Mu guy Zahir Msukuma Moja ya supplier wakubwa wa SAMAKI Arusha leo amenitembelea nyumbani kwangu. Na tumekubaliana kuingia kwenye biashara ya DAGAA jah bless 🙏
@MarekaMalili
Tulikuwa na Ugomvi. Sasa nikasafiri kutoka Moshi kwenda DsmThen nilivyofika Dsm akanipigia nirud Tuyamalize na kesho yake nikapanda basi kurud Moshi tuyamalize. Ni upuuzi sitasahau😂
@MarekaMalili
Sure thing kaka. Jana nilitembelea mgonjwa KCMC kuna mama yuko na mwanae ana saratani toka anazaliwa na sasa ana mwaka wako hapo hapo. Dah Tunakila sababu ya kumshukuru Mungu kwa uzima na afya.
@GillsaInt
Well said bro, nakumbuka kuna Boss mmoja nilikutana nae sehem wkt niko chuo, tofaut na nilivyokuwa nikimwona jamaa akanipatia field na nikawa napata ka mshahara kangu.
@MarekaMalili
Kupenda kamseleleko😂. Mie huwa naamin kuwekeza especially kwa watu wangu wa Karibu hata kama ni kidogo nimeona mema na mazur juu ya hilo.
Siku hizi ukienda na Mama la Mama Clinic anapewa kipaumbele kwenye huduma.
Ambao wanaenda bila Waume zao uwa wanataniwa “Wana Mimba za Roho mtakatifu” 😆
Tuwapeleke Wamama Clinic, thats a powerful love gesture.
#MaishaBora
#HuanzaKwaKusemaNaweza
Halafu hamjuagi tuu namna tunanyooka, kwanza unatoboka balaa kuhakikisha mama na mtoto wanapata mahitaji muhimu na kujifungua salama, bado ukeshe, kesho na mausingizi kazini, yaani uende na routine miezi 3 automatically unakua na hasira muda wote.
@MarekaMalili
Shetani anajitahidi sana kuibomoa hii Taasisi kwani anajua impact yake katika jamii. Na akifanikiwa hilo kwake ni furaha kwani ataongeza wafuasi katika nyanja mbali mbali.
@iamKaga
Kaga mie najifurahia hapa nilipo naona kabisa kuna hatua nimepiga within a short period of time. Sema nikirud nyuma kuna makosa nisingefanya tena. But all in all I’m super happy na hapa nilipo na ninapoelekea.
Kwa hali ilivyo Sasa...kabla hamjaamua kufunga ndoa ni vizuri kuwekana wazi statuses za madeni yenu huko HESLB....kwa nia njema na kwa afya ya ndoa yenu.
@MarekaMalili
@MalemboFarm
Ukiachilia mbali umuhim wa pembejeo na vitu vingine katika kilimo, ili kupata matokeo mazuri shambali ni lazima kupata ushauri kutoka kwa Mtaalam wa maswala ya kilimo.
This is how I made my marriage successful and short-lived as I once wrote a thread here.
Frame 1: Ni idadi ya waliohudhuria ibada ya ndoa
Frame 2: Ndoa ikafungwa
Frame 3&4: Ni mahala ilipofanyika hafla fupi ya sherehe (Sebuleni nyumbani)
Narudia tena NDOA sio lazima mbwembwe ✊
@MarekaMalili
Iliwahi nitokea, asubuh nikaogesha na watoto lakini mnuno kama wote. Nikaona isiwe tabu nikaondoka tena nikaagiza boda apeleke kuku choma. Baada ya mda naambiwa usichelewe kama jana😂😂