Explore tweets tagged as #Fidia
@earadiofm
EastAfricaRadio
1 month
⚠️ SALVA KIIR AMEFANYA KOSA KUBWA! AMTEUA MAREHEMU KWENYE KAMATI | FAMILIA WANADAI FIDIA :- https://t.co/IOG912MWgB
0
1
7
@citizentvkenya
Citizen TV Kenya
20 days
Mwanaume aumwa na nyoka: Benard Kyalo aliumwa na nyoka Ngomeni, Mwingi Kaskazini Kyalo ataka shirika la KWS kumlipa fidia ya kuumwa na nyoka #SemaNaCitizen
0
2
26
@AfricansRising
Africans Rising
17 days
Salamu za Kipan-Afrika! Katika kuadhimisha Wiki ya Lugha za Kiafrika 2026, jiunge nasi tarehe 24 Feb 2026, saa 2:00–4:00 adhuhuri EAT kwa usomaji wa pamoja wa Homegoing na Yaa Gyasi. Tutatafakari kumbukumbu, lugha, maisha ya kijinsia, na kazi isiyokamilika ya fidia na ufufuaji
0
2
10
@citizentvkenya
Citizen TV Kenya
11 days
Maoni kuhusu ripoti ya NADCO: Kamati ya NADCO yaandaa vikao kaunti ya Taita Taveta Wakazi wataka fidia ya waandamanaji na ufisadi uzimwe #SemaNaCitizen
0
0
1
@citizentvkenya
Citizen TV Kenya
4 days
Fidia ya waathiriwa wa wanyamapori: Serikali yatenga KSh 205M za kuwalipa waathiriwa Elgeyo Marakwet #SemaNaCitizen
0
0
0
@DiraYaSamia
Dira Ya Samia
27 days
NYUMBA 2,500 ZALIPWA FIDIA KATIKA MRADI WA BONDE LA MTO MSIMBAZI Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, imeendelea kutekeleza Mradi wa Bonde la Mto Msimbazi unaolenga kupunguza athari za mafuriko na
13
44
46
@tv47digital
TV 47 Digital
13 days
KILIO CHA FIDIA NAKURU Wakazi Kaunti ya Nakuru walilia fidia ya serikali. Migogoro ya wanyamapori yaongezeka Nakuru. Zaidi ya waathiriwa 500 waishi kwa hofu. #TV47Matukio @joshonsare
0
0
0
@citizentvkenya
Citizen TV Kenya
1 month
Makubaliano ya UDA–ODM: Baadhi ya wafuasi hawajaridhishwa na utekelezaji Wanasema ajenda kumi za mkataba wao zimepuuzwa Wakazi walalamikia ufisadi na fidia kwa waathiriwa Waathiriwa wa ghasia za 2007 wanataka kujumuishwa #SemaNaCitizen
0
0
3
@millardayo
millardayo
11 days
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ametoa onyo kali kwa baadhi ya Viongozi wanaowahamasisha Wananchi kujenga nyumba katika maeneo yaliyopitiwa na mradi wa ujenzi wa barabara kwa lengo la kutaka Serikali iwalipe fidia. Akizungumza katika kikao cha Bodi ya barabara Mkoa wa
2
6
64
@citizentvkenya
Citizen TV Kenya
1 month
Makubaliano ya UDA–ODM: Baadhi ya wafuasi hawajaridhishwa na utekelezaji. Ajenda kumi za mkataba wao zimepuuzwa. Wakazi walalamikia ufisadi na fidia kwa waathiriwa. Waathiriwa wa ghasia za 2007 wataka kujumuishwa. Ajenda hizo ziliafikiwa na Ruto na hayati Raila #CitizenNipashe
0
4
14
@citizentvkenya
Citizen TV Kenya
11 days
Ujenzi wa daraja la Nithi: Wakazi wa Nithi watoa maoni kuhusu fidia ya mashamba KENHA yasema ujenzi wa daraja utachukua miaka miwili #SemaNaCitizen
0
0
2
@Jambotv_
Jambo TV
12 days
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Umoja wa Mataifa (UN) umezitaka mamlaka nchini Tanzania kumuachia huru mara moja na kumlipa fidia Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, ukidai kuwa kesi ya uhaini inayomkabili haina misingi halali ya kisheria bali ni ya
7
73
504
@tv47digital
TV 47 Digital
23 days
KALONZO AREJEA, AMSUTA RUTO Kalonzo amsuta Ruto kupiga siasa na msaada wa vyakula kaskazini mwa Kenya. Kalonzo: Hiyo ni aibu, watu wetu wana haki kupatiwa usaidizi na serikali. Kalonzo asema anafuatilia fidia ya wakenya walioumia wakati wa shambulizi la kigaidi mwaka wa 1998.
0
0
0
@Royal_Tv_Tz
ROYAL TELEVISION
12 days
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitoa taarifa rasmi kwa umma ikieleza kuwa Umoja wa Mataifa (UN) kimezitaka mamlaka za Tanzania kumuachia huru Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu, na kumlipa fidia kwa kifungo chake kilichokuwa kinyume cha sheria. Taarifa
9
61
437
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
23 days
Kamati ya Bunge yaeleza OSHA itakavyopunguza mzigo wa fidia kwa wafanyakazi
0
0
3
@sputnik_swahili
Sputnik Afrika
23 days
❓ Mataifa ya Afrika yanahitaji nini ili kupata fidia za ukoloni na biashara ya utumwa? Ufumbuzi umetolewa na 🇷🇼 Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe (@onduhungirehe), katika mahojiano yake na Sputnik Afrika 👇
@sputnik_swahili
Sputnik Afrika
23 days
📌 Exclusive: Wakati umefika Afrika ipate kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius alisema. 🌍 Afrika, ambako wanaishi takribani asilimia kumi ya watu wa dunia, haiwezi kuendelea kukosa kiti cha kudumu katika Baraza la
0
0
2
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
18 days
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza mwananchi mmoja katika eneo la Ndungu, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro alipwe fidia yake mara moja baada ya kuwasilisha malalamiko yake kuhusu kucheleweshewa malipo. Agizo hilo amelitoa leo Jumatano, Februari 18, 2026 alipokuwa
4
2
30
@LoizosAntoniou
Loizos Antoniou
12 days
Αρνείται να κατεβάσει το App του όπως του ζητά η επίτροπος προσωπικών δεδομένων. Οκ... είναι μικρός! Τι σόι όμως άνθρωπος είναι αυτός που του ζητά η Παραολυμπιακή Επιτροπή να αποσύρει κάτι που θεωρούν ότι προσβάλλει τους ανάπηρους και δεν το σέβεται https://t.co/jqpuwgylJh
4
1
29
@gabyconscious
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
29 days
Tunasubiri kuskia hela za FIDIA zimepigwa
@Thommunkondya
Thom Mnkondya
29 days
Tunaposema maeneo kama Tandale, Mlalakuwa, Mabibo, Manzese, Mwananyamala na mengine yajengwe upya, tunamaanisha mabadiliko ya aina hii yanayoonekana kwenye video hapa chini. Cha kufurahisha zaidi ni kwamba Serikali tayari imeanza utekelezaji wa mpango huu, ambapo pilot study
2
2
21