emanuel64027 Profile Banner
Ema_fundi_gairo🇹🇿 Profile
Ema_fundi_gairo🇹🇿

@emanuel64027

Followers
1K
Following
13K
Media
1K
Statuses
18K

fundi nguo za aina zote ni C.E.O wa @ema_fundi_gairo pia shabiki wa @YoungAfricansSC na @realmadrid napatikana GAIRO 📞+255744289072 Wattsap+255698830288

gairo, morogoro
Joined April 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
3 months
Mathayo 6:7. [7]Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. 🙏🙏🙏🙏.
5
7
12
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
21 hours
Tweet media one
@MbarakaMbegu1
Muuh_Outfits🛍️
2 days
@Nassibmkomwa_ Napenda Jonathan Sowah anavyoscore.
1
0
2
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
1 day
Pole kaka 🤣.
@nyandajr10
.
1 day
We ulisikia wapi 😂😂😂.
1
0
0
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
1 day
Uganda wanafugwa goli kali sana hapa 😂😂😂
Tweet media one
0
1
3
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
2 days
😂😂😂
Tweet media one
@franklin_tissa
Franklin Tissa
2 days
Kama una hela tia mzigo, majamaa yana sawazisha hii.
0
0
0
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
2 days
Kaka fungua kanisa m niweke niwe katibu wa hilo kanisa,.Umeandika vyema sana hii 💯💯💯✅✅✅.
@pdmlay
Deusdedit Peter Mlay
2 days
@emanuel64027 @Roma_Mkatoliki Kwenye mwanzo 1:27 kuna binadamu walioumbwa kwa neno na kwa mfano wa Mungu tena hawa wakspewa jukumu la kuzaa na kuijaza Dunia. Kina Adamu wao walichoambiwa ni kutokula tunda la mti wa katikati tu huko kuzaa ilikuwa kama adhabu kwao baada ya kula tunda.
0
0
0
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
2 days
Tajiri hiyo mechi ndo ilikuwa leo au tungoje nyingine 🥹🥹🥹
Tweet media one
@EsirEid
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
1 month
#TajiriLaKihaya . Ile Mechi ya Kwanza wale Mashetani wekundu wasipokula Goli 10 - sijui😂😅🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
0
0
0
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
2 days
Toa location kabisa 😂
Tweet media one
@_belindaPINDA01
BELINDA
2 days
Nitatoa uchi bure man u akifugwa. ✍️. Bookmark. .
1
0
3
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
2 days
Kaka tuweke namba?.
@Adventure_36
Adventure-360
3 days
Huu mkeka nilioweka leo muhindi hachomoki hata iwaje yan. Jana aliniotea leo lazima atoe machozi.
1
0
1
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
2 days
Yani hadi kusimama mwenyewe huwezi hadi umtumie mwenzako kama egemeo?😂😂😂.
@Bendone_23
B
3 days
Watu wa Afya Wamemaliza Pepa 🫠
Tweet media one
Tweet media two
2
1
3
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
3 days
Kaka ndo nimetoka kazini muda huu, vipi mkeka wetu unaendeleaje
Tweet media one
@Adventure_36
Adventure-360
4 days
Huu mkeka nilioweka leo nikishinda, humu ndani kesho kila mtu lazima aokote liwenty kutoka kwangu,. Anzeni kuandika namba za malipo kabisa
Tweet media one
3
4
8
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
3 days
Watu wa mikeka
Tweet media one
@Masandawana
Mamelodi Sundowns FC
3 days
All square after a hard fought first leg. The Brazilians now set their sights on sealing it in the return leg. 🔥. Orlando Pirates (87’ Sebelebele) 1️⃣➖1️⃣ Mamelodi Sundowns (35’ Mokoena). #Sundowns #MTN8 #AreyengMasandawana
Tweet media one
0
0
2
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
3 days
RT @MbarakaMbegu1: Wanaotaka Jersey za SIMBA na YANGA msimu huu bila kupanga Foleni popote, Unapata Jersey yako ukiwa umekaa ndani nicheki….
0
26
0
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
3 days
Kuna muda MAPENZI yanatesa mpaka. Nakumbuka kuwa MUNGU alisema TUSIZUNI
Tweet media one
4
1
9
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
4 days
Na kombe la kwanza tumebeba kaka 🤣🤣🤣
Tweet media one
@mkata_abbas
Tajir_Abbas🇹🇿
7 days
@Sativa255 Hii timu haibebi kombe lolote msimu huu,timu inayokiuka sheria za FIFA wanajihusisha na masuala ya kisiasa.
1
0
2
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
4 days
Tukupe matokeo au haina haja
Tweet media one
@Eric__Bernard
MR BEN
4 days
Matokeo yakoje so far?.
0
0
1
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
5 days
Bila kusoma comment nilisanasa 😂😂.
@zexon0021
ZEXON🛠️
5 days
Kwenye hii nyimbo ya makirikiri nilijuaga ni mstari mmoja kumbe ndio majina Yao wako sita "omari, Musa, Musa, masoo, limara, limela"😂😂
Tweet media one
0
0
1
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
5 days
RT @ze_mandevu: Kiroho Safi naomba Repost yako hapa .👊 🙏
Tweet media one
0
63
0
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
6 days
Kwahiyo wale wote walochanga hujaona kama wamekosea ila ni GSM tu 🤣. Kweli kichaa anachekesha kama siyo ndugu yako.
@AbroadTanzania
Tanzania Abroad TV
6 days
TUNA KAMPEIN MAALUMU YA KUACHANA NA HUDUMA ZA GSM KWANZA . Tuna campaign ya kuzira chochote kinachomhusu GSM. Iwe ni maduka yake ya nguo, maji(haya wanaweka machemical, katika wanaotumia maji haya wanajua kuwa kuna watu wamepata Kansa ya Koo kisa maji yake), furniture, hata
Tweet media one
2
0
2
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
6 days
"Adui yako usimfanye awe adui wa rafiki yako". Good morning football.Good morning Tanzania.Good morning Africa
Tweet media one
0
0
2
@emanuel64027
Ema_fundi_gairo🇹🇿
7 days
Bora niwe mshamba wa mwisho ila kiukweli sina hela za kuchangia kwenye harambee yoyote ya timu ninayoishangilia hiyo never.
@sapro_phyticus4
Kaka mkubwa
7 days
mambo yasiwe mengi
Tweet media one
1
0
1