rezam06 Profile Banner
Rezam Six Profile
Rezam Six

@rezam06

Followers
19K
Following
649K
Media
6K
Statuses
195K

Genius of my own Life | God is over everything | Be there when they need you | Baba~V•L•M•M.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@rezam06
Rezam Six
1 year
FAHAMU LIST YA WATU (10) DUNIANI WANAOFANANA NA MAREHEMU. [List of (10) people who have same faces as some people who died ] Uzi (Thread) 🧵 1. Steven Kanumba & Shifta
59
104
1K
@rezam06
Rezam Six
7 hours
Mdogo wangu kamtambulisha mchumba wake nyumbani, sasa bi mkubwa akaanza kupiga simu kunifokea kuwa umeona mdogo wako alivyoniheshimisha? Sasa kosa langu nini mimi 😃
0
0
2
@whitelist_Queen
Caroline Levere
1 day
Meta's Andromeda update made creative diversity that much more essential for strong performance. Here's why and how you can take advantage 👇
2
3
23
@ATE_Tanzania
Association of Tanzania Employers(ATE)
10 hours
Mapema jana, Ijumaa 17 Oktoba 2025, ATE tulishiriki Mkutano wa VETA na wadau wa Viwanda na Ufundi Stadi uliofanyika kwa kauli mbiu “Wekeza Katika Ujuzi, Jenga Mustakabali wa Tanzania.” Mkutano huu uliwaleta pamoja waajiri, wamiliki wa viwanda na taasisi za mafunzo ya ufundi.
1
8
11
@rezam06
Rezam Six
7 hours
Wewe jamaa usipojiangalia utakula block soon
@ALugandu
DOCHA 
9 hours
Baada Ya Yanga Kugongwa Kimoja Cha Kuku 😂 @rezam06 @Classickizito
1
1
3
@rezam06
Rezam Six
9 hours
Huyu huu mwezi akimaliza basi mganga wake ananyota Kali sana
@anuskills3
 𝐊𝐢𝐝𝐮𝐝𝐮 𝐌𝐭𝐮 𝐉𝐑™
9 hours
Kazi kununa tu Kufundisha Timu icheze mpira mzurii aanh.
1
0
0
@Aasii
Aasi Tahir Siddique
10 days
Logical Mind
1
1
22
@rezam06
Rezam Six
9 hours
Hahahahahaha kama mazuri vile ila inasikitisha sana hii team 🚮
0
0
1
@rezam06
Rezam Six
9 hours
Jiheshimu kaka
@Adventure_36
Adventure-360
10 hours
Sisi kama mashabiki wa Yanga tunaomba kocha wetu asitimuliwe tu 😄😄
0
0
0
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Jamaa wanacheza kiutani utani tu ila washatupiga chuma🙌🏾
0
0
0
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Nyie ni wajinga sana, shenzi kabisa!
@YoungAfricansSC
Young Africans SC
10 hours
77’ | #CAFCL Silver Strikers 1🆚0 Young Africans SC #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
0
0
1
@AminCad
AminCad Ξ🐬🔊 - evm/acc
11 days
The Ethereum restaking protocol, EigenCloud (@eigenlayer), is ushering in not just the era of verifiable AI, but less noticed, something with even more significant implications for how our civilization functions: the era of programmable gold. The era of ETH. Under the hood, ETH
3
10
12
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Kuweni wazalendo bhana
@CharlieBihemo
🦁𝐁 𝐈 𝐇 𝐄 𝐌 𝐎 ™
10 hours
Goooooooooooooooool Yangaaaaaa amefugwaaaaaaa hapa goli zuri sana
1
0
5
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Wachezaji wetu nao wachovu sana ukiachana na mbinu za kocha.
1
0
2
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Kabisa yani
@robertmvungi3
𝕋ℍ𝔼 𝔾ℍ𝕆𝕊𝕋 𝕆𝔽 𝕊𝕆𝕌𝕋ℍ
10 hours
@rezam06 Ukiachana na kocha bado wachezaji wetu hawajitambui wanapokuwa na mpira
0
0
1
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Aaaah kummmmmmmmk🚮
1
0
0
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Kutoboa ni ngumu sana Kwa huu uchezaji sijui tumekuwa kuwaje
2
1
3
@Neomaema1
Neo Maema
10 hours
Coming in hot still fire 🔥
3
23
448
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Hawataki tuwafunge kabisa hawa madogo🚮
0
0
0
@rezam06
Rezam Six
10 hours
Leo kazi ipo
@Adventure_36
Adventure-360
11 hours
Kwahyo kipindi cha pili Silver Strikers inatakiwa tufanyaje
1
1
5
@sonnino123
Sonnino⚡
10 hours
Tunarudi tena katika msimu mpya wa #SiasaZetu, safari hii tukiwa na surapya na mitazamo mipya ya kisiasa! 🇹🇿 Endelea kufuatilia kurasa za @ZetuSiasa kushuhudia mijadala mikubwa, yenye fikra changamfu na hoja nzito kutoka kwa wachambuzi na wanasiasa mbalimbali nchini. 👉🏽
7
25
27
@ALugandu
DOCHA 
19 hours
Amini Katika Uwezo Wako Una Mengi Ya Kukuinua #ElimikaWikiendi
0
5
5
@rezam06
Rezam Six
11 hours
Siku nyingine ya kushuhudia timu kubwa barani Afrika
@YoungAfricansSC
Young Africans SC
11 hours
𝐖𝐀𝐑𝐌 𝐔𝐏🔰💪🏽
0
0
2
@McinikaWaLamar
Daktari Wa Manesi 💉💊
13 hours
Katika dunia ya leo, uelewa wa kisiasa ni silaha muhimu. @ZetuSiasa Podcast imekuja kuwa jukwaa la sauti za wananchi, mjadala wa kina na hoja zinazogusa uhalisia wa maisha. Chini ya usukani wa Stanslaus Lambe, tunajadili mada muhimu kwa mtazamo huru, wazi na wenye kuelimisha.
4
18
20