Edwin F.M
@EdwinMjeru
Followers
4K
Following
9K
Media
180
Statuses
6K
MSCA Research Fellow || EM Alumni ๐น๐ฟ๐ซ๐ท || Author || Business Storytelling Coach || Learning and sharing life lessons on Mind-Philosophy-Success & Failures.
Tanzania
Joined September 2020
Soma Hii Kabla Hujatuma, "APPLICATION" Yoyote 2025. - Iwe Unajiandaa Ku-apply; - Kazi - Scholarship - Fund/Grant kwa ajili ya Mradi -Seed Capital kwa Ajili ya Biashara Hii inakuhusu; Uzi ๐งต๐ - Kumbuka: Kufanya APPLICATION kwa ubora na kwa kuzingatia vigezo......
4
9
51
@EdwinMjeru Asiache sasa na kama atapata new ideas ahamiahe hela zote allocate au ataftw nyingine ila asidokoe
1
1
2
@RileyFreem32480 @EdwinMjeru Kati ya hio IPO ya vertex na share ipi ni bora kununua
2
1
3
Kiwango cha chini cha kuweka hisa ni shingapi?
Broo ameamua kuchukua hatua๐. Kajinyakulia HISA 9 za CRDB kwa bei ya Sh.1650 kwa hisa 1 sokoni, jumla = 14, 850/- Well, unaweza kudhani hisa 9 ndogo kuweza kumfanya atoboe, lakini kikubwa ameshaanza. Kwanza kufungua tu akaunti DSE na kuanza safari ya uwekazaji ni hatua. Dr.
1
1
2
@EdwinMjeru Mimi nilinunua bila hata kuwa na Elimu na maarifa ya kutosha nikatupa vilak kadhaa CRDB 2025. Nikaja kugundua nimefanya bonge la mistake. Nikazama YouTube na Instagram nikajifunza nikaja nikaruka na Vertex ikiwa kwenye IPO ile kipande ni 100 baada ya kuingia DSE nikaona napata
2
2
2
Elimu ya uwekezaji ni muhimu Mindset za wabongo wengi huzani uwekezaji ni kwa matajiri pekee Kumbe uwekezaji kidogo kidogo unaofanywa kila siku wa 10% ya kipato ndio ujenga utajiri (compound effect) Tena kama uwekezaji wa HISA, unaufanya kulingana na unachoingiza SIMPLE
Broo ameamua kuchukua hatua๐. Kajinyakulia HISA 9 za CRDB kwa bei ya Sh.1650 kwa hisa 1 sokoni, jumla = 14, 850/- Well, unaweza kudhani hisa 9 ndogo kuweza kumfanya atoboe, lakini kikubwa ameshaanza. Kwanza kufungua tu akaunti DSE na kuanza safari ya uwekazaji ni hatua. Dr.
2
2
2
@Thommunkondya @EdwinMjeru Asubiri mgawo wa kihistoria wa Tsh 70 kwa hisa. Kwa hisa 6, atapata 420 baada ya kusubiri mwaka mzima. Bora kuuza madafu.
1
1
2
@ProLearner77 @EdwinMjeru ๐๐๐ acha kukatisha tamaa vijana hata mbuyu ulianza kama mchicha.
2
1
1
Hayaa mambo yanahitaji kujengewa mazoea kwanzia Kwenye Umri mdogo. Tunapata Shida Ukubwani kwasababu ya kutokua na hayaa mazoea.
Broo ameamua kuchukua hatua๐. Kajinyakulia HISA 9 za CRDB kwa bei ya Sh.1650 kwa hisa 1 sokoni, jumla = 14, 850/- Well, unaweza kudhani hisa 9 ndogo kuweza kumfanya atoboe, lakini kikubwa ameshaanza. Kwanza kufungua tu akaunti DSE na kuanza safari ya uwekazaji ni hatua. Dr.
1
1
4
Broo ameamua kuchukua hatua๐. Kajinyakulia HISA 9 za CRDB kwa bei ya Sh.1650 kwa hisa 1 sokoni, jumla = 14, 850/- Well, unaweza kudhani hisa 9 ndogo kuweza kumfanya atoboe, lakini kikubwa ameshaanza. Kwanza kufungua tu akaunti DSE na kuanza safari ya uwekazaji ni hatua. Dr.
9
8
49
@EdwinMjeru Ambao hawako focused na big dreams hawawezi kukuelewa ila hapa kuna message kubwa mno
1
1
2
@EdwinMjeru AI inasema wewe ndio uko mtaani, sio yenyewe. ko unachance kubwa ya kuona opportunity ambazo haiwezi kuzi automate...ila Kwa vile Ubongo wa binadamu unapenda shortcut, hapo ndio threat inakuja.
0
1
1
hakuna anayejua wala atakayejua nini kinaendelea kwenye akili yako mpaka pale tu - utakapofungua mdomo wako. ... ^Abracadabra^
5
10
102
Make it a habit, not to judge people based on one-sided story.
0
0
4
@EdwinMjeru Nimependa hii system yake, ingawa ni muhimu pia kama kampuni ikikua wakawa wanatenga Budget ya Ku Up skill Workforce kutoka kwa wengine ili ku exchange Na ku impart Knowledge na Skills Pia Ku Explore Ulimwengu Kupata Exposure Kwa Wafanyakazi ni Muhimu.
1
1
1
katika zama hizi za "AI" uwezo wa watu kuibua mawazo fikirishi, kuchokonoa na kupekecha fikra unazidi kupungua.
1
3
14
@RyderWaylon Kaka meza ya mafanikio ina vyakula vingi. Wewe ukichagua American dish, na mwingine akichagua African dish, usitake kumlazimisha na yeye ale American dish kwa kuwa ndiyo unapenda. Hakuna lensi moja ya kupima mafanikio ni nini? Pesa na mali havitoshi japo kweli tunavihitaji.
1
2
5
@EdwinMjeru Brother naomba uachane na theories. Katika Dunia hii mafanikio hupimwa in material things tu. eg Elon Musk, Trump. Mfano huwezi unakaniambia eti mtu mwenye PhD ni mafanikio wakati bado anaishi katika umasikini. So elimu siyo mafanikio hata kidogo.
1
1
2
@EdwinMjeru Socrates mwenyewe alikuwa masikini in material terms. So sidhani kama Socrates alikuwa ni mtu sahihi kuhusu mafanikio.
1
1
1