Explore tweets tagged as #Fidia
⚠️ SALVA KIIR AMEFANYA KOSA KUBWA! AMTEUA MAREHEMU KWENYE KAMATI | FAMILIA WANADAI FIDIA :- https://t.co/IOG912MWgB
0
1
7
Mwanaume aumwa na nyoka: Benard Kyalo aliumwa na nyoka Ngomeni, Mwingi Kaskazini Kyalo ataka shirika la KWS kumlipa fidia ya kuumwa na nyoka #SemaNaCitizen
0
2
26
Salamu za Kipan-Afrika! Katika kuadhimisha Wiki ya Lugha za Kiafrika 2026, jiunge nasi tarehe 24 Feb 2026, saa 2:00–4:00 adhuhuri EAT kwa usomaji wa pamoja wa Homegoing na Yaa Gyasi. Tutatafakari kumbukumbu, lugha, maisha ya kijinsia, na kazi isiyokamilika ya fidia na ufufuaji
0
2
10
Maoni kuhusu ripoti ya NADCO: Kamati ya NADCO yaandaa vikao kaunti ya Taita Taveta Wakazi wataka fidia ya waandamanaji na ufisadi uzimwe #SemaNaCitizen
0
0
1
Fidia ya waathiriwa wa wanyamapori: Serikali yatenga KSh 205M za kuwalipa waathiriwa Elgeyo Marakwet #SemaNaCitizen
0
0
0
NYUMBA 2,500 ZALIPWA FIDIA KATIKA MRADI WA BONDE LA MTO MSIMBAZI Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, imeendelea kutekeleza Mradi wa Bonde la Mto Msimbazi unaolenga kupunguza athari za mafuriko na
13
44
46
KILIO CHA FIDIA NAKURU Wakazi Kaunti ya Nakuru walilia fidia ya serikali. Migogoro ya wanyamapori yaongezeka Nakuru. Zaidi ya waathiriwa 500 waishi kwa hofu. #TV47Matukio
@joshonsare
0
0
0
Makubaliano ya UDA–ODM: Baadhi ya wafuasi hawajaridhishwa na utekelezaji Wanasema ajenda kumi za mkataba wao zimepuuzwa Wakazi walalamikia ufisadi na fidia kwa waathiriwa Waathiriwa wa ghasia za 2007 wanataka kujumuishwa #SemaNaCitizen
0
0
3
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ametoa onyo kali kwa baadhi ya Viongozi wanaowahamasisha Wananchi kujenga nyumba katika maeneo yaliyopitiwa na mradi wa ujenzi wa barabara kwa lengo la kutaka Serikali iwalipe fidia. Akizungumza katika kikao cha Bodi ya barabara Mkoa wa
2
6
64
Makubaliano ya UDA–ODM: Baadhi ya wafuasi hawajaridhishwa na utekelezaji. Ajenda kumi za mkataba wao zimepuuzwa. Wakazi walalamikia ufisadi na fidia kwa waathiriwa. Waathiriwa wa ghasia za 2007 wataka kujumuishwa. Ajenda hizo ziliafikiwa na Ruto na hayati Raila #CitizenNipashe
0
4
14
Ujenzi wa daraja la Nithi: Wakazi wa Nithi watoa maoni kuhusu fidia ya mashamba KENHA yasema ujenzi wa daraja utachukua miaka miwili #SemaNaCitizen
0
0
2
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Umoja wa Mataifa (UN) umezitaka mamlaka nchini Tanzania kumuachia huru mara moja na kumlipa fidia Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, ukidai kuwa kesi ya uhaini inayomkabili haina misingi halali ya kisheria bali ni ya
7
73
504
KALONZO AREJEA, AMSUTA RUTO Kalonzo amsuta Ruto kupiga siasa na msaada wa vyakula kaskazini mwa Kenya. Kalonzo: Hiyo ni aibu, watu wetu wana haki kupatiwa usaidizi na serikali. Kalonzo asema anafuatilia fidia ya wakenya walioumia wakati wa shambulizi la kigaidi mwaka wa 1998.
0
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitoa taarifa rasmi kwa umma ikieleza kuwa Umoja wa Mataifa (UN) kimezitaka mamlaka za Tanzania kumuachia huru Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu, na kumlipa fidia kwa kifungo chake kilichokuwa kinyume cha sheria. Taarifa
9
61
437
Kamati ya Bunge yaeleza OSHA itakavyopunguza mzigo wa fidia kwa wafanyakazi
0
0
3
❓ Mataifa ya Afrika yanahitaji nini ili kupata fidia za ukoloni na biashara ya utumwa? Ufumbuzi umetolewa na 🇷🇼 Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe (@onduhungirehe), katika mahojiano yake na Sputnik Afrika 👇
📌 Exclusive: Wakati umefika Afrika ipate kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius alisema. 🌍 Afrika, ambako wanaishi takribani asilimia kumi ya watu wa dunia, haiwezi kuendelea kukosa kiti cha kudumu katika Baraza la
0
0
2
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza mwananchi mmoja katika eneo la Ndungu, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro alipwe fidia yake mara moja baada ya kuwasilisha malalamiko yake kuhusu kucheleweshewa malipo. Agizo hilo amelitoa leo Jumatano, Februari 18, 2026 alipokuwa
4
2
30
Αρνείται να κατεβάσει το App του όπως του ζητά η επίτροπος προσωπικών δεδομένων. Οκ... είναι μικρός! Τι σόι όμως άνθρωπος είναι αυτός που του ζητά η Παραολυμπιακή Επιτροπή να αποσύρει κάτι που θεωρούν ότι προσβάλλει τους ανάπηρους και δεν το σέβεται https://t.co/jqpuwgylJh
4
1
29
Tunasubiri kuskia hela za FIDIA zimepigwa
Tunaposema maeneo kama Tandale, Mlalakuwa, Mabibo, Manzese, Mwananyamala na mengine yajengwe upya, tunamaanisha mabadiliko ya aina hii yanayoonekana kwenye video hapa chini. Cha kufurahisha zaidi ni kwamba Serikali tayari imeanza utekelezaji wa mpango huu, ambapo pilot study
2
2
21