Onesmo_260 Profile Banner
Onesmo Alimara Alistides Profile
Onesmo Alimara Alistides

@Onesmo_260

Followers
763
Following
17K
Media
70
Statuses
18K

Activist/psychologist/ influencer/motivational speaker/ student NO @udomtheofficial

Tanzania
Joined May 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
8 days
Focus On Improving Not Proving.โœ๏ธ
0
1
3
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
10 minutes
Aibu tupu ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Pesa hizi hawazitoi mfukoni bali ni pesa zetu za kodi ambazo zilitakiwa zitumike kwa manufaa ya umma wanahonga maskini wa DC kumsifia Mama yao! Shame!
0
12
48
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
4 hours
Hidaya Mahita leo umejiaibisha huko DC ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ umelipa Mexicans kwa lisaa limoja waende ku protest kumsifia @SuluhuSamia - hata Kiswahili hawajui na after an hour wameondoka haraka! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mmeumbuka vibaya sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Tulieni! Mwaka huu ni mwaka wa kuelewana mbona? ๐Ÿ”ฅ @Liberatus80 โœŠ๐Ÿฝ
21
103
487
@FanyHousel
Sankara.
6 hours
0
1
5
@Paullyker
LYKER ๐ŸŒด
6 hours
UPO CHINI YA 10K FOLLOWERS?? ๐Ÿ‘‰like ๐Ÿ‘‰retweet ๐Ÿ‘‰ Follow me @Paullyker ๐Ÿ‘‰chapa handle ๐Ÿ‘‡๐Ÿ’ช
11
7
13
@HildaNewton21
Hilda Newton
6 hours
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 121 Tunaendelea na kutolewa kwa ushahidi. Muda huu saa tisa mchana Mhe. Lissu tayari ameingia Inapigwa high Court waheshimiwa majaji wanaingia watu wote wanasimama. Ukimya umetawala hata nzi akipita unasikia sauti yake.๐Ÿ˜‚ Anasimama wakili wa
21
355
897
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
6 hours
Hivi ni kweli kwamba kuhamasisha maandamano ni kosa kisheria??
1
1
1
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
6 hours
0
0
0
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
6 hours
Hivi ni kweli kwamba kuhamasisha maandamano ni kosa kisheria??
1
1
1
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
10 hours
Jana Askofu Shoo @Glojos88 aliongea hekima tupu na busara! Mwenye akili amsikilize! Kwa nini #OktobaTunatoka ? Inatuhusu wote! Unaweza kusiklliza mjadala mzima ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ https://t.co/SJWCs7p3Nb
7
67
201
@Sativa255
SATIVA17
8 hours
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 119 Shahidi sasa anaulizwa baada ya kuchunguza vielelezo hivyo viwili kwa maana ya flash disk na memory card alifanya nini? Anayemuuliza ni Wakili wa Serikali Thawabu Issa. Shahidi anajibu kuwa waheshimiwa majaji nilianza kuandaa taarifa ya
2
30
140
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
8 hours
Rafiki yangu eeeh! Wasipokutafuta maana yake jitafute mwenyewe, Usilazimishe kuwa sehemu ya watu, jitafute ujipate watakutafuta tu.๐Ÿ“Œ
0
1
1
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
8 hours
Rafiki yangu eeeh! Wasipokutafuta maana yake jitafute mwenyewe, Usilazimishe kuwa sehemu ya watu, jitafute ujipate watakutafuta tu.๐Ÿ“Œ
0
1
1
@rajuQuire
Ahmad
11 hours
Ukiwa na mwanao anayekuchana ukizingua ni greatness isiyoelezeka pia utaenjoy sana.
3
3
11
@mduduJnr
Mdudu Wa Taifa.
1 day
Mithali 16:8 (Biblia Takatifu) Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu. Muwe na usiku mwema๐Ÿ™
5
18
62
@HildaNewton21
Hilda Newton
11 hours
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 115 Anaendelea Shahidi namba 3 wa Jamhuri Samuel Elibariki Kaaya Baada ya hilo kutokea nilienda maabara kwa ajili ya kuandaa vifaa vya uchunguzi. Barua zote mbili tukianza na ile ya FB/PH/LAB/106/2025 Ilikuwa inahusu jalada la kuchunguza
30
368
944
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
10 hours
Katika Hii Dunia Ukipata Mwanamke ambae Maumivu Yako Ni Maumivu Yake Pia. Basi Tambua Kuwa Umepata Mama Bora Wa Familia Yako...โœ๏ธ
0
1
1
@Onesmo_260
Onesmo Alimara Alistides
10 hours
Katika Hii Dunia Ukipata Mwanamke ambae Maumivu Yako Ni Maumivu Yake Pia. Basi Tambua Kuwa Umepata Mama Bora Wa Familia Yako...โœ๏ธ
0
1
1
@Sativa255
SATIVA17
11 hours
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 115 Anaendelea Shahidi namba 3 wa Jamhuri Samuel Elibariki Kaaya Baada ya hilo kutokea nilienda maabara kwa ajili ya kuandaa vifaa vya uchunguzi. Barua zote mbili tukianza na ile ya FB/PH/LAB/106/2025 Ilikuwa inahusu jalada la kuchunguza
4
45
179
@Royal_Tv_Tz
ROYAL TELEVISION
1 day
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT) โ€“ Mwanza, kimeeleza kupokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kutoonekana kwa Padre Camilus Nikata, Mhadhiri wa Idara ya Mawasiliano ya Umma, ambaye pia ni Padre wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea. Taarifa za kutoweka kwa Padre
5
70
395
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
12 hours
โ€ผ๏ธ๐ŸšจVOTES FOR SAMIA ALLEGEDLY PREPARED AHEAD OF OCT 29 ELECTIONS๐Ÿšจโ€ผ๏ธ One key issue that Polepole raised was how CCM had access to the national ID system and the votersโ€™ database and manufactured votes - more and more civil servants are confirming they have been told to go and
20
166
500