WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA
@gcumod
Followers
18K
Following
49
Media
348
Statuses
367
Karibu katika ukurasa wa Twitter wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Dodoma , Tanzania
Joined April 2018
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA
101
34
310
KATIBU MKUU WA WIZARA YA ULINZI NA JKT AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA FINLAND TANZANIA.
4
2
12
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI WA ULINZI WA UJERUMANI
0
1
5
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA OPERESHENI ZA ULINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI UJERUMANI.
0
4
13
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax (Mb) tarehe 13, Mei 2025 akiwasili katika Ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya Kikao cha Mawaziri wa Ulinzi na Mawaziri wa Mambo ya Nje,jijini Berlin, Ujerumani
0
2
5
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Tax (Mb) Akiweka Jiwe la Msingi katika Mradi wa Ujenzi wa Nyumba ya Mapadri Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kabila Magu mkoani Mwanza.
1
3
12
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 4 Mei 2025, ameweka jiwe la Msingi katika Mradi wa Ujenzi wa nyumba ya Mapadri wa Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kijiji cha Kabila, Magu mkoani Mwanza.
3
1
12
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena L. Tax (Mb.) Tarh 2 Mei 2025 amehakiki taarifa zake kama Mpiga Kura katika kituo cha Uhakiki Kata ya Itumbili, Magu mkoani Mwanza. Mara baada ya zoezi akatoa wito kwa Watanzania kujitokeza kuhakiki taarifa zao.
2
0
12
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Dkt Stergomena Lawrence Tax katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, ( MEI MOSI) Singida, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan alikuwa Mgeni Rasmi.
1
3
8
Hongera Sajenti Alphonce Felix Simbu
0
9
31
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Alphonce Felix Simbu, tarehe 21 Aprili, 2025 aliipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika medani ya michezo kwa kuibuka mshindi wa Pili katika mbio maarufu Duniani za Boston Marathon
3
9
30
Timu ya Wizara ya Ulinzi ya Mpira wa Kikapu ya wanawake tarehe 24 Aprili, 2025 imefanikiwa kutinga fainali ya michezo ya Mei Mosi Taifa baada ya kuichakaza bila huruma timu ya Utumishi kwa jumla ya vikapu 105 - 51.
0
1
4
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 23 Aprili 2025, amefanya ziara na kukagua miradi ya maendeleo katika Kikosi cha Msange JKT pamoja na Kituo cha Mafunzo ya Kijeshi Kalunde (Kalunde Training Centre) mkoani Tabora
0
2
9