Subira ni ibada alinambia mamaangu.Matokea ndo nayaona sasa hivi .Leo na mimi natambulika kwa
Mh:Raisi John Pombe Magufuli.
😭😭Mwenyezi Mungu Asante Asante kwa Raisi mwenye upendo wa dhati na Mwenye kuthamini kila mtu.
FOR YOU GRAMMY CONSIDERATION
Kwa heshima kubwa msanii wenu nimependekezwa kuwania kwenye TUZO ZA GRAMMY kwenye kipengele cha THE BEST NEW ARTIST .
Hivyo basi kama wewe ni mmoja kati ya wanaoweza kupiga kura kama VOTING ACADEMY MEMBER basi nakuomba unipigie kura
Mwenyezi Mungunasema Alhamdulillah
Mbariki boss wangu na umuongeze kwa hiki kikubwa alichoniongezea kwenye maisha yangu.
Hakunaaa cha kukulipa My brother hakuna kwakweli Allah akupe umri wa uhai wenye mafanikio zaidi unatuokoa wengi sana
@diamondplatnumz
#MYHERO
JUST A RANDOM THURSDAY AFU DON FUMBWE ANAKUTUMIA KA UJUMBE ZUCHU KUNA PESA YAKO IMEINGIA 🤔 CALLING MY BANKER IMEINGIA SH NGAPI ANAKWAMBIA 100MILLION 🤗 only in
#WCB
Rahaa
Msanii wa Kwanza wa kike East Frica kufikisha Wasikilizaji 7,000,000 million on
@BoomplayMusicTZ
Asanteni sana kwa upendo huu usio elezeka Nawapenda sana
Ndo kwanza Nimeanza we have a list to accomplish
I LOVE YOU
@BoomplayMusic
😭😭😭😭😭😭Wallahi M/mungu awape pakubwa zaidi ya mlichokitoa kwenye kununua hizi tickets za kuniunga mkono mdogo wenu.
Nawapenda sana mnanipa moyo wa kuzidisha nguvu kwenye performance zangu zote leo, SOLDOUT 😭😭😭
Mapenzi yangu kwenu hayaelezeki kwa maneno kabisa.
OH MY GOD WHAT A YEAR.
THANK YOU SO MUCH
@afrimma
for this award.
Hii tuzo yetu mimi na mashabiki zangu na wasichana wote wanaonitazama kama mfano hii ni tuzo yetu.
I dedicate the award to my boss
@diamondplatnumz
The Hero of all time
TANZANIAAA STAND UP TUMESHINDAAA
NDALAAA ,ya mheshimiwa dokta
@HKigwangalla
TABORA,
Asanteni sana watu wa Ndala kwa mapokezi na shangwe la kutosha 🔥🔥.Aisee mna mapenzi yasiyijigicha kwangu NIMEWAPENDA SANA
Siku ya uchaguzi tukampe mheshimiwa dokta JOHN POMBE MAGUFULI kura za ndio
#magufulimitanotena
🖐🇹🇿
Mungu Wangu Umenionesha Maana Ya subira ,Sikutegemea Yote Haya 1 million In 2 days 😭😭🙏🙏🙏🙏Alhamdulillah .Asanteni sana
Naomba Sana Muendelee kuniunga mkono!
Shukrani Sana Kwa Uongozi Wangu
@diamondplatnumz
@Sallam_SK
@BabuTale
&Mkubwa Fella
#Wana
#Zuchu
TANZANIA STAND UP YOUR GIRL IS NOMINATED ON
@mtvema
GOD IS GOOD NISEME ASANTE NI KWA SABABU YENU NDO MIMI NIKO HAPO NAWAPENDA SANA
PLEASE VOTE FOR ME 👇🏼
#Cheche
Ft
@diamondplatnumz
2,000,000 Million in 4 days wow .
Asanteni sanaa kwa haya mapenzi nawaomba msiache ku enjoy
#Cheche
video link nimekuekea kwenye bio yangu
Pia inapatikana kwenhe digital platforms zote duniani ...
Earlier today as we attended the launch of SAFE TRAVEL STAMP to ensure the tourists that our beautiful country TANZANIA is indeed Safe and corona free.
Thank you so much Hon Dk:
@hamisi_kigwangalla
#tanzaniaunforgettable
Kwa mara ya kwanza Kesho nitakuepo live na exclusive interview na Team nzima ya Mashamsham
@wasafifm
Tune in....
Pia itaruka live kupitia youtube channel ya WASAFI MEDIA
#Zuchu
KAHAMAA MTABAKI MOYONI MWANGU MILELE ♥️.
ASANTENI SANA KWA SHANGWE KUANZIA MAPOKEZI MPAKA SHOW UNTILL NEXT TIME NAWAPENDA SANA KAHAMA ♥️
#ZUCHUINKAHAMA
#ZUCHU
Ok yes Najua Mnanidai link ya Nyimbo mpya But kwanza Muone picha yangu nilopiga na INFINIX NOTE12 VIP 😉
@InfinixMobileTZ
mmewezaaaa🙌🙌
NAOMBA MSILALE 🥳🥳
WIMBO WANGU MMOJA UPO UNAPAMBANA NA MABABA WENZANGU LOL 😂.
KEEP ENJOYING
#LOVE
FT ADENKULE GOLD .TAREHE 4/10/2022 KESHO KUTWA NAACHIA INGINE
#KWIKWI
SET YOUR REMINDERS 🏊♀️😎
NAVAA NNACHOJISIKIA NA NDO MAANA NAACHA ALAMA 😎
COMING WITH MY OWN BRAND SOON NA NITALENGA ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA WENZANGU TUTAPENDEZA KWA BAJETI ✍️🤗
I Am Forever grateful For my Fans Y’all just made me the most Paid Female Artist in EAST AFRICA I LOVE YALL 🙏
#WCB4LIFE
…PROMISING YOU AN ALBUM THIS YEAR YOU DESERVE IT GET READY WE BOUT TO TAKE OF
🚀🚀
Hellow my loves
Mnaweza sasa kunipigia kura kwenye Tuzo za
#AEAUSA
kwa kwenda kwenye link 👇🏻
Kisha Nenda Kwenye Kipengele kipengele cha BEST NEW ARTIST
KINDLY VOTE FOR YOUR GIRL
#ZUCHU
#WCB4LIFE
Nichukue Nafasi hii kuwashukuru Wote!
Jana ilikuwa siku kubwa sana kwangu
Ushirikiano mlionionesha jana kwa kutazama tu ulikua ni mkubwa mno!
Shukrani zangu za dhati Kwa
@wcb_wasafi
na Wasanii Wenzangu!
Asanteni sana Boss
@diamondplatnumz
kusimamia mpaka kufanikisha hili
MWAKA HUU LAZIMA NIACHIE TAARAB ON MY TO DO LIST NAUPENDA SANA MZIKI WA UMENIKUZA UMENILEATAAARAB WASWAHILI WENZANGU TUJIANDAE KURUSHANA ROHO I CANT WAIT 🙌🙌🙌
Dreams do come true ndo naamini sasa.Naomba hii iwaguse waschana wote ambao pengine hujui utatoka lini mi ni shahidi nakwambia pambana siku yako inakuja .
Miezi mitatu iliyopita ningeambiwa yatatokea haya nisingeamini .
#NANI
GOMA LIKO UWANJANI ASA TUONE NANI ANAWEZA KULICHEZA SAGARUMBA 😜😜😜💃💃
PRODUCED BY
@S2KizzyOfficial
MASTERED BY Lizer Classic
AVAILABLE ON EVERY PLARFORM 👇🏼👇🏼
Mwenyezi mungu awaongezee kwa hii support na mapenzi ya hali ya juuu 8 songs kweli M/Mungu ni mwema
Naomba msiache kunissuport binti yenu maana bila nyinyi hakuna makubwa yanayoweza kufanyika
Kindly usiache kustream na kudownload nyimbo mara nyingi uwezavyo
#CHECHE
#Litawachoma
HABARI MASHABIKI ZANGU NAOMBA NIWANDAE KISIKOLOJIA NIMEMALIZA WIMBO WETU MPYA NA NIMEUKABIDHISHA KWA
@Kimkayndo
UTATOKA MUDA SI MREFU .ANDAENI MASIKIO MANA NAJUA UTAHIT SANA MNISAMEHE KWA USUMBUFU NITAKAO USABABISHA 🔜😂
Niwashukuru Wazazi wangu ni kwa ajili yenu na Uwezo wa M/MUNGU TU .KWA UANDISHI WANGU YAFAA KUWEKWA KWENYE LIGI ZA WANAUME WADADA WENZANGU NTAWAONEA TU PEN GAME HARD I COULD WRITE FOR A GUY AND NOT NOTICE 😜RELEASING TWO SONGS THIS MONTHS
Kim kayndo☺️
Nimeamka na habari njema Video ya Wimbo wetu pendwa
#LITAWACHOMA
ft
@diamondplatnumz
Uko namba 83 kwenye on trending youtube ulimwenguni 🙏🙏.Thank you so much to each one of you my beautiful supporters
#Litawachoma
Video 👇🏻👇🏻