🚨 D O N E D E A L 🚨
Tumefikia makubaliano na klabu ya Yanga ya kumnunua, mchezaji kiraka, Yannick Bangala na amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya.
Bangala karibu Mbagala! ⚪️🔵🍦
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 D O N E D E A L 🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na kiungo mshambuliaji, Abdul Sopu, akitokea Coastal Union.
More to follows...
#WeAreAzamFC
#TimuBoraBidhaaBora
🚨 BREAKING NEWS 🚨
Tunayofuraha kuwataarifu kuwa tumefikia makubaliano na klabu ya
@RCAofficiel
, ya kumnunua kiungo wao mshambuliaji, Gibril Sillah.
Nyota huyo wa Gambia, anatarajia kutua nchini muda wowote kuanzia sasa kumalizia taratibu za mwisho za usajili. 👇
THANK YOU! 🙏
Ahsante kwa mchango wako ndani ya klabu yetu ukiwa kama nahodha, kocha msaidizi.
Daima utabakia kwenye historia ya klabu yetu! Tunakutakia kila la kheri kwenye maisha yako mapya ya ukocha.
You're a true legend! Agrey Moris. 👏
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
#DoneDeal
Hatimaye amenasa na atakuwa sehemu ya kikosi chetu kwa misimu mitatu ijayo.
Amefunga moja ya mabao bora kabisa msimu uliopita kwenye Ligi Kuu ya NBC.
Nani huyu? Jibu utalipata hapa saa 12.00 jioni. ⌚️
#wereazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 D E A L D O N E 🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji hatari kutoka Senegal, Alassane Diao, akitokea US Goree.
Welcome to Azam FC Diao! ✍️👏
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 H E R E T O S T A Y 🚨
Mkata umeme halisi na nahodha wetu, Sospeter Bajana, bado ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.
Hiyo ni baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨DEAL DONE 🚨
Tunayofuraha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na nyota wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum 'Fei Toto'.
Kiungo huyo fundi maarufu kama Fei Toto, anakuwa mchezaji wetu wa kwanza kumsajili kuelekea msimu ujao.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 P R I C E L E S S 🚨
Kiungo chuma, James Akaminko, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu yetu.
Hivyo, bado yupo yupo sana kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
Thank you for your memories! 🙏
Ahsante sana kwa utumishi wako uliotukuka ndani ya klabu yetu kocha wetu, Kali Ongala.
Kazi yako itakumbukwa daima kwenye historia ya klabu yetu! Tunakushukuru sana na tunakutakia kila la kheri katika maisha yako mapya ya soka.
#weareazamfc
BREAKING NEWS
Tunayo furaha kumtangaza, Hasheem Ibwe, kama kaimu afisa habari wetu kuanzia leo, Oktoba 18, 22, hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo.
Karibu sana Hasheem Ibwe katika familia yetu.
#WeAreAzamFC
#TimuBoraBidhaaBora
🚨 B R E A K I N G N E W S 🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na kipa wa kimataifa wa Comoro, Ali Ahamada.
More to follow...
#WeAreAzamFC
#TimuBoraBidhaaBora
🚨DEAL DONE🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeinasa saini ya beki wa kushoto wa kimataifa wa Senegal, Cheikh Tidiane Sidibe, akisaini mkataba wa miaka miwili akitokea Teungueth.
Sidibe, 24, ni beki mahiri wa kushoto akiwa fundi wa kupandisha mashambulizi na kupiga mipira
👇
#PrideOfAzamFCAcademy
Ukubwa wa kituo chetu cha kukuza vipaji, Azam FC Academy, ulivyojionyesha hadi kwenye timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' 🇹🇿.
Hiki ni kikosi cha mwisho cha Taifa Stars, kilichocheza dhidi ya DR Congo, ...
Thank you our captain! Bruce Kangwa!
Ahsante sana kwa mchango wako mkubwa ulioutoa kwa timu yetu kwa miaka saba ya nguvu, tokea ulipojiunga nasi 2016 ukitokea Highlanders FC ya Zimbabwe.
Tunakutakia kila la kheri na mafanikio zaidi uendapo.
#wereazamfc
#timuborabidhaabora
THANK YOU! 🙏
Ahsanteni sana kwa kumbukumbu katika klabu yetu. Tunawatakia kila la kheri popote muendapo.
Ismail Aziz x Cleophace Mkandala
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 D O N E D E A L 🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka miwili na beki wa kati wa kimataifa wa Senegal, Malickou Ndoye, akitokea Teungueth FC ya huko.
Welcome to Azam FC! Super Defender, Malickou.🌟⭐️
#WeAreAzamFC
#TimuBoraBidhaaBora
#TANZIA
Uongozi wa Azam FC umepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha baba yake mzazi nyota wetu, Yannick Bangala, Bangala Denis, kilichotokea jana.
Azam FC tunatoa salamu za rambirambi kwa familia ya Bangala, ndugu, jamaa na marafiki na wote walioguswa na msiba huu.
👇
🟢 D O N E D E A L ✍️
Karibu kwenye viunga vya Azam Complex, beki wetu mpya wa kati, Yeison Fuentes 🇨🇴.
Yeison, amesaini mkataba wa miaka mitatu, akitokea Leones FC ya Colombia.
Bienvenido a Azam FC, Yeison! 👍
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🟢 D O N E D E A L 🟢
Tumefikia makubaliano na klabu ya El Merreikh, ya kumsajili kipa wao wa kimataifa wa Sudan, Mohamed Mustafa, kwa mkopo wa miezi sita.
Welcome to Azam FC, Mustafa! 💪🏻
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
#OFFICIAL
From Azam FC Academy to the world! 🌍
Tunamtakia kila la kheri mshambuliaji wetu chipukizi, Cyprian Kachwele, aliyejiunga na timu yake mpya ya Vancouver Whitecaps (
@WhitecapsFC
) inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS).
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
#VenueChanged
Mchezo wetu ujao wa Ligi Kuu ya NBC, dhidi ya Yanga, sasa utafanyika Uwanja wa Mkapa badala ya ule wa Azam Complex uliopangwa hapo awali.
Mchezo huo unatarajia kufanyika Jumapili hii, saa 1.00 usiku.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
Ngoja kwanza ni-😀😀😀!
Huyu ni master kweli kweli!
Huyu nyota aliyefanya kitu cha kibabe hapa pichani, tuna jambo lake leo Alhamisi saa 12.00 jioni.
Tukutane hapa baadaye... ⌚️
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 DONE DEAL 🚨
Tunayofuraha kuwatangaza wataalamu wawili wapya kwenye benchi letu la ufundi chini ya Kocha Mkuu,
@Youssou_Dabo
.
Tunamtambulisha, Khalifa Ababakar Fall (wapili kutoka kulia), kuwa Kocha mpya wa Makipa na Ibrahim Diop, kama Mchambuzi wa mechi (Video Analyst)
👇
🚨H E R E T O S T A Y 🚨
Beki mahiri wa kulia, Nathaniel Chilambo, atasalia kwenye klabu yetu hadi mwaka 2025, baada ya kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili.
Chilambo, anamudu kutumia kwa ufasaha miguu yote miwili 'The Ambidextrous'.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 COACH ARRIVAL 🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na Bruno Ferry, atakayekuwa Kocha Msaidizi wa klabu yetu.
Ferry atasaidiana na Kocha Mkuu,
@Youssou_Dabo
, ambaye atakiongoza kikosi chetu kuanzia msimu ujao wa mashindano.
#weareazamfc
THANK YOU! 🙏
Ahsante kwa kumbukumbu zako ndani ya klabu yetu, Wilbol Maseke.
Ulianzia kwenye kituo chetu cha kukuza vipaji 'Azam FC Academy', kabla ya kupandishwa timu kubwa 2019.
Tunakutakia kila la kheri kwenye maisha yako mapya ya soka.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 D O N E D E A L 🚨
Kiungo mshambuliaji, Djibril Sillah 'The Killer', amekamilisha taratibu za kujiunga na klabu yetu baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea
@RCAofficiel
.
👇
🚨 COACH ARRIVAL 🚨
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na Jean-Laurent Geronimi 🇫🇷, atakayekuwa Kocha wetu wa viungo kuanzia msimu ujao 2023/24.
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
⚡️ L E V E L S ⚡️
Bingwa wa Afrika, Cheikh Sidibe, yupo na kikosi chetu akijiandaa na msimu ujao 2023/24.
Ikumbukwe kuwa Sidibe, alikuwa ni mmoja wa nyota wa Senegal 🇸🇳, walioliongoza Taifa lao kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 👇
🚨FANTASTIC FOUR🚨
Mashine hatari nyingine mbili zinaongezeka leo Jumanne, kwenye usajili wetu kuelekea msimu ujao 2023/24.
Unataka kuzijua mashine zetu nyingine tulizozinasa! Tukutane hapa saa 10.00 jioni na 12.00 jioni. ⌚️
#weareazamfc
#timuborabidhaabora
🚨 M A T C H D A Y 🚨
🆚 Stade Tunisien
🏆 International Friendly
📋 Pre Season, Tunisia
🏟 Parc Hedi Enneifer
🕑 7.00 PM (E.A.T)
#WeAreAzamFC
#TimuBoraBidhaaBora