZA. Dadisi na kuuliza.
Nenda ofisi za TIC, TANTRADE, TCCIA, Halmashauri kwa Afisa Biashara, nk - ULIZA ujue, ushiriki na kunufaika na MENGI ambayo Serikali ya Mhe Rais Dr Samia S. Hassan imeweka kwa ajili ya WAWEKEZAJI wa NDANI.
BREAKING: Serikali iko mbioni kuzindua awamu ya pili ya mkakati wa uendelezaji wa sekta ya kilimo (ASDP Phase 2)
Mkakati huu wa miaka mitano unakadiriwa kugharimu Tsh 13 trilioni na UTAPUNGUZA umasikini kwenye kaya za wakulima zaidi ya milioni 8 nchini kote.
BREAKING: Government of Tanzania ELIMINATES and REDUCES different 54 licenses and fees AS AGREED with the private sector in the “Blueprint for improvement for regulatory environment”
3. UKIAGIZA bidhaa za mtaji (mashine, kichwa cha lori, nk) unapata PUNGUZO la 75% ya USHURU (Import duty)
4. Unaweza kuagiza bidhaa za mtaji na KULIPA VAT baada ya miezi MITATU (VAT defferment)
5. Ikiwa utahitaji, TIC wana jukumu KISHERIA kukutafutia MBIA wa UWEKEZAJI wako
Jana nilipewa heshima na
@UONGOZI
Institute, UDSM na
@SADC_News
kujadili maendeleo ya SADC pamoja na wazee wetu waliojitolea muda wao kwa ukombozi wa bara la Afrika na ujenzi wa jumuiya ya SADC - Mhe Rais Mstaafu B.W. Mkapa na Mhe Dr Simba Makoni
Sikuistahili. Ninawashukuru.
BREAKING: Tanzania imeandaa muswada wa kurekebisha sheria ya ushirikiano ya serikali na sekta binafsi (PPP-public private partnership) ili kupunguza mlolongo wa uhakiki na kuongeza ufanisi wa kupitisha miradi mipya.
MWEZI wa Nane nitakujuza kuhusu kitu kinaitwa “BLUEPRINT”
Wengi mmekuwa mkisikia juu ya “Mkakati wa Serikali wa Kuboresha Mazingira ya Biashara” maarufu kama “BLUEPRINT”
Unahusu nini?
Unatekelezwaje?
Faida zake nini kwa wajasiriamali?
Fuatana nami mwezi Agosti UIJUE
#Blueprint
If at all you think SERENGETI is the ONLY World’s Best that Tanzania can offer........THINK AGAIN.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
There is RUAHA.
Twice the size. Double the safari offerings. Tripple the luxury.
This is Jabali Ridge by
@AsiliaAfrica
Kupata FAIDA au MADARAKA sio lengo la mwisho. Lengo KUU ni kutumia faida na madaraka kama VITENDEA-KAZI vya kuboresha maisha yetu.
Sekta binafsi na serikali ni MUHIMU kushirikiana ili kusaidia kuboresha maisha ya kila mtanzania.
Women in Tanzania
51.3% of population
53.3% of workforce
54% of ALL micro & small businesses
60% have access to financial services
By 2020 Tanzania WILL have financial services reach over 90% of women.
(BoT)
JE WAJUA? Kwa muda wote katika bandari ya Singapore kuna wastani wa MELI 1,000
KILA BAADA YA DAKIKA 2-3 meli huwasili au kuondoka katika Bandari ya Singapore!
#TeriTweets
Singapore
6. UKIHITAJI ARDHI ya UWEKEZAJI wako, TIC watakutafutia na kukusaidia taratibu za kuimiliki
7. SEKTA ya Wachimbaji WADOGO wa MADINI ni LAZIMA Wawekezaji toka nje WASHIRIKIANE na WATANZANIA
8. UKIJISAJILI kama MWEKEZAJI TIC unapata CHETI CHA UWEKEZAJI ndani ya saa 24
TAARIFA MUHIMU: Tunatafuta UWEKEZAJI wa UHAKIKA kwenye KILIMO ili kupunguza uagwizwaji wa bidhaa kutoka nje (Mafuta ya kula, Ngano, nk)
TUTATOA kipaumbele kwa kampuni za au zitakazoshirikiana na watanzania
Mwekezaji AWE na mtaji wa kutosha, uzalishaji uanze ndani ya miezi 12-24
Cargo traffic GROWTH at the Port of Dar es salaam, Tanzania between 2013-2017
Cargo to Rwanda: 11%
Cargo to Malawi: 19.3%
Cargo to Burundi: 4.4%
Cargo to Uganda: 2.6%
Cargo to Zambia: 2.4%
Cargo to DR Congo: 1.3%
(Tanzania Ports Authority)
Earlier today I spoke to CNBC Africa on Tanzania’s investment landscape,
@InvestTanzania
institutional modernisation and our recently published Monthly Investment Bulletin!
BREAKING: Tanzania STARTS to provide provisional environment impact assessment certificates from NEMC WITHIN 72 HOURS for NEW investors setting to open industries in Tanzania.
BREAKING: TIC wins Africa's MOST PROGRESSIVE investment agency 2024 award during World's Annual Investment Meeting (AIM)
Innovation, investment surge & reforms were the areas we performed highest among Africa's IPAs.
A global testimony to HE President Dr
@SuluhuSamia
leadership
Idadi ya mahitaji ya nguo nchini kwa mwaka ni nguo Mil 710
Uagizwaji nje wa nguo mpya - 170m
Uagizwaji nje wa nguo za mitumba - 540m
Uzalishaji wa nguo nchini kwa sasa ni nguo - Mil 20
(Mainly EPZ for export)
Uzalishaji wa ndani ni sawa na 3% ya mahitaji
#Fursa
(UNComtrade)
3/ Nchini Ujerumani 91% ya makampuni yote yanamilikiwa na familia (family controlled companies)
Zaidi ya NUSU ya wafanyakazi wote nchini humo wanafanya kazi katika makampuni hayo
Yanachangia;
44% ya mauzo nje (export)
55% ya mauzo ya sekta binafsi
57% ya ajira zenye pensheni
Idadi ya Viwanda Tanzania
Jumla: 53,876
Vikubwa: 251
Vya kati: 173
Vidogo: 6,957
Vidogo sana: 46,495
Viwanda vilivyojengwa chini ya serikali ya Awamu ya Tano ya Rais
@MagufuliJP
: 3,306
(Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, March 2018)
Sekta ya Viwanda Tanzania
1961
Viwanda: 220
Ajira: 1% ya nguvukazi
Mchango kwenye pato la taifa: 4%
2013
Viwanda: 49,243
Mchango kwenye pato la taifa: 5.6%
2017
Viwanda: 53,876
Ajira: 18.1% ya ajira rasmi
Mchango kwenye pato la taifa: 5.5%
(NBS)
2/2 GF Group ni mwekezaji chini ya TIC
Kiwanda cha kuunda magari GF Assemblers
Eneo:Kibaha, Pwani
Mtaji:$5m
Ajira:260
Kampuni tanzu ya GF Group
Makao makuu:DSM
Ajira:400
Pongezi kwa kampuni ya watanzania
FUATILIA uzinduzi LIVE sasa://youtube.com/live/yu9KI1e7teo?feature=share
MWAKA 2020 utakuwa wa KIHISTORIA kwa bara la Afrika
43% ya wakazi watakuwa mijini
15% ya watu DUNIANI watakuwa Afrika
Simu za mkononi zitawafikia 90% &intaneti ikitumiwa na 60% ya waafrika
75% ya huduma za benki zitapatikana kwa simu
Waafrika 360m watakuwa wa KIPATO CHA KATI
Nchi zinazoendelea ZILIZOONGOZA kupata uwekezaji kutoka nje mwaka 2017
Myanmar - $4.68bn
Ethiopia - $4.01bn
Cambodia - $2.78bn
Msumbiji - $2.31bn
Bangladesh - $2.15bn
Tanzania - $1.18bn
DR Congo - $1.05bn
Sierra Leone - $752m
Uganda - $699m
Kenya $671m
Kwenye takwimu za DUNIA nzima, bara la Afrika lina
12% ya hifadhi za mafuta (oil reserves)
42% ya hifadhi za madini ya dhahabu
80-90% ya madini ya chromium na platinum
60% ya ardhi inayofaa kwa kilimo
(Umoja wa Afrika AU)
Delighted to see the Banking sector in Tanzania responding well to the BOT stimulus as well as current market needs.
Major bank(s) have LOWERED their loan interest rates from 23% to around 17%
INCREASED repayment period from 3/4 to 6/7 years.
GOOD news for the private sector.
"Pembeni yetu kuna gari na hili ni mahsusi kwa ajili ya kusaidia uhifadhi wa samaki. Gari hili ukiliagiza wewe kama mwekezaji ushuru wake ni 0% maana yake Serikali imeondoa kodi ya ushuru wa forodha kwa ajili ya magari ambayo yatakusaidia wewe ambae utawekeza katika sekta ya
Jana jioni nilipata nafasi ya kuzungumza na wafanyabiashara wakubwa Tanzania juu ya kazi ambazo
@tpsftz
inafanya katika KUBORESHA mazingira ya biashara.
Wanaridhika na maboresho yanayoendelea. Wangependa kuona ukaribu zaidi na serikali.
Nimesisitiza local content na maadili.
UKUAJI UWEKEZAJI TANGA
Bomba la mafuta EACOP
Ukuaji wa utalii baada ya Zanzibar-Tanga ferry
Uhuishwaji wa Tanga Cement
Upanuliwaji wa Huaxin Cement (Maweni)
Kiwanda kipya cha Hengya Cement
Upanuzi wa hoteli Lushoto
Mashamba mapya Pangani
Yajayo yanafurahisha! Hongereni Tanga!
Sekta ya viwanda vya magari nchini Afrika Kusini (2014):
22%
Asilimia ya magari YOTE yanayoundwa nchini Afrika Kusini na KUUZWA nchi za SADC
$2.9 BILLION
Thamani ya magari yanaoundwa Afrika Kusini na KUUZWA barani Afrika.
(Ni 27% ya mauzo ya magari yote kutoka Afrika Kusini)
Mwaka 2024 ni MWAKA wa Mtanzania KUWEKEZA
Weka LENGO la kuanzisha mradi, biashara au uwekezaji wako.
Mwaka HUU usipite bila KUANZISHA mradi wako.
TIC tuna jukumu KISHERIA kukuongoza. Njoo tukusaidie.
#MwakaWaUwekezaji2024
Tourism in Tanzania
Tanzania provides eVisa.
There are 68 countries whose nationals DO NOT REQUIRE visa to visit Tanzania.
There is no reason for you not to see Mt. Kilimanjaro, Serengeti or Zanzibar in your lifetime!
#Unforgettable
Tanzania
The following products WILL face a higher tariff in Tanzania in 2018/19:
Edible Oil
Safety Matches
Iron products
Chewing gums
Sweets
Chocolates
Tomato sauce
Meat
Sausages
Biscuits
Mineral water (from 25% to 60%)
TOFAUTI kati wa “walionacho” (the Haves) na “wasionacho” (the Have nots) INAONGEZEKA (Gini Coefficient)
2012: 35.8%
2018: 39.5%
Kwa mkoa wa Dar es salaam, tofauti hii ni KUBWA zaidi
2012: 36%
2018: 43%
(
@NBSTanzania
)
“Rushwa hutokea pale serikali inapoingilia mifumo ya ufanyaji kazi wa masoko (sekta binafsi) kwa kuweka udhibiti (regulations)” - Milton Friedman (Mchumi na mshindi wa tuzo ya Nobel kwenye uchumi)
Two LARGEST animal migrations in Africa
Tanzania’s Serengeti Wild Beast Migration:
Over 1,000,000 Wildebeest
Over 100,000 other animals
Routine distance: 500km
Botswana’s Northern Zebra Migration:
20,000 - 25,000 zebra
3,000 - 10,000 Blue Wildebeest
Routine distance: 482km
Moja ya mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Nne ya Mhe. Dr
@jmkikwete
ilikuwa ni kuwekeza katika miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Eneo la umwagiliaji
2005/6 - Hekari 264,338
2014 - Hekari 461,326
Eneo linalolimwa nchini LILIONGEZEKA kwa 148%
#ASDP1
Hadi kufikia 2013,katika KUTAFUTA (exploration) mafuta na gesi Tanzania,visima 67 vilikuwa vimekwisha kuchimbwa.
53 vikiwa ardhini (onshore)
14 vikiwa baharini (offshore)
Tanzania inakadiriwa kuwa na hazina ya gesi asilia futi za ujazo Trilioni 57 (TCF-trillion cubic feets)
EU
Denmark is one of the most diverse and robust investor in Tanzania. Danish interests range from logistics, manufacturing, agriculture to energy & infrastructure development.
As investment facilitator, we benefit greatly through closely working with Embassy's commercial officials
SAMIA'S DIPLOMATIC CHARM OFFENSIVE PAYS OFF
𝗗𝗲𝗻𝗺𝗮𝗿𝗸 𝗿𝗲𝘃𝗲𝗿𝘀𝗲𝘀 𝗱𝗲𝗰𝗶𝘀𝗶𝗼𝗻 𝘁𝗼 𝗰𝗹𝗼𝘀𝗲 𝗶𝘁'𝘀 𝗲𝗺𝗯𝗮𝘀𝘀𝘆 𝗶𝗻 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮
The move comes following talks last month between Tanzania's foreign affairs minister, January Makamba, and his Danish
UIMARA WA SHIRIKA LA NDEGE
@AirTanzania
UTALETA faida kwenye pato la taifa wastani wa $100 KWA KILA mkazi wa Dar (spill-over per capita contribution)
NA
KUONGEZA ukuaji wa sekta ya utalii kwa 10%,sawa na Bilioni 800 kwa mwaka
(AirTransportActionGroup)
#Dreamliner
@MagufuliJP
4/4 Sekta ya mbogamboga (horticulture) 2017 KENYA
Thamani: $115bn
(19.4% total exports)
$82bn kutoka kwenye maua pekee.
Kenya Airways INAANZA kupeleka mbogamboga USA ambako soko linamilikiwa na Latin America kwa 71%
Kama unaona HATUHITAJI ndege,basi sisi tulime,jirani auze!
Mtanzania YEYOTE ambaye angependa kushiriki kwenye Ujumbe wa TIC kwenda Comoro kuangalia FURSA za uwekezaji:
Tuandikie barua pepe: info
@tic
.go.tz
Wasiliana na Afisa Dawati wetu anayesimamia Comoro: Mr Kassim Said -0713 080 912
KILA MWEZI tutakwenda na makundi ya sekta tofauti.
Today I met the TIC Director General Gilead Teri in Dar es salaam to discuss boosting investments between Tanzania & Comoros. TIC plans to send 20 investors to Comoros by late June and organise monthly investment missions in various sectors from July to December 2024
JUST IN: Tanzania’s apparel exports to US market reach record high of $42m for 2018
Textile & Apparel is on an upswing in Tanzania and the sector is poised to be a major driver for investment and jobs in the near future.