elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
@elyneema
Followers
9K
Following
34K
Media
4K
Statuses
30K
#Combatant,teacher by professional(BAED),Analyst,adovocate(a voice to the voiceless),political figure,young Marxist,Next Mp, Father.
Lushoto,Tanzania
Joined February 2022
UPDATE: The Executive Director of the Centre for Constitutional Governance, Sarah Bireete, has been released on a cash bail of Shs1 million. She is barred from leaving the country without the court’s permission and must deposit her passport. Bireete, who has been in detention for
31
65
428
Wewe ni Mussa utakayewatoa wana wa Israel utumwani na hivyo,Usiogope kwa maana Bwana yu pamoja nawe.
0
2
4
Stealing a village drum is something very easy,but finding a place to play it is a big problem.
0
0
1
Kununa ama kufura kwa mtu mmoja aliye na mamlaka.
Mahakama Kuu tulishindwa. Tukakata rufaa hawakuwa na hoja ila eti pasipoti ni mali ya serikali. Hoja hapa ni kuwa serikali inatakiwa kuheshimu haki za raia kusafiri. Mtu asinyang'anywe paspoti yake kwa matakwa, au kununa ama kufura kwa kiongozi mmoja serikalini. NONGWA NI MBAYA.
0
0
1
Kwanini malaya wa kisiasa ukiwabana kwenye kona wanajificha kwenye neno haki ya kikatiba.Utasikia ni haki yangu kuhama chama,mara blabla sasa haki yako ndio uhamehame kama jamii ya wafugaji wasio na makazi ya kudumu.
0
2
3
This is the voice a good and concerned citizen whose name will be remembered in the future when you liverate your nation from the hands of minority.
Your Honour, I wish to emphasise what I have already said: it is not I who is on trial here today—it is the court itself that stands on trial before the conscience of the nation. Whatever decision you make in this courtroom, Your Honour, is not my business. My business is the
0
0
2
I'm greatful Lord for your mercy. It is another day,another week,ready to serve the nation and its people. Good morning folks.
1
0
3
Sending a revolutionary farewell to the family,relatives,friends and @ChademaTZ2 for the loss of the great leader,founder and the first chairman of Chadema Edwin Mtei.
1
0
12
Kuiba ngoma ya kijiji ni rahisi,lakini kutafuta sehemu ya kuamba/kuipiga kwa amani ni tatizo.
0
0
2
Nimesikiliza sauti kubwa na hotuba nyingi kutoka Arusha anakopumzishwa hayati Edwin Mtei.Ila hotuba ya chapisho la mwenyekiti Lissu aliyoandika kutoka Gereza kuu Ukonga imeniliza na kuniongezea mwendo katika kuipigania HAKI katika nchi yangu. #WELLWrittteSpeech
#RipMtei
0
0
3
Freeman Mbowe amedondosha mawe mno.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameitaka Serikali kukiri ukweli na kuwaachia wafungwa wa kisiasa waliopo magerezani, akisema hatua hiyo itasaidia kuponya maumivu makubwa waliyonayo Watanzania. Mbowe aliyasema hayo leo Jumamosi,
0
0
2
She cannot leave her home; she was not allowed to vote; she is not allowed visits from her parents, neighbors and friends, her compound is filled with police and military; a drone hovers around her house at all times. Locked inside her own home. They say she is not imprisoned.
18
118
589
All this will have someday come to an end.
This is how police and Electoral Commission officials robbed a NUP candidate who had won the Wakiso LCV race—using force and intimidation to overturn the people’s will and later declare an NRM loser as winner. This is daylight robbery. Our country is in the hands of dogs who fear
0
0
0
VIDEO: Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiwa wamejitokeza kuusindikiza mwili wa Mwasisi wa chama hicho na Mwanzilishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mzee Edwin Mtei, wakati ukitolewa Hospitali ya Seliani kuelekea nyumbani kwake Tengeru, Jijini Arusha.
8
50
392
#TANZANIA: CHADEMA SASA WAKO HURU KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE, ZUIO LA MAHAKAMA LAFIKA MWISHO Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametolea ufafanuzi taarifa iliyotolewa na Mwanasheria mkuu wa chama hicho, Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala juu ya zuio walilokuwa wamewekewa
1
38
130