Nimepokea uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kesi yangu ya Kikatiba, ya kupinga vifungu kadhaa vya sheria mpya ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya mwaka 2023.
Mahakama imekubaliana na baadhi ya hoja zetu na kubatilisha vif vya 22(3) & 23(3)(c)(e) vya sheria hiyo.
Mahakama imeamua: Vif 22(3) & 23(3)(c)(e) vya Sheria ya Ulinzi wa taarifa haviko sawa, vinaweza kutumika vibaya.
Vif hivyo havibainishi maana ya kukusanya taarifa isivyo halali kisheria, na mazingira yanayohitaji ridhaa, au kuhusu kuzuia malengo ya, kukusanya taarifa binafsi
Nataka kumpongeza kaka yangu
@Advocate_Jebra
na rafiki yangu Wakili Maria Mushi kwa kazi kubwa iliyofanyika kuendesha kesi hii.
Tutautafakari uamuzi huu wenye ushindi kiasi. Tumefurahi. Tutarejea. Aluta continua👊🏽
@TitoMagoti
Msomi hongera sanaaa, Your commitment to public interests and constitutional rights has truly made a difference. This victory not only highlights your dedication and skill but also sets an inspiring precedent for future advocacy.