
Waziri Wa Mbeya
@waziri_mbeya98
Followers
7K
Following
7K
Media
245
Statuses
12K
Maisha//Umri//Mafanikio @YoungAfricansSc #AwesomeHq .Buses Fan🚌
Joined March 2024
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size 16-28 miaka 2 mpaka 14 👉Jezi ya mtoto 25,000/= https://t.co/AV51Xva6Jr Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
24
119
119
Siku nyingine tena ya Kumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama Good morning Familia 🌤
17
25
49
Hata nyie si mnaona😍 Quality 10/10 6 ni 30,000 0754618108 Delivery ipo
2
6
8
Jamaa mmoja kipindi anafanya process za kutaka kuoa aliambiwa atoe mahari(dowry) milioni 7 na ng'ombe 15, akatoa na harusi ikafanyika. Watu wengi waliokuja harusini walimsifia sana kwamba mke wake ni mrembo sana, baada ya harusi jamaa ikabidi awabebe wazazi wa mke wake na
18
58
128
Ukiwa Unaongea na Simu na Bi Mkubwa Kama Hajawahi Kukuita "Eeh Baba" Una Safari Ndefu ya Kufanikiwa Ongeza speed ya Kupambana.
15
34
64
Je, unakabiliwa na changamoto hizi za kiafya? ●Nguvu za kiume kupungua ●Uume kulegea au kutosimama vizuri ●Mbegu chache au dhaifu ●Kushindwa kurudia tendo la ndoa ●Maumivu ya mgongo, kiuno au miguu ●Kisukari, Shinikizo la damu, Bawasiri Kama Jibu ni NDIYO Suluhisho liko
GOOD MORNING, BROTHERS, and SISTERS🙏 🌄Amka Na Taarifa Hii Njema Kutoka Maasai Herbal Clinic 🌿. ■Tiba zetu asilia hukupa matokeo ya kudumu bila madhara. ■■Je, UNASUMBULIWA NA👇🏿 🟢 Uume dhaifu au mfupi 🟢 Kukosa hamu ya tendo 🟢 Kushindwa kudumu kitandani 🟢 Mbegu chache
28
49
99
Ukiona mtu anadharau hustle za mtu mwingine ujue huyo ni mvulana bado.Wanaume hatudharauliani✊️
21
46
64
Ukiangalia ulimwengu wanasema nini juu yako na yetu utakua kila siku unawalaumu walimwengu. Muhimu tambua dunia ipo kwasababu yako na Yetu ukikosa leo kesho utapata tu mwanetu.....
10
19
24
Tanzania ni kubwa Sanaa ila Kuna makabila yapo sehemu kubwa ya Tanzania yametapakaa kila kona mengine yapo eneo moja Pekee au machache. JE ni kabila lipi kila mkoa utalikuta ?
57
24
94
Umekaa Zako Msibani Unalia...Mara Paah Unamuona Fundi Viatu Anapita Kavaa Air Jordani Zako!😂😂🌄
24
41
75
"VODACOM NI ZAIDI YA MTANDAO" Kwa shilingi 158k tu utajipatia Pocket MiFi na unlimited internet mwezi mzima. Kubwa zaidi mwezi utakaofuata utalipia 70k ya kifurushi cha unlimited. FEATURES ➤High Speed Connectivity ➤Portable ➤Long Battery life WhatsApp or call: 0743303484
10
46
57
Kuwa Mtu mwema, Rafiki mzuri, Ishi maisha unayotaka na Fuata ndoto zako. Hivi ndivyo yatupasa tuishi🤞🏿
21
46
87
🌿 KARIBU MASAI HERBAL CLINIC – ASILI NDIO SULUHISHO LA KWELI! 🌿 → Karibu Masai Herbal Clinic, kituo kinachoaminika kwa tiba bora za asili zinazotibu mizizi ya tatizo, si dalili pekee!
27
42
45
Ukitaka kupunguza marafiki feki we jifanye una matatizo utampunguza hadi huyo baby wako.. 🤞😂
25
37
70
Kufanya kitu kilichokua bora huo ndio ubora wenyewe na mtu akikunyima msaada elewa huo ndio msaada wenyewe, elewa kuna kutangazwa baada ya kusaidia, jiepushe na aibu ndogo ndogo.
19
29
51
Kuna umri ukifika sio wote lazima wawe marafiki zako wengine salamu tu inatosha...✍️🤞
19
35
107