Nasikitika kupoteza moja ya pikpiki zangu ambayo ilikua inafanya kazi yombo- vituka Leo saa 7: 42 mchana kwa yeyote ambaye atapata kuiona au kuwa na taarifa yeyote naomba tuwasiliane 0689547930
Note: Zawadi kwa yeyote atakatefanikisha kupatikana🙏🏽
Ukipewa mtaji wa 30M sasaivi utawezekeza kwenye biashara gani ambayo utaweza kurudisha iyo hela ndani ya miezi 6 na ukabaki na iyo biashara ikiwa imesimama?
Wanatakiwa vijana 10 kwa siku utalipwa 10k utapewa chakula na pakulala Kama uko tayari nicheki nikupe maelezo zaidi usiwe unatumia kilevi wala tabia za kihuni, Ahsante 🙏🏽
Wewe kila mwanaume unamtaka unataka uwe na kila mtu ambaye anamuonekano mzuri au smart unadhani hao unaowahitaji wewe wao wanahisia na wewe?
Unajirahisisha kwao ukitegemea wao wanahisia na wewe utatumiwa na utaachwa kila siku wanaume hawaamini wanawake wanaojirahisisha kabisa.
Kuna manzi nasubiri afungue tu mdomo wake amkanyagie mwanangu yeyote nitampika mpaka atafuta App maana Nina ushaidi mwingi sana yaan Cheka tu mama Ila ukifungua mdomo nitakachokufanya 😂
Imagine mzazi umekaa unaona video ya mwanao akiongea hivi?
au imagine umeoa mwanamke wa Aina hii umechill zako watu wanakuonyesha video ya mkeo hii hapa….
Wanaume tunapitia Mengi sana 😖
Nilikua siamini kabisa,
Nilienda nachingwea-Lindi nilifikia lodge ya pale mjini Usiku wake nilikua naitwa na mtu dirishani nikadhani ni wenge la pombe Oyaa mida ya saa 9 nilivutwa mguu na mtu nashtuka hakuna mtu then nasikia naitwa nje sitakaa nisahau mpaka nakufa 😂🙌🏾
“Mimi siwezi kutoka na manzi wa X kwanza wote vibungo”
Mbwembwe kibao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Alikiba ndio msanii pekee Tanzania ameweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu bila kushuka kimziki, ameonyesha anaweza kubadilika kulingana na Soko linavyotaka hii Ndio maana ya Msanii, Hongera sana kwake 🙌🏾
Hakuna mtu aliefanikiwa ambaye anaweza kukufata na kukupa mbinu za kufanikiwa kwake bali kikubwa ni kujichanganya na watu, nidhamu na uvumilivu watu uwapa siri zao watu wanaowaamini hivyo jitahidi kutengeneza uaminifu kwa watu ili upewe Siri ya mafanikio.
“Ukweli utabaki kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imewekeza sana katika kuboresha huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto ambapo kwa sasa asilimia 81 ya wajawazito nchini wanajifungulia katika vituo vya kutoa huduma za Afya.”
Waziri wa Afya Mhe…
Ila ifike stage Kama Hauna muda na mtu muweke wazi mapema Tabia ya kumuacha mtu anawekeza muda,pesa na akili yake kwako then unakuja kumwambia habari za unataka kuolewa vifo vya kuuana haviwezi kupungua 🙌🏾
Ukimuona mwanamke mzuri njiani amependeza mwenyewe na unajua kabisa hutaweza kumuhudumia usipotezee muda wako kujinukisha mdomo endelea na mitikasi yako!