humbleQueen02 Profile Banner
halle quen💫🥀 Profile
halle quen💫🥀

@humbleQueen02

Followers
15K
Following
429K
Media
3K
Statuses
244K

Allah is great CEO NISHIKE MKONO FOUNDATION.

Quen of Arsenal
Joined February 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
3 years
Hii ni project yangu mpya kabisa Inaitwa NISHIKE MKONO ambayo nimewashika yatima na waishio kwenye mazingira magumu. Lengo kuu kabisa ni kuweza kunyanyua vipaji vyao na kutimiza ndoto zao natumaini tutakuwa pamoja katika kutimiza ndoto zao retweet ili tupigane kwa pamoja🙏💕
Tweet media one
296
489
1K
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
6 minutes
RT @Cargo_1911: GOOD MORNING EVERYONE 🙏 . Leo Tuifahamu TAGOLO SYRUP👇🏿.👉 Dawa hii imetengenezwa kwa mimea safi ya asili iliyochaguliwa kwa….
0
35
0
@grok
Grok
7 days
Join millions who have switched to Grok.
254
505
4K
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
7 minutes
RT @Finah_Business: Good morning 🤗. HII SET YOTE PICHANI.TSH 45,000. 0755693113. 📍 UBUNGO EXTERNAL, MIKOA YOTE TUNATUMA .
0
60
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
8 minutes
Kila mafanikio yana gharama lakini kushidwa kufanikiwa kimaisha ni gharama kubwa. Zaidi✍.
4
4
10
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
11 hours
RT @Ibrah_Sheby: Twitter watu wa Dzm kuna zile kampuni hufanya shughuli za kukuhamisha kutoka area moja kwenda nyingine wako na kampuni yao….
0
13
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
11 hours
RT @Finah_Business: Ukikaaa na bonge kwenye Siti lazima ukasirike🥴. lenyewee limeriraksi🥴.
0
14
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
11 hours
RT @goldenmvrs: Sadala Ameongea Kwa Sababu Yeye Anafaidika Na Serikali Iliyopo Madarakani.
Tweet media one
0
14
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
12 hours
RT @mshishi00: tunapambana adi na maroboti 😁🚮.
0
1
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @TonnyUnfiltered: Kama hunywi pombe, hubet na sio mtu wa wanawake, na hakikisha una mafanikio.📌.
0
39
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @Mofey205: Mtu Anakwambia Ufanye Kazi Wakati Yeye Alifirwa Ndio Akapata Maisha Huu Sio Muda Wa Kutushauri 🚮🚮.
0
16
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @KiandaWa14: Dear Dadaz;.Jobless tunatamani sana kujitoa Kwa Kila namna kwenye mahusiano ili mfurahi lakini nature inakuwa Katili💔. Kuna….
0
11
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @PompiDouh1: On GOD✊️
Tweet media one
0
19
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @ercurry_: Baba wa huyu mtoto anajuta sana.
Tweet media one
0
11
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @zexon0021: Ndevu zinatubeba sana wakuu.😂
Tweet media one
0
32
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @Waziri_wa_wapwa: Kuhangaika kote kule,alafu yale mazunye yanatufokea😄.
Tweet media one
0
11
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
Hey @grok i miss you.
6
1
11
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
13 hours
RT @IWillLive_X: Ngoma za Almas ni ngumu kuzikwepa hilo Liko wazi 😃😃🙌.
0
2
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
14 hours
RT @goldenmvrs: Mtu Umekaa Zako Hutaki Kuongea Uongo, Ghafla Anaekudai Anakupigia Anakuuliza Ukowapi. !?🤔.
0
13
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
14 hours
RT @_itsmalume: Nimezunguka kariakoo tokea asubuhi mpaka jioni hii ,sijapata taulo jeusi 😮‍💨🙌. Tutakuwepo🫵
Tweet media one
0
11
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
14 hours
RT @LusajoNdussa: Kwa haraka haraka unadhani jamaa alikosea nini?😂🤣
Tweet media one
0
6
0
@humbleQueen02
halle quen💫🥀
14 hours
RT @fezoomaster: Mm niliacha kukandia wapush hushtag pale nilipojua kuwa wanaokomalia kuwaponda wapush hashtag kumbe nao wanalipwa 😂😂kaa ki….
0
29
0