MansaMusa🦅
@kiyfani
Followers
4K
Following
74K
Media
2K
Statuses
29K
|Ĕntrepreneur||Fanya ibada, Tafuta fedha zako, Samehe walio kukwaza, Tunza afya yako na ishi maisha yako🥈
Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2013
"Hakuna umasikini mbaya kuliko ujinga, na hakuna utajiri bora kuliko akili (elimu)".
1
0
4
TANZANIA:BWEGE AFARIKI DUNIA LEO Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara 'Bwege' amefariki dunia leo mchana Machi 30,2026, alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye Hospital ya EM iliyopo Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam.Taarifa ya kifo cha Bwege imethibitishwa na
3
12
68
#TANZIA Taarifa za hivi punde zinaeleza kuwa, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara (Bwege) amefariki Dunia mchana huu, akiwa kwenye Hospitali moja ya binafsi huko Kigamboni, Dar es Salaam, Kwa mujibu wa Abbas S.A. Bungara ambaye ni Kaka wa marehemu, ambapo
3
3
82
TANZIA: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jimbo la Kilwa Kusini kupitia Chama cha CUF, Seleman Said Bungara maarufu kwa jina la Bwege, amefariki Dunia, Machi 30, 2026 akiwa hospitali ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Enzi za uhai wake Bwege
5
20
176
TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Seleman Bungara (Bwege) amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu mkoani Dar es Salaam.
0
7
81
#TANZIA Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara 'Bwege' amefariki dunia leo mchana Machi 30,2026, alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye Hospital ya EM iliyopo Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam.Taarifa ya kifo cha Bwege imethibitishwa na mtoto wake Hassan Seleman
1
8
52
BREAKING: Germany demands the US troops to leave the country immediately.
417
4K
14K
Breaking News: Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara (Bwege) amefariki Dunia mchana huu, akiwa kwenye Hospitali moja ya binafsi huko Kigamboni, Dar es Salaam, Jambo TV imezungumza na Abbas S.A. Bungara ambaye
97
91
717
Natoa pole kwa ndugu, rafiki na jamaa wa Bwege. Nilikuwa naye Bungeni, alikuwa mbunge anayechukizwa na mateso ya watu na mauaji. Niliongea naye hivi karibuni na kuahidi kumuona siku za karibu, lakini haitowezekana tena sasa. Pumzika kwa amani. “Kila nafsi itaonja mauti.” Qur’an
22
163
1K
Mwaka jana tarehe 25/7 2025 nilikwenda kumtembelea Mh Bwege hospitalin, Taasisi ya Mifupa Moi. Japo nimekaa na mh Bwege bungeni na kwenye kambi ya upinzani sikuwahi kuwa karibu nae kama kipindi hiki. Katika kipindi hiki kifupi nilijifunza na kumjua mh Bwege kama. 1. Mtu
91
397
2K
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Mkoani Lindi Selemani Said Bungara maarufu Bwege amefariki mchana huu wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya binafsi iliyopo Kigamboni Jijini Dar es salaam, Kaka wa marehemu aitwaye Abbas S.A. Bungara amesema Bwege alifikishwa
95
67
1K
Inna lillah waina ilaih waina ilaih raajiun. Pole sana familia ya Mzee Suleiman Bungara Bwege kwa msiba huu mzito. Pole sana Mama Mwanawetu Zarafi, mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha ACT Wazalendo kwa kufiwa na mumeo. Pole zangu kwa wana Kilwa na Lindi kwa mtihani huu.
33
42
367
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amesema mradi wa uwanja wa mpira wa Arusha ulikadiriwa kugharimu TZS bilioni 187, lakini ulisainiwa kwa TZS bilioni 338.54, sawa na ongezeko la asilimia 81.
211
188
1K
If you have less than 200 followers sef please drop your handle let’s connect
555
68
443
Let’s choose to love and forgive for the sake of Allah. Prayer for a heart that only knows how to care. 🤲🤍
3
115
277