mwananchidr
@mwananchidr
Followers
1K
Following
530
Media
282
Statuses
1K
#UtunaUzalendokwanza ||#ChademaChamaHuruTanzania✌️ #Tudumishe Amani, Upendo na Mshikamano kwenye nchi yetu || Katiba Mpyani Uhuru kwa Tanzania Yetu
Dar es Salaam, Tanzania,Ubungo
Joined September 2020
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kapata hasara kubwa baada ya mabasi yake kuchomwa moto‼️ #MO29
#TunatokaOktoba29
0
1
1
MAMBO NI FIRE FIRE
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kapata hasara kubwa baada ya mabasi yake kuchomwa moto‼️ #MO29
#TunatokaOktoba29
0
0
1
WIZI WA KURA Umeshaanza Zanzibar — ACT Wazalendo waliambiwa hawawezi kulinda kura. #MO29 👊🏽📷#TunatokaOktoba29 @ClubMagufuli @mangekimambi @lifeofmshaba @C_NyaKundiH
0
0
1
WATU WANATEKWA RAIS SAMIA UPO KIMPYA
0
0
2
0
0
3
Kumbe kesho mandamano yako pale pele , hii apa ratiba kamili @Sativa255 @ClubMagufuli @MariaSTsehai @mangekimambi @lifeofmshaba
0
0
2
tunazo baraka zote za Baba wa Taifa tunasonga mbele , ushindi uko palepale hatuwezi kumuangusha Nyerere @ClubMagufuli @MariaSTsehai @mangekimambi @TanzYetu
0
4
8
Huu ndio ukweli wa Taifa la Tanzania, hakuna aliye salama hata mmoja tusidanganyane kama CCM wapo salama . Kama wanajeshi wanatekwa na kukamatwa uwe wewe kijani. @ClubMagufuli @MariaSTsehai @HildaNewton21 @C_NyaKundiH
0
1
8
KURA YANGU NAISHINDANISHA NA KURA YA NANI ?
0
4
7
UVCCM waunga mkono mandamano ya 29 octoba , hawa vijana wamechelewe kujua kuwa watekaji sio watu wazuri lakini hata hivyo @jgwajima alisema msiba ukiwa kwa jirani haukuumi lakini siku ukiwa kwako hata kusaini kwenye daftari hutaweza @ClubMagufuli @MariaSTsehai @C_NyaKundiH
0
0
1
Ushahidi huu hapa sasa , Mafwele mwaka huu atoboi #Tanzania hakuna siri tena @mangekimambi @HildaNewton21 @ClubMagufuli @MariaSTsehai
0
1
3
Chama cha watekaji Tanzania ni chama gani ? @jgwajima maana nachanganikiwa @ClubMagufuli @lifeofmshaba @mangekimambi @HildaNewton21 @TanzYetu
0
1
5
Maneno ya @jgwajima hayawezi kuanguka chini lazima yatimie , mnakumbuka huyu Mwamba kila anachosema lazima kitokee @C_NyaKundiH @ClubMagufuli @lifeofmshaba @MariaSTsehai @mangekimambi
1
14
56
GWAJI BOY AIOMBA SERIKALI KUWASIKILIZA WANANCHI KWA HALI ILIYOPO NCHINI @jgwajima @Sativa255 @MariaSTsehai @lifeofmshaba , wasipo sikiliza wananchi ipo siku wataomba tuwasikilize lakini hawatapata.
3
81
206
Msiba wa familia ya polepole ipo siku utapata familia ya watekaji , bado hampo salama watekaji @ClubMagufuli @MariaSTsehai @mangekimambi @HildaNewton21
0
7
15
UTEKAJI TANZANIA LAZIMA UISHE KWA SAUTI YA ASKOFU GWAJIMA @ClubMagufuli @MariaSTsehai @HildaNewton21 , AKIONGEA LEO NA WANANCHI AMEWEKA MSIMAMO WAKE
0
5
19