hamzaalbhanj Profile Banner
hamza Lule Profile
hamza Lule

@hamzaalbhanj

Followers
7K
Following
40K
Media
4K
Statuses
194K

CEO at Kukeke Gang , CEO at Corporate Gang, CEO at Local Miyeyusho Sana (L.M.S)

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@hamzaalbhanj
hamza Lule
11 months
Kwa wapenzi wa Kahawa Lipi linafaa kuwa jina zuri la Coffee Shop
26
45
62
@hamzaalbhanj
hamza Lule
8 minutes
I prefer road trip with CorpπŸ”₯πŸ”₯
@TM_Sibande
Thokozani
13 hours
Driving long distances alone can be therapeutic.
0
1
1
@hamzaalbhanj
hamza Lule
11 hours
Dubai?
@gabyconscious
π™Άπ™°π™±πšˆ π™»π™Ύπš…π™΄πš‚ πšƒπ™΄π™²π™· 6.0
12 hours
1996
1
0
2
@hamzaalbhanj
hamza Lule
11 hours
Asyah hawa marafiki unatoa wapπŸ˜‚πŸ˜‚ Mbona unataka kunifikirishaπŸ˜‚
@aasyah__
Asyah wa Lavish Cakes 🍰
12 hours
Aah! Kwanini unachangisha michango kufanya shughuli ya Aqiqah ya mtoto??? Mai lood πŸ€¦πŸ½β€β™€οΈπŸ€¦πŸ½β€β™€οΈ
0
1
6
@hamzaalbhanj
hamza Lule
12 hours
Kumbe shida ni Kubwa Baadae ndugu yangu
@ndembo255
Eng. Ndembo Jafari
13 hours
@hamzaalbhanj Ni Tanzania pekee ndio yanafanyika hayo?
0
0
1
@hamzaalbhanj
hamza Lule
12 hours
Im not married big Bro
@wilbroadaugusto
Tinno, the Great
13 hours
@hamzaalbhanj Hello brother, I'm pleased to inform you that your second wife Genevieve is seriously sick and she is admitted here at Kairuki hospital, kindly meet her immediately, Dr Manda mboo
0
0
0
@hamzaalbhanj
hamza Lule
13 hours
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umeanza kummaliza
@ItsMe_Jabeer
Ghost
13 hours
Naona @AyoubChakah karudi kunywa kahawa zake za kijiweni zile akina @hamzaalbhanj haziwezi 😁
2
0
4
@hamzaalbhanj
hamza Lule
14 hours
Jambo? If you have a spare time just hit my DM for 3 nights Accomodation and two ways flight ticket from ZA to Zanzibar And one night in Cterra Saadani Regards
@Zenande_rasmeni
Gorgeous Xhosa Hun πŸ‡ΏπŸ‡¦
2 days
1995 and 1997
17
8
145
@hamzaalbhanj
hamza Lule
14 hours
Pale Senzo kakosea nn 1. Kocha akifanya vzuri 2. Kocha akifanya vbaya 3. Management na Mashabiki Kocha akifanya Vibaya Case study Tanzania Hapo niambie kadanganya nn?
@ndembo255
Eng. Ndembo Jafari
14 hours
@Allan_Lucky Kaka Senzo yupo sahihi?
3
0
18
@iam_sitty
𝐒𝐚𝐦_𝐬𝐒𝐭𝐭𝐲 πŸ’šπŸ˜»
14 hours
@ZuwenaKhatib Kwahiyo Sisi wa Tacri tukae pembeni? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mwenza em tuji upgrade
1
1
1
@ZuwenaKhatib
Zuwena Khatib
14 hours
@iam_sitty Sisi ni local. Sisi tunakunywa kwenye makombe yetu ya udongo Sisi tunanunua hizi kwa mangi na kujikorogea Wale ni kimataifa Wale wanakunywa kwenye special cups Wale za kwao zinapita kwenye machine maalumu ya kahawa na wakati wa kuweka machine inalia khoooooo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
2
1
2
@hamzaalbhanj
hamza Lule
14 hours
Mechi ya CAF?
@MickyJnr__
Micky Jnr
15 hours
Asante Kotoko v Wydad #DimaWydad β€’ #CAFCCwithMicky β€’ #AKSC
0
0
1
@IamArnoldAmos
Arnold
15 hours
@hamzaalbhanj Mazda haisumbui ni mafundi wetu wameshindwa kuzifahamu mapema. Hizi gari zimetengenezwa miaka hiyo zikatumika kwao, iweje leo kwetu zionekane ni changamoto? Ni kama dualis tu ilivyokuja zikaanza kuungua, walikua wana-bypass IPDM Ili wafanye blunders zao na gari ikubali.
0
1
1
@hamzaalbhanj
hamza Lule
17 hours
Back in Time pale Domestic ya Mikwaju Midogo ilikua miyeyusho sana Kaunta kama Uko Kiazi Kitamu Now imekaa kishua kiasi mpaka kuna Coffee Lounge
0
1
3
@hamzaalbhanj
hamza Lule
17 hours
Sahihi 1. Mafuta 2. Mafundi Mazingira yetu ni changamoto
@chriss_papy
Chriss papy πŸ¦…
17 hours
@hamzaalbhanj Mazda hazina shida, tatizo kubwa ni mafuta na mafundi na wengi wao wanaotumia ni wanawake na kama unavyojua hawanaga uangalizi kwenye kutunza Gari, sehemu sahihi za kuweka mafuta na kujua taa za tahadhari zinapowaka kudeal nazo.
1
0
2
@hamzaalbhanj
hamza Lule
17 hours
Ukitaka kujua kuelewa ni Kazi Kasome comments kwneye ile Tweet ya Senzo πŸ˜‚πŸ˜‚
5
0
9
@hamzaalbhanj
hamza Lule
17 hours
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
@Semkae
Sem
2 days
It would be beneficial to obtain detailed statistics on Dodoma's import volumes, categorised by tonnage, type of goods, and their corresponding values in both Tanzanian Shillings (TZS) and United States Dollars (USD). As is, this information is neither complete nor helpful.
0
0
2
@hamzaalbhanj
hamza Lule
17 hours
Hii Gari Kali sana buanha
@empiremotorstz
Empire Motors TZ
18 hours
TOYOTA LAND CRUISER ZX 300 SERIES – 2024 (V35A-FTS, 3.4 L Petrol Twin-Turbo) 375,000,000 TZS + Registration | πŸ“ž 0793 854 488 Exchange Allowed / Navunja na Gari Yoyote 3,445 cc | Automatic (10-Speed) | Full-Time 4WD SUV Pearl White | Brand New (Only 99 km) | Petrol | Auction
3
1
7
@hamzaalbhanj
hamza Lule
18 hours
Hili Jua bila Iced Coffee with Honey Syrup hautoboi Tusubr Mauritius Chop Lamb with Fried Rice turudi Mzizima sasa πŸšβ˜•οΈπŸ“ Nanjirinji CBD
@hamzaalbhanj
hamza Lule
19 hours
Tukapate Kahawa sasa kabla ya kurudi Mzizima
6
7
58
@hamzaalbhanj
hamza Lule
19 hours
Kwenye circle unatakiwa kuwa ulinzi wa Presidaaa 1. Outer Circle 2. Inn circle Outet Circle haitakiw kuwa karibu na Inner Circle
@MarekaMalili
Lubasha Jr
19 hours
Watu walio strict na lifestyle yao, pia wapo strict na aina ya watu wanakaribisha kwenye maisha yao.
0
1
9
@hamzaalbhanj
hamza Lule
19 hours
Shekhe Kipozeo
0
0
1