kijana mpole Profile Banner
kijana mpole Profile
kijana mpole

@BesteNicolas

Followers
3,065
Following
4,217
Media
995
Statuses
24,301

NOTHING SERIOUS HERE✍

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@BesteNicolas
kijana mpole
21 days
Qmmk mwezi umeanza vzr san huu😋 Hili baridi limemtesa san mshangazi wangu😋
Tweet media one
78
19
284
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Kama kweli unafatilia mziki wa 🦁 niambie hii nguo kavaa huyu dada. Diamond platnam alivaa kwenye nyimbo gani? Na huo wimbo ulitoka mwaka gan??🤨🤔
Tweet media one
27
16
166
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Wakuuu kwani nyie uwaga mnafanyaje mpaka mnamiliki mashangazi ?🤔 Cheki nilichokutana nacho ni huzuni👇👇🥲🥲
Tweet media one
56
18
160
@BesteNicolas
kijana mpole
28 days
Nipeni maua yangu😎
Tweet media one
55
13
116
@BesteNicolas
kijana mpole
19 days
Sio kwamba tuna vimba hapana ni vile muda wa kunyenyekea watu wasio na Faida kwetu umeisha ✍
8
34
112
@BesteNicolas
kijana mpole
15 days
Sisi ni wale ambao huwa tunaamini kila linalokuja mbele yetu basi ni mpango wa Allah ✍ Gm fam 🙌 ❤
14
26
93
@BesteNicolas
kijana mpole
25 days
Ipo siku watu waliokukataa kwenye maisha yako watarudi kwako baada ya kukatishwa tamaa na wale waliowaamini kuwa ni bora kuliko wewe. Usiwaamini tena waache waende✍ Gm fam 🙌 ❤
23
37
94
@BesteNicolas
kijana mpole
27 days
Laiti kama Tanzania ingekuwa nchi yangu yani ningekuwa raisi basi picha yako ndo ingekuwa pendera ya taifa langu 🥰 ukiachilia mbali wanyama wewe pia ni kivutio cha utalii u are more than the word beautiful itself Happy birthday ma queen 👸 💓
Tweet media one
25
19
89
@BesteNicolas
kijana mpole
10 days
Akasema yasiowezekana kwa wanaadam yawezekana kwa mungu. Luka 18: 27 ndugu yangu ukiona jambo huwezi kulitatua mwambie mungu ✍ Gm fam ❤ 🙏
31
40
88
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Oyaa wakuu uwaga mnatumia mbinu gani kubadilisha channel kwenye situation kama hii??🤔
Tweet media one
20
13
87
@BesteNicolas
kijana mpole
18 days
Usimdharau mtu kwasababu yoyote ile, kwa kuwa unayemdharau leo, kesho unaweza hitaji msaada wake, leo ya mtu inaonekana lakini kesho yake ni fumbo ✍ Gm fam 🙌 ❤
26
29
82
@BesteNicolas
kijana mpole
20 days
Shikilia Imani yako ndugu yangu mungu akitaka kukutendea jambo lazima akupitishe kwenye jaribu kumbuka hata Ayubu hakutaka Kumuasi Mungu kwa mitihani alio pitia na Mungu akamponya Kisha akamuongezea utajiri ✍ Gm fam ❤🙏
21
32
79
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Bila kudharauliwa na kusemwa vibaya na watu hatuwezi kujitengenezea heshima. Wakati mwingine dharau zao ndio zinatufanya tupambane kutimiza Malengo yetu ✍ Gm fam 🙌 ❤
17
34
77
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Asilimia 99 ya Ndoto au maono yetu Yanashindwa kutimia inatavyotakiwa,ni kwasababu tunafungua midomo yetu mapema sana kwa watu wasio sahihi na kwa wakati usio sahihi ✍ Gm fam 🙌 ❤
21
33
75
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Ulivyoamka leo kuna mtu alivuta pumzi yake ya mwisho. Kulala inawezekan ni kawaida lakini kuamka ni neem kubwa✍️tumshukuru Mungu🤲 Gm fma 🙏💙
19
26
76
@BesteNicolas
kijana mpole
8 days
@mangekimambi Wasukuma reli wanavyoangalia hii post mda huu😂😂😂
Tweet media one
6
5
73
@BesteNicolas
kijana mpole
14 days
Riziki inatoka kwa Mungu sitochoka kusubiri maana najua wakati wake ni sahihi na rehema zake hazikawii. Kwa uvumilivu na Imani Baraka zake zitafika kwa wakati kila jambo Lina wakati wake na mungu hafanyi makosa✍ Gm fam 🙌 ❤
21
27
68
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Baadhi ya watu watakupa mapenzi bila wewe kuwapa chochote, na baadhi Yao watakupa maumivu baada ya wewe kuwapa kila kitu💔 ndo binadamu tulivyo Gm fam 🙌 ❤
23
28
69
@BesteNicolas
kijana mpole
22 days
Wazululaji wenzangu hiki kisiwa kipo mkoa gani apa TZ?? 🤨
Tweet media one
25
10
68
@BesteNicolas
kijana mpole
22 days
Kuondoa watu wasiofaa katika maisha yako Kunakupa matokeo chanya usishushe thamani yako kwa kutaka kuwa rafiki wa kila mtu ✍ Gm fam 🙌 ❤
16
23
63
@BesteNicolas
kijana mpole
12 days
Unifanye kusikia fadhili zako asubui, kwa maana nimekutumaini wewe. Unijulishe njia nitakayoiendea, kwa maana nakuinulia nafsi yangu.✍ zaburi 148:8 Gm fam ❤🙏
18
32
63
@BesteNicolas
kijana mpole
28 days
Wazo LA leo; Kwa Amani ya moyo wako usijaribu kujua ukweli wa kila jambo✍ Bless week 🙏
14
23
60
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Japo na magumu mengi tunayopitia lakini hatukati tamaa kwa maana palipo na mateso mengi ndipo palipo na ushuhuda ✍️ Gm fam 🙏
18
22
61
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Hataiweje usiruhusu ndoto yako kufa. Mungu amekupa hiyo ndoto kwasababu maalumu, ipambanie✍️ Gm fam 💙🙏
20
23
59
@BesteNicolas
kijana mpole
26 days
Tazama, mimi ni Bwana, MUNGU wa wote wenye mwili; je Kuna neno gumu lolote nisiloliweza.✍ Yeremia 32:27 kwake yote yanawezekana✍ Gm fam 🙌 ❤
21
32
56
@BesteNicolas
kijana mpole
10 days
Makande aisee 😑 vp wewe?? 🤨🤔
Tweet media one
24
20
58
@BesteNicolas
kijana mpole
6 days
Yani mtu amjuani lakini umepewa ruhusa ya kuangalia mpaka tako aise🤔🤨
29
19
56
@BesteNicolas
kijana mpole
19 days
Ikawa wakati ulipowadia Hana akachukua mimba na kuzaa mtoto mwanaume; akamwita Jina lake samweli, akisema kwakuwa nimemwomba kwa bwana. 1 samweli 1:20 Wakati wa bwana ukiwadia hakuna anayeweza kuuzuia✍ Gm fam ❤🙏
16
24
55
@BesteNicolas
kijana mpole
27 days
Hata tulipo amua kuthubutu kujaribu kuthubutu kwetu ikawa kikwazo kwao lakini tulipo amini Mungu hamtupi mja wake kujaribu kwetu kukatuletea mafanikio✍ Gm fam 🙌 ❤
11
22
53
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Usijikatie Tamaa tambua mungu hajakukatia tamaa. Kubali kwamba umepoteza lakini usikubali kwamba hutoweza tena mtangulize mungu Kisha songa mbele 🙏✍ Gm fam 🙌 ❤
20
23
56
@BesteNicolas
kijana mpole
8 days
Ni issue gani huwezi kabisa kuongea na mpenzi wako ?? 🤔🤨 Me; my background issue hii siwezi 🙁
24
20
53
@BesteNicolas
kijana mpole
6 days
Huyu dem akipona afanye kumpa julip hata kwapa alambe aisee mwana kapokea spana nyingi leo😂😂😁
Tweet media one
24
15
56
@BesteNicolas
kijana mpole
23 days
Tabia yako ndio pasipoti yako kuelekea kwenye fursa mbalimbali hata kama una ujuzi na elimu kubwa kiasi gani,tabia na jinsi unavyoshirikiana na watu ndivyo vitafungua milango ya fursa✍ Gm fam 🙌 ❤
12
15
52
@BesteNicolas
kijana mpole
28 days
Kuwa na utashi wa akili ni pamoja na kuelewa ya kwamba maisha Kuna sehemu huwa yanaitaji ushamba zaidi kuliko ujanja,ili kuendelea kujifunza vitu vipya na kukua✍ Gm fam 🙌 ❤ 💖
10
26
53
@BesteNicolas
kijana mpole
16 days
Jifunze kuwa na tabia njema kwa kila mtu pili uwaminifu ni ngao kubwq katika maisha mtu anaweza kusamehe unapo mkosea lakini asikuamini tena unapopoteza Imani yake kwako✍ Gm fam 🙌 ❤
17
24
50
@BesteNicolas
kijana mpole
20 days
Nimefanya makosa mengi kwenye maisha yangu lakini siwezi anzisha ogomvi sehemu ambapo hakuna wa kutuachanisha 😁
8
23
53
@BesteNicolas
kijana mpole
13 days
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema bwana, ni mawazo ya Amani wala si ya Mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.✍ Yeremia 29:11 Gm fam 🙌 ❤
20
21
51
@BesteNicolas
kijana mpole
30 days
Daima uwe tayari kuishi peke yako, watu wengi hubadili ghafula. Leo wewe ni muhimu kwao kesho wewe sio kitu kwao na haya ndio maisha halisi✍
12
25
51
@BesteNicolas
kijana mpole
11 days
Nao watapigana nawe; lakini hawatashinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema bwana, ili nikuokoe ✍ Gm fam ❤ 🙏
13
22
51
@BesteNicolas
kijana mpole
13 days
Kifaa kipi aujakitumia hapa ?? Me; 2 👇
Tweet media one
21
14
50
@BesteNicolas
kijana mpole
11 days
Duuh wakuu anafaa kuwa mama wa watoto wangu kweli huyu?? 🤔🤨
Tweet media one
20
13
49
@BesteNicolas
kijana mpole
21 days
Dunia bado ina watu wengi wazuri na wema. Bahati mbaya tunapoteza muda mwingi tukitaka kuwaelewa watu wabaya wachache waliotuzunguka na kujikuta tunachelewa kukutan na wema wengi wanaotusubiri mbele ✍ Gm fam 🙌 ❤
21
31
49
@BesteNicolas
kijana mpole
11 days
Ni starehe gani huwezi fanya hata ushawishiwe vipi?? 🤔🤨 Me; kununu Malaya na pombe 🚮
15
14
49
@BesteNicolas
kijana mpole
6 days
Yasingekuwepo matatizo katika maisha tusingewajua ndugu wa kweli na marafiki wa kweli ✍ Gm fam ❤ 🙏
31
26
50
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Usiogope kukosea kwasababu maisha ayajaja na maelekezo. ✍️ Gm fam have a bless week 🙏❤️
18
22
48
@BesteNicolas
kijana mpole
6 days
Kuna mda unapitia wakati mgumu kwenye maisha mpaka mtu anayekuambia usikate tamaa ndo unamuona ni mchawi kwenye maisha yako aise mungu atutie nguvu tu🙏✍
22
21
47
@BesteNicolas
kijana mpole
6 months
Hii kitu ni tamu zaidi ya nyama😋😋 Kwa kilugha chenu inaitwaje??🤔
Tweet media one
21
7
46
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Tujifunze kuishi na watu vizuri Kuna muda heshima na nidhamu inaweza kukupeleka ambapo bidii haiwezi kukufikisha ✍ Good morning family 🙏❤
21
18
47
@BesteNicolas
kijana mpole
9 days
Hivi mlisema ni biashara gani unaweza fanya bila mtaji?? 🤔🤨
27
14
46
@BesteNicolas
kijana mpole
8 days
Sema wanawake bhana acheni huu ujinga wenu mtakuja kupoteza wanaume wenye malengo dem nimetogoza leo na leo leo vizinga qmmk nimeblock namba 🚮
Tweet media one
33
15
47
@BesteNicolas
kijana mpole
9 days
Ety wakuu msaada?? 🤔🤨
Tweet media one
39
16
47
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Eti ni kweli chips Zinamaliza nguvu za kiume??🤔
Tweet media one
10
7
45
@BesteNicolas
kijana mpole
21 days
Daah asubui yote hii mtoto anautaka 😁 anilipe shingapi wakuu?? 🤔🤨
Tweet media one
19
9
45
@BesteNicolas
kijana mpole
7 days
Ukweli usemwe naumiaga san nikiona mashabiki wa simba wanafuraha 😭staki wapate hata Sare hawa😭
22
15
44
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Mtu akisema nampenda mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo , kwa maana asiyempenda ndugu ambaye amemwona hawezi kumpenda mungu ambaye hakumwona.✍️ 1 yohana 4:20 Gm fam 🙏🤗
15
16
45
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Hakikisha furaha yako haitokani na machozi ya mtu mwingine ✍ Gm fam 🙏🤝
9
21
44
@BesteNicolas
kijana mpole
18 days
Ukiachana na mimi kwasababu naweza je? Kuna mwanaume mwingine yoyote anaweza pindua kwenye huu mtego?? 🤔🤨
Tweet media one
10
13
41
@BesteNicolas
kijana mpole
26 days
Hivi wamasai wa dar wanaishigi wapi?? Mbona kwenye nyumba za kupanga siwaonagi?? 🤨🤔
10
12
43
@BesteNicolas
kijana mpole
17 days
Tatizo Lao wanaamini bila wao sisi hatuwezi wamesahahu kuwa yupo mungu anayegawa rithiki bila upendeleo ✍ Gm fam 🙌 ❤
15
15
43
@BesteNicolas
kijana mpole
8 days
Bro punguza kutongoza madem ambao sio level yako ili uache kulia Lia madem wanapenda hela kama level zako ni beki 3 wa elf 5 tulia nao sio unaombwa elf 50 unazima cm na kusema madem wanapenda hela 🚮
29
16
40
@BesteNicolas
kijana mpole
11 days
Ety hivi ni kwann?? 🤔🤨
Tweet media one
10
14
43
@BesteNicolas
kijana mpole
7 days
Amini kuwa kilicho chako kitakuja pamoja na udhaifu wako na kisicho chako huwezi kukipata pamoja na nguvu zako zote mungu akupe hitaji LA moyo wako✍ Gm fam ❤ 🙏
22
16
42
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Ronaldinho akiwa kwenye ubora wake na Neymar jr akiwa kwenye ubora wake I will pick neymar 🔥 over dinho Apa nazungumzia wote wakiwa barca kwenye ubora wao kabisa. For me neymar is a nightmare 🔥
Tweet media one
25
8
41
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Mimi, naam, mimi, ni bwana, zaidi yangu mimi hapana mwokozi. Isaya 43:11 bila mungu sisi sio kitu Gm fam🙏😊
10
20
39
@BesteNicolas
kijana mpole
6 days
Kwa wale waliotembea sehemu mbali mbali Tanzania 🇹🇿 hapa ni wapi?? 🤔😁
Tweet media one
27
15
40
@BesteNicolas
kijana mpole
5 days
Nasemaje nasemaje aliyemuuzia dem wangu piritoni badala ya p2 ajue hii dar ni ndogo mamaee🥲🥲😭😑
24
17
40
@BesteNicolas
kijana mpole
9 days
Muziki gani wa zamani ukiukumbuka unaendana na hali unayojiskia kwa sasa??? 🤔🤨 Me; tuliza tamaa mbaya by 20% 😁
17
19
39
@BesteNicolas
kijana mpole
8 days
Wakwanza kuomba msamaha siku zote ni mwelevu, wakwanza kusamehe ni mwenye nguvu na wa kwanza kusahau ni mwenyewe furaha ✍ Gm fam 🙌🙏
17
23
37
@BesteNicolas
kijana mpole
2 months
Mtafuteni bwana maadamu anapatikana mwiteni maadamu yu karibu Isaya 55: 6 Gm fam 🙏
20
22
38
@BesteNicolas
kijana mpole
1 month
Kijana anayejitafuta haupaswi kuwa na chuki, wivu au ujuaji mwingi. Hivyo vyote vina tabia ya kuvuta umaskini ✍ Gm fam 🙌 ❤
20
20
39
@BesteNicolas
kijana mpole
6 days
Honest speaking hakuna wife material anaepaka bleach, kuchora tattoos, kunywa pombe na kuvuta shisha kuwa makini mkali✍
28
19
37
@BesteNicolas
kijana mpole
23 days
Duuh hivi huyu akipakwa mafuta itakuwa case 🤔
Tweet media one
19
8
36