V E N N A📸 Profile Banner
V E N N A📸 Profile
V E N N A📸

@vennatz1

Followers
10,241
Following
5,669
Media
3,546
Statuses
48,402

Photographer 📸 | Mpiga picha wako! | IT Man |Whatsapp 0758059332📨

Everywhere
Joined March 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@vennatz1
V E N N A📸
24 days
Followers wangu sasa huu ni wa kati wa kuhakikisha tunaonana Whatsapp maana siyo mda wote nipo X☺️ Ishu ndogo ndogo kama birthday, kikao cha familia, photoshoot indoor outdoor tunakuwa tunamalizana kule siyo kama huku lazima unicheki DM na mimi iyo DM naweza kuiona baada ya wiki
Tweet media one
1
14
34
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
Wanachuo hii imeenda😅
159
265
957
@vennatz1
V E N N A📸
17 days
Kumbe robot alikuwa anajibu kwaku google ☺️
120
83
664
@vennatz1
V E N N A📸
26 days
Ila huyu jamaa kashindikana😅😅
117
104
577
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Kwaiyo jezi ya yanga ndo wameitumia kama jezi ya Tanzania 😅
47
149
559
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Haya matangazo huwa tunayasikiliza tu lakini watu wanatoka jasho kuyarekodi Hamna kazi rahisi kwakweli😅🙌
49
62
493
@vennatz1
V E N N A📸
24 days
Shenzi kabisa, kama hauna D mbili hauwezi kuelewa😅
15
54
459
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Leo sanamu limetolewa😅,ila masanja anajua kujigandisha😅😅
37
49
425
@vennatz1
V E N N A📸
19 days
Kwenye list ya marafiki zako hakikisha haumkosi rafiki kama dullah ambae anakupambania kwa kila hali😅😅 Tazama hii👇🏿☺️
65
71
416
@vennatz1
V E N N A📸
13 days
Niffer = Nifanyeje😅 Akili za huyu jamaa anazijua mwenyewe 😅
19
55
380
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Hadi leo sijajua hii ilikuaje kona😅🙌
60
78
373
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Kama unalipwa laki moja kodi ya 10,000
Tweet media one
29
13
357
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Hapa sasa honey inaimbika kweli🙃 Nazani sasa mmemuelewa yule jamaa wa EFM @chapo255
42
45
351
@vennatz1
V E N N A📸
2 months
Hamna mkate mgumu mbele ya chai 😅 Jamaa kaopoa kirahisi sana angalia hadi mwisho😎
39
48
332
@vennatz1
V E N N A📸
19 days
Majizo miyeyusho😅
16
25
322
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Ila huyu jamaa😅 kwani passo imewakosea nini😅 Msikilize👇☺️
22
51
316
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Dada wawatu alikuwa ameshaanza kuvimba mwishoni anatajwa mtu mwingine 😅 Haya mambo hayana mwenyewe😎
66
48
315
@vennatz1
V E N N A📸
2 months
Dada zetu wanazungukana sana☺️ Angalia hadi mwisho alivyo jichanganya kwa rafiki yake😎
49
34
300
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Anatokea mbongo anatuambia Christmas ni haram Awasikilize waislamu wenzake
54
53
275
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
@brfootball Chelsea 🫡
Tweet media one
1
2
270
@vennatz1
V E N N A📸
4 years
TAFADHALI SOMA MPAKA MWISHO👇 Kijana mmoja aliekuwa akifanya kazi katika jeshi, alikuwa akidhalilika kila wakati kwasababu tu alimuamini mungu Siku moja kiongozi/kapteni wa jeshi alitaka kumdhalilisha mbele ya wanajeshi wenzake na alimuita kijana huyo na kumuambia 👇
Tweet media one
69
44
262
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Ila Millard kwanini kaweka picha ya iyo kanga nikama kuna kaujumbe😅
Tweet media one
14
14
268
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Ila hawa jamaa wamejua kufikisha ujumbe😅
41
36
273
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
Kulikuwa kuna haja gani yakukaa kwenye mvua😅 2025 inakaribia😎
93
36
260
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
Hii style nimeipenda
19
26
257
@vennatz1
V E N N A📸
9 months
Tumalize utata...... Kuna mtu anajiuliza ipi simu yenye Camera kali kati ya ......... iPhone 15 Pro Max na Samsung Galaxy s23 Ultra🤔 Twende kazi....... ✓ Iphone 15 pro  ina camera yenye uwezo wa 48MP ✓ Sumsang s23 Ultra ina camera yenye uwezo wa 200MP Hapa hata sihitajiki
Tweet media one
Tweet media two
52
49
251
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Mnaokunywa pombe ebu tupeni siri za mafanikio yenu😅
15
47
251
@vennatz1
V E N N A📸
24 days
Huyu ndo dada wa TABATA sasa anawapa picha halisi ya wadada wa huko😅
10
34
249
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Atakama ni wewe utaacha kusema umetupiwa majini
7
21
240
@vennatz1
V E N N A📸
25 days
Marekani huwa wanapambana sana wasifanane na wengine😎
13
14
243
@vennatz1
V E N N A📸
1 year
Watoto hawajalala😅
37
27
225
@vennatz1
V E N N A📸
2 months
UBUNTU- BOTHO namna waliteseka😅😅
19
50
228
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
Kwaiyo mmemkatalia dada wawatu😅
36
34
222
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Sawa ni content ila inaukweli mwingi ndani yake😅
23
25
220
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
Comment chochote 😅
Tweet media one
27
15
210
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Wabongo kwa majibu🙌😅
Tweet media one
19
19
196
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Tuache masihara kiswahili nikigumu sana😅 Hapa vitu vingi sijavielewa wanamaanisha nini😎
13
25
193
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Mshindwe nyie tu watumishi wanawafikishia ujumbe kwa njia zote😊
18
44
179
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
Ajali imetokea riverside Noah na lori ila watu kama kawaida wanajaa kwenda kushuhudia
Tweet media one
18
13
174
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Ila watu 😀😀🙌Ahmed ali wamemuimbisha tabulele😅
16
32
173
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Jiji lina bodaboda nyingi kuliko magari😎 Wataalamu wa location hapa ni wapi☺️
63
18
170
@vennatz1
V E N N A📸
26 days
Hila kwenye huu utani nikama kuna kaukweli kwa mbali hivi😎 Vita ya zombi na Abah bado inaendelea😅
3
12
169
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Huwa nasikia tu wanaume wanambetia mke ila hii ni mwanamke kambetia mume wake simba ikifungwa dada wakazi amchukue😅
16
42
167
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Mwamba hapa kaupiga mwingi na atarudi kweli kama alivyotoka😅
12
21
167
@vennatz1
V E N N A📸
3 years
Akisema atakubariki hakuna atakae zuia .. .. Mungu ni mwema🙏
11
5
147
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
@mkandamizaji Hapo chaajabu nini masanja Kanisa lako na nyumbani kwako vinafanana?
19
4
163
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Ingia TikTok fuatilia video za hivi utanishukuru baadae😊
7
28
146
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Kaenda kujificha nyuma ya wenzake haamini kama kapona😅
39
25
144
@vennatz1
V E N N A📸
27 days
Kwani huyu ni mtangazaji au daktari🤔
36
14
145
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Watu wengine hawaporwi kizembe
15
17
144
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Rayvanny typing..........😅 Ila hawa jamaa wabunifu mnoo😅
16
11
137
@vennatz1
V E N N A📸
3 years
BRAND NEW 🚨🚨🚨 Alikiba ft Mayorkun - Jealous🎶🎶🎶
Tweet media one
0
3
134
@vennatz1
V E N N A📸
22 days
Kijana wa hovyo anauliza nani alikuwa anagawa maksi kwenye maeneo😎 Kinondoni B, Mwananyamala A, Kimara B😅
8
22
139
@vennatz1
V E N N A📸
4 years
Good work bro kama ulaya vile
@IdrisSultan
Idris
4 years
Jana kwa mara ya kwanza nimefanya limited invitations nikaalika partners, investors & media kuja kuangalia new episode ya “NAKUPENDA KUFA��. nilialika watu 50 ila wakafika 248. Thank you for the love and support ya hii njia mpya. Yote ni katika kurudisha heshima ya movies in EA🙏🏽
Tweet media one
41
50
882
2
2
132
@vennatz1
V E N N A📸
24 days
Naomba kuuliza hiki kina tofauti na kile wanachoagiza bajaji nakuziunganisha wenyewe hapa tz🤔
Tweet media one
14
9
134
@vennatz1
V E N N A📸
8 months
Jana nilikuwa kariakoo majira ya jioni Migambo wakawa wanapita na gari wanawakamata machinga wale huwa wanaweka biashara zao pembezoni mwa barabara ya kutoka msimbazi kwenda gerezani Aisee nilikuwa nawaonea huruma wale vijana walio kamatwa Wanakubeba wewe na biashara yako na
Tweet media one
18
15
127
@vennatz1
V E N N A📸
3 years
Maud elka feat Alikiba - Songi Songi remix🎶🎶🔥🔥
Tweet media one
3
6
123
@vennatz1
V E N N A📸
1 year
Vijana muoe mnaona baraka hizo za siku yakwanza😅
19
17
122
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Nisaidie kuangalia kama chama anahusika kwenye haya magoli bora ya group stage😎
10
18
126
@vennatz1
V E N N A📸
4 years
kwa kile ambacho hakina uhai Unaweza kudhani kuna mambo bado hayawezi kutokea LAKINI KWA MUNGU KILA JAMBO LINAWEZEKANA.' --Kwa mtu anae soma hii ninakuombea kwa mungu afanye muujiza wenye kuwashangaza watesi wakomaishani mwako leo. --MWISHO.
11
4
114
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Kila kazi inakazi🥰 Au nilieee!😅
10
18
118
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Tanesco wakiwa saiti😅😅
13
25
117
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Wakati watumiaji wa X (Twitter) wanapambana na content ili wapate maokoto ya Elon Mwamba huyu alikubali kufukiwa siku saba kaburini ili atengeneze content ya YouTube Angalia video👇
12
33
114
@vennatz1
V E N N A📸
22 days
Apple wametumia tangazo kutangaza tangazo
13
5
115
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
Kuna mshikaji wangu alikuwa na mpenzi wake ⤵️ Akamtafutia kazi kwenye chuo kimoja hapa Dar Kazi ilikuwa ni ya canteen, yani kupika msosi wa hapa na pale Baada ya kama mwezi mmoja demu akaanza kubadilika tabia Usiku akipigiwa simu hapokei na kuna.muda ukifika hata sms hajibu
15
9
110
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Kuna hako katoto kanasema hapo mwanzo "misomisondo unaatari nitakupa daada" Lafudhi ya kisukuma kabisa😅
8
17
113
@vennatz1
V E N N A📸
8 months
Kuna hawa jamaa wametinga Suruali za vitambaa mashati Na tai wanakamata bajaji na magari ya mizigo sijui ni maafisa gani hawa
Tweet media one
12
9
106
@vennatz1
V E N N A📸
2 months
Kama alikiba angepewa verse kwenye ngoma ya mapozi hivi ndo angefanya😎
5
27
109
@vennatz1
V E N N A📸
2 years
12
5
107
@vennatz1
V E N N A📸
25 days
Hali ya hewa 🥳 📍Mbezi Luis stand, Dar es salaam Picha za simu📸
Tweet media one
15
19
106
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
Riverside unapita msako hapa wakuwasafisha wafanya biashara wadogo🙌
Tweet media one
19
16
103
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
@millardayo Wanalamba teuzi wakimbizi wazawa wanalamba viatu
7
1
101
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Hivi hii shauri moyo ipo mkoa gani maana hii ni hatari 😅
26
17
92
@vennatz1
V E N N A📸
3 years
Ukipata shortcut pita nayo hamna tuzo ya mtesekaji bora.
5
4
80
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Shetani kwisha habari yake😅
Tweet media one
12
11
90
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Mungu ni mwema kumekucha 🙏☺️
4
13
86
@vennatz1
V E N N A📸
1 year
@FKihamu Huwa naenjoy kusoma unacho kiandika bro💪
2
2
88
@vennatz1
V E N N A📸
4 years
Kama umeipenda Comment neno "AMENI" kisha Retweet ili iwafikie wengi zaidi. BARIKIWA🙌 #vennatz Credit ( #IG ) Follow @vennatz1 📌
16
11
85
@vennatz1
V E N N A📸
9 days
Wachambuzi wa bongo wameingiliwa😅
9
28
155
@vennatz1
V E N N A📸
25 days
Kuna watu wanaishi na kuna wengine wanaishia😅 Kwanini👇
3
7
85
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
Lazima mmoja leo arudi kambini jangwani😊
Tweet media one
4
10
84
@vennatz1
V E N N A📸
9 months
Ndo kwenyewe...
Tweet media one
6
2
81
@vennatz1
V E N N A📸
22 days
Moshi 🥹
Tweet media one
16
10
84
@vennatz1
V E N N A📸
2 years
It's my Birthday 🎉
Tweet media one
11
6
79
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
Dah Wapumzike kwa amani 😔🙏🏽
Tweet media one
9
12
80
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Mbona barabara kubwa za kwenda mikoani vibanda vya polisi huwa vinafichwafichwa kichakani
Tweet media one
19
10
81
@vennatz1
V E N N A📸
2 months
Yani harmonize anamuhekea muheshimiwa ukungu😅
Tweet media one
7
4
81
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Graphics designer wa simba ndo kwanzaa yupo kwenye computer muda huu ana design 😊
Tweet media one
6
3
76
@vennatz1
V E N N A📸
6 months
National Institute of Transport 📸
Tweet media one
8
4
77
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
Tanesco ukiwa ubungo wanakata umeme ukiondoka ukaenda kimara wanarudisha ubungo wanakata kimara Yaani ilimradi tu uteseke.
6
7
79
@vennatz1
V E N N A📸
3 years
Ukiona umepewa zawadi ya saa tafsiri yake wewe haujali muda
6
1
72
@vennatz1
V E N N A📸
4 months
@millardayo Tuachane na mpira tuwekeze kwenye mashamba ya miwa
7
5
76
@vennatz1
V E N N A📸
8 months
Hi... Wedding day 🤗
Tweet media one
5
8
78
@vennatz1
V E N N A📸
11 months
Baada ya miaka kibao kupita leo ndo naielewa hii mistari😅🙌
@OfficialAliKiba
Alikiba
11 months
Now days kila mtu yuko single Shimo utakalo ingia pekeyako ni kaburi tu 😎 #Sumu #KingKiba
111
191
2K
1
3
78
@vennatz1
V E N N A📸
8 months
@millardayo Wapumzike kwa amani Mwanzo nilizani ni ule msafara niliona unatoka dar😎
1
2
78
@vennatz1
V E N N A📸
3 months
Kisoka tumeachwa mbali saaaaana😅
11
4
78
@vennatz1
V E N N A📸
17 days
Comment emoji yoyote watu wakufollow chap kabla jua halijazama☺️
Tweet media one
47
12
77
@vennatz1
V E N N A📸
7 months
@swahilitimes Muimba taharabu tu, una mwaka wa pili haujabeba kikombe ndani ya nchi uko Africa unaposemea hata kombe la shirikisho haujafika nusu fainali unajiwekaje kundi moja na Al Ahly unaizarau Yanga ambayo imekuzidi hadi makombe ya ndani😅
7
2
77
@vennatz1
V E N N A📸
5 months
Huyu si ni mbappe kabisa na raisi wa boli🙃
Tweet media one
7
7
74
@vennatz1
V E N N A📸
1 month
Walivyokuwa wadogo walikuwa wanashindana kuwahi maziwa, wamekua sasa wanashindana kuwahi bia😅 Angalia video👇
11
17
76