Being 6 πππ‘οΈπ©Ί
@TinaaryS
Followers
5K
Following
77K
Media
1K
Statuses
28K
Bwana akamwambia Kain ,yuko wapi Habil ndugu yako?Akasema ,sijui,mimi mlinz wa ndugu yangu? Akasema,umefanya nin?Saut ya damu ya ndugu yako inanlilia kutoka ktk ardh Bas sasa umelaaniwa wewe katka ardh,iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya nduguyo kwa mkono wako Mwanzo 4:9-11.
1
13
22
Pale ambapo hatuwezi kuyasema maumivu yetu ya ndani kwa kulazimishwa kuzibwa midomo kwa hofu na vitisho, Wewe Mungu wetu uliyemkuu wa vyote na usiyelazimishwa na mwanadamu yeyote kutenda jambo tunaomba yajibu maumivu ya mioyo yetu Baba ππ
0
1
3
Ndugu yangu wewe unayefrahia watu kuuwawa je ni fedha kias gani inaweza kununua uhai sawa na wako mzazi wa ama ndugu yako wa damu, fikria vizuri kabla ya hicho kiburi na upofu wa fikra zako
0
0
0
Unaweza kufumba mdomo asiongee Unaweza kumfunga miguu asitembee Unaweza kumkata mikono asiweze kushika chochote Unaweza kumuua asionekane lakini yupo yeye aliyempa vyote hivyo atasimama na kufanya mambo yote hayo na zaidi πππ
0
3
11
Mithali : 6 : 16 Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake. Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye uongo; (Ya 7 mkasome)
1
5
21
Yohana 16:22Β βBasi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleayeβ.
0
0
2
Mithali 19:20 Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho. Good morning to you familia π
8
4
12
Mungu awapumzishe watanzania wote waliopoteza maisha pumzikeni kwa amani makamanda roho yangu inaniuma sana kupoteza nguvu kazi ya taifaπππππ
14
88
607
Siri haijawahi kuwa nyepesi au rahisi hivyo usimwamini kila mtu na kumpa siri zako, watu wengi hawana uwezo wa kubeba uzito wa siri. Good morning to you familia π
4
4
9
Zaburi 16:8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuumeni kwangu, sitaondoshwa. Good morning to you familia π
14
13
31
Immunisation of bullet, missile, teargas and CHAWA wote π
9
18
127
Kama ndege wa angani wangendelea kubaki kwenye viota vyao wangekufa kwa njaa kwa kukosa chakula, kijana na wanafamilia wa X (twitter) amka toka kwenye hicho kitanda tukajitafutie chakula chetu cha kila siku. Good morning to you familia π
13
23
43
Hakuna jambo katika maisha linaposwa kuzingatika kama kutofautisha mambo ya kuwambia watu na mambo unayopaswa kufanya Siriβ
16
46
202
Yohana 14:27 Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga. Good morning to you familia π
3
7
10
1 Wakorintho 7:8-11 Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa. Good morning to you familia π
3
5
10
Hatupigani na watu tunapigana na mfumo,usiweke chuki kwa watu,chukia mfumo unaowapa hayo mamlaka,tusiue watu,tupigane kuua mfumo..@fumbo Mh @kasesco_tz @kasimuabuu98 @Brother_0101 @belindaPINDA04 @TinaaryS @pastajoshuatz @Zephania_Ndaki @zamo_tz @Kilongi_TheDawg @DenyTheDr
1
2
6
Kama ndege wa angani wangendelea kubaki kwenye viota vyao wangekufa kwa njaa kwa kukosa chakula, kijana na wanafamilia wa X (twitter) amka toka kwenye hicho kitanda tukajitafutie chakula chetu cha kila siku. Good morning to you familia π
0
2
2