Tweener003 Profile Banner
PàChâ#1738 💫 Profile
PàChâ#1738 💫

@Tweener003

Followers
817
Following
5K
Media
47
Statuses
2K

Backup account BELIEVER | CONSISTENCY | SMILE ⚡️Say it Again Die hard fan Arsenal | Simba

Tanzania
Joined January 2025
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Tweener003
PàChâ#1738 💫
8 days
Habari ndugu zangu naombeni mnifollow huku nawafollow back ,leo naingia online nakutana na hiki 😭😭 Rt iwafikie wengi mkali wade 🫡
29
41
52
@Tweener003
PàChâ#1738 💫
30 minutes
Huyu jamaa anataka ma agent wakose kazi 🤣🤣🤣
1
3
7
@hermiosso_17
The Last Virgin ☘️
4 hours
Baba Yetu uliye mbinguni. Jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni. Utupe leo mkate wetu wa kila siku. Utusamehe makosa yetu. Kama nasi tunavyowasamehe na sisi waliotukosea. Usitutie katika kishawishi. Lakini utuopoe maovuni, Amina🙏
6
17
24
@Fefe_doll
fantasy 🤍🧚
1 hour
😂😂😂kwani mwili wake Kuna sehemu mtaro wa tope umepita ama vipi 💔🙌😆
22
11
25
@_CFCMax
𝐌𝐚𝐱𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧
1 hour
Baba tusikie Sisi wanao Tuna angamia kwa kuonyesha Maarifa yetu.😭
4
17
39
@Official_T_O_D
Teacher On Duty (T.O.D)
2 hours
Huku Mbeya,Songwe na Vijiji Vyake Kumfanyia mtoto Sherehe Yoyote ya Pongezi ni Kumtafutia Kifo tu, Imagine hizi Mahafali za Kuhitimu Elimu ya Msingi Zimeondoka na Uhai Wa Watoto Wengi Mpaka Mda huu ni Huzuni.
9
18
26
@KEYDEVU
KIDEVU
3 hours
Mwanaume mweupe akikosa kuajiriwa plan B zake ni saloon na cherehani basi!!😁
6
16
21
@ProfesaFootball
PROFESA FUTIBOLI
3 hours
AINA ZA WASHAMBULIAJI(FOWARD's) KATIKA FOOTBALL. 1. CENTER FOWARD(CF) Huyu ndiye mshambuliaji mkuu wa timu ambaye lengo lake kubwa ni kufunga mabao na huwa anacheza katikati ya safu ya ushambuliaji, karibu na lango la wapinzani.Anaweza kuwa mrefu na mwenye nguvu (target man) au
14
52
72
@TonnyUnfiltered
AM💡
2 hours
Wakati ni sarafu pekee unayotumia bila kujua kiasi kilichobaki.📌
8
19
32
@Tweener003
PàChâ#1738 💫
1 hour
Good morning x family 🍀
11
16
27
@goldenmvrs
𝗪𝗮𝗺𝗰𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼
3 hours
Wanaume Wengi Tunapenda Mwanamke Mwenye Msimamo Kama Huu..
24
31
71
@Cj25_7
CJ
3 hours
Huu mwenzi niliskia mboga Mboga Watakama Viongozi wote wahamasisaji naona Kazi Imeanza
4
17
26
@waziri_mbeya98
Waziri Wa Mbeya
2 hours
Bora Ununue Gari Bovu liwe Linakusumbua Barabarani,Kuliko Kuoa Mwanamke akawa anakusumbua Ndani ...🙌🏿📌
17
41
90
@BlessdGrooveKid
Djkid_b_____
2 hours
Hofu ya maisha isikufanye ukampa Binadamu Nafasi ya mungu
6
6
19
@JosmanStima
STIMA ⚡
3 hours
Good morning AFRICA 🌍 📌SINICHI SIO MWANA 📌MWANASIO SINICHI
10
18
31
@killo_killo11
killo_Killotz
4 hours
Changamoto zipo kwa ajili ya kukufunza ni nani? Mtu sahihi kwenye maisha yako..!! Good Morning..🌅
16
22
37
@IamGabby_01
GABBY
2 hours
Wasimbe wa X wanataka waonekane bora kuliko mtu aliye kwenye ndoa. Huu ni upuuzi. #nasimama na Conso.
@EsirEid
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
3 hours
#TajiriLaKihaya Wasimbe kitu ambacho hawafaham… Hawawezi Fanana na Mwanamke alie Olewa hata siku moja! Haijalisha ulikua muhuni kiasi gani… ila ukishaolewa tu… Sisi tutakupatia Heshima zako zote… Ndoa inaheshima yake bhana… #TunaSimamaNaCONSO
4
2
14
@iammpemba
MpembA
2 hours
Mkono unaotoa ndio unaopokea @MrShitcoin_Tz umefanya jambo jema sana kugawana unachopata na watoto wanao ishi mazingira magumu Hii iwe endelevu kaka.
33
41
97
@_Minihaji
Mini🧤
3 hours
Kumkatalia mtu wazi daima ni bora kuliko kumuahidi ahadi za uongo!!
4
8
12
@kasesco_tz
kasesco☆
3 hours
Hatuwezi Kumpangia Mungu cha Kufanya Lakini Tuna Imani na Yeye..🙏 Good morning +255🇹🇿
44
54
116
@TonnyUnfiltered
AM💡
3 hours
Acha kuwauliza watu njia ya kwenda mahali ambapo wao hawajawahi kufika.📌
25
59
74