Tsilver~jr
@TsilverJr
Followers
2K
Following
139K
Media
114
Statuses
99K
good hustler never retreat 💪💪
Tanzania
Joined May 2021
Zaburi 23:1-3 The LORD is my shepherd; I shall not want. [2]He maketh me to lie down in green pastures: he leadeth me beside the still waters. [3]He restoreth my soul: he leadeth me in the paths of righteousness for his name's sake.🙏 Good morning family 🙏🙏🤍❤
20
37
50
#TajiriLaKihaya Kujadili UTEUZI WA MAWAZIRI… Eti Fulani Kaachwa Fulani kateuliwa… Ni kwamba UMESHABARIKI UCHAFUZI ULIOTOKEA… Na nikuwakosea heshima Ndugu zetu waliofariki Kwenye Harakati… Tuwachunie- kausha… Tujadili mambo mengine Kama hauna mada ni BORA KUKAA KIMYA!
105
258
1K
💨 Leo nimekutana na @TanzaniaOneJezi account yake soon itarudi hewani Anawasalimia sana wakuu✊
47
96
758
MATUKIO NYUMA YA KUANZISHWA KWA BAKWATA Uzi👇 Baada ya mauaji ya Mwembechai tarehe 13 February 1998, Idara ilijitathmini na kuona kuna haja ya taasisi za dini pia kuwa “under surveillance” Kama idara hii ingefanya kazi yake mapema hakika mauaji yale yangeweza kuepukika
5
32
149
Huyu mama sikuzote yuko mbele ya mda🫶 "Wametunywesha kikombe cha uchungu na maumivu makali😭💔"
1
8
52
Miongoni mwa uchungu ambao hauna dawa ni pamoja na huu wa kupoteza watu kwa mikono ya ukatili.
6
26
61
Kisasi cha Mungu na Upanga wake huko juu ya nyumba yako. Andaa mambo yako vizuri.
94
331
2K
Naomba repost yako hapa. Naitwa @kibaha_finest ni muuzaji wa jersey kwa bei poa ya 25K pia natuma na mikoani. Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0743476365 au njoo tsup kwa no 0756226825. Wakuu nisipo pata hela nitakula nini sasa wakuu njooni mnunue jersey au repost basi.🙏🙏
21
58
80
Sijui kama kuna mtu ameshawahi kukwambia... lkn tambua kuwa njia bora zaidi ya kuwafanya watu wema wabaki maishani mwako milele ni kutokuzungumza nao kila mara. Kadri unavyoongea ongea na mtu ndivyo anavyopoteza interest na wewe. Something around "Law of Scarcity"
14
114
668
Siwezi kusoma hadi chuo kikuu halafu nije kuwa chawa NEVER HAPPEN.
18
44
312
Dada ake @Mwinshehe07 mamantilie wenu karibuni kijiweni mniunge msosi na mnipe oder zenu za kuwapikia🥱
9
12
58
Hiviii kama mwalimu unateteaje mauajii na kielimu chako cha failure na kamshahara ka laki 5 .. hivi ni akili kweli au matope?? Bima chenyewe kifurushi cha 310000 kwa mwaka … unaunga foleni kila mahala then unakuja kutunisha kifua hapaa… Huna akili naniii …
14
15
75
Mnadeal na mtema mate mnamuacha huru mjambaji!!! Yani mnaanza kuhangaika kuwatafuta wauguzi waliovujisha video ya Mwananyamala Hospital. Badala ya kudeal na wauaji!! Waliowaua hao ndugu zetu mnawaacha huru!!
37
248
2K
Mnaonitumia Meseji za VITISHO hiyo level mimi nishavuka ya KUTISHWA. Wewe unaetumwa kunitisha nikuambie tuu, wenzio wamejenga MAJUMBA kwa kulipwa ili wanitafute ila haijawezekana. Mimi kuwa hai mpaka leo Sio kwa ujanja na akili zangu ni kwa NGUVU NA NEEMA ZA MUNGU.
76
456
3K
Hivi kweli vikosi vyote vya ulinzi ba usalams amekosekana hata mmoja anayetaka akumbukwe kama shujaa? Yaani woootee mmefyata mnapokea maagizo HARAMU kutoka serikali HARAMU kuumiza raia? Huu si woga tena ni kitu kingine! Hata mmoja hakuna? 🧐 Shida iko kubws hatuna vyombo vya
85
217
1K
Sijui nini kinaendelea na ndo namuona Leo ila Wacha nimpigie kura 🤣
Vote for Savatir in the Zikomo Africa And Caribbean Awards for Author Of The Year. Voting is free after you open a free account, and you can vote once a day. Here's the link: https://t.co/vStvsYvz1C
16
26
344
Kama wewe ni Mtanzania na umempigia kura huyu mzambia @theSavatir badala ya kumpigia kura dalali @YerickoNyerereT hakika wewe ni mzalendo wa kweli hebu chapa retweet ili ndugu yetu mzambia @theSavatir aone Love kubwa la wapiga wake wabongooo 🇹🇿
62
452
1K