Alex_george00 Profile Banner
Alex Profile
Alex

@Alex_george00

Followers
2K
Following
7K
Media
339
Statuses
6K

Joined December 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@EdwinMjeru
Edwin F.M
12 hours
THREAD: Hisa ni NINI na naanzaje Kuwekeza DSE? Disclaimer: Mimi siyo mtaalam wa Fedha. Na-share nilichojifunza na uzoefu wangu baada watu kuomba niandike "UZI" kufuatia Posts za nyuma. Nilikuwa m'bovu kuhusu elimu ya fedha, 2025 nikaamua kujinoa. Nimejifunza haya kuhusu HISA!
4
18
47
@Alex_george00
Alex
21 hours
@lastedAD @MangiwaKwanza1 Na wajinga wengi wana amini hivyo vyuo vikubwa ndio vinatoa Elimu angalau iliyobora kitu ambacho si kweli
4
1
3
@tazamaMbali
Tazama
1 day
Mikoani na mitaani ukisema HISA kila mtu anajua ni ile hela inawekwa kwenye VICOBA. Mtu anaweka 20k kila wiki na anapata 1M mwisho wa mwaka au hata mara 3M+ kulingana na michango yake ya kila wiki. Hizi mambo za soko la HISA la Dar es salaam hakuna mtu ana muda nazo. Kazi ipo
16
22
300
@Alex_george00
Alex
2 days
@RileyFreem32480 @EdwinMjeru Kati ya hio IPO ya vertex na share ipi ni bora kununua
3
2
4
@Alex_george00
Alex
2 days
@RileyFreem32480 @EdwinMjeru Kwa maana kwamba hio initial public offering (IPO) inakua ni bei halisi iliyopangwa na kampuni husika na wanapokuja kutangaza public price inakua determined by force of demand and supply
2
2
3
@Alex_george00
Alex
2 days
@EdwinMjeru Kung'ang'ania kununua share za crdb kwa 1650 wakati kuna vertex ya 100 na timiza ya 122 ni risk angalau ingekuwa ni share 1000 sasa kwa hapo share 9 mhuuu
5
3
11
@HecheJohn
John Heche
2 days
Gyokeres 🚮
70
55
761
@PolycarpMDM
Polycarp The Bibliophile
3 days
Alipigwa risasi tarehe 29. Mungu ni mwema akampigania. Sasa anajiuguza. Peke yake hawezi. Ninawasihi sana tumuuguze. Kwa chochote ulichonacho, help a bro recover. Maelekezo yako kwenye post ndefu hapo chini.
8
104
267
@usembassytz
US Embassy Tanzania
3 days
In line with Presidential Proclamation 10998, as of January 1, 2026, the United States is partially suspending visa issuance to Tanzanian nationals for nonimmigrant B-1/B-2 visitor visas and F, M, J student and exchange visitor visas, and all immigrant visas, with limited
123
330
670
@Alex_george00
Alex
3 days
@DullahTheking2 '' Kweli kuhusu hivyo vyama vya siasa chumba kimoja usidanganywe na vitasa zote game ka draft usishangae kuziona kamati zenye kamati"
0
1
6
@Alex_george00
Alex
4 days
@EliabuDanford Na hiki kilitakiwa kiwe kigezo cha ndoa kwamba unaangalia death rate ya unapotaka kuoa,kama ukoo wao wanakuf sana utakuta sababu ni magonjwa, uchawi na nk
1
2
4
@Elfadhil9
El_fadhil🇹🇿
4 days
@MaxTz255_ Young Lunya
3
2
11
@Alex_george00
Alex
5 days
1
2
10
@Alex_george00
Alex
5 days
1
2
3
@mentor209
GIPSON BNN
5 days
Tunawaomba wananchi wenye nia njema kutusaidia kumtambua mtu aliyevamia na kuiba katika duka la nyumba ya mitumba lililopo Sinza. Endapo utamtambua au kuwa na taarifa zozote zitakazosaidia kumfahamu mhusika huyo, tafadhali wasiliana nasi kwa siri kupitia namba +255 68 110 1061
12
147
305
@Alex_george00
Alex
6 days
@zumbekhan Hesabu za kufikirika hizo ingia field uone uhalisia bajaji unamaliza nayo mwaka hujarudisha pesa
3
3
22
@EngMapundajr
Eng.Mapunda Jr
7 months
Wakuu Yupi Ndo MKOJANI hapa.,frem 1 au 2😀😀
75
52
1K
@thealpha24_
Thealpha
10 days
@Alex_george00 hapa tunawazungumzia matapeli nguli
2
1
1
@Alex_george00
Alex
10 days
@thealpha24_ Na amorim pia
1
1
2