Musk Viewer
About
Privacy Policy
Removal Request
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
Usiombe kukutana na mjinga mwenye confidence. Utajua hujui.
168
268
3K
Replies
Martin Maranja Masese
@IAMartin_
3 years
@TitoMagoti
CHAKUBANGA??
2
2
44
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@IAMartin_
Homeboy, orodha ni ndefu!π
0
0
29
king kinya
@king_kinya
3 years
@TitoMagoti
Halafu mara nyingi unakuta Wana sauti kubwa (loud) Sana pia Wana maneno mengi mdomoni yamebanana banana. Huwezi kubishana naye. Anakutoa knock outπππ
7
2
81
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@king_kinya
Na kiingreza kingi pia.π
3
0
34
Salim Alkhasas
@salim_alkhasas
3 years
@TitoMagoti
Yes
2
0
6
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@salim_alkhasas
Usiombe awe na notisi za kilimo cha mtandao.. atakujengea uwezo hutoaminiππ
1
0
11
Miss Bianca
@MissBia06176376
3 years
@TitoMagoti
Halafu wana pumzi za kuongea hao kila kitu wanajifanya wanajua kumbe malimbukeni tu
1
0
8
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@MissBia06176376
Wanakuwaga na namba za simu za watu mashuhuriπ
0
0
17
Certified Mswezi
@saidikategile
3 years
@TitoMagoti
hii ni overconfidence in a single vocaburary
1
0
4
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@saidikategile
Certainly well put.
0
0
3
Itgirl
@Ngiwanzi
3 years
@TitoMagoti
so so well put...aise...I am borrowing this
1
0
1
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@Ngiwanzi
Hah! Cheers
0
0
1
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@jimmymosh12
Kabisa Mosha
0
0
2
Jebra Kambole
@Advocate_Jebra
3 years
@TitoMagoti
@HecheJohn
Ukute anajua na historia kidogo hata kama ya uongo tu!!! Hasa hasa ya makabila atashuka na wewe jumla jumla
7
4
87
Tito Magoti, PG
@TitoMagoti
3 years
@Advocate_Jebra
@HecheJohn
πππau awe anajua kukadiria, atakwambia idadi ya samaki Lake Tanganyika
6
6
59
Baba Mwita
@BabaMwita
3 years
@TitoMagoti
π
0
0
0
Tajiri_viatu1
@PriscusThomas
3 years
@TitoMagoti
Unamsema
@Eric_Bernard94
πππ
1
0
0
Shayo E.M.
@emshayoo
3 years
@TitoMagoti
Wajinga wachache sana ndo hawajiamini. Wengi wanajiamini kupita kiasi
2
0
23
Silver
@SilvesterKondo1
3 years
@TitoMagoti
Mbona hapa Tz maprofessor wengi wananiamini sana!
1
0
1