fezoomaster Profile Banner
fezoo Profile
fezoo

@fezoomaster

Followers
13K
Following
129K
Media
4K
Statuses
175K

ADUI๐Ÿ’€

Tanzania
Joined April 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@fezoomaster
fezoo
1 year
Hela ngumu mno wazee ukipata nafasi ya kuibia serekali ww iba tu.
74
321
822
@fezoomaster
fezoo
12 hours
RT @koku_shekya: Nikiangalia movie kwenye cm ndio naelewa vizuri kuliko kwenye Tv jamani shida itakuwa nini ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜….
0
2
0
@fezoomaster
fezoo
12 hours
RT @SharonMontana20: Hawa wadada Wa Germany wanacheza Mpira mzuri Ila hawa wa Sweden Ni Maridadi ๐Ÿ‘๐Ÿ‘.
0
4
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @rovicofficial__: Mzazi Wako Akikwambia Umwache Huyo My Wako Uko Tayari. ???.
0
13
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @MsFrancic: Good Morning watu wa Mungu.Naombeni mnipe hizo 3k zenu, hii soon itatoka kwa soko mtaikumbuka nyie hayeni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ .
0
24
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @prossoff: Mwanamke wa kuoa hatoki geto, haishi kitaa kwenye chumba chake au nyumba yake wakati hana kazi specific iliyofanya atoke kwaoโ€ฆ.
0
44
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @Thereal_taivina: Awamu ya tano ndo ulitengenezwa mfumo wa Machawa au labda nyuma ulikuwepo ila hakukuwa na mitandao sana hatukuona ilikโ€ฆ.
0
16
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @prolific_88: Dada yenu Diva jana kajaa kwa mkude kajibiwa kihuni sana lakini hakuzima mic.
0
2
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @mlinganya: Umemtext "Good morning Angel ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜" wakati mwenzako kaamkia kwenye kitanda cha mwanaume mwingine. Anyway huna akili.
0
10
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @son_noeli: Ukionaa mtu anaanza na โ€œ sio kwa ubayaaโ€ we juaa huyo anatafutaa ubayaa na ugomvii tuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ
Tweet media one
0
14
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @CharlieBihemo: IRINGA MJINI . Kwanini mmemfanyia hivi Peter MSIGWA.
0
1
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @fumbokhanJr: Mkude anasema maneno haya, na Huyu ndio Mkongwe haya mimi ni Nani mpaka niwahi kuoa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tweet media one
0
42
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @DullahTheking2: "Katam Video" kila ilipokuwa ikijaribu kuifukuzia namba moja pale Yuchubu, ilikuwa ikipambana na ukuta wa PAWA. "Haโ€ฆ.
0
20
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @anuskills3: Kwenye Maisha unahitaji mtu kama Doto magari yeye atakusupport hata kama watu watakukataa.!!๐Ÿ˜‚.
0
15
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @bukujero_1500: Bongo hakuna msanii mwenye consistency ya mavazi yake kama yule msanii wa Doto magari ๐Ÿ˜‚.
0
25
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @mee_nicodemus: Ninachoamini Mohamed Hussein na Shomari Kapombe watacheza pale Simba mpaka wazeeke.
0
9
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @DullahTheking2: Nadhani Mchomvu ni miongoni mwa Prizentaz waliokuwa wakimkubali sana RUGE. Hili linaonekana kwa kila Intavyuu anayofanโ€ฆ.
0
32
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @apvmpkin: Mtu kavaa suti anauza maji kwenye mkokoteni alafu ananiuliza vipi unaionaje serikali, ananionaje bhana ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
0
37
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @JumaAlliMwiguru: Wachezaj Wa Chelsea Baada Ya First Half Dhid Ya PSG ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Tweet media one
0
14
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @prossoff: Oa mwanmke ambae ukikosea wewe, analalamika, unamfokea then anakuomba msamaha yeye.
0
58
0
@fezoomaster
fezoo
13 hours
RT @Fefe_doll: Naombeni list ya single movies zilizotoka 2024/2025 ๐Ÿ™๐Ÿผ.
0
30
0