Azam FC Profile Banner
Azam FC Profile
Azam FC

@azamfc

Followers
291,773
Following
18
Media
4,220
Statuses
11,673

⚽ The Official Account of Azam Football Club 🏆 2013-14 Tanzania Premier League Champions. 📅 Founded in July 23, 2004. 📱 #AzamFC #TimuBoraBidhaaBora

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@azamfc
Azam FC
9 months
🚨 D O N E D E A L 🚨 Tumefikia makubaliano na klabu ya Yanga ya kumnunua, mchezaji kiraka, Yannick Bangala na amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya. Bangala karibu Mbagala! ⚪️🔵🍦 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
127
227
5K
@azamfc
Azam FC
2 years
🚨 D O N E D E A L 🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na kiungo mshambuliaji, Abdul Sopu, akitokea Coastal Union. More to follows... #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
244
200
4K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 BREAKING NEWS 🚨 Tunayofuraha kuwataarifu kuwa tumefikia makubaliano na klabu ya @RCAofficiel , ya kumnunua kiungo wao mshambuliaji, Gibril Sillah. Nyota huyo wa Gambia, anatarajia kutua nchini muda wowote kuanzia sasa kumalizia taratibu za mwisho za usajili. 👇
Tweet media one
129
134
4K
@azamfc
Azam FC
9 months
20' Azam FC 1-1 US Monastir
Tweet media one
20
52
3K
@azamfc
Azam FC
2 years
FULL TIME! Prisons 1-0 Azam FC
Tweet media one
184
66
3K
@azamfc
Azam FC
11 months
THANK YOU! 🙏 Ahsante kwa mchango wako ndani ya klabu yetu ukiwa kama nahodha, kocha msaidizi. Daima utabakia kwenye historia ya klabu yetu! Tunakutakia kila la kheri kwenye maisha yako mapya ya ukocha. You're a true legend! Agrey Moris. 👏 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
87
76
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
FULL TIME! Azam FC 0-3 Esperance
Tweet media one
234
62
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
#DoneDeal Hatimaye amenasa na atakuwa sehemu ya kikosi chetu kwa misimu mitatu ijayo. Amefunga moja ya mabao bora kabisa msimu uliopita kwenye Ligi Kuu ya NBC. Nani huyu? Jibu utalipata hapa saa 12.00 jioni. ⌚️ #wereazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
195
78
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
🚨 K I 🚨 Big announcement! 📣 Tukutane baadaye saa 12.00 jioni! ⏰ #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
200
89
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
FULL TIME! KMC 2-1 Azam FC
Tweet media one
177
43
2K
@azamfc
Azam FC
1 year
FULL TIME! Azam FC 2-3 Yanga SC
Tweet media one
279
50
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
NDIO! Wameungana tena ♾️ Tukutane hapa saa 5.00 asubuhi, kumjua ni mchezaji gani huyo. ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
117
49
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
GOAAAL! 9' Azam FC 1-0 Al Hilal Sidibe anatupa bao la uongozi akifunga kwa kichwa safi kufuatia kqzo nzuri ya Fei Toto.
Tweet media one
39
63
2K
@azamfc
Azam FC
4 months
T H A N K Y O U 🙏 Idris Mbombo! #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
46
62
2K
@azamfc
Azam FC
4 months
🟢 D O N E D E A L 🟢 Welcome to Azam FC, Franklin Navarro! 🇨🇴 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
71
101
2K
@azamfc
Azam FC
1 year
Nani tumuongeze katika hili bango kwenye dirisha hili dogo la usajili?! 👂 Comment ziwe fupi fupi! 🤜🏻🤛🏻 Powered by #AzamMax2 @Yusufbakhresa @AbdukarimAmin #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
240
63
2K
@azamfc
Azam FC
1 year
FULL TIME! Azam FC 1-4 Singida BS
Tweet media one
146
32
2K
@azamfc
Azam FC
8 months
GOAAAL! 8' Azam FC 1-0 Arta Solar Fei Toto ⚽️
Tweet media one
20
29
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
G⚽️AAAL! 29' Azam FC 2-1 US Monastir Sillah anapigilia msumari wa pili akiunganisha kona ya Fei Toto
Tweet media one
14
54
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
Jezi zetu rasmi msimu wa 2023/24! #AzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
170
154
2K
@azamfc
Azam FC
5 months
GOAAAAL! 87' Azam FC 5-0 Mtibwa Sugar Fei Toto ⚽️
Tweet media one
19
41
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
G⚽️AAAL! 53' Azam FC 1-3 Stade Tunisien Dube ⚽️
Tweet media one
61
33
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 D E A L D O N E 🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji hatari kutoka Senegal, Alassane Diao, akitokea US Goree. Welcome to Azam FC Diao! ✍️👏 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
155
61
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
FULL TIME! Yanga SC 2-0 Azam FC
Tweet media one
326
53
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
🚨 MATCH DAY 🚨 🆚 Yanga SC 🏆 Commnunity Shield 📋 Semi Final ⏰ 7.00 PM (E.A.T) 🏟️ Mkwakwani Stadium Go Go Go Lads! 💪🏻 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
46
63
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
FULL TIME! @TPMazembe 1-1 @azamfc
Tweet media one
26
56
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
15' Azam FC 0-1 Stade Tunisien
Tweet media one
37
25
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 H E R E T O S T A Y 🚨 Mkata umeme halisi na nahodha wetu, Sospeter Bajana, bado ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026. Hiyo ni baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
61
51
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
FULL TIME! Azam FC 0-1 Wadi Degla
Tweet media one
54
35
2K
@azamfc
Azam FC
1 year
#OneDayLeft YES! Ni mtoko wa Krismasi ndani ya Uwanja wa Mkapa kesho Jumapili. Ni Azam FC 🆚 Yanga SC! Tukutane kwa wingi tufurahi pamoja! @Yusufbakhresa @AbdukarimAmin #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
84
55
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
FULL TIME! Azam FC 3-0 Al Hilal
Tweet media one
24
39
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
G⚽️AAAL! 83' Azam FC 4-0 KMKM Sillah ⚽️
Tweet media one
19
33
2K
@azamfc
Azam FC
11 months
🚨DEAL DONE 🚨 Tunayofuraha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na nyota wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum 'Fei Toto'. Kiungo huyo fundi maarufu kama Fei Toto, anakuwa mchezaji wetu wa kwanza kumsajili kuelekea msimu ujao. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
102
110
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 P R I C E L E S S 🚨 Kiungo chuma, James Akaminko, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu yetu. Hivyo, bado yupo yupo sana kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
62
63
2K
@azamfc
Azam FC
11 months
Thank you for your memories! 🙏 Ahsante sana kwa utumishi wako uliotukuka ndani ya klabu yetu kocha wetu, Kali Ongala. Kazi yako itakumbukwa daima kwenye historia ya klabu yetu! Tunakushukuru sana na tunakutakia kila la kheri katika maisha yako mapya ya soka. #weareazamfc
Tweet media one
82
72
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
BREAKING NEWS Tunayo furaha kumtangaza, Hasheem Ibwe, kama kaimu afisa habari wetu kuanzia leo, Oktoba 18, 22, hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo. Karibu sana Hasheem Ibwe katika familia yetu. #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
63
75
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
D O N E D E A L S 💯 Sasa ni muda wa kishindo juu ya kishindo. Chaji simu, weka bando, kuijua nguvu ya Azam Pesa. 📲 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
90
62
2K
@azamfc
Azam FC
8 months
GOAAAL! 72' Bahir Dar 2-1 Azam FC Mbombo ⚽️
Tweet media one
35
29
2K
@azamfc
Azam FC
6 months
FULL TIME! Azam FC 1-3 Namungo
Tweet media one
222
43
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
🚨 B R E A K I N G N E W S 🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na kipa wa kimataifa wa Comoro, Ali Ahamada. More to follow... #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
66
57
2K
@azamfc
Azam FC
7 months
GOAAAAL! 45+ Coastal Union 0-1 Azam FC Fei Toto ⚽️
Tweet media one
18
29
2K
@azamfc
Azam FC
2 years
FULL TIME! Azam FC 1-0 Simba SC Dube ⚽️
Tweet media one
69
77
2K
@azamfc
Azam FC
6 months
GOAAAAL! 36' Ihefu 0-1 Azam FC Fei Toto ⚽️
Tweet media one
19
37
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
Mwamba Kashindikana! Unataka kujua ni nani? Leo Jumanne saa 12.00 jioni, tuna jambo lake! ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
64
31
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨DEAL DONE🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeinasa saini ya beki wa kushoto wa kimataifa wa Senegal, Cheikh Tidiane Sidibe, akisaini mkataba wa miaka miwili akitokea Teungueth. Sidibe, 24, ni beki mahiri wa kushoto akiwa fundi wa kupandisha mashambulizi na kupiga mipira 👇
Tweet media one
Tweet media two
65
64
2K
@azamfc
Azam FC
3 months
#Kiporo Mechi yetu ya kiporo dhidi ya Simba, sasa imepangiwa tarehe na Bodi ya @tplboard , ikitarajia kufanyika Februari 9, mwaka huu. #mzizimaderby #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
62
59
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
54' Azam FC 0-1 Esperance
Tweet media one
57
27
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
43' Azam FC 1-0 Bandari FC
Tweet media one
6
17
2K
@azamfc
Azam FC
3 months
#PrideOfAzamFCAcademy Ukubwa wa kituo chetu cha kukuza vipaji, Azam FC Academy, ulivyojionyesha hadi kwenye timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' 🇹🇿. Hiki ni kikosi cha mwisho cha Taifa Stars, kilichocheza dhidi ya DR Congo, ...
Tweet media one
57
87
2K
@azamfc
Azam FC
10 months
Hana kazi mbovu, ni mtu wa shoka haswa! Tuna jambo lake leo Ijumaa saa 9.00 Alasiri. ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
51
26
2K
@azamfc
Azam FC
9 months
Guess who have met!? 💬 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
15
46
1K
@azamfc
Azam FC
9 months
G⚽️AAAL! 45+1' Azam FC 2-0 Bandari FC Dube ⚽️, Fei Toto 🎯
Tweet media one
8
27
1K
@azamfc
Azam FC
11 months
Thank you our captain! Bruce Kangwa! Ahsante sana kwa mchango wako mkubwa ulioutoa kwa timu yetu kwa miaka saba ya nguvu, tokea ulipojiunga nasi 2016 ukitokea Highlanders FC ya Zimbabwe. Tunakutakia kila la kheri na mafanikio zaidi uendapo. #wereazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
32
40
1K
@azamfc
Azam FC
4 months
FULL TIME! Azam FC 1-2 Singida FG
Tweet media one
82
45
1K
@azamfc
Azam FC
11 months
THANK YOU! 🙏 Ahsanteni sana kwa kumbukumbu katika klabu yetu. Tunawatakia kila la kheri popote muendapo. Ismail Aziz x Cleophace Mkandala #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
54
41
1K
@azamfc
Azam FC
2 years
Chuma juu ya chuma! Tumepita naye... Tukutane hapa saa 8.00 mchana! #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
66
25
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
Ni mtu chuma haswaa! Tukutane hapa saa 12.00 jioni. ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
71
29
1K
@azamfc
Azam FC
2 years
🚨 D O N E D E A L 🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka miwili na beki wa kati wa kimataifa wa Senegal, Malickou Ndoye, akitokea Teungueth FC ya huko. Welcome to Azam FC! Super Defender, Malickou.🌟⭐️ #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
90
66
1K
@azamfc
Azam FC
2 years
Our official squad 2022-2023! Kikosi chetu cha ubingwa msimu mpya. 🔥 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
56
78
1K
@azamfc
Azam FC
1 month
GOAAAAL! 51' Azam FC 2-1 Yanga SC Fei Toto ⚽️
Tweet media one
27
58
1K
@azamfc
Azam FC
2 months
Mbivu na mbichi zitajulikana! 🔜 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
53
40
1K
@azamfc
Azam FC
22 days
11' Azam FC 1-0 Mtibwa Sugar Fei Toto ⚽️
Tweet media one
20
28
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
Tweet media one
6
30
1K
@azamfc
Azam FC
2 months
#TANZIA Uongozi wa Azam FC umepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha baba yake mzazi nyota wetu, Yannick Bangala, Bangala Denis, kilichotokea jana. Azam FC tunatoa salamu za rambirambi kwa familia ya Bangala, ndugu, jamaa na marafiki na wote walioguswa na msiba huu. 👇
Tweet media one
24
69
1K
@azamfc
Azam FC
4 months
🟢 D O N E D E A L ✍️ Karibu kwenye viunga vya Azam Complex, beki wetu mpya wa kati, Yeison Fuentes 🇨🇴. Yeison, amesaini mkataba wa miaka mitatu, akitokea Leones FC ya Colombia. Bienvenido a Azam FC, Yeison! 👍 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
72
77
1K
@azamfc
Azam FC
4 months
🟢 D O N E D E A L 🟢 Tumefikia makubaliano na klabu ya El Merreikh, ya kumsajili kipa wao wa kimataifa wa Sudan, Mohamed Mustafa, kwa mkopo wa miezi sita. Welcome to Azam FC, Mustafa! 💪🏻 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
47
59
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
Winga wa mpira! ⚽️ Idd Nado 🫶🏽 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
15
21
1K
@azamfc
Azam FC
1 month
🔝Team 🔥
Tweet media one
68
90
1K
@azamfc
Azam FC
6 months
#OFFICIAL From Azam FC Academy to the world! 🌍 Tunamtakia kila la kheri mshambuliaji wetu chipukizi, Cyprian Kachwele, aliyejiunga na timu yake mpya ya Vancouver Whitecaps ( @WhitecapsFC ) inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS). #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
27
45
1K
@azamfc
Azam FC
2 months
#VenueChanged Mchezo wetu ujao wa Ligi Kuu ya NBC, dhidi ya Yanga, sasa utafanyika Uwanja wa Mkapa badala ya ule wa Azam Complex uliopangwa hapo awali. Mchezo huo unatarajia kufanyika Jumapili hii, saa 1.00 usiku. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
61
49
1K
@azamfc
Azam FC
1 year
18' Azam FC 0-1 Coastal Union
Tweet media one
17
13
1K
@azamfc
Azam FC
9 months
KICK OFF! Azam FC 0-0 Esperance
Tweet media one
13
24
1K
@azamfc
Azam FC
1 year
66' Azam FC 1-3 Singida BS
Tweet media one
67
12
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
Ngoja kwanza ni-😀😀😀! Huyu ni master kweli kweli! Huyu nyota aliyefanya kitu cha kibabe hapa pichani, tuna jambo lake leo Alhamisi saa 12.00 jioni. Tukutane hapa baadaye... ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
46
30
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
⚡️'The Ambidextrous' ⚡️ Unataka kumjua!? Tukutane hapa saa 12.00 jioni! ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
35
20
1K
@azamfc
Azam FC
9 months
Tweet media one
15
25
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
F A I L A S U FI 😀 Mtaalamu wa dimba! Kutoka Zanzibar Finest hadi Tanzania Finest! @IamFeisalSalum 🔥 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
26
43
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 DONE DEAL 🚨 Tunayofuraha kuwatangaza wataalamu wawili wapya kwenye benchi letu la ufundi chini ya Kocha Mkuu, @Youssou_Dabo . Tunamtambulisha, Khalifa Ababakar Fall (wapili kutoka kulia), kuwa Kocha mpya wa Makipa na Ibrahim Diop, kama Mchambuzi wa mechi (Video Analyst) 👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
68
65
1K
@azamfc
Azam FC
11 months
THANK YOU! 🙏 Ahsanteni sana kwa kumbukumbu zenu ndani ya klabu yetu, tunawatakia kila la kheri muendapo. Rodgers Kola x @KennethMuguna10 👏 #wereazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
34
41
1K
@azamfc
Azam FC
9 months
61' Azam FC 2-0 Singida FG
Tweet media one
7
17
1K
@azamfc
Azam FC
5 months
Namba zinaongea! 🔥 @IamFeisalSalum 'Zanzibar Finest' 🤚🤚 MATCHES 1️⃣0️⃣ GOALS 6️⃣ ASSISTS 4️⃣ Rate his performance in one emoji! 🔥 #nbcpl #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
45
54
1K
@azamfc
Azam FC
4 months
GOAAAAAL! 45+3' Azam FC 1-0 Singida FG Alassane ⚽️, Msindo 🎯
Tweet media one
16
24
1K
@azamfc
Azam FC
9 months
#LoanedOut Tumemtoa kwa mkopo wa msimu mzima kiungo wetu, Isah Ndala, kwenda KMC. All the best Ndala! 🙏 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
23
35
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
Tweet media one
17
29
1K
@azamfc
Azam FC
3 months
GOAAAAL! 15' Simba SC 0-1 Azam FC Dube ⚽️, Msindo 🎯
Tweet media one
28
48
1K
@azamfc
Azam FC
4 months
Man Of The Match! ⭐️ Yannick Bangala 👏👏👏 #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
8
28
1K
@azamfc
Azam FC
2 years
GOAAAAAL! 35' Azam FC 1-0 Simba SC Dube ⚽️
Tweet media one
28
40
1K
@azamfc
Azam FC
6 months
FULL TIME! Yanga SC 3-2 Azam FC
Tweet media one
116
35
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
GOAAAL! 53' Azam FC 2-0 Al Hilal Dube ⚽️, Lyanga (A)
Tweet media one
17
27
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨H E R E T O S T A Y 🚨 Beki mahiri wa kulia, Nathaniel Chilambo, atasalia kwenye klabu yetu hadi mwaka 2025, baada ya kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili. Chilambo, anamudu kutumia kwa ufasaha miguu yote miwili 'The Ambidextrous'. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
Tweet media two
26
33
1K
@azamfc
Azam FC
15 days
GOAAAAAL! 84' Namungo 0-2 Azam FC Kipre JR. ⚽️
Tweet media one
15
35
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 COACH ARRIVAL 🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na Bruno Ferry, atakayekuwa Kocha Msaidizi wa klabu yetu. Ferry atasaidiana na Kocha Mkuu, @Youssou_Dabo , ambaye atakiongoza kikosi chetu kuanzia msimu ujao wa mashindano. #weareazamfc
Tweet media one
Tweet media two
27
45
1K
@azamfc
Azam FC
6 months
🔝Team, 🔝Facilities! #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
60
36
1K
@azamfc
Azam FC
11 months
THANK YOU! 🙏 Ahsante kwa kumbukumbu zako ndani ya klabu yetu, Wilbol Maseke. Ulianzia kwenye kituo chetu cha kukuza vipaji 'Azam FC Academy', kabla ya kupandishwa timu kubwa 2019. Tunakutakia kila la kheri kwenye maisha yako mapya ya soka. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
38
27
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 D O N E D E A L 🚨 Kiungo mshambuliaji, Djibril Sillah 'The Killer', amekamilisha taratibu za kujiunga na klabu yetu baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea @RCAofficiel . 👇
Tweet media one
Tweet media two
29
50
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨 COACH ARRIVAL 🚨 Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na Jean-Laurent Geronimi 🇫🇷, atakayekuwa Kocha wetu wa viungo kuanzia msimu ujao 2023/24. #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
17
46
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
⚡️ L E V E L S ⚡️ Bingwa wa Afrika, Cheikh Sidibe, yupo na kikosi chetu akijiandaa na msimu ujao 2023/24. Ikumbukwe kuwa Sidibe, alikuwa ni mmoja wa nyota wa Senegal 🇸🇳, walioliongoza Taifa lao kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
30
37
1K
@azamfc
Azam FC
10 months
🚨FANTASTIC FOUR🚨 Mashine hatari nyingine mbili zinaongezeka leo Jumanne, kwenye usajili wetu kuelekea msimu ujao 2023/24. Unataka kuzijua mashine zetu nyingine tulizozinasa! Tukutane hapa saa 10.00 jioni na 12.00 jioni. ⌚️ #weareazamfc #timuborabidhaabora
Tweet media one
28
32
1K
@azamfc
Azam FC
9 months
🚨 M A T C H D A Y 🚨 🆚 Stade Tunisien 🏆 International Friendly 📋 Pre Season, Tunisia 🏟 Parc Hedi Enneifer 🕑 7.00 PM (E.A.T) #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora
Tweet media one
14
42
1K