_Minihaji Profile Banner
Mini🧤 Profile
Mini🧤

@_Minihaji

Followers
5K
Following
87K
Media
629
Statuses
106K

Work + Socialize + Rest

Dodoma, Tanzania
Joined December 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@_Minihaji
Mini🧤
5 months
Future ni moja kila Mtu ana muda wake kama future ni kesho basi kuna ambao muda wao ni saa moja wengine saa mbili wengine saa nne na kadhalika. Haijalishi mmesoma pamoja mko rika moja, muda wetu wa future haufanani usijilinganishe kwa kigezo cha umri kukua au kusoma pamoja.😦
31
93
164
@_Minihaji
Mini🧤
12 minutes
Huyu nae ett amenunua kiwanja anataka nikijenge then tukaishi wote huu ni utapeli mtupu.🤣💔
0
0
0
@_Minihaji
Mini🧤
11 hours
Maisha hayakuwa fair kwako. ulikosa nafasi, ukakosa support wakakuambia "subiri" wakati wengine wanapewa "chukua". Lakini leo usitumie tena hiyo kama kisingizio.. Itumie kama hasira ya kusonga mbele.
1
8
10
@stackai
StackAI
2 days
In 2026, will you still be doing work in the most manual way possible? Research suggests that employees spend up to 100 hours a month on work that shouldn’t require humans. Good news: the agentic era is already here. Enterprise teams are automating repetitive, tedious workflows
1
13
20
@_Minihaji
Mini🧤
11 hours
Wengine walipata mapema kwa sababu walisaidiwa wengine walichelewa kwa sababu walibeba mizigo ya familia. Umasikini, hofu na majukumu yasiyokuwa yao... usijilaumu kwa kuchelewa ulikuwa unapambana kuishi sio kushindana.
0
15
21
@_Minihaji
Mini🧤
11 hours
Usikubali umri wako ukukatishe tamaa kuna waliokuwa vijana wakashindwa na kuna waliokuwa watu wazima wakafanikiwa. Maisha haya heshimu tarehe ya kuzaliwa yana heshimu maamuzi na uthubutu.
2
15
30
@Cargo_1911
CARGO⭐🌍
14 hours
6
12
30
@kneeovertoesguy
KneeOverToesGuy
1 month
Lowest price for USA-made 100% organic cotton shorts @ATGUSAMade I hope these inspire someone out there to build closer to home, wherever that is.
25
103
872
@Mikazokitwango
Mtombangile kitwango☠️
19 hours
Hakikisha kama unaweza kumsaidia ndugu yako wa damu fanya uwezavyo msaidie tu haijalishi ni mara ngapi wewe fanya hata bila kukumbuka ni mara ngapi ulimsaidia Usiache asaidiwe na watu wengine kuna nguvu ya upendo inapungua.
4
15
23
@_Minihaji
Mini🧤
12 hours
Nimemwambia tukipiga picha usinipost!! amenipost sasa kimewaka nyumbani sijui naenda kusema nini om!
0
0
0
@son_noeli
Heis_
12 hours
Mizimu haitaki damu inataka bando unlimited mwezi mzimaa 😂😂
32
44
496
@DeadBodiie
HIMEZI
19 hours
Hakuna zawadi nzuri utaipata kwingine kama UHAI na AFYA njema inayotoka kwa Mungu. Good morning God's People
19
31
75
@Mwinshehe07
Mwinshehe 🕊️
13 hours
@kishoka_
METRO BOOM!N🎭
17 hours
Leo Sina Cha kuwamotivate ila kama unatokea familia masikini ngumu mno kuikwepa hio chain
7
10
25
@CavityDamas23
STUNNA
17 hours
Maji hayatoki ata unyonye bomba, bila aya manyunyu manyunyu ata ya kupikia hupati 😂
9
16
38
@humbleQueen02
shangazi wa wapwa💫🌺
1 day
Kuna mtoto kafa hapa jìrani kaingia kwenye kisima leo ndo nimeamini kifo hakipo mbali 😭😭😭😭
14
17
122
@heisnabeel
𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳
13 hours
Dawa ya mswaki mpya mtu ashaifinya katikati, ntapiga mtu ngumi nyumba hii😂🤦🏾‍♂️
4
6
43
@MangiwaKwanza1
Mangi wa Kichaga
15 hours
Sasa Wazee mnalamika kuhusu maji na barabara zimekuwa mbovu sasa sisi tuwasaidie nini, vijana tunasema Amani ni bora kuliko maji na barabara 💔
8
19
133
@AmRosalinee
ROSALINE🦋
16 hours
Ushamba huu🙄🙄
11
12
63
@_blasxc_
blas 
14 hours
kabla hauja sifia uzuri wa dem wako pita jioni mlimani city na mwenge😁
7
20
93
@Brother_0101
BROTHER
1 day
0
3
8
@kasesco_tz
kasesco☆
19 hours
Wakizungumza Kwa Maneno Kuwa Huna Chochote, Waoneshe Kwa Vitendo Kuwa Unacho Cha Kukufanya Uishi Bila Kujali Maneno Yao ✍️ Good morning ladies and gentlemen
30
41
80
@Maichagange
Man Like Sule™
17 hours
Mwanaume Anaoga Mara Tatu Kwa Siku Asubuhi Ananawa Uso, Mchana Ananawa Mikono na Usiku Ananawa Miguu...!
6
15
88
@Masstown_
𝐌𝐚𝐬𝐬 𝐤𝐢𝐝
16 hours
21
13
146