Ipo siku watu waliokukataa kwenye maisha yako watarudi kwako baada ya kukatishwa tamaa na wale waliowaamini kuwa ni bora kuliko wewe. Usiwaamini tena waache waende✍
Gm fam 🙌 ❤
Laiti kama Tanzania ingekuwa nchi yangu yani ningekuwa raisi basi picha yako ndo ingekuwa pendera ya taifa langu 🥰 ukiachilia mbali wanyama wewe pia ni kivutio cha utalii u are more than the word beautiful itself
Happy birthday ma queen 👸 💓
Usimdharau mtu kwasababu yoyote ile, kwa kuwa unayemdharau leo, kesho unaweza hitaji msaada wake, leo ya mtu inaonekana lakini kesho yake ni fumbo ✍
Gm fam 🙌 ❤
Shikilia Imani yako ndugu yangu mungu akitaka kukutendea jambo lazima akupitishe kwenye jaribu kumbuka hata Ayubu hakutaka Kumuasi Mungu kwa mitihani alio pitia na Mungu akamponya Kisha akamuongezea utajiri ✍
Gm fam ❤🙏
Bila kudharauliwa na kusemwa vibaya na watu hatuwezi kujitengenezea heshima. Wakati mwingine dharau zao ndio zinatufanya tupambane kutimiza Malengo yetu ✍
Gm fam 🙌 ❤
Asilimia 99 ya Ndoto au maono yetu Yanashindwa kutimia inatavyotakiwa,ni kwasababu tunafungua midomo yetu mapema sana kwa watu wasio sahihi na kwa wakati usio sahihi ✍
Gm fam 🙌 ❤
Riziki inatoka kwa Mungu sitochoka kusubiri maana najua wakati wake ni sahihi na rehema zake hazikawii. Kwa uvumilivu na Imani Baraka zake zitafika kwa wakati kila jambo Lina wakati wake na mungu hafanyi makosa✍
Gm fam 🙌 ❤
Baadhi ya watu watakupa mapenzi bila wewe kuwapa chochote, na baadhi Yao watakupa maumivu baada ya wewe kuwapa kila kitu💔 ndo binadamu tulivyo
Gm fam 🙌 ❤
Unifanye kusikia fadhili zako asubui, kwa maana nimekutumaini wewe. Unijulishe njia nitakayoiendea, kwa maana nakuinulia nafsi yangu.✍ zaburi 148:8
Gm fam ❤🙏
Ikawa wakati ulipowadia Hana akachukua mimba na kuzaa mtoto mwanaume; akamwita Jina lake samweli, akisema kwakuwa nimemwomba kwa bwana. 1 samweli 1:20
Wakati wa bwana ukiwadia hakuna anayeweza kuuzuia✍
Gm fam ❤🙏
Usijikatie Tamaa tambua mungu hajakukatia tamaa. Kubali kwamba umepoteza lakini usikubali kwamba hutoweza tena mtangulize mungu Kisha songa mbele 🙏✍
Gm fam 🙌 ❤
Tabia yako ndio pasipoti yako kuelekea kwenye fursa mbalimbali hata kama una ujuzi na elimu kubwa kiasi gani,tabia na jinsi unavyoshirikiana na watu ndivyo vitafungua milango ya fursa✍
Gm fam 🙌 ❤
Kuwa na utashi wa akili ni pamoja na kuelewa ya kwamba maisha Kuna sehemu huwa yanaitaji ushamba zaidi kuliko ujanja,ili kuendelea kujifunza vitu vipya na kukua✍
Gm fam 🙌 ❤ 💖
Jifunze kuwa na tabia njema kwa kila mtu pili uwaminifu ni ngao kubwq katika maisha mtu anaweza kusamehe unapo mkosea lakini asikuamini tena unapopoteza Imani yake kwako✍
Gm fam 🙌 ❤
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema bwana, ni mawazo ya Amani wala si ya Mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.✍
Yeremia 29:11
Gm fam 🙌 ❤
Dunia bado ina watu wengi wazuri na wema. Bahati mbaya tunapoteza muda mwingi tukitaka kuwaelewa watu wabaya wachache waliotuzunguka na kujikuta tunachelewa kukutan na wema wengi wanaotusubiri mbele ✍
Gm fam 🙌 ❤
Kuna mda unapitia wakati mgumu kwenye maisha mpaka mtu anayekuambia usikate tamaa ndo unamuona ni mchawi kwenye maisha yako aise mungu atutie nguvu tu🙏✍
Mtu akisema nampenda mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo , kwa maana asiyempenda ndugu ambaye amemwona hawezi kumpenda mungu ambaye hakumwona.✍️
1 yohana 4:20
Gm fam 🙏🤗
Bro punguza kutongoza madem ambao sio level yako ili uache kulia Lia madem wanapenda hela kama level zako ni beki 3 wa elf 5 tulia nao sio unaombwa elf 50 unazima cm na kusema madem wanapenda hela 🚮
Amini kuwa kilicho chako kitakuja pamoja na udhaifu wako na kisicho chako huwezi kukipata pamoja na nguvu zako zote mungu akupe hitaji LA moyo wako✍
Gm fam ❤ 🙏
Ronaldinho akiwa kwenye ubora wake na Neymar jr akiwa kwenye ubora wake I will pick neymar 🔥 over dinho
Apa nazungumzia wote wakiwa barca kwenye ubora wao kabisa. For me neymar is a nightmare 🔥