Bin Kazumari Profile Banner
Bin Kazumari Profile
Bin Kazumari

@jemedarisaid

Followers
107,227
Following
598
Media
694
Statuses
2,039

Public Figure

Tanzania
Joined December 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Rasmi Kocha JUMA MGUNDA ameidhinishwa na CAF kwahiyo atakaa kwenye benchi la Simba SC hapo kesho. Wakati huo huo Kocha NASRIDINNE MOHAMED NABI amezuiwa na CAF kukaa kwenye benchi kwa kukosa vigezo hivyo KAZE CEDRIC ataongoza benchi la Yanga SC.
718
209
4K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Kwa hili linaloendelea kwenye sherehe ya wiki ya MWANANCHI kuna viongozi Yanga SC wanapaswa kupelekwa Kamati ya maadili kama TFF walifanya mawasiliano ya Kiofisi juu ya hukumu ya Haji, kisha viongozi hao,leo wameamua KUKIUKA maamuzi ya Kamati ya Maadili KIJEURI namna hii.
617
162
3K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Niliwahi kuandika hapa siku moja kwamba CLATOUS CHAMA ndiye "Nyerere" wa soka la Bongo kwa wachezaji,nikapokea Kejeli kibao. Ona sasa, kaja January ana bao 5, assist 4 na hat-trick 1. Kuna players wako tangu Julai hawana namba hizo, huenda wakamaliza ligi wasizipate FA CUP & NBC
329
157
3K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Deserved Win....!!! Yanga SC wamepambana kiume kutetea nembo ya Klabu na bendera ya nchi. Hivi ndivyo Mabingwa wa Nchi wanavyocheza na kuitetea Nchi yao...!!! 💪💪💪💪
Tweet media one
229
114
3K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
This is Simba brother..!! The only Giant Club in Tanzania 🇹🇿 D'Agosto 1-3 Simba SC FT. Tunaposema kuna Simba halafu kuna vilabu vingine muwe mnaelewa. Leo D'Agosto wanaonekana wa kawaida kwakuwa wamekutana na moja ya klabu Bora Afrika na wamezidiwa, sio kila timu ingeshinda hapa
126
162
3K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Simba SC @SimbaSCTanzania NEW KITS for 2022/2023 Season
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
69
86
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Yanga SC inapaswa kupewa heshima kwa kuvalishwa NISHANI YA TAIFA ya kazi iliyotukuka. Wameshinda mechi,wamepoteza ubingwa ila sio kinyonge. Kwa dhati ya moyo wangu nawapongeza sana, mmeonyessha kwanini nyinyi ni mabingwa wa Tanzania mara 2 mtawalia lakini mara 29 kwa jumla 👏👏👏
Tweet media one
249
143
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Simba wamewazidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya pesa kwenye mashindano wanayocheza ya CAF mpaka sasa.
Tweet media one
369
107
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
Mwigulu Nchemba Mjumbe Bodi ya Wadhamini Yanga SC ametembelea kambi ya IHEFU kutia hamasa siku chache kabla IHEFU na Yanga hawajacheza. Mwanachama na mdhamini wa Yanga anatembelea kambi ya wapinzani wa Yanga kutia hamasa, tumeufanya mpira wetu kuwa kitu cha hovyo sana aisee.
Tweet media one
543
174
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
Kumshindanisha CHAMA na PACIME ni kumjengea presha PACOME bila sababu. Chama ni kama KAMBARAGE aliyeishi Ikulu miaka 23 halafu unamshindanisha na Rais aliyeko madarakani kwa miaka 2. Kushindanishwa na CHAMA inabidi uwe na muendelezo wa mambo mazuri walau misimu 3, sio miezi 6.
Tweet media one
350
214
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Ulishakuwa Kocha Mkuu halafu unaletwa tena kuwa msaidizi timu hiyohiyo huwezi kuelewana na boss wako,hata huyo boss wako anakosa amani.Tulisema hawaelewani mkatuita wanafiki, sasa WAMEKWIDANA kabisa mazoezini mmekaa kimya kama sio nyinyi.Mafahali wawili hawakai zizi moja wazee!!
269
120
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Muda sahihi kwa Shomari Kapombe kuachana na Taifa Stars ni sasa. Msimu una miezi 10 amekuwa beki mwenye takwimu bora kushinda mshindi wa hiyo tuzo, amekuwepo kwenye timu bora ya msimu, hakuna mlinzi wa kulia pembeni amekuwa na kiwango kumzidi, kutoitwa Stars ni kumvunjia heshima
Tweet media one
340
97
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
SENZO NA YANGA WAACHANA RASMI, ilikua suala la muda tu kwa jinsi mambo yalivyokua yanaenda kati yake na "WAKUBWA" zake.
Tweet media one
233
60
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Done Deal ⁦ @azamfc
Tweet media one
102
51
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Simba wamepambana kiume kama moja ya timu 8 bora Afrika. Wameonyesha kwanini lengo lao ni NUSU FAINALI ya CAFCL na sio makundi au robo fainali. Nidhamu ya kucheza na upambanaji inatosha kufikia lengo msimu ujao, hivyo ndivyo wakubwa wanacheza.Kwenye penalty walimmiss AISHI MANULA
Tweet media one
339
101
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Rais wa klabu ya Yanga akiwa amepozi na kombe la ubingwa wa ligi kuu, Songwe AirPort Mbeya
Tweet media one
251
49
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
KIMENUKA TAYARI Kocha wa Taifa Stars ADEL AMROUCHE usiku huu amechchamaa anasema Kapombe na Tshabalala lazima waingie kambini na wasafiri na timu kwenda kucheza Misri dhidi ya Uganda. Ameshangaa kwanini hawajaitwa Stars, manake ni kwamba ni suala la muda tu watarejea Stars.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
143
73
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Naombe ieleweke, huwa SIKIMBII interview na Haji,tushafanya mara kadhaa, ila yeye ndiye alieomba kwa Viongozi wangu NISIINGIE kwenye interviews zake, sababu anazijua yeye. Mind you,this is people's business, kama hii ya leo ni promotions ya mechi yao, wao wamelipia kama wateja.
191
102
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Kocha wa Vipers FC AVUNJA mkataba kama FEITOTO. Niliripoti hapa kwamba ana 90% kati ya wale 3 ambao waliingia 3 bora ya kuinoa Simba SC. Hii ni ishara tosha kwamba mwaka mpya Mnyama anaanza na Kocha mpya. Habari zinasema Matola na Mgunda watabakia kama WASAIDIZI wa Mbrazil.
Tweet media one
91
63
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Simba SC wanashinda VITA YA USAJILI, washamalizana na CLATOUS CHOTA CHAMA ambaye kilichobakia ni utambulisho tu ambao utafanyika siku yoyote January hii, pia wamemalizana na MOSES PHIRI ambaye ameingia mkataba wa awali na atajiunga Simba msimu ujao.
Tweet media one
Tweet media two
135
95
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
7 months
SIMBA IHESHIMIWE, wameondoshwa kwa kanuni ya bao la ugenini ambayo wapotoshaji walisema haipo. Kupambana na Ahly nyumbani na ugenini ukapata matokeo ya sare 2-2 na 1-1 ukatoka kwa kanuni ya bao la ugenini sio mchezo. Hii ndo kwanini SIMBA ni bora Tanzania na CECAFA kwa miaka 5
Tweet media one
331
154
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
3 months
Mheshimiwa FREEMAN AIKAELI MBOWE ni kiongozi SHUPAVU, MKWELI na asiyekuwa MUOGA. Anaweza kuchukiwa na kuandamwa kwa UKWELI wake, ushupavu na kutokuwa muoga. Nimependa hotuba yake fupi kwenye mazishi ya EDWARD NGOYAI LOWASSA. Sema HAKI hatakama INAUMA 🙏🙏🙏
87
284
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
MEZA YA MAZUNGUMZO "Watu imara huwa na muonekano rahisi kwakuwa uimara wao uko kwenye fikra yakinifu na mijadala jadidi na sio porojo". BIN KAZUMARI
Tweet media one
113
75
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Anaitwa WALID MZIZE, mshambuliaji chipukizi wa Yanga SC Clement Mzize amebadili Dini na sasa ni Musilamu ambaye amechaguliwa jina la Walid. Alitoka shahada jana mbele ya Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, leo ameamka na swaumu yake ya kwanza maishani mwake. Allah amuongoze 🙏
Tweet media one
143
63
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
9 months
Shughuli inayoendelea Chamazi ni kamavile hamuioni au hamtaki kuitambua, tutakutana kwa Mkapa ndo mtafurahi na roho zenu.
Tweet media one
108
49
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
Tuliwahi kuambiwa kwamba kwa mujibu wa kanuni za CAF bingwa wetu alikuwa anaenda kuanzia first round na iwapo kama Simba ingechukua FA Cup nao ndo wangeanzia first round. Bingwa alibeba makombe yote akaanzia preliminary, mwaka huu kaongeza na fainali ya CAF, bado preliminary.
301
137
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Nothing Impossible..!!! Remontada is Possible @yangasc1935 💪💪💪
Tweet media one
96
64
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Lazarous Kambole Zambian striker who plays for Tanzanian giants Yanga SC was caught training in gym intensively ready for NBC PL and CAFCL. Jah bless man never give up bro..🙏🙏
Tweet media one
71
32
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
6 months
Jezi nyingine yenye UBUNIFU wa kiwango cha KIMATAIFA. Gongowazi wameua tena hapa
Tweet media one
70
73
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Mechi yoyote mkiona au mkahisi tu GK wenu ndiye Man of the Match basi mjue mlizidiwa.
Tweet media one
145
65
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
As Vita 0-1 Simba Simba 1-0 Ahly Merreikh 0-0 Simba Simba 3-0 Merreikh Simba 4-1 As Vita Ahly 1-0 Simba CRB 3-0 Yanga Yanga 1-1 Ahly Medeama 1-1 Yanga Yanga 3-0 Medeama Yanga 4-0 CRB Ahly Vs Yanga 2020/21 Simba waliingia robo ya CAFCL baada ya mechi 4, Yanga wao baada ya mechi5
416
199
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Tulikubaliana WABOVU vikao hivi vya nini tena. Masikini hana kiapo bana!
Tweet media one
79
51
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Eti sijui ".....kama MC tu wa Sinza...." Shida ukiwa na akili ndogo na wewe unawaona wenzio wana akili kama zako. Bin Kazumari.
295
84
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Bernard Camille from Seychelles was very much biased today on Pirates Vs Simba game. VAR should still be used in Europe and other Continents, CAF should first teach their refs on how to officiate matches FAIRLY and let VAR in. As it is now, its misuse of money and other resources
Tweet media one
238
135
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
Tweet media one
153
52
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Kiungo yuko Mecca 🙏🙏
Tweet media one
128
33
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
MOSES Phiri is RED
Tweet media one
54
54
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
SAWADOGO aina ya kiungo anayeendana na ukubwa wa jezi ya Simba SC. Timu namba 12 bora Afrika jezi yake haiwezi kuwa nyepesi kwa kila mchezaji kuivaa kisa katoka nje ya Tanzania. Kigezo kufaa jezi ya Simba sio Utaifa wako ni shughuli zako dimbani, ambao Sawadogo anao, BRAVO Mnyama
Tweet media one
173
78
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Maneno ya Kocha Juma Mgunda baada ya dharau iliyomkuta hapo jana.
Tweet media one
182
87
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Yanga wawe smart wajibu hoja (content) ambayo Fei ameitoa kwa PB,sasa inaonekana kama wanatafuta huruma.Fei anasema aliitwa Mpemba ambao ni ubaguzi,alinyanyaswa,Rais wa klabu amemuomba radhi kwa kumkosea,alilipwa nusu nusu huku Rais anasema alilipwa kwa mkupuo, tujibu hoja wakuu.
Tweet media one
675
78
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Simba SC @SimbaSCTanzania "MANGWENA" wameingia group stage kama kawaida yao kwenda kupambana na Mangwena wenzao. Hongera Mnyama hivi ndo inapaswa kuwa.👏👏👏💪💪💪
Tweet media one
25
57
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Dakika ya 80 Chama “Mwamba wa Lusaka” ameingia wakati Zambia wanaongoza 2-0
Tweet media one
48
24
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Timu zote za Ligi Kuu Bara isipokuwa Yanga SC wanapaswa KUITHAMINI, KUIHESHIMU na KUILINDA Ihefu Football Club kama benki inavyolinda pesa. Wahakikishe pia WANABAKI Ligi Kuu kwa hali na mali, kama sio IHEFU FC kuwatoa utumwani Leo Unbeaten zingekuwa 60..!!
71
47
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
BREAKING NEWS Mchezaji wa Azam FC PRINCE DUBE amerudisha kilakitu cha klabu hiyo ikiwemo nyumba na kuondoka kambini. Dube aliiandikia klabu hiyo barua akiomba kuondoka klabuni hapo baada ya kuishi Chamazi kwa miaka 4 sasa. Dube anahusishwa kutaka kutafuta maisha mapya ‘Kariakoo’
196
95
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Simba na Yanga ziko sawasawa kwenye uwanda wa hapa Tanzania, lakini kwenye uwanda wa kimataifa Simba SC iko JUU sana ya Yanga SC. Huu ndiyo uhalisia na haikutokea kwa bahati mbaya, walipigana kufika hapo walipo. CAF wakifikiria vilabu vya Tanzania kinachokuja kwanza ni Simba SC.
184
104
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
5 months
Yanga inapaswa kusajili mshambuliaji Kinara kama Mayele Mzize awe msaidizi, ni UONGO kumtegemea Walid kuwa Top Striker wao. CL haitaki mbwembwe za nje ya kiwanja, wajikite kuona wanapataje alama kiwanjani. 𝗔𝗭𝗜𝗭𝗜 𝗞İ 𝗻𝗶 𝗢𝗻𝗮𝗻𝗮 𝗮𝗹𝗶𝘆𝗲𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗺𝗸𝗮
Tweet media one
329
70
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Mchezaji wa zamani wa YANGA SC na Singida United Kipanya Malapa akiwa kwenye shughuli zake za kiuchumi ambapo anauza mishikaki na kachori maeneo ya Buguruni Kona. Kipanya anakaribisha watu wote kumuunga mkono kwenye biashara yake hii. Wadau tujipatie mishikaki laini na kachori.!
Tweet media one
176
49
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Yanga SC (Gongowazi) wamemsajili Kipa namba 1 wa Singida Big Stars METACHA BONIFACE MNATA “Buffalo” kwa mkopo wa miezi 6 mpaka mwisho wa msimu. Anaziba nafasi ya Mshery ambaye ana majeraha. Msiwe mnamaliza maneno, Dunia duara Wazee wangu..!! Kila la kheir nyanda
Tweet media one
203
45
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Penzi zito kuliko Tofali
134
53
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Kocha wa Simba SC Robertinho anatarajiwa kuwasili nchini Alf Ajiri ya kesho akitokea kwao Brazil alikoenda kufanya mitihani ya Pro-License.
Tweet media one
62
39
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
8 months
Mwezi wa Agosti unaisha leo, kuna uwezekano mkubwa Feisali akawa mchezaji bora wa mwezi huu wa Ligi kuu
Tweet media one
270
32
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
9 months
YANICK Bangala amejiunga na klabu ya Azam kwa uhamisho wa takribani Tshs 100M. Bangala mchezaji bora wa msimu wa 2021/2022 pamoja na Djuma Shaban hawako kwenye mipango ya Yanga na tayari nafasi zao zimeshajazwa. Hawakuwa kwenye utambulisho wa wachezaji wa msimu 2023/2024.
Tweet media one
60
54
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
FT:Azam 2-3 Yanga..!!
Tweet media one
187
36
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
HE IS BACK /AMERUDI Luis Jose MIQUISSONE amerudi nyumbani SIMBA SC. Simba imethibitisha hilo leo.
Tweet media one
52
76
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
Mnyama mpaka sasa ameshusha wachezaji wapya 3 na 2 ni MVPs wa Ligi mbili za nchi 2 za Afrika. Onana, MVP Rwanda ✅ Che Malone, MVP Cameroon ✅ Aubin Kramo✅ Wacha tusubiri Gongowazi baada ya Kibabage nani anashuka
Tweet media one
199
84
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa pembeni LUIS MIQUISSONE kwa mkataba wa miaka 3. Luis na Simba walishakubaliana personal terms tangu wiki iliyopita na baada ya juzi Alhy na Luis kuvunja ndoa yao, Simba wameseal deal kuwa DONE AND DUSTED ✅
Tweet media one
78
57
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Top performance from YANGA SC! YANGA wamekuwa kwenye kiwango bora kwenye mchezo mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinaisha. Mazembe wamebahatika sana kufungwa bao 2 pekee mpaka sasa. HT: Yanga 2-0 TP Mazembe
Tweet media one
56
37
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
“Akiondoka Hersi sasahivi narudi Yanga” FEISAL SALUM ABDALLAH ‘Feitoto’
Tweet media one
292
44
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
9 months
Jonesia Rukyaa ni kati ya waamuzi 3 wa FIFA ambao wamefeli mitihani iliyofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, wengine ni Soud Lila na Esther Adabet. Rukyaa ni mwamuzi bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2022/2023
Tweet media one
181
70
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
6 days
Klabu ya Simba inapambana kupata saini ya mchezaji wake Kibu Denis ambaye amegoma kuongeza mkataba.Mkataba kati ya Kibu na Simba unamalizika mwisho wa msimu lakini Kibu amekuwa anabembelezwa karibu miezi 10 sasa hataki kusaini mkataba mpya.Kibu Denis ameonnyesha kutaka kuondoka
Tweet media one
Tweet media two
209
64
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Breaking News..! DARIO Federico Da'Silva JR Mbrazil anaekipiga Klabu ya SINGIDA BIG STARS atajiunga na Yanga SC kwa mabadilishano na JESUS MOLOKO. Kila kitu kinaenda sawa mezani ni hili litakamilika kabla ya dirisha kufungwa Agosti 31.
133
45
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Quality over everything..!! Simba wameadhibiwa na ubora wa Raja. Simba wamefanywa kuonekana watoto wa shule katika kila eneo. Wameachiwa umiliki wa mpira, Raja wameamua mchezo uweje. Kuna wakati unakubali umekutana na waliokuzidi,Rebertinho atakuwa anajua sasa maana ya timu kubwa
Tweet media one
135
29
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
Azam FC walimsajili Frank Raymond Domayo ‘Chumvi’ akiwa majeruhi , alitibiwa akapona, huo ni mfano mmoja mifano ni mingi sana. Dawa ya ugonjwa au majeraha ni tiba tu. Tusipende sana kupigana pigana ‘fix’ tutafika mahala tutakwama wandugu
Tweet media one
217
37
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
Simba wataendelea kuambiwa wanacheza vizuri kuliko Mamelodi kama akili zao hawawezi kuziondoa katika ULOZI. Kuna wakati mashabiki wa Simba walikuwa wanasema Yanga wanaroga sana, wao wameamua kuingia kazini wenyewe kabisa, AIBU SANA kwa timu iliyo 10 bora Afrika
Tweet media one
201
72
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
9 months
Hakuna tofauti ya Azam yenye Feitoto na ile ambayo hakuwepo kama ambavyo Yanga bila Feitoto dhidi ya Azam imekuwa ileile tu
Tweet media one
146
37
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Pamoja na ubora wa tamasha la Simba SC, ila ile dhihaka ya Jeneza sio sawa kabisa.Hatujafikia huko kwenye kuombeana au kutakiana vifo kwa dhihaka. Mtu anaweza kutafuta justification yoyote ila ile SIO SAWA.Kingine kwangu ni kuingia ukiwa umebebwa kitini ni Ubwanyenye hauna mpango
315
48
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
THIS HAS NEVER HAPPENED BEFORE IN TANZANIA 🇹🇿. Hongera Simba SC @SimbaSCTanzania na @mbet_tz . Timu kubwa hupata mikataba mikubwa kutoka kwenye makampuni makubwa,Ligi inaongeza thamani kama ilivyo kwa klabu. Mkataba umeakisi ubora na ukubwa wa klabu kwenye bara la Afrika. 👏👏👏
Tweet media one
69
66
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
NABI atatolewa "Kafara" Yanga SC,wazi kabisa ameumaliza mwendo kinachosubiriwa ni ataondokea wapi tu,kwenye DERBY amepona.Inasemekana aligomea sajiri za wachezaji kadhaa kiufundi kilichoonekana kupingana na wakubwa.Huwa ni mtu mwenye misimamo na kazi yake,Mbrazil wa Vipers kutua
166
57
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Yanga SC imelimwa faini ya Tshs milioni 80.5 kwa makosa 2 ($35,000) Kwanza kosa la kuwasha fataki wakati wa mchezo dhidi ya Rivers United($10,000) Tukio la basi la Rivers United kuvamiwa na kuibiwa dola 5,200 za kimarekani na harufu mbaya yenye sumu, hapa wametozwa dola 25,000.
Tweet media one
Tweet media two
349
111
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Hii Channel rasmi ya YANGA TV kwenye AzamTV inaanza kuonekana lini na itapatikana namba ngapi? Halafu @azamtvtz mbona hamjatia neno siku 3 zimepita au hili sio jambo kubwa kwenu? Au na nyinyi mmelipata kwenye Instagram kama sisi? Tupeni taarifa wadau tuanze kufatilia Channel yetu
Tweet media one
207
58
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
ABDUL SELEMAN SOPU Scores a Hat trick in the FA CUP Final ⚽11' ⚽88' ⚽99' Imagine Sopu is a Tanzanian.. One of our own!🇹🇿 Yanga 2-3 Coastal Union
77
44
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
"Tanzania One" amechagua kusalia na Klabu yake ya Simba SC. Hongera @ManulaAishi na Management yake, hongera @SimbaSCTanzania . Miaka 3 mingine kuitumikia Simba SC.
Tweet media one
43
52
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Anaweza asiwe kama Mayele, Musonda au Bangala lakini Jesus Ducapel Moloko ni zaidi ya Aziz Ki kiwanjani kimbuni na mchango wake kwa mafanikio ya Yanga ni mkubwa sana. Hana aina ya soka la kuudananda tunalopenda ila ni mchezaji muhimu na wa kileo kimbuni anaecheza kwa misingi
Tweet media one
289
32
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
BREAKING NEWS Robo fainali CAFCL Kickoff time Yanga SC Vs Mamelodi 30 Machi,2024 Jumamosi saa 3:00 usiku BENJAMIN MKAPA. Hii maana yake Simba SC Vs Ahly itakuwa tarehe 29 Machi, 2024 Ijumaa saa 3:00 Usiku pia.
57
79
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
Timu zilizoshinda mechi nyingi za hatua ya makundi ya CAF Champions League tangu ilivyoanzishwa. Tafuta chama lako
Tweet media one
180
138
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
4 months
Mpira wetu una SIASA ZA KISHAMBA zimeathiri watangazaji.Mechi ya Mapinduzi Cup Yanga na Jamhuri, Skudu alipofunga bao la 5 Pascal Kabombe anasema zilezile walizofungwa KMC, walizofungwa JKT, halafu anasema zile za zilezile, anahofia kuitaja SIMBA SC ambayo ilipigwa 5 pia, shame.
234
67
2K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Hii nchi bana, mtu ana aminika kwa taaluma yake lakini kumbe hamna kitu. Katiba ya nchi watu wanataka iandikwe upya wakiamini kwamba kuna mambo hayako sawa. Anaibuka mganga njaa mmoja analeta ngonjera za katiba ya klabu haibadilishwi kwakuwa ilitengezwa na wazee wenye akili kubwa
236
54
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
TUISILA KISINDA apigwa marufuku Yanga SC mpaka dirisha dogo, JOASH ONYANGA atabaki Simba SC. Kamati ya Sheria, Wanachama na hadhi za wachezaji imeamua hivyo. Bin Kazumari.
344
58
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
21 days
Klabu ya Azam imewapa Yanga SC ofa ya 400M ili kumsajili Clement Mzize, Yanga wamejibu kwamba watakutana kujadili ofa hiyo.Badala yake Yanga wamemuingizia Mzize pesa kwajili ya mkataba mpya,naendelea kutafuta ni kiasi gani.Kwenye ofa ya Azam HAKUNA eneo wametaka swap deal na Dube
Tweet media one
88
51
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Dunia imeshindwa kuzuia kifo na kuuficha ukweli. Nasikia kwenu manasema mkopo ni sehemu ya mapato (revenue) 😂😂
Tweet media one
170
55
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Kila la Kheir Simba SC @SimbaSCTanzania Ile siku ndiyo leo Wakulungwa, mshasikia kilichotokea Taifa na Libya, nyie chagueni matokeo yaliyosalia, tayari tuna sare Taifa na tumepigwa Libya, nyie mtafuneni mtu mliokoe Taifa. #CAFCL #TAIFAKUBWA
Tweet media one
28
57
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 months
Ushindi wa nchi, Tanzania inajivunia ushindi wa Simba kwakuwa kama nchi kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kila Chama anafanya marudio unajiona kama hicho ni kitu kipya kumbe alishafanya huko awali.
Tweet media one
52
93
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
6 months
CLASSY 👌👌 Hii nayo ni kama 5-1 nyingine vilee, ndugu wa Mnyama kuna shule huku.
Tweet media one
84
76
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
Mnyama amekasirika msimu huu, katambulisha winga wa kushoto kutoka Ivory Coast ambaye alikuwa anacheza Asec Mimosas akifahamika kwa jina la AUBIN KRAMO KUOAME ambaye moja kwa moja ni mrithi wa Okra.
Tweet media one
49
50
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
The One and Only Ninja in Town 🙏🙏
Tweet media one
22
13
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Jana kweli kulikuwa na kikao jioni kuanzia majira ya saa 9 alasiri kuhusiana na jambo la FEISAL SALUM, kutokana na maelekezo ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan aliyotoa juzi Ikulu ya Dar es Salaam. Jambo linakwenda vizuri lakini makubaliano ya mwisho bado hayajafikiwa kwa pande zote
Tweet media one
62
30
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Hii sasa ndo ile YANGA inayochezaga Ligi Kuu ya NBC..!!
167
30
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
Kwahiyo Rais wa Klabu ALIDANGANYA? Uongo huu ni kwanini? Ameshadanganya mara ngapi? Hatuko mbali tutajua kwamba FEISALI alikuwa sahihi 100%, tutajua Mayele anacheza Yanga kwa mkopo na ataondoka soon, tutajua Bangala ameomba kuondoka na anaitaka Azam huku Yanga wakihaha kuzuia.
Tweet media one
482
102
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Halafu sisi WASHAMBA bana mambo yenu ya mjini yanatuhangaisha sana. Mwanaume kum'busu mwanaume mwenzio mapajani kama unataka kunyonya dhakari yake kwakweli washamba tunaona kama "UVELU" au "USUNGO" hivi. Bin Kazumari
315
53
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Huu usajili wanaofanya Azam FC ni wa kufukuza Kocha msimu ujao 🤣🤣🤣
Tweet media one
49
12
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
9 months
Kuna Dira ya Dunia, halafu kuna SIMBA DAY. .!!
51
81
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
6 months
Wakati Kennedy Musonda anatoka na nafasi yake kuchukuliwa na Walid Mzize, kulikuwa na kama kujibizana kati ya Musonda na Kocha Garamond, kamavile Musonda hakuridhika, Mzize amepachika bao, Musonda ameenda kumkumbatia Kocha Garmondi. Makocha wanajua zaidi..!!!
85
43
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
11 months
“Kuna mtu alituita wachezaji wa Yanga wote takataka lakini baadae akaja Yanga tukampokea leo hii mtu huyo huyo anaseama tunahujumu timu” FEISAL Salum Abdallah “Feitoto”
Tweet media one
110
47
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
Inonga yupo Msimbazi mpaka 2025
Tweet media one
24
29
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Simba HAWAMTENDEI HAKI Joash Onyango kwa mabeki hawa walio nao.
116
36
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Good choice again..! Great young man who knows the content, where, when and probably how to get it. Alwatan Abdulaziz Kipanduka, my first interview with him in 2020 was enough for me to predict his future, he is just on the way to destination, not even there yet.
Tweet media one
37
22
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
1 year
DONE DEAL..!! Bado tunakusanya taarifa muhimu kuhusiana na jambo zima na panapo majaaliwa ya ALLAH alfajiri tutawapa full story. Kwa sasa tulale tu tusiharibu usingizi wetu kwa wale watakaoweza kulala.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
89
37
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
9 months
Jefferson Luis Golikipa wa Simba kutoka Brazil ni kweli amepata majeraha na atakuwa nje kwa muda mrefu. Imethibitika kipa huyo hawezi kuwa sehemu ya timu kwa msimu ujao kwahiyo ataondoka na mtu wa kuziba nafasi yake ameshapatikana na atatangazwa muda wowote kuanzia jioni hii.
Tweet media one
220
50
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
2 years
Simba SC @SimbaSCTanzania inashika nafasi ya 11 Afrika na 131 Duniani kwa ubora. Chanzo ni Shirikisho la Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu IFFHS. Credit @gharib_mzinga Powered by @dstvtz @888bettanzania @SifexAirCargo
Tweet media one
93
105
1K
@jemedarisaid
Bin Kazumari
10 months
Kapombe aletewa Changamoto mpya baada ya Djuma Shaban na Kibwana Shomari kuchemka, ni YAO KUOASSI ATTOULA kutoka Asec Mimosas. Amesajiliwa Yanga SC ili kutatua tatizo la beki wa pembeni kulia kama ripoti ya kocha Nabi ilivyosema.
Tweet media one
197
28
1K