Naombe ieleweke, huwa SIKIMBII interview na Haji,tushafanya mara kadhaa, ila yeye ndiye alieomba kwa Viongozi wangu NISIINGIE kwenye interviews zake, sababu anazijua yeye. Mind you,this is people's business, kama hii ya leo ni promotions ya mechi yao, wao wamelipia kama wateja.