Gilead Teri Profile Banner
Gilead Teri Profile
Gilead Teri

@GileadTeri

Followers
8,576
Following
7,219
Media
1,057
Statuses
8,684

Executive Director - Tanzania Investment Centre | Awarded Africa's BEST investment destination 2024 | gilead.teri @tic .go.tz

Citizen of the World
Joined March 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
Visiwa vya Zanzibar vina jumla ya hoteli 263 Hoteli 20 kati ya hizo zina hadhi ya Nyota Tano (*Five Stars) ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
73
360
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
Leo nimepata heshima ya kutoa mada katika mkutano wa wiki ya viwanda ya SADC unaofanyika Tanzania. Nimezungumza kuhusu nafasi tuliyonayo Tanzania kufaidika na @SADC_News kwa kuleta watu wetu karibu kupitia ujenzi wa miundombinu-unganishi, biashara, ajira & mitaji. Tutafanikiwa!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
41
282
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Tanzanian government is set to launch a $5.9 billion Agricultural transformation program set to impact more than 8 million farming households countrywide. The Agriculture Sector Development Program (ASDP)-Phase 2 will focus on linking agriculture to industrialization.
Tweet media one
17
134
228
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
Tanzania has 16 National parks 28 Game reserves 44 Game Controlled Areas 1 Conservation Area 2 Marine parks (Ministry of Natural Resources & Tourism 2015)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
98
222
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Pale unapoona jezi ya nchi yako imevaliwa na ‘mtazamaji’ wa mashindano ya magari ya langalanga “Formula One” nchini Ujerumani @F1 #GermanGP ) NB: Ujerumani ni nchi ya pili ya Ulaya kwa WINGI wa watalii wanaokuja Tanzania, baada ya Uingereza.
Tweet media one
Tweet media two
10
63
215
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Tanzania has tabled a bill to amend its public private partnership law with the aim of reducing bureaucracy and fast tracking approvals for new PPP projects.
8
84
212
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Gharama za kuomba KIBALI cha kazi kwa raia wa Afrika Mashariki anapotaka kwenda kufanya kazi katika nchi mwanachama wa @jumuiya EAC: Burundi: $60-84 Kenya: Hakuna ada Rwanda: Hakuna ada Tanzania (Bara): $100-1500 Zanzibar: $25-300 Uganda: Hakuna ada (IOM)
21
107
201
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Tanzania resumes transporting cargo to Uganda through its TRC central railway line after 10 years of suspended service. On June 24, 800tons of goods were transported from Dar port to Mwanza - then ferried via Lake Victoria to Port Bell Uganda in record-time of 3.5 days
Tweet media one
7
111
185
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
BREAKING: Bandari zinazoongoza kwa ufanisi wa kupakia na kushusha makontena Mashariki na Kusini mwa Afrika kwa mwaka 2019 Mombasa, Kenya Dar es salaam, Tanzania Durban, Afrika Kusini (World Bank 2019) Ripoti:
6
47
181
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
#TeriTweets WAZO LA LEO: Naomba KUWAKUMBUSHA watumishi wote wa umma wanaoleta ukiritimba kwa sekta binafsi kuwa mtakapostaafu kutumikia nafasi zenu, mtarudi kujiajiri na kuanzisha biashara. Ukiritimba mliouweka mtaukuta unawasubiri. Sisi tutakuwa tumeuzoea. Ninyi utawaumiza!
11
56
177
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Tanzania’s Agriculture Statistics: 90% of the agriculture land is under smallholder farmers 65.5% of total employment 65% of all industrial raw materials 30% of total export value 29.1% of GDP #ASDP2
Tweet media one
13
84
175
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
#TeriTweets UTAFITI wa Benki ya Dunia 2019 kwenye bandari 110 DUNIANI kote waonyesha Bandar ya Dar es salaam iko mbele ya Durban (Afrika Kusini) kwa ufanisi wa kupakia na kupakua makontena Nafasi ya Ubora Duniani: Mombasa - 43 Dar es salaam - 64 Dubran - 70 (World Bank 2019)
20
30
169
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
TAARIFA: Huu ni mwaka wa tatu mfululizo ambapo Tanzania INAUZA bidhaa nyingi ZAIDI nchini Kenya kuliko tunazonunua (trade surplus)
15
32
153
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
2/Uwanja wa Heathrow nchini Uingereza UNAMILIKIWA na KUENDESHWA na: Ferrovial (Kampuni ya Ujenzi ya Spain)-25% Qatar Inv Fund-20% Quebec Pension Fund -12.62% GIC-11.20% Alinda Capital Partners USA -11.18% China Inv Corp-10% University Superannuation Scheme-10% TUJIFUNZE.
10
45
156
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
OMBI langu kwako MTANZANIA ULIZA. ULIZA. ULIZA. Dadisi na kuuliza. Nenda ofisi za TIC, TANTRADE, TCCIA, Halmashauri kwa Afisa Biashara, nk - ULIZA ujue, ushiriki na kunufaika na MENGI ambayo Serikali ya Mhe Rais Dr Samia S. Hassan imeweka kwa ajili ya WAWEKEZAJI wa NDANI.
7
53
159
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Serikali iko mbioni kuzindua awamu ya pili ya mkakati wa uendelezaji wa sekta ya kilimo (ASDP Phase 2) Mkakati huu wa miaka mitano unakadiriwa kugharimu Tsh 13 trilioni na UTAPUNGUZA umasikini kwenye kaya za wakulima zaidi ya milioni 8 nchini kote.
Tweet media one
22
46
155
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
BREAKING: Government of Tanzania ELIMINATES and REDUCES different 54 licenses and fees AS AGREED with the private sector in the “Blueprint for improvement for regulatory environment”
4
45
153
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
3. UKIAGIZA bidhaa za mtaji (mashine, kichwa cha lori, nk) unapata PUNGUZO la 75% ya USHURU (Import duty) 4. Unaweza kuagiza bidhaa za mtaji na KULIPA VAT baada ya miezi MITATU (VAT defferment) 5. Ikiwa utahitaji, TIC wana jukumu KISHERIA kukutafutia MBIA wa UWEKEZAJI wako
6
41
155
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
Jana nilipewa heshima na @UONGOZI Institute, UDSM na @SADC_News kujadili maendeleo ya SADC pamoja na wazee wetu waliojitolea muda wao kwa ukombozi wa bara la Afrika na ujenzi wa jumuiya ya SADC - Mhe Rais Mstaafu B.W. Mkapa na Mhe Dr Simba Makoni Sikuistahili. Ninawashukuru.
Tweet media one
Tweet media two
17
22
135
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Tanzania’s National Budget Priorities 2018/19: Agriculture: Irrigation, Storage, Market access, Inputs production, Extension services & Research Manufacturing: Business environment strengthening Sectors: Textile Leather Meat Fisheries Edible Oil Pharmaceuticals
5
59
132
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Tanzania imeandaa muswada wa kurekebisha sheria ya ushirikiano ya serikali na sekta binafsi (PPP-public private partnership) ili kupunguza mlolongo wa uhakiki na kuongeza ufanisi wa kupitisha miradi mipya.
4
34
129
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
MWEZI wa Nane nitakujuza kuhusu kitu kinaitwa “BLUEPRINT” Wengi mmekuwa mkisikia juu ya “Mkakati wa Serikali wa Kuboresha Mazingira ya Biashara” maarufu kama “BLUEPRINT” Unahusu nini? Unatekelezwaje? Faida zake nini kwa wajasiriamali? Fuatana nami mwezi Agosti UIJUE #Blueprint
3
25
129
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
If at all you think SERENGETI is the ONLY World’s Best that Tanzania can offer........THINK AGAIN. . . . . . . . . . There is RUAHA. Twice the size. Double the safari offerings. Tripple the luxury. This is Jabali Ridge by @AsiliaAfrica
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
49
126
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Kupata FAIDA au MADARAKA sio lengo la mwisho. Lengo KUU ni kutumia faida na madaraka kama VITENDEA-KAZI vya kuboresha maisha yetu. Sekta binafsi na serikali ni MUHIMU kushirikiana ili kusaidia kuboresha maisha ya kila mtanzania.
7
23
122
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Women in Tanzania 51.3% of population 53.3% of workforce 54% of ALL micro & small businesses 60% have access to financial services By 2020 Tanzania WILL have financial services reach over 90% of women. (BoT)
4
60
125
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
JE WAJUA? Kwa muda wote katika bandari ya Singapore kuna wastani wa MELI 1,000 KILA BAADA YA DAKIKA 2-3 meli huwasili au kuondoka katika Bandari ya Singapore! #TeriTweets Singapore
4
22
115
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
6. UKIHITAJI ARDHI ya UWEKEZAJI wako, TIC watakutafutia na kukusaidia taratibu za kuimiliki 7. SEKTA ya Wachimbaji WADOGO wa MADINI ni LAZIMA Wawekezaji toka nje WASHIRIKIANE na WATANZANIA 8. UKIJISAJILI kama MWEKEZAJI TIC unapata CHETI CHA UWEKEZAJI ndani ya saa 24
3
38
115
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
TAARIFA MUHIMU: Tunatafuta UWEKEZAJI wa UHAKIKA kwenye KILIMO ili kupunguza uagwizwaji wa bidhaa kutoka nje (Mafuta ya kula, Ngano, nk) TUTATOA kipaumbele kwa kampuni za au zitakazoshirikiana na watanzania Mwekezaji AWE na mtaji wa kutosha, uzalishaji uanze ndani ya miezi 12-24
@InvestTanzania
Tanzania Investment Centre
10 months
🌐📌PUBLIC NOTICE
Tweet media one
Tweet media two
3
68
69
13
51
116
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Cargo traffic GROWTH at the Port of Dar es salaam, Tanzania between 2013-2017 Cargo to Rwanda: 11% Cargo to Malawi: 19.3% Cargo to Burundi: 4.4% Cargo to Uganda: 2.6% Cargo to Zambia: 2.4% Cargo to DR Congo: 1.3% (Tanzania Ports Authority)
Tweet media one
7
57
111
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Serikali yafuta kodi ya VAT kwenye taulo za kike (sanitary pads) kusaidia upatikanaji kwa gharama nafuu. Hongera @RebecaGyumi
0
20
108
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Tanzania STARTS to provide provisional environment impact assessment certificates from NEMC WITHIN 72 HOURS for NEW investors setting to open industries in Tanzania.
5
39
106
@GileadTeri
Gilead Teri
5 months
BREAKING: TIC wins Africa's MOST PROGRESSIVE investment agency 2024 award during World's Annual Investment Meeting (AIM) Innovation, investment surge & reforms were the areas we performed highest among Africa's IPAs. A global testimony to HE President Dr @SuluhuSamia leadership
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
5 months
TIC yapewa tuzo kwa uhamasisha uwekezaji Afrika
0
2
6
14
35
111
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Idadi ya mahitaji ya nguo nchini kwa mwaka ni nguo Mil 710 Uagizwaji nje wa nguo mpya - 170m Uagizwaji nje wa nguo za mitumba - 540m Uzalishaji wa nguo nchini kwa sasa ni nguo - Mil 20 (Mainly EPZ for export) Uzalishaji wa ndani ni sawa na 3% ya mahitaji #Fursa (UNComtrade)
2
43
100
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: @tpsftz yawachagua Mr. Salum Shamte (Katani Ltd) na Ms. Angelina Ngalula (Bravo Logistics) kuwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wake.
3
30
104
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
3/ Nchini Ujerumani 91% ya makampuni yote yanamilikiwa na familia (family controlled companies) Zaidi ya NUSU ya wafanyakazi wote nchini humo wanafanya kazi katika makampuni hayo Yanachangia; 44% ya mauzo nje (export) 55% ya mauzo ya sekta binafsi 57% ya ajira zenye pensheni
1
37
103
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Idadi ya Viwanda Tanzania Jumla: 53,876 Vikubwa: 251 Vya kati: 173 Vidogo: 6,957 Vidogo sana: 46,495 Viwanda vilivyojengwa chini ya serikali ya Awamu ya Tano ya Rais @MagufuliJP : 3,306 (Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, March 2018)
27
21
105
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Sekta ya Viwanda Tanzania 1961 Viwanda: 220 Ajira: 1% ya nguvukazi Mchango kwenye pato la taifa: 4% 2013 Viwanda: 49,243 Mchango kwenye pato la taifa: 5.6% 2017 Viwanda: 53,876 Ajira: 18.1% ya ajira rasmi Mchango kwenye pato la taifa: 5.5% (NBS)
15
40
97
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
2/2 GF Group ni mwekezaji chini ya TIC Kiwanda cha kuunda magari GF Assemblers Eneo:Kibaha, Pwani Mtaji:$5m Ajira:260 Kampuni tanzu ya GF Group Makao makuu:DSM Ajira:400 Pongezi kwa kampuni ya watanzania FUATILIA uzinduzi LIVE sasa://youtube.com/live/yu9KI1e7teo?feature=share
4
29
101
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
MWAKA 2020 utakuwa wa KIHISTORIA kwa bara la Afrika 43% ya wakazi watakuwa mijini 15% ya watu DUNIANI watakuwa Afrika Simu za mkononi zitawafikia 90% &intaneti ikitumiwa na 60% ya waafrika 75% ya huduma za benki zitapatikana kwa simu Waafrika 360m watakuwa wa KIPATO CHA KATI
11
27
94
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
Nchi zinazoendelea ZILIZOONGOZA kupata uwekezaji kutoka nje mwaka 2017 Myanmar - $4.68bn Ethiopia - $4.01bn Cambodia - $2.78bn Msumbiji - $2.31bn Bangladesh - $2.15bn Tanzania - $1.18bn DR Congo - $1.05bn Sierra Leone - $752m Uganda - $699m Kenya $671m
2
16
91
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Kwenye takwimu za DUNIA nzima, bara la Afrika lina 12% ya hifadhi za mafuta (oil reserves) 42% ya hifadhi za madini ya dhahabu 80-90% ya madini ya chromium na platinum 60% ya ardhi inayofaa kwa kilimo (Umoja wa Afrika AU)
4
31
93
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Delighted to see the Banking sector in Tanzania responding well to the BOT stimulus as well as current market needs. Major bank(s) have LOWERED their loan interest rates from 23% to around 17% INCREASED repayment period from 3/4 to 6/7 years. GOOD news for the private sector.
5
26
94
@GileadTeri
Gilead Teri
9 months
Wekeza kwenye sekta ya uchakataji samaki. Fursa bado ipo.
@CloudsMediaLive
Clouds Media
9 months
"Pembeni yetu kuna gari na hili ni mahsusi kwa ajili ya kusaidia uhifadhi wa samaki. Gari hili ukiliagiza wewe kama mwekezaji ushuru wake ni 0% maana yake Serikali imeondoa kodi ya ushuru wa forodha kwa ajili ya magari ambayo yatakusaidia wewe ambae utawekeza katika sekta ya
Tweet media one
43
68
1K
3
15
95
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Ushuru wa sigara na bia (local unmalted cereals) HAUTAONGEZEKA
9
21
90
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Jana jioni nilipata nafasi ya kuzungumza na wafanyabiashara wakubwa Tanzania juu ya kazi ambazo @tpsftz inafanya katika KUBORESHA mazingira ya biashara. Wanaridhika na maboresho yanayoendelea. Wangependa kuona ukaribu zaidi na serikali. Nimesisitiza local content na maadili.
Tweet media one
6
15
90
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
UKUAJI UWEKEZAJI TANGA Bomba la mafuta EACOP Ukuaji wa utalii baada ya Zanzibar-Tanga ferry Uhuishwaji wa Tanga Cement Upanuliwaji wa Huaxin Cement (Maweni) Kiwanda kipya cha Hengya Cement Upanuzi wa hoteli Lushoto Mashamba mapya Pangani Yajayo yanafurahisha! Hongereni Tanga!
@Abdulsamad_tz
Abdulsamad Abdulrahim
10 months
Ndugu zetu wa Chongoleani-Tanga na Kahama mkae mkao wa kula. Ubwabwa umewiva!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
34
271
3
29
91
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Sekta ya viwanda vya magari nchini Afrika Kusini (2014): 22% Asilimia ya magari YOTE yanayoundwa nchini Afrika Kusini na KUUZWA nchi za SADC $2.9 BILLION Thamani ya magari yanaoundwa Afrika Kusini na KUUZWA barani Afrika. (Ni 27% ya mauzo ya magari yote kutoka Afrika Kusini)
2
21
83
@GileadTeri
Gilead Teri
9 months
Mwaka 2024 ni MWAKA wa Mtanzania KUWEKEZA Weka LENGO la kuanzisha mradi, biashara au uwekezaji wako. Mwaka HUU usipite bila KUANZISHA mradi wako. TIC tuna jukumu KISHERIA kukuongoza. Njoo tukusaidie. #MwakaWaUwekezaji2024
@InvestTanzania
Tanzania Investment Centre
9 months
Safiri nasi kesho tarehe 02.01.2024 katika kipindi cha Power Breakfast #cloudsfmtz kuanzia saa 12:30 Asubuhi #usipangekukosa #2024mwakawauwekezaji #uwekezajiwandani #wekezaTanzania 2024 usikupite bila kutekeleza mradi wako! Anza sasa!
Tweet media one
Tweet media two
0
5
15
1
31
87
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
Tourism in Tanzania Tanzania provides eVisa. There are 68 countries whose nationals DO NOT REQUIRE visa to visit Tanzania. There is no reason for you not to see Mt. Kilimanjaro, Serengeti or Zanzibar in your lifetime! #Unforgettable Tanzania
Tweet media one
2
33
81
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
BREAKING: Tanzania’s FIRST EVER mortgage refinancing bond subscribed by 104%
Tweet media one
2
49
79
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
The following products WILL face a higher tariff in Tanzania in 2018/19: Edible Oil Safety Matches Iron products Chewing gums Sweets Chocolates Tomato sauce Meat Sausages Biscuits Mineral water (from 25% to 60%)
11
43
80
@GileadTeri
Gilead Teri
6 months
Karibuni sana! Tunaanza sasa!
1
36
81
@GileadTeri
Gilead Teri
5 years
TOFAUTI kati wa “walionacho” (the Haves) na “wasionacho” (the Have nots) INAONGEZEKA (Gini Coefficient) 2012: 35.8% 2018: 39.5% Kwa mkoa wa Dar es salaam, tofauti hii ni KUBWA zaidi 2012: 36% 2018: 43% ( @NBSTanzania )
4
26
80
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
“Rushwa hutokea pale serikali inapoingilia mifumo ya ufanyaji kazi wa masoko (sekta binafsi) kwa kuweka udhibiti (regulations)” - Milton Friedman (Mchumi na mshindi wa tuzo ya Nobel kwenye uchumi)
0
20
82
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Two LARGEST animal migrations in Africa Tanzania’s Serengeti Wild Beast Migration: Over 1,000,000 Wildebeest Over 100,000 other animals Routine distance: 500km Botswana’s Northern Zebra Migration: 20,000 - 25,000 zebra 3,000 - 10,000 Blue Wildebeest Routine distance: 482km
Tweet media one
Tweet media two
1
49
80
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Moja ya mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Nne ya Mhe. Dr @jmkikwete ilikuwa ni kuwekeza katika miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji. Eneo la umwagiliaji 2005/6 - Hekari 264,338 2014 - Hekari 461,326 Eneo linalolimwa nchini LILIONGEZEKA kwa 148% #ASDP1
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
29
78
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Hadi kufikia 2013,katika KUTAFUTA (exploration) mafuta na gesi Tanzania,visima 67 vilikuwa vimekwisha kuchimbwa. 53 vikiwa ardhini (onshore) 14 vikiwa baharini (offshore) Tanzania inakadiriwa kuwa na hazina ya gesi asilia futi za ujazo Trilioni 57 (TCF-trillion cubic feets) EU
Tweet media one
4
36
74
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
UZALISHAJI wa mbogamboga Tanzania (Kwa Kilo) Nyanya: 962,684 Kabeji: 457,151 Vitunguu maji: 150,249 Mchicha: 39,220 Chinese: 11,999 Maharage ya kijani (Green beans): 10,068 Karoti: 6,397 Njegere: 6,421 (Wizara ya Kilimo 2016) #NaneNaneDay
6
28
71
@GileadTeri
Gilead Teri
10 months
Denmark is one of the most diverse and robust investor in Tanzania. Danish interests range from logistics, manufacturing, agriculture to energy & infrastructure development. As investment facilitator, we benefit greatly through closely working with Embassy's commercial officials
@TanzaniaInsight
Tanzania Business Insight
10 months
SAMIA'S DIPLOMATIC CHARM OFFENSIVE PAYS OFF 𝗗𝗲𝗻𝗺𝗮𝗿𝗸 𝗿𝗲𝘃𝗲𝗿𝘀𝗲𝘀 𝗱𝗲𝗰𝗶𝘀𝗶𝗼𝗻 𝘁𝗼 𝗰𝗹𝗼𝘀𝗲 𝗶𝘁'𝘀 𝗲𝗺𝗯𝗮𝘀𝘀𝘆 𝗶𝗻 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 The move comes following talks last month between Tanzania's foreign affairs minister, January Makamba, and his Danish
Tweet media one
5
36
109
3
21
79
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
UIMARA WA SHIRIKA LA NDEGE @AirTanzania UTALETA faida kwenye pato la taifa wastani wa $100 KWA KILA mkazi wa Dar (spill-over per capita contribution) NA KUONGEZA ukuaji wa sekta ya utalii kwa 10%,sawa na Bilioni 800 kwa mwaka (AirTransportActionGroup) #Dreamliner @MagufuliJP
12
21
75
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
JUST IN: New @tpsftz Board Members (2) Women: Fatma Kange Salehe (GS 1) Agriculture: Jacqueline Nkindi (TAHA) Commerce: Octavian Mshiu (TCCIA President) Transportation: Angelina Ngalula (Bravo Logistics) Mining: Simon Shayo (Geita Gold Mine)
6
19
69
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
4/4 Sekta ya mbogamboga (horticulture) 2017 KENYA Thamani: $115bn (19.4% total exports) $82bn kutoka kwenye maua pekee. Kenya Airways INAANZA kupeleka mbogamboga USA ambako soko linamilikiwa na Latin America kwa 71% Kama unaona HATUHITAJI ndege,basi sisi tulime,jirani auze!
5
17
73
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
Average lifespan of small businesses in Tanzania 4.1 years.
14
35
72
@GileadTeri
Gilead Teri
5 months
Mtanzania YEYOTE ambaye angependa kushiriki kwenye Ujumbe wa TIC kwenda Comoro kuangalia FURSA za uwekezaji: Tuandikie barua pepe: info @tic .go.tz Wasiliana na Afisa Dawati wetu anayesimamia Comoro: Mr Kassim Said -0713 080 912 KILA MWEZI tutakwenda na makundi ya sekta tofauti.
@yakubu_saidi
Saidi Othman Yakubu
5 months
Today I met the TIC Director General Gilead Teri in Dar es salaam to discuss boosting investments between Tanzania & Comoros. TIC plans to send 20 investors to Comoros by late June and organise monthly investment missions in various sectors from July to December 2024
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
10
19
7
26
73
@GileadTeri
Gilead Teri
6 years
JUST IN: Tanzania’s apparel exports to US market reach record high of $42m for 2018 Textile & Apparel is on an upswing in Tanzania and the sector is poised to be a major driver for investment and jobs in the near future.
6
25
69