Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰 Profile
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰

@Tinahcristiaan

Followers
3K
Following
18K
Media
658
Statuses
12K

Mgalilaya,,Proud to be Adventist 🙏~ Chelsea fans 💙Simba Damu🦁~59252474 Mpesa lipa No Christina ~mama ntilie🍲 0687747579📲..Sgr Dodoma ..opp na jengo la TRC

Dodoma, Tanzania
Joined May 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 months
Mje mniunge juhudi wapendwa . Wali ,ugali,Ninyanyuke siku niwapikie na vyakula vya kimataifa😂🤲Mwenyezi Mungu asikie maombi yangu,kuna mda mwili unachoka lkn moyo unaniambia vumilia🙏zaburi 86:16
Tweet media one
Tweet media two
151
566
2K
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
1 day
RT @EsirEid: #TajiriLaKihaya . Huu Mwaka mzima- This is The BEST QUOTE EVER🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
0
723
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
1 day
RT @CarolNdosi: Hello. My name is Carol. Many call me by my full name, Carol Ndosi. Allow me to wish you a good day. just. https://t.co….
0
36
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
4 days
Isaya 41:10.Mungu wa majira yote Hakuna jambo gumu kwako Naomba simama nami leo🙏Ukawe kivuli changu ktk jua kali,Ukawe maji ya Uzima ndani yangu ktk ukame uliosonga maisha Yangu.Naikabidhi siku hii mikononi mwako ktk jina la mwanao Yesu kristo Amen🙏.~Soup,chapati~vipo tayari
3
8
17
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
4 days
RT @kabigwa_78: Ukiamka then Ukawa unajihisi Mchovu sana, Kuna Hii combo ya. Maji ya vuguvugu + Limao/Ndimu+ Tangawizi + Karafuu na Iriki,….
0
42
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
4 days
RT @raphyrodrick: Kuna mwanangu mwaka jana nilimshauri amkatie mtoto bima ya afya ya 1.3m akawa anakataa anakna ni kubwa ila baadae akakuba….
0
7
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
4 days
Kidogo usiku unipite wima wima mamantilie😅😅😅.Leo yamebaki magimbi naishi nayo usiku upite. Mungu ni mwema🙏.~kesho magimbi yapo ujanja ni kuwahi mapemaaa mafundi wangu🍲🍲.Zaburi 53:1 {tafakari kimya kimya}
Tweet media one
11
13
70
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
4 days
RT @CarolNdosi: Aaah basi inabidi msako uanze maana Wanachi wapo wapo.
0
5
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
Huna baya fundi kazi imenyoooka🔥🔥.
@emanuel64027
ema_fundi_gairo🇹🇿
6 days
Wakuu ndo mmegoma kabisa kuniungisha suit?. Iwe suit za harusi, safari suit ,nk.Njooni kabla kijana wenu sijafukuzwa na mwenye nyumba
Tweet media one
1
1
6
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
Ongezea na hvyo hapo vyakula vua madogo km nyongeza
Tweet media one
@godfrey_brayson
MUUZA LOSHENI
6 days
@Tinahcristiaan Kuna mtu kaweka status Whatsp humu kuisha kwa akili sana.
0
1
10
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
Uzuri wa mamantilie hatulali njaa kikibaki tunaishi nacho. kombe la maji usingizi mwanana 😂🤣🤣🤣
Tweet media one
12
12
91
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @AbdulAlly253493: @south_kuzimu @Tinahcristiaan Kuyapika chuku chuku bila kuunga sana kama nyanya kuna faida zake. Kwanza, unakula mboga….
0
1
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @AbdulAlly253493: @south_kuzimu @Tinahcristiaan Watu wa zamani walikuwa wanayala kama mboga ya kawaida, na wengine hata wanayatumia kuti….
0
1
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @AbdulAlly253493: @south_kuzimu @Tinahcristiaan Majani ya maboga yana faida nyingi kiafya. Kwanza, yana madini ya chuma, calcium, na vit….
0
1
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @VitusLukebo: Ifike wakati serikali iangalie namna ya kusaidia watu huu usafiri ubaki tu kwa matumizi binafsi sio wa abiria. Tunaisha ai….
0
1
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
Tweet media one
3
3
19
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @nyakyusaboy: @Tinahcristiaan My mother started like that,mungu mwema saivi ndo mtu anaetegemewa chunya sherehe zote za kiserikali mikut….
0
1
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @kalage_jr: Baadhi ya kumbukumbu zetu nzuri ni zile tulizofanya na watu ambao hatuwezi kuzungumza nao tena.
0
24
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
RT @Jay_Electrician: Zaburi 42:2-3.2 Nafsi yangu inamwonea kiu MUNGU, Mungu aliye hai, Lini nitakapokuja nionekane mbele za Mungu?. 3 Macho….
0
11
0
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
6 days
Karibuni kwa mamantilie …Mafundi nasubiri oder zenu wapendwa wangu🙏.Unahitaji mtu wa kuwalisha vibarua wako mamantilie nipo{kwa dodoma}.Mafundi mama yenu nipo hapa . Karibuni sana🍲🍲🍲.~Sgr Dodoma ~kituo kwa mdumi opp na Trc Hq
Tweet media one
10
53
205
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
7 days
RT @CarolNdosi: Tumsifu Yesu Kristu….
0
9
0