Matale Msangi Profile Banner
Matale Msangi Profile
Matale Msangi

@TaleMsangi

Followers
411
Following
167
Media
90
Statuses
4,937

|God’s son|Family Man|Romans’ 5:8| Baba Hazel & Harvey| #ArsenalFc #Yanga

Arusha, Tanzania
Joined December 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
10
7
33
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Happy Farther’s Day Kwa Washua Masta Wote #MshuaMasta #HappyFathersDay
Tweet media one
10
24
929
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Chilling 😊
Tweet media one
10
21
531
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Na Binti Yangu Hazel ❤️
Tweet media one
9
7
304
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
God Did. Hongera Mdogo Wangu.
Tweet media one
Tweet media two
8
11
298
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
“ Usichokiweza Achana Nacho “
Tweet media one
15
11
219
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
Mnakumbuka Mr Politician? With NakaaYa Sumari #Atown #sundayvibes
Tweet media one
Tweet media two
14
4
209
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Happy Men’s Day.
Tweet media one
2
7
176
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
🌱
Tweet media one
6
16
134
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
Happy Birthday To Me. Asante Mungu Baba Kwa Neema Hii 🙏🙏
Tweet media one
20
7
95
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
+1 Blessed To See Another Year 🙏
Tweet media one
16
2
65
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
❤️
Tweet media one
4
3
42
@TaleMsangi
Matale Msangi
8 months
Mu guy Zahir Msukuma Moja ya supplier wakubwa wa SAMAKI Arusha leo amenitembelea nyumbani kwangu. Na tumekubaliana kuingia kwenye biashara ya DAGAA jah bless 🙏
Tweet media one
Tweet media two
5
3
36
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
Fungua Moyo Bahati Iingie.
Tweet media one
4
4
35
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Tweet media one
Tweet media two
2
3
31
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Happy Farther’s Day kwa washua wote
Tweet media one
Tweet media two
4
1
30
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
😊
Tweet media one
5
1
29
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@VeronicaEvord1 2017 Chuo kikuu Iringa. Second year 😊
Tweet media one
5
1
25
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Tulikuwa na Ugomvi. Sasa nikasafiri kutoka Moshi kwenda DsmThen nilivyofika Dsm akanipigia nirud Tuyamalize na kesho yake nikapanda basi kurud Moshi tuyamalize. Ni upuuzi sitasahau😂
1
2
26
@TaleMsangi
Matale Msangi
6 months
Lubasha anasema huyu ni max malipo😂
1
2
26
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Dah ile wife anaanza clinic ilibidi wote kupima. Ila sidhani kama nitarudia tena😂
4
1
26
@TaleMsangi
Matale Msangi
8 months
Manunu Rafiki wa Binti Yangu😂
Tweet media one
Tweet media two
2
1
24
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MariaSTsehai Alivaa Dada wakati wa uapisho naona wanavua😊
1
1
22
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
4
5
20
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Hazel Has Turned 1 Today. Love You So Much My Beautiful Daughter
Tweet media one
Tweet media two
6
1
21
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
🏭 .
Tweet media one
Tweet media two
3
5
20
@TaleMsangi
Matale Msangi
6 months
@MarekaMalili At the end of day atupe raha beer zishuke😂
0
1
21
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MarekaMalili Mama Hazel huwa anasemaga vipi hii ni ya kuweka ama nifanyaje?
0
1
19
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
1
3
19
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
P A R E L A N D #proudPare 😊
Tweet media one
Tweet media two
1
3
20
@TaleMsangi
Matale Msangi
8 months
😊
Tweet media one
2
2
18
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
🎂
Tweet media one
Tweet media two
4
1
20
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@MarekaMalili 😂😂kinachonikuta Mungu ndie ajuaye
4
1
18
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Mi vile huniitaga na ku ni treat vizur hata mambo yakiwa magum huwa naona ni tiba tosha. Na hunikaa moyoni kisawa sawa.
0
1
17
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Very true. Kwanza ukitaka anzisha familia unaulizwa umejipanga? Una nin cha kukusaidia? Basi ikifika hapo vijana wanakimbia.
0
1
17
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MarekaMalili Bi mkubwa alishawishi akaniunga na cha kwao cha kanisani. Aisee sikutegemea juz kati wamefunga mwaka nimepata ka hela ka zuri kabisa.
1
2
16
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
😂😂😂Chama kimepiga hatua. Uandishi umezingatia weledi kabisa😂
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
3 years
Mwenezi ameshatoa press hapa.... Aione Katibu Mkuu @Eric_Bernard94
5
5
47
0
1
15
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Sure thing kaka. Jana nilitembelea mgonjwa KCMC kuna mama yuko na mwanae ana saratani toka anazaliwa na sasa ana mwaka wako hapo hapo. Dah Tunakila sababu ya kumshukuru Mungu kwa uzima na afya.
0
2
15
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
Tweet media one
10
0
13
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@IAMartin_ Sisi ukiwa na shida ndio mtetezi wa wanyonge.
0
1
14
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
We ulisikia wapi😂😂
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
3 years
Atoke @TPMazembe wewe Ubaki? Umeambiwa HQ ya @CAF_Online Ipo Bunju?
Tweet media one
6
3
44
0
1
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Nadhani Moja ni kutomsikia Mtoto akicheza kwa Muda Mrefu.
0
1
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
0
0
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@msangijeff Kiuno ina mafuta ya KIMBO 😂😂
2
0
13
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MarekaMalili Alikuja Moshi akafichwa. Kituo kilichofata nikaskia yuko Katavi😂
0
1
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@sarahhpoorr My situation 😂
Tweet media one
1
0
11
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@MarekaMalili Imagine nimewaza kile ki sweta alichovaa ndani ni cha nin? Kina mpaka zipu😂😂
3
0
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@GillsaInt Well said bro, nakumbuka kuna Boss mmoja nilikutana nae sehem wkt niko chuo, tofaut na nilivyokuwa nikimwona jamaa akanipatia field na nikawa napata ka mshahara kangu.
1
2
10
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
My Broke Best Friend 😊
Tweet media one
@siimasoud
bukhery
2 years
My broke best friend 😅
Tweet media one
24
17
191
2
2
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
😊
Tweet media one
Tweet media two
1
0
12
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@msangijeff Nakuona huku kaka😂
Tweet media one
3
2
11
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Consistency is everything.
1
1
10
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@MarekaMalili Kupenda kamseleleko😂. Mie huwa naamin kuwekeza especially kwa watu wangu wa Karibu hata kama ni kidogo nimeona mema na mazur juu ya hilo.
1
1
11
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Daaah zikajaga karatasi special kabisa kwa ajili ya kuandikia barua😂😂
@Kiganyi_
M A G I R I
2 years
Tweet media one
Tweet media two
142
69
816
3
1
11
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@msangijeff Alitaka kurudi kukaa akaona isiwe tabu bora asepe. Nimecheka sana😂
0
1
11
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@msangijeff 😂😂😂😂dah Taifa matopeni
1
1
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Nakumbuka wakati wife ni mjamzito sikuwahi acha kwenda nae clinic mpaka akajifungua, najiskia furaha kwa kweli.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 years
Siku hizi ukienda na Mama la Mama Clinic anapewa kipaumbele kwenye huduma. Ambao wanaenda bila Waume zao uwa wanataniwa “Wana Mimba za Roho mtakatifu” 😆 Tuwapeleke Wamama Clinic, thats a powerful love gesture. #MaishaBora #HuanzaKwaKusemaNaweza
23
41
358
3
1
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Leo Binti Yangu Hazel katimiza Miezi mitatu, lakini nimeenyooka na kunifunza kitu.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 years
Halafu hamjuagi tuu namna tunanyooka, kwanza unatoboka balaa kuhakikisha mama na mtoto wanapata mahitaji muhimu na kujifungua salama, bado ukeshe, kesho na mausingizi kazini, yaani uende na routine miezi 3 automatically unakua na hasira muda wote.
5
16
149
0
2
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Shetani anajitahidi sana kuibomoa hii Taasisi kwani anajua impact yake katika jamii. Na akifanikiwa hilo kwake ni furaha kwani ataongeza wafuasi katika nyanja mbali mbali.
0
1
10
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Mi Huwa nasema Asante Mungu. Na kuwaombea wanaokutana na changamoto kama hizo.
0
1
10
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
Match DaY #Arsenal
Tweet media one
3
2
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@Joy_Mbura Worry out mama ngoja na ku DM my no 😂😂
2
0
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@iamKaga Kaga mie najifurahia hapa nilipo naona kabisa kuna hatua nimepiga within a short period of time. Sema nikirud nyuma kuna makosa nisingefanya tena. But all in all I’m super happy na hapa nilipo na ninapoelekea.
2
4
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@MarekaMalili Hapo inabd ukae upande wa dada😂😂 maggie utaweleza badae
1
0
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
Dah nimecheka sana. Yesu wa mchongo kaona isiwe tabu😂
@msangijeff
Jeff Msangi®
1 year
😅🙌🏾 “Yesu”
118
129
412
2
1
9
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MarekaMalili Kutamka Neno condom kama umemkuta Bi Mkubwa kuna ka aibu flan, lakini ukisema mama naomba Dume mbona fresh😂
0
1
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@AD_Abinallah Kwangu NMB is the best. Naona iko faster, App yao pia vizur.
2
1
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
😂😂😂 Itasaidia kuepusha misuguano
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
3 years
Kwa hali ilivyo Sasa...kabla hamjaamua kufunga ndoa ni vizuri kuwekana wazi statuses za madeni yenu huko HESLB....kwa nia njema na kwa afya ya ndoa yenu.
20
18
260
0
1
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MarekaMalili Alafu ukutane na vile vidada vinacheza na kinywaji mdomoni😂
1
0
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@mpambazi @Sirjeff_D Champ maumivu ni ngum kuyakwepa. Kwani yapo ya kila aina. Lakini kwa msaada wa Mungu tunaweza yaepuka ama makali yake kupungua.
1
0
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili @MalemboFarm Ukiachilia mbali umuhim wa pembejeo na vitu vingine katika kilimo, ili kupata matokeo mazuri shambali ni lazima kupata ushauri kutoka kwa Mtaalam wa maswala ya kilimo.
1
1
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@lifeoffifi2 @mchachu_ Kuna mtu ndoa ilivunjika. Mwanamke akadai kiwanja chake ikabdi mwamba avunje nyumba😂
1
0
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@MarekaMalili Next time ukija Arusha will show you something nadhan tuta erewana😂
2
0
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
moshi/Kilimanjaro Tukipata Branch ya @StreetSoulTZ itakuwa safi sana 🙏
@Kiganyi_
M A G I R I
3 years
. @StreetSoulTZ inakutakia ijumaa njema… maduka yetu yanafunguliwa kila siku saa 3 asubuhi mpaka saa 3 usiku.. Dar, Arusha na Mwanza…
Tweet media one
2
4
30
1
1
8
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@AD_Abinallah Super good Dada. Ndio narud home moyo nimeumwagilia kdg basi burudani😂
2
0
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Na kutozingatia umezaji wa dawa. Haswa zile wanazopewa clinic. Madhara yake huwa makubwa.
0
1
5
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@MarekaMalili Jana game ya mwanachi kuna jamaa nilimwona kanywa sprite 3 khe😂
1
0
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Dah bro umeongea kwa hisia sana😂
0
1
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@bajabiri Umenikumbusha iringa kaka, wakat nasoma Iringa University hako ka kituo ka retco
0
1
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Sure thing. Tatzo vijana wanataka mpaka wawe na misafara
@ReganTesha_
M.D (🅨)
3 years
This is how I made my marriage successful and short-lived as I once wrote a thread here. Frame 1: Ni idadi ya waliohudhuria ibada ya ndoa Frame 2: Ndoa ikafungwa Frame 3&4: Ni mahala ilipofanyika hafla fupi ya sherehe (Sebuleni nyumbani) Narudia tena NDOA sio lazima mbwembwe ✊
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
239
139
1K
3
0
5
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@MarekaMalili Nitapaliwa na ka beer 🍺 kangu aisee😂😂😂
1
0
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Ni hatari sana kaka, nipo kwenye sector hii naona mambo yanavyoenda very sad 😢
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
3 years
Watu 900 wafanyakazi wa mashamba ya Maua hawana Kazi. #COVID19Effects . #HabariITV
20
14
345
0
1
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@iamKaga Mimi nazidi kuuona Mkono wa Bwana. Changamoto Haziepukiki. Lakini Baraka Zimekuwa Nyingi Zaidi so I’m really happy kwa kweli with my 2022.
1
0
7
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@MarekaMalili Na akichoka kumrudisha kwenye reli inakuwa kazi tena.
0
0
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Utu ni Muhim sana
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
3 years
2021. Njaa itaendelea kuwepo but isiondoe UTU wako.
7
26
239
0
1
5
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Tweet media one
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 years
Friday
Tweet media one
11
2
221
0
1
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Akili kumkichwa
@mfinanga_rm
Mganga mfawidhi
3 years
Shule ilitudai matokeo mitaa inatudai mafanikio #ElimikaWikiendi
9
29
189
0
2
5
@TaleMsangi
Matale Msangi
2 years
@vester__ Kuna sehem inaitwa kwa semangube korogwe hatari tupu😂
2
0
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@MarekaMalili Haiwez na haijawah kuwa sawa. Yeye akulipe kutokea wapi sasa umeshindwa play role yako biashara imedoda.
0
1
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
Tufanye Yote Lakini Tusiache Kula😂
2
0
5
@TaleMsangi
Matale Msangi
7 months
@MarekaMalili Iliwahi nitokea, asubuh nikaogesha na watoto lakini mnuno kama wote. Nikaona isiwe tabu nikaondoka tena nikaagiza boda apeleke kuku choma. Baada ya mda naambiwa usichelewe kama jana😂😂
1
0
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@prossoff 😂😂😂😂 kuna jamaa niliwah ingia ofisini kwake ni harufu ya vitunguu swaumu tu
1
0
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@MarekaMalili Wema hauozi. Tusichoke kufanya na kutendeana yaliyo mema.
0
1
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
@uoi_tz My University. Mungu awape faraja na marehem apumzike kwa amani🙏
0
0
5
@TaleMsangi
Matale Msangi
1 year
@MarekaMalili Anahakikisha utaratibu wa nyumbani hauvurugiki pamoja na makasiriko. Huwa najikuta natubu chap kama nimezingua aisee😂
1
1
6
@TaleMsangi
Matale Msangi
3 years
Namna hii Boss😊
Tweet media one
@MpondaSabinus
Mponda the farmer🇹🇿
3 years
Rahaa Ya Kulima Ndani Ya Green House , Mazao Hayashambuliwa Na Magonjwa , Wadudu Unakuwa Na Uhakika Wa Mavuno. Kwa Ujenzi Wa Green House Ya Kisasa Waone @greenagrictz Au Piga Simu No 0763347985. @bajabiri @ManenoIzaak @max_zitatu @Mangiwakwanza
Tweet media one
3
17
115
1
1
6